Kitabu cha Wageni - 2003
Bwana ni mwema mno na nimezidi kumwona akinitetea tangu aliponiokoa.Huduma
hii kwa njia ya mtandao ni muafaka kwa kizazi cha sasa. Mbarikiwe na karibini
Dodoma
Lutengano h. Mwalubandu <lutenny@yahoo.com>
Dodoma, Tanzania - Wednesday, December 31, 2003 at 16:26:26 (EAT)
Nashukuru sana kwa kuanzisha web site ya NENO LA MUNGU KWANI NI MSAADA KWETU HASA TULIO MAKAZINI KWANI WATU WANAPATA MAFUNDISHO HUKU WAKIWA OFISINI WANAENDELEA NA KAZI ZAO
TUNAMSUBIRI SANA MWAKASEGE MOSHI
HENDRY MLAY <izymlay@hotmail.com>
MOSHI, MOSHI Tanzania - Tuesday, December 30, 2003 at 15:24:22 (EAT)
Isaya:41:13-15.Mungu awbariki sana.Naomba kusoma makala ya mafundisho ya ndoa.
Imlawa <Imlawa@bugando.org>
mwanza, mw3anza Tanzania - Tuesday, December 30, 2003 at 11:24:10 (EAT)
Isaya:41:13-15.Mungu awbariki sana.Naomba kusoma makala ya mafundisho ya ndoa.
Imlawa <Imlawa@bugando.org>
mwanza, mw3anza Tanzania - Tuesday, December 30, 2003 at 11:21:47 (EAT)
Naomba kuingia kwenye mafundisho ya ndoa.Mungu awabariki sana ,amina.
Imlawa <Imlawa@bugando.org>
Mwanza, Mwanza Tanzania - Monday, December 29, 2003 at 17:57:39 (EAT)
Naomba kuingia kwenye mafundisho ya ndoa.Mungu awabariki sana ,amina.
Imlawa <Imlawa@bugando.org>
Mwanza, Mwanza Tanzania - Monday, December 29, 2003 at 17:57:06 (EAT)
Naomba kuingia kwenye mafundisho ya ndoa.Mungu awabariki sana ,amina.
Imlawa <Imlawa@bugando.org>
Mwanza, Mwanza Tanzania - Monday, December 29, 2003 at 17:55:12 (EAT)
mafundisho ninayo pata kupitia vipindi vyako mbalimbali yanaisaidia sana.naombakusoma mafundisho ya ndoa.
Imlawa <Imlawa>
mwanza, Mwanza Tanzania - Monday, December 29, 2003 at 17:41:36 (EAT)
Mimi napenda sana kusoma website yako, lakini mbona nashindwa kufungua pale kwenye mafundisho ya ndoa?
jane makobwe <mubinyange@hotmail.com>
Dar es salaam, Tanzania - Monday, December 29, 2003 at 14:04:04 (EAT)
MUNGU AWABARIKI KATIKA UTUMISHI WENU ZAIDI YA HAYO MUNGU AWAPE MAFUNUO ZAIDI JUU YA TANZANIA NA WANANCHI WA TANZANIA
JINA LA BWANA LIBARIKIWE.
Gerald Festo <gerafk@yahoo.co.uk>
DSM, Kinondoni Tanzania - Monday, December 29, 2003 at 09:15:55 (EAT)
MUNGU AWABARIKI KATIKA UTUMISHI WENU ZAIDI YA HAYO MUNGU AWAPE MAFUNUO ZAIDI JUU YA TANZANIA NA WANANCHI WA TANZANIA
JINA LA BWANA LIBARIKIWE.
Gerald Festo <gerafk@yahoo.co.uk>
DSM, Kinondoni Tanzania - Monday, December 29, 2003 at 09:15:00 (EAT)
MUNGU AWABARIKI KATIKA UTUMISHI WENU ZAIDI YA HAYO MUNGU AWAPE MAFUNUO ZAIDI JUU YA TANZANIA NA WANANCHI WA TANZANIA
JINA LA BWANA LIBARIKIWE.
Gerald Festo <gerafk@yahoo.co.uk>
DSM, Kinondoni Tanzania - Monday, December 29, 2003 at 09:11:31 (EAT)
MUNGU AWABARIKI KATIKA UTUMISHI WENU ZAIDI YA HAYO MUNGU AWAPE MAFUNUO ZAIDI JUU YA TANZANIA NA WANANCHI WA TANZANIA
JINA LA BWANA LIBARIKIWE.
Gerald Festo <gerafk@yahoo.co.uk>
DSM, Kinondoni Tanzania - Monday, December 29, 2003 at 09:10:04 (EAT)
Namshukuru sana MUNGU kwa kunipa muda huu kuandika katika kitabu cha wageni. Kwanza napenda kuwasalimia BWANA YESU KRISTO ASIFIWE. Pili namshukuru MUNGU alivyo wapa nguvu ya kuweza kuwapa watu chakula cha roho. Kwa kweli huduma mnayotoa ni nzuri sana na inawasaidia sana watu. Mungu mwenyewe awape nguvu na maarifa ili muweze kueneza neno lake duniani kote. Namshukuru Mungu kwa yote na bwana awabariki wote. Bwana YESU kristo asifiwe . Amen
Mkiramweni <uchopo@hotmail.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Saturday, December 27, 2003 at 17:17:14 (EAT)
Mimi sina maoni bali nashuru Mungu aliyewafunulia siri ya kufanya huduma hii Mungu awabariki sana azidi kuwajifunua zaidi na kuwapa nguvu,maarifa na ujasiri zaidi ili watu wakombolewe maana ni huzuni mtu anapokufa katika dhambi.
Pia kuna kitabu kinachohusu msamaha kinasaidia sana na kitaendelea kusaidia watu wengi zaidi.
Kupitia wapakwa mafuta wake Mungu anafanya maajabu/miujiza mingi sana mimi nikiwa ni shahidi na mwenye ushahidi usioweza kuelezeka kwa kuandika hapa
Katika jina la YESU KRISTO MUNGU AWABARIKI, AMENI.
Onelly Nsemwa <onellyobeid@yahoo.com>
morogoro, ifakara Tanzania - Saturday, December 27, 2003 at 15:43:59 (EAT)
Mtumishi wa Mungu,Bwana asifiwe sana ni matumaini yangu kuwa u mzima wa afya njema wewe pamoja na Diana Mwakasege.Nimefurahi sana kutembelea katika website yenu,Maoni yangu,katika kipengele cha mafundisho maalum kuna kipengele 'kwa wenye ndoa' lakini nikitaka kukisoma inatakiwa niandike username na password sasa nitapata wapi kujisajili na mimi nahitaji kupata mafundisho hayo.
Thomas Lwilla <thomas_lwilla@yahoo.com>
Morogoro, Ifakara Tanzania - Saturday, December 27, 2003 at 12:10:27 (EAT)
YESU ANAOKOA NA ANAPONYA .
asnath jonas <asnalajo@yahoo.com>
dar, ubungo Tanzania - Thursday, December 25, 2003 at 17:59:39 (EAT)
Namshukuru sana Mungu kwa ajili ya huduma yenu, Mungu awabariki na kuwazidishia kwa ajili ya utukufu wa jina la Bwana wetu Yesu Kristo
Gwamaka Mwakajwanga <gwamakam@yahoo.co.uk>
Morogoro, Tanzania - Thursday, December 25, 2003 at 04:22:24 (EAT)
tv haiko active siwezi kuaccess
rebecca mwinykelly <wingu2003@yahoo.com>
arusha, arusha Tanzania - Wednesday, December 24, 2003 at 09:33:17 (EAT)
tv haiko active siwezi kuaccess
rebecca mwinykelly <wingu2003@yahoo.com>
arusha, arusha Tanzania - Wednesday, December 24, 2003 at 09:31:33 (EAT)
huduma hii ya kristo katika tovuti inatusaidi sana kiroho hivyo basi iendelezwe
christon lukelo nyagawa <christonlukelo@yahoo.com>
mufindi/mafinga, mufindi Tanzania - Sunday, December 21, 2003 at 13:16:31 (EAT)
somo la damu ya yesu limenibariki sana
theresia kauson <tkauson@aar.com.tz>
dar-es sallam, chuo kikuu Tanzania - Sunday, December 21, 2003 at 11:19:10 (EAT)
mtumishai wa mungu naomba uzidi kuifanya kazi ya mungu najua siku moja utalipwa kwa kazi yako uliyoifanya duniani pili naomba unikumbuke kwa maombi yako kila siku kwa sababu dunia umeharibika sana mimi ni binti sijaolewa kwa hiyo nahitaji msaada kutoka kwa mungu hasa siku zote za maisha yangu kwa kweli ukiangalia hali ya sasa unaweza ukashidwa kuolewa kwa sababu unaweza ukapata mchumba aliyeokoka kumbe hakutakaswa vizuri na yesu ikawa matatizo mbeleni.kwa hiyo inahitajika kuomba sana mtumishi wa mungu bwana akubariki sana kwa kazi ya mungu unayoifanya kila siku
magreth shapyy <mshapyy@yahoo.co.uk>
mwanza, mwanza Tanzania - Saturday, December 20, 2003 at 15:55:19 (EAT)
mtumishi wa Mungu tunakushukuru sana kwa kazi unayoifanya ya kuwapeleka watu kwa mungu wa majeshi tena ni wsamani sana
magtret
Tanzania - Saturday, December 20, 2003 at 15:44:37 (EAT)
mtumishi wa Mungu tunakushukuru sana kwa kazi unayoifanya ya kuwapeleka watu kwa mungu wa majeshi tena ni wsamani sana
magtret
Tanzania - Saturday, December 20, 2003 at 15:41:12 (EAT)
napenda watu wazindi kuokolewa na yesu kristo kwa sababu katika hali ya sasa hivi imekuwa mbaya sana kwa sababu watu hata wakiambiwa kwamba kuna hatari wanazidi kwenda tu ukimwi wameambiwa mno lakini ndo wanazindi Mungu wasaidie.
magreth shapyy <magrethshapyy628@hotmail.com>
mwanza, Tanzania - Saturday, December 20, 2003 at 14:58:31 (EAT)
Mungu wangu akubalikisana songa mbele tunakuombea sana.
emmanuel makena <emmanuelmakena@yahoo.co.uk>
dodoma, area,c Tanzania - Saturday, December 20, 2003 at 12:51:33 (EAT)
Nimefulaia sana kuingia kwenye mtandao wenu mtanisaidia kwa mambo mengi hasa ya Mungu. Naomba niombewe na nina matatizo ya kuumwa na moyo na ninatafuta kazi sipati yaani naomba sana uniombe Baba Mwakasege mimi kama mwanao asante kwa msaada wako naomba nitumie kwenye email address yangu na unielekeze cha kufanya. Ninahitaji msaada wako na Mungu akutie nguvu kwa kazi unayoifanya.
Aweza <nurdinaw@hotmail.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Thursday, December 18, 2003 at 15:10:21 (EAT)
Nimefulaia sana kuingia kwenye mtandao wenu mtanisaidia kwa mambo mengi hasa ya Mungu. Naomba niombewe na nina matatizo ya kuumwa na moyo na ninatafuta kazi sipati yaani naomba sana uniombe Baba Mwakasege mimi kama mwanao asante kwa msaada wako naomba nitumie kwenye email address yangu na unielekeze cha kufanya. Ninahitaji msaada wako na Mungu akutie nguvu kwa kazi unayoifanya.
Aweza <nurdinaw@hotmail.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Thursday, December 18, 2003 at 15:10:04 (EAT)
Nimefulaia sana kuingia kwenye mtandao wenu mtanisaidia kwa mambo mengi hasa ya Mungu. Naomba niombewe na nina matatizo ya kuumwa na moyo na ninatafuta kazi sipati yaani naomba sana uniombe Baba Mwakasege mimi kama mwanao asante kwa msaada wako naomba nitumie kwenye email address yangu na unielekeze cha kufanya. Ninahitaji msaada wako na Mungu akutie nguvu kwa kazi unayoifanya.
Aweza <nurdinaw@hotmail.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Thursday, December 18, 2003 at 15:08:16 (EAT)
But God demonstrates his own love toward us,in that while we were still sinners,Christ died for us.May God bless you Mwakasege for this Ministry
Christopher H. Lyatuu <kingdmalvine@yahoo.com>
Dar es salaam, Temeke Tanzania - Thursday, December 18, 2003 at 14:51:35 (EAT)
Mungu awabariki katika kazi yake mnayoifanya mzidi kupata baraka za kimbingu zisizo na kikomo!
Mercy Aenea. <me_aenea@yahoo.com>
Moshi., Tanzania - Thursday, December 18, 2003 at 14:36:07 (EAT)
Mwendelee kuyafanya mapenzi yake yeye aliye juu (Mungu Mtakatifu)
Christopher H. Lyatuu <kingdmalvine@yahoo.com>
Dar es salaam, Temeke Tanzania - Thursday, December 18, 2003 at 14:32:32 (EAT)
Bwana asifiwe. Nimefarijika sana kwa huduma hii kupitia mtandao. Mungu awabariki na kuwapa ufahamu zaidi ili kazi tuliyopewa ya kuhubiri Injili isonge mbele.
Godwin Mpelumbe <mpelumbes@yahoo.com>
Dar es salaam, Tanzania - Wednesday, December 17, 2003 at 22:08:45 (EAT)
Nilibarikiwa sana niliposoma ripoti ya Semina ya Moshi Mungu awabariki sana na kuendelea kuwafanikisha katka huduma yenu.
Aubrey Maonga <maonga8@yahoo.com>
Muheza, Tanga Tanzania - Wednesday, December 17, 2003 at 19:56:24 (EAT)
nataka kusoma semina juu ya ndoa
Johary <joharym@yahoo.com>
Dar esSalaam, N/A Tanzania - Wednesday, December 17, 2003 at 13:41:09 (EAT)
MUNGU WA MBINGUNI ATAWALIPA KADRI YA KUJITOA KWENU....
YEYE NI WA HAKI NA NI MWAMINIFU
Winluck <wlhsl@hotmail.com , wlhsl@lycos.com>
Dar es salaam, Ilala Tanzania - Wednesday, December 17, 2003 at 09:48:29 (EAT)
nimefulaia kuingia kwenye mtandao wenu mtanisaidia kwamanbo mengi asa ya mungu
edimund john <edimundjohn@hotmail.com >
dar es salaam, Tanzania - Tuesday, December 16, 2003 at 17:57:43 (EAT)
Mimi nimeokoka nafrahi kusoma maandiko yenu isipokuwa nilikuwa naomba somo la Ndoa na Nyumba. Pia somo la Vijana
Anuani yangu nyingine ni bmwano@hotmail.com
B . E Mwano <bmwano2002@yahoo.com>
Dar es salaam, Kinondoni Tanzania - Tuesday, December 16, 2003 at 16:02:09 (EAT)
amen
bri <bbigurube@hotmail.com>
ars, ars Tanzania - Tuesday, December 16, 2003 at 15:59:32 (EAT)
Nimebrikiwa sana na website yako. Kuna mafundisho mengi ambayo bwana ameyaweka kwa kutumia utumishi wenu.Mungu awabariki na awakumbuke katika kazi hii ya kuhubiri injili.KATIKA JINA LA LIPITALO MAJINA YOTE LA YESU KRISTO.
Nestor G . G Shirima <nestor.s@kicheko.com>
DSM, dsm Tanzania - Tuesday, December 16, 2003 at 15:05:12 (EAT)
Nimebrikiwa sana na website yako. Kuna mafundisho mengi ambayo bwana ameyaweka kwa kutumia utumishi wenu.Mungu awabariki na awakumbuke katika kazi hii ya kuhubiri injili.KATIKA JINA LA LIPITALO MAJINA YOTE LA YESU KRISTO.
Nestor G . G Shirima <nestor.s@kicheko.com>
DSM, dsm Tanzania - Tuesday, December 16, 2003 at 15:00:21 (EAT)
Mungu awatie nguvu katika huduma hii njema ya kuponya Roho za watu.
Kokwika J. Ishenkumba <kokwika@yahoo.co.uk>
Dar es salaam, Tanzania - Tuesday, December 16, 2003 at 13:39:08 (EAT)
Mimi ni mgeni katika huduma hii ninahitaji huduma hii inifikie.
Hilda Mpita <mamah20022001@yahoo.com>
Kinondoni, Dar es salaam Tanzania - Tuesday, December 16, 2003 at 12:53:16 (EAT)
SEMINAR ZA VIJANA KWA WINGI
anna jumbe <annjumbe@yahoo.com>
arusha, Tanzania - Tuesday, December 16, 2003 at 12:34:57 (EAT)
Napenda kujiunga na hii Website kwa kupata mafundisho zaidi ya kiroho.Nikiwa kama ni Msichana nilie okoka.
JUDITH PETER <judiepeter_4@hotmail.com>
Dar-es-salaam, Tanzania - Tuesday, December 16, 2003 at 12:07:30 (EAT)
naamini kwa neema ya mungu kazi hii ni yake hivyo naomba muitende kwa kuwezeshwa na roho mtakatifu katika jina la yesu kristo amen
absalom mkanza
dare esalaam, ilala Tanzania - Monday, December 15, 2003 at 21:31:19 (EAT)
naamini kwa neema ya mungu kazi hii ni yake hivyo naomba muitende kwa kuwezeshwa na roho mtakatifu katika jina la yesu kristo amen
absalom mkanza
dare esalaam, ilala Tanzania - Monday, December 15, 2003 at 21:30:37 (EAT)
Huduma yako ni njema.
Joseph S.shee <josephshee@yahoo.com>
Tanga, Kaskazini Tanzania - Monday, December 15, 2003 at 14:02:15 (EAT)
Mungu wetu ni mwema na wa ajabu sana kwa wale wampendao na wamtumainio,ni jambo jema na la busala pia tunabarikiwa zaidi kama tuta mruhusu huyu Mungu aingie maishani mwetu na kufanya makao yake,pia tumruhusu atutumie ili kukuza na kuendeleza uflme wake
Namshukuru sana Mungu kwa mtumishi wake Mwakasege na kutupa nafasi tena ya kuwasiliana kwa mtandao huu
karibuni mwanza na Mungu atubariki
tutuba nicholaus <ntutuba@yahoo.com>
mwanza, ziwa Tanzania - Monday, December 15, 2003 at 12:40:00 (EAT)
Huduma ambayo Mungu ameiweka ndani ya Ndg. Mwakasege ina nafasi ya kipekee(significant) katika ushuhuda wa maisha yangu ya kukua kiroho....Ni maombi yangu kwamba Mungu aendelee Kuwapaka mafuta Ndg. na Mama Mwakasege ...hasa katika kipindi hiki ambapo Mungu anaupeleka Wokovu Tanzania Katika Daraja jipya na la juu mno ....na ufahamu wa ndani na nje wa ajabu mno.
Mungu awabariki!
Lewis Kopwe <lewiskopwe@hotmail.com>
Reading , Berkshire United Kingdom - Sunday, December 14, 2003 at 07:07:15 (EAT)
Huduma ambayo Mungu ameiweka ndani ya Ndg. Mwakasege ina nafasi ya kipekee(significant) katika ushuhuda wa maisha yangu ya kukua kiroho....Ni maombi yangu kwamba Mungu aendelee Kuwapaka mafuta Ndg. na Mama Mwakasege ...hasa katika kipindi hiki ambapo Mungu anaupeleka Wokovu Tanzania Katika Daraja jipya na la juu mno ....na ufahamu wa ndani na nje wa ajabu mno.
Mungu awabariki!
Lewis Kopwe <lewiskopwe@hotmail.com>
Reading , Berkshire United Kingdom - Sunday, December 14, 2003 at 07:06:34 (EAT)
Mungu azidi kuwafunulia maajabu yake watumishi wake ili mzidi "kulisha kondoo zake". Mungu ameonyesha anavyotupenda sisi watanzania hasa ukizingatia tovuti hii imeandikwa kwa kiswahili lugha tunayoifahamu vizuri. Huu ni upendeleo kwa kweli na ni vema tukaendelea kuwaombea watumishi hawa christopher na diana mwakasege kwani kupitia kwao tunaipona miujiza ya Mungu wetu. Eliamani Laltaika, Tanzania Pastoralist Hunter&Gatherers Organization-TAPHGO P.O.Box 12568 Arusha Tanzania
Eliamani Laltaika <laltaika@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Saturday, December 13, 2003 at 16:55:45 (EAT)
Be blessed all of your team as you come for seminar in PTA hall in Dar
Kapuulya Angetile Musomba <musomba@mail.com>
Dar, Ukonga Tanzania - Saturday, December 13, 2003 at 12:24:04 (EAT)
Bwana Yesu asifiwe. Napongeza juhudi zenu za kuboresha tovuti hii, kwani sasa inamvuto na mambo mengi zaidi ya kuwafaa wakristu mbalimbali; unajua mahitaji ni mbalimbali pia. Hata hivyo, utaratibu wa kuwawezesha wenye ndoa kusoma 'link' inayowahusu haujawekwa bayana jambo linalowakosesha ujumbe uliolengwa kwao. Japo ni muhimu kuzuia wale wasiofikia umri kuingia katika 'link' hii, maana ya kuwanayo (hiyo 'link') haipo endapo walengwa hawawezi kuingia.
Deogratias B. Mukasa <dbmukasa@yahoo.com>
Dar es salaam, Tanzania - Friday, December 12, 2003 at 16:09:43 (EAT)
Napongeza juhudi zenu za kuboresha tovuti hii, kwani sasa inamvuto na mambo mengi zaidi ya kuwafaa wakristu mbalimbali; unajua mahitaji ni mbalimbali pia. Hata hivyo, utaratibu wa kuwawezesha wenye ndoa kusoma 'link' inayowahusu haujawekwa bayana jambo linalowakosesha ujumbe uliolengwa kwao. Japo ni muhimu kuzuia wale wasiofikia umri kuingia katika 'link' hii, maana ya kuwanayo (hiyo 'link') haipo endapo walengwa hawawezi kuingia.
Deogratias B. Mukasa <dbmukasa@yahoo.com>
Dar es salaam, Tanzania - Friday, December 12, 2003 at 16:09:14 (EAT)
Mungu awabariki sana kwa huduma yenu nzuri, Bwana aendelee kuwatia nguvu ili muendelee kutupa chakula cha kiroho.
Veronica Kibopile <kibopile@hotmail.com>
Dar es Salaam, Kinondoni Tanzania - Friday, December 12, 2003 at 15:54:51 (EAT)
Ninamshukuru Mungu kwa huduma yenu Mungu awabariki
Lilian Saronga Mosha <li77ly@yahoo.com>
Dar es Salaam, Temeke Tanzania - Friday, December 12, 2003 at 10:30:06 (EAT)
Ninamshukuru Mungu kwa huduma hii Mungu awabariki
Lilian Saronga Mosha <li77ly@yahoo.com>
Dar es Salaam, Temeke Tanzania - Friday, December 12, 2003 at 10:27:31 (EAT)
mtandao huu utafsiriwe kwa lugha ya kiingereza ili wageni waliopo nchini waweze kufaidi masomo haya na mambo mengine.
PONGEZI KWA HATUA HII MLIOFIKIA.MBARIKIWE NA BWANA.
juliana <julliemollel@yahoo.com>
arusha, arusha Tanzania - Friday, December 12, 2003 at 08:27:38 (EAT)
Tunashukuru kwa huduma yako ila Bwana akupe nafasi ya kuja Zanzibar kuja kuhudumia.
Ahsante
Matthew Wilfred Mhagama <gloryjmhagama@hotmail.com>
Zanzibar, Jangombe Tanzania - Thursday, December 11, 2003 at 12:25:53 (EAT)
Ninawashukuru kwa mambo makubwa mtufanyiayo.
Mungu awalinde na kuwaongoza ili mutuwezeshe nasi kuufahamu ufalme wake.
Mugisha Samson Igilakwo <samusa80@yahoo.com>
dar es salaam, Tanzania - Wednesday, December 10, 2003 at 14:00:57 (EAT)
ninashukuru mungu kwa barua yako ya mwezi wa oktober ambayo imenibariki sana Mungu
kisegenya Josephat
katesh, Manyara Tanzania - Tuesday, December 09, 2003 at 18:38:49 (EAT)
Sina maoni bali Mungu awabariki katika huduma hii.
John C. Ndembe <jondza@hotmail.com>
Dar, Temeke Tanzania - Monday, December 08, 2003 at 16:27:29 (EAT)
Sina maoni bali Mungu awabariki katika huduma hii.
John C. Ndembe <jondza@hotmail.com>
Dar, Temeke Tanzania - Monday, December 08, 2003 at 16:26:41 (EAT)
mungu akubariki. Jitahidi sana kufika Lushoto kwa kazi yake bwana ikiwa mungu atakupa kibali.Ubarikiwe na Bwana
godbless godwin mariki <godmariki@yahoo.com>
iringa, Tanzania - Sunday, December 07, 2003 at 09:24:04 (EAT)
Nimefurahia sana Ministry yako,Mungu aendelee kukutia nguvu.Pia jinsi Mungu alivyokuonyesha kwamba kwa nini Born again wa Tanzania wanaendelea kuwa maskini,kwa kweli hapo ndiyo hasa shetani alipotubana,nashukuru sana kwa kutufahamisha yale Mungu aliyokutuma.La ziada ni kukazania kutufundisha sasa jinsi ya kujitoa kwenye mtego huo.
Mungu awabariki sana muendelee kufanikiwa kama roho zenu zifanikiwavyo.
Enock John Mayage <emayage@hotnil.com>
Dar es Salaam, Pwani Tanzania - Saturday, December 06, 2003 at 09:49:06 (EAT)
nafurahi kufuatilia mambo mbalimbali kupitia web site hii.
kenneth gondwe <chikalamba@yahoo.com>
DODOMA, kanisa kuu Tanzania - Friday, December 05, 2003 at 11:43:13 (EAT)
TUNAZIDI KUBARIKIWA NA HUDUMA HII NA KWA KWELI MIMI BINAFSI NAMUOMBA MUNGU AZIDI KUWATIA NGUVU KATIKA KAZI YAKE.
MUNGU AWABARIKI
GILLIARD LOTH NNKO <gilliardl@yahoo.com>
DAR ES SALAAM, Tanzania - Friday, December 05, 2003 at 10:47:26 (EAT)
Naomba unifafanulie vizuri kuhusu kuchakaa kwa agano la kale kwani mimi nafahamu kwamba kila neno lenye pumzi ya MUNGU lafaa kwa mafundisho.
kenedy chiguru <kennychigu@yahoo.com>
mwanza, Tanzania - Wednesday, December 03, 2003 at 15:49:43 (EAT)
nimefurahi sana kuingia kwenye website hii. MUNGU AWABARIKI!Nasubiria sana kwa hamu makala ya vijana.
bathsheba mahenge <bathshebaz@hotmail.com>
mbeya, Tanzania - Wednesday, December 03, 2003 at 15:46:59 (EAT)
amen
bri <bbigurube@hotmail.com>
ars, ars Tanzania - Wednesday, December 03, 2003 at 14:10:59 (EAT)
Naomba niombewe na nina matatizo ya kuumwa na tumbo kila mara naomba sana uniombe baba mwakasege mimi kama mwanao asante kwa msaada wako naomba ni tumie kwenye email address yangu
neema njamakuya <neemanjamakuya yahoo.com>
Arusha, Arumeru Tanzania - Wednesday, December 03, 2003 at 09:40:41 (EAT)
Nawashukuru kwa huduma yenu iliyo wazi mpaka kwenye mtandao naomba Mungu awasaidie Muikuze zaidi iweze kufikia hata watu waishio vijiji kwa urahisi Mungu atafungua milango ya kufanya.
Mch.Eliufoo Majii <eliufoomajii@yahoo.co.uk>
makumira, arumeru Tanzania - Tuesday, December 02, 2003 at 13:57:04 (EAT)
Bwana awabariki sana katika huduma hii mliyochagua ili muendelee kumtumikia kwa uaminifu.
Mrs Anna Mkemwa
Arusha, Tanzania - Tuesday, December 02, 2003 at 12:02:22 (EAT)
Mungu awabariki watumishi wa Mungu, azidi kuwaimarisha kihuduma na kimaisha.Mimi ni mwanafunzi na ningependa sisi kama wanafunzi tuwe na sehemu katika website hii inayohusiana/inayofundisha namna ya kuishi na Kristo katika mazingira ya kiuanafunzi shuleni au vyuoni.
Mathew Hudson <unshakeableman@yahoo.com>
Dar es Salaam, TYemeke Tanzania - Tuesday, December 02, 2003 at 10:55:05 (EAT)
Umefanya vema, Mungu akutie nguvu. Na upako wa Roho Mtakatifu uwe juu yako hata utimilifu wa dahari. Amen!
William Ngowi <williamngowi@hotmail.com>
Dar es Salam, Tanzania - Monday, December 01, 2003 at 20:10:09 (EAT)
Ninawatakia baraka za Mungu katika wajibu wenu muhimu wa kuwafikishia watu wa Mungu Neno la Uzima. Website yenu sasa imekuwa nzuri na inayofunguka kirahisi na yenye mafundisho mengi na ya maana kwetu.
Rev. John J. E. Mlay <mchmlay@kicheko.com>
Moshi - Mwika, Kilimanjaro Tanzania - Monday, December 01, 2003 at 18:33:01 (EAT)
mbona sisi huku hatupati vitabu, ila napenda kuwatia moyo watu wa Mungu endeleeni na huduma hiyo nzuri Bwana atubariki wote.
Rose Kundaely Mmbaga <rousemmbaga@hotmail.com>
Kibaha, Maili Moja Tanzania - Sunday, November 30, 2003 at 18:14:53 (EAT)
mbona sisi huku hatupat vitabu
Rose Kundaely Mmbaga <rousemmbaga@hotmail.com>
Kibaha, Maili Moja Tanzania - Sunday, November 30, 2003 at 18:12:05 (EAT)
Kazi yenu ni njema na Mbarikiwe Wapakwa Mafuta wa BWANA!!
Picha katika Home Page inayomwonyesha Yesu 'Jinsi anavyotupenda kwa jinsi alivyotoa uhai wake kwa ajili yetu na kutupa changamoto ya kumjua zaidi, binafsi inanipa uzito kidogo juu ya kujieleza endapo ningeulizwa, kutokana na msingi niliolelewa nao kiimani. HUyo ni Yesu?
Mathias Ezekiel Mwangu <mmwangu@excite.com>
Wolverhampton University (Business School) Telford Campus, Priorslee, Shropshire , United Kingdom - Sunday, November 30, 2003 at 14:08:21 (EAT)
Nashukuru kwa kutuwekea sehemu kwa ajili ya kusaini maana hii ni ukumbusho
David E.Kavishe <david.k@kicheko.com>
Moshi, Kilimanjaro Tanzania - Sunday, November 30, 2003 at 10:10:58 (EAT)
Congratulation mr&mrs diana mwakasege for geting a website in africa.
calvin simon <calvinsekei@yahoo.com>
Arusha, njiro Tanzania - Saturday, November 29, 2003 at 18:58:19 (EAT)
Mungu awabariki na awatie nguvu katika huduma.
jane moshi <genevivetz@yahoo.com>
Dar es salaam, Tanzania - Saturday, November 29, 2003 at 15:35:24 (EAT)
Mungu akubariki kwa kazi kubwa unayoifanya.Niko pamoja nawe katika maombi, na Mungu akinijalia nitakuwa nawe pia katika uchumi. Ni mimi nduguyo ambaye ni mwanzilishi wa kanisa la Evangel Church World Vision T.
Rev. Danson K. Kasoga. < dkasoga@yahoo.co.uk>
Musoma, Mara Tanzania - Saturday, November 29, 2003 at 13:02:34 (EAT)
natamani mje mzumbe chuo kikuu kuleta neno la mungu mimi ni nimeokoka nampenda yesu
geraldine arbogast <dinah722002@yahoo.com>
mzumbe, Mzumbe Morogoro Tanzania - Friday, November 28, 2003 at 18:19:43 (EAT)
KUWEPO KWA WEB SITE HII NI UFUMBUZI NA MSAADA MKUBWA SANA KWANGU NA KWA WATU WENGI WALIOKUWA NA SHIDA NA WASIJUE JINSI YA KUPATA MSAADA. HASA HUDUMA ZA MCHUNGAJI MWAKASEGE. MIMI BINAFSI NILIMSIKIA MWAKASEGE NKIWA HUKO BOTSWANA NA ALIWASAIDIA WATU WENYE SHIDA KWA MBALIMFANO NI MAMA MMOJA ( BEATRICE). NILITAMANI SANA NKIRUDI NIKUATANE NA MTU HUYU WA AJABU LAKINI SIKUFANIKWA HADI NAONA WEB SITE YAKE HII, NA KUAFUATILIA VIPINDI VYAKE REDIO WAPO.
aimtonga makawia <aimtonga@yahoo.com>
DSM, DSM Tanzania - Friday, November 28, 2003 at 17:02:50 (EAT)
Nashukuru kwa mafundisho ya uchumi Mungu awabariki.Endeleeni kutafuta hazina za Mungu nakuwapa wana wa Mungu pia msikose kuandika jinsi ya kuutunza wokovu hasa nyakati tulizo nazo. ambazo ana mibano mingi kwa watu wa Mungu. Mungu awabariki na kuwalinda
Mrs.Joyce mwakisyala <joycewiliam@yahoo.com>
DODOMA, Tanzania - Friday, November 28, 2003 at 15:51:18 (EAT)
hhhh
hh <hh>
hh, hh Tanzania - Friday, November 28, 2003 at 09:27:09 (EAT)
Wapendwa Mungu awabariki. Ninatiwa nguvu mpya kila wakati ninaposoma mafundisho na na shuhuda. Mungu mtandao wutoe mafundisho kwa kiingereza na lugha nyingine za kimataifa tuweze kuwafikia wengi zaidi.Mungu awatie Nguvu.
TUNAOMBA MUNGU SIKU MOJA ATUPE CONFERENCE YA KITAIFA TANZANIA KWA AJUILI YA WATUMISHI
Declare Mushi <declbety@yahoo.com>
Moshi, Tanzania - Thursday, November 27, 2003 at 19:40:28 (EAT)
Mungu awabariki sana!
Tafadhali update Online sermons!
Nsiande Lema <nsiande34@yahoo.com>
Mississauga, Ontario Canada - Thursday, November 27, 2003 at 19:39:41 (EAT)
Bwana Yesu awtie nguvu Keep on and on
Kwilasa Mahigu <kwilasamahigu@yahoo.com>
MWANZA,, Mwanza Tanzania - Wednesday, November 26, 2003 at 18:17:39 (EAT)
Nimefurahishwa sana na huduma hii, Mungu aibariki Tuvuti hii iendelee ili iwafikishie wengi huduma ya bwana.
Bwana awabariki ANEN.
Charles Philipo <msangi@darhotwire.com>
Dsm, Dsm. Tanzania - Wednesday, November 26, 2003 at 17:05:42 (EAT)
Nimefurahishwa sana na huduma hii, Mungu aibariki Tuvuti hii iendelee ili iwafikishie wengi huduma ya bwana.
Bwana awabariki ANEN.
CHarles Philipo <msangi@darhotwire.com>
Dsm, Dsm. Tanzania - Wednesday, November 26, 2003 at 17:03:32 (EAT)
tulibarikiwa sana kwa mafundisho mema
rEV eh mkisi <revmkisi@yahoo.com>
mbeya, Tanzania - Tuesday, November 25, 2003 at 15:37:09 (EAT)
NILIBARIKIWA SANA NA SEMINA YA MBEYA
BERRINGS MLAMBIAH <berrings_mlambiah@yahoo.com>
mbeya, Tanzania - Tuesday, November 25, 2003 at 15:33:23 (EAT)
Mungu awabariki nimebarikiwa na tovuti hii na Bwana azidi kuwapa Mafunuo zaidi jinsi ya kuwafikia watu wengine.
Sarah Siyame <sarahsiyame>
Dar es Salaam, Tanzania - Tuesday, November 25, 2003 at 15:13:32 (EAT)
This web is just a Blessing to me, because iam able to read teachings and see what is the Lord doing in the Ministry currently.I would like to to congratulation you and give Glory to our Master and Lord Jesus,for what is going on our Country Tanzania and especially in the Body of Christ(church)
Godhold Lema <lemagodhold@hotmail.com>
Birmingham, ALABAMA USA - Tuesday, November 25, 2003 at 04:12:33 (EAT)
Praise the lord,
Iam one of those who follow clossely your teachings on various topics,and i sincerelly admit that i ve been bressed.however i would like to ask you to consider holding a "live"seminar here although we learn alot through audio cassets and sometimes radio,we will be much more blessed to have you minister to us physically.
CORNELIUS D.MSIGWA <corneliusmsigwa@yahoo.com>
sumbawanga, rukwa Tanzania - Monday, November 24, 2003 at 15:15:23 (EAT)
Praise the lord,
Iam one of those who follow clossely your teachings on various topics,and i sincerelly admit that i ve been bressed.however i would like to ask you to consider holding a "live"seminar here although we learn alot through audio cassets and sometimes radio,we will be much more blessed to have you minister to us physically.
CORNELIUS D.MSIGWA <corneliusmsigwa@yahoo.com>
sumbawanga, rukwa Tanzania - Monday, November 24, 2003 at 15:14:23 (EAT)
nashukuru kwa kufungua mtandao wa kutufungua macho asanteni na mungu awabariki
Genes Emanuel Mrema <genesmrema@yahoo.com>
dar es salam, kinondoni Tanzania - Sunday, November 23, 2003 at 19:30:43 (EAT)
Ninamshukuru Mungu hasa kuniwezesha kuwa mmoja wa watumiaji wakubwa sana wa mtandao huu.Maoni yangu tuzidi kumuomba Mungu hafanikishe zaidi mtandao huu ambao umekuwa msaada kwa watu wengi hasa waliopo mbali na wapendwa wengine.
Amos Charles Biteya <biteyaboy@hotmail.com>
Nzega, Tabora Tanzania - Saturday, November 22, 2003 at 23:34:35 (EAT)
Mungu awabariki kwa huduma hii
willhard mbogela <wimbo2001@hotmail.com>
iringa, iringa Tanzania - Friday, November 21, 2003 at 20:37:30 (EAT)
Ni maombi yangu kila siku, Mungu wa upendo na amani awalinde na kuikuza huduma hii ikue na kuenea kila panapohitajika na Mungu. Amen
Felix E.Njau <felixnjau@yahoo.co.uk>
Dar es salaam, Kibaha Tanzania - Friday, November 21, 2003 at 14:03:17 (EAT)
Nimefurahishwa na Mtandao qwenu kwani unasaidia wanadamu kumjua Muumba wao na kuachana na dhambi. Naomba muwe munanitumia masomo kwa ajili ya kunijenga zaidi
Noel Peter Sawe <noelsawe@yahoo.com>
Arusha, Serengeti Tanzania - Friday, November 21, 2003 at 13:38:38 (EAT)
Mungu awabariki na kuzidi kuwapa maono kwa ajili ya kondoo zake
elitha kaizilege <ekaizilege@yahoo.com>
Daressalaam, Tanzania - Friday, November 21, 2003 at 13:02:55 (EAT)
Mungu awabariki kwa kujitoa kufundisha jamii kwa njia hii.Pamoja na semina unazinazotoa katika radio Wapo na gazeti la Nyakati
Lameck, D.M. <davidlameck@yahoo.co.uk>
Dar, Kinondoni Tanzania - Thursday, November 20, 2003 at 15:54:13 (EAT)
It is a wonderful service.
Be blessed for your lord service.
David M.Lameck <davidlameck@yahoo.co.uk>
DSM, KINONDONI Tanzania - Thursday, November 20, 2003 at 15:39:44 (EAT)
Bwana Yesu asifiwe sana. Nimebarikiwa sana kwa kusoma mambo mengi katika website hii. Hakuna shaka kabisa kwamba huduma yenu itaendelea kukua kila siku:(Ufu.3:8). Kazi ya kuweka website iwe operative na up to date ni kubwa. Tunamwomba Mungu sana awawezeshe. Kama ingewezekana tungeomba mjitahidi kuweka masomo ya kila semina mnayofundisha japo najua ni kazi kubwa sana. Baada ya muda mfupi dunia nzima itakuwa inasoma masomo katika website hii. Mungu awabariki katika utumishi ambao unapanuka awatie nguvu nasi tutaishikilia mikono yenu juu kama wakati wa Musa. Ni mimi mjoli wenu Mch. John Mlay
Rev. John J. E. Mlay <mchmlay@kicheko.com>
Moshi, Tanzania - Wednesday, November 19, 2003 at 17:15:18 (EAT)
Mungu abariki sana huduma hii muhimu inayowaunganisha watu wengi wa Mungu. Tunaomba masomo mengi sana katika Website hii ili yawe ni msaada kwa watu wengi watakaobahatika kuyasoma. Kwa kweli huu ni mlango mkubwa sana ulifunguka kwa wengi wenye haja. Nimetiwa moyo sana na masomo mengi mliyoweka katika website hii na hasa yale masomo ya mtu aliyekubali kumpokea Bwana Yesu na kuokoka. Bwana awabariki sana awawezeshe kwa kiwango cha juu kabisa ili muendelee kuhudumia watu wenye kiu ambao ni wengi sana.Ni mimi Mch. John Mlay wa Usharika wa Kiruweni dayosisi ya Kaskazini. E-mail ni mchmlay@kicheko.com
Rev. john j. E. Mlay <mchmlay@kicheko.com>
Moshi, Kilimanjaro Tanzania - Wednesday, November 19, 2003 at 16:53:29 (EAT)
Bwana na azidi kuwatia nguvu kwa kufungua website nzuri inayombariki Yeye,Mungu na awabariki sana kwa kuwapa maono hayo.
herieth Dickson <hewila@hotmail.com>
Arusha, Arumeru Mashariki Tanzania - Wednesday, November 19, 2003 at 14:49:47 (EAT)
Sijaelewa ni maoni kuhusu nini.
herieth Dickson <hewila@hotmail.com>
Arusha, Arumeru Mashariki Tanzania - Wednesday, November 19, 2003 at 14:46:18 (EAT)
God bless your ministry!
victor m,noah <vacks2002@yahoo.com>
dar es salaam, east Tanzania - Wednesday, November 19, 2003 at 13:50:50 (EAT)
Bwana Yesu asifiwe sana Mungu azidi kuwabariki na kuwatia nguvu kwa kazi yake njema anayotenda katika website hii mafundisho shuhuda barua zinatutia moyonakutusogeza hatua kiimani, Bwana Yesu azidi kuwatia nguvu na kuwafunulia ili huduma hii izidi kwenda mbele amen .
JOSEPH R. MATIRO <MATIROJ@YAHOO.COM>
DSM, DSM Tanzania - Wednesday, November 19, 2003 at 11:43:24 (EAT)
Hongera sana
Lilian
Arusha, Arusha Tanzania - Monday, November 17, 2003 at 20:40:09 (EAT)
Namshukuru Mungu kwa ajili ya mafundisho yako ambayo nimekuwa nikiyasikilia Redio Wapo,na semina zako niliwahi kuhudhuria moja tu lakini nimekuwa pia nikifuatilia makala zako kwenye gazeti la Msemakweli.
Napenda kujiunga na website hii kupata mafundisho zaidi ya kiroho
Juliana Gwensaga <jgwensaga@yahoo.com>
DAR ES SALAAM, K'ndoni Tanzania - Monday, November 17, 2003 at 16:48:10 (EAT)
Bwana Yesu asifiwe sana Mungu azidi kuwabariki na kuwatia nguvu kwa kazi yake njema anayotenda katika website hii mafundisho shuhuda barua zinatutia moyonakutusogeza hatua kiimani Bwana Yesu azidi kuwafunulia .si bure MUNGU AWABARIKI SAANA raymond
raymond royer <ray_2000com@hotmail.com>
arusha, arusha Tanzania - Monday, November 17, 2003 at 12:14:28 (EAT)
Bwana Yesu asifiwe sana Mungu azidi kuwabariki na kuwatia nguvu kwa kazi yake njema anayotenda katika website hii mafundisho shuhuda barua zinatutia moyonakutusogeza hatua kiimani Bwana Yesu azidi kuwafunulia .si bure MUNGU AWABARIKI SAANA raymond
raymond royer <ray_2000com@hotmail.com>
arusha, arusha Tanzania - Monday, November 17, 2003 at 12:14:25 (EAT)
Namshukuru Mungu sana kwa hii huduma, Tunaomba ukija Marekani kuhubiri tupate ratiba zako. Vijana tutumie nguvu zetu kumtumikia Mungu kwani nimeona faida za kumtumikia.
Ansante Mungu abariki huduma hii na iendelee kukua.
Undegraduate student, Bsc in Computer Science.
Samson S Kiware <skiware@carthage.edu>
Kenosha, WI USA - Monday, November 17, 2003 at 00:24:26 (EAT)
Namshukuru Mungu sana kwa hii huduma, Tunaomba ukija Marekani kuhubiri tupate ratiba zako. Vijana tutumie nguvu zetu kumtumikia Mungu kwani nimeona faida za kumtumikia.
Ansante Mungu abariki huduma hii na iendelee kukua.
Undegraduate student, Bsc in Computer Science.
Samson S Kiware <skiware@carthage.edu>
Kenosha, WI USA - Monday, November 17, 2003 at 00:23:52 (EAT)
Nina shukuru sana kwawebsite yenu kwani hata sisi tuliombali na nyumbani tuna kuwa karibu kwa kutumia website na tuna pata mafundisho kama kawaida.Nili hudhuria semina zako wakati bado nikiwa Tanzania na sasa nina pata mafundisho mengi kwa njia ya website.
Je kuna mahali pa kuweka maoni ?nina maoni.
Naoma unijulishe.
Naftal Mandi <juniarmandi@yahoo.com>
Bowling Green, Ohio U.S.A - Sunday, November 16, 2003 at 08:04:44 (EAT)
Nina shukuru sana kwawebsite yenu kwani hata sisi tuliombali na nyumbani tuna kuwa karibu kwa kutumia website na tuna pata mafundisho kama kawaida.Nili hudhuria semina zako wakati bado nikiwa Tanzania na sasa nina pata mafundisho mengi kwa njia ya website.
Je kuna mahali pa kuweka maoni ?nina maoni.
Naoma unijulishe.
Naftal Mandi <juniarmandi@yahoo.com>
Bowling Green, Ohio U.S.A - Sunday, November 16, 2003 at 08:04:28 (EAT)
Mungu yu mwema katika maisha yetu tunapokaa miguuni pake. Nimebarikiwa sana kwa huduma yenu katika maisha yangu.Mungu azidi kuwainua kwa ajili ya utukufu wake mwenyewe. Shalom!!
Lembris Melusori <lembris75@yahoo.co.uk>
Arusha, Arumeru Tanzania - Saturday, November 15, 2003 at 18:02:28 (EAT)
Mungu yu mwema katika maisha yetu tunapokaa miguuni pake. Nimebarikiwa sana kwa huduma yenu katika maisha yangu.Mungu azidi kuwainua kwa ajili ya utukufu wake mwenyewe. Shalom!!
Lembris Melusori <lembris75@yahoo.co.uk>
Arusha, Arumeru Tanzania - Saturday, November 15, 2003 at 18:01:31 (EAT)
Mungu wa amani awabariki na kuwaongezea uweza zaidi na zaidi ili kuikuza huduma hii iweze kuenea na kuenea duniani kote. Amin
Felix E. Njau <felixnjau@yahoo.co.uk>
Dar es Salaam, Kibaha Tanzania - Saturday, November 15, 2003 at 08:42:37 (EAT)
Namuomba MUNGU aliyewaongoza katika huduma hii awazidishie nguvu na uweza toka kwake ili huduma hii idumu na kuenea popote duniani amen.
Felix Njau <felixnjau@yahoo.co.uk>
Dar es salaam, Kibaha Tanzania - Saturday, November 15, 2003 at 08:34:45 (EAT)
GOD BLESS YOU FOR ALL
Evance Kijallo <ekijallo@yahoo.com>
Dar es Salaam, DSM Tanzania - Friday, November 14, 2003 at 16:42:22 (EAT)
keep it up
Dr Wilson Emmanuel Joseph <sechuma@yahoo.com>
DODOMA-TANZANIA, Dodoma Tanzania - Friday, November 14, 2003 at 16:37:58 (EAT)
Mungu awabariki kwa huduma
Sayuni Shadrack <zion2000tz@yahoo.com>
Morogoro, Tanzania - Thursday, November 13, 2003 at 17:37:46 (EAT)
Bwana azidi kuwabariki katika utumishi wenu
Evelyne Mbede <Embede@uccmail.co.tz>
Dar es salaam, DSM Tanzania - Thursday, November 13, 2003 at 15:13:03 (EAT)
NINASHUKURU SANA KWA WEB SITE YAKO MUNGU AKUBARIKI.
GERVAS MOTTO <ndulila@yahoo.com>
Dodoma, DODOMA Tanzania - Thursday, November 13, 2003 at 15:07:45 (EAT)
Mungu na akubariki wewe na familia yako.Samahani Masihi wa Bwana barua za miezi ya October, November naomba uziingize kwenye website maan huwa zinanijenga sana nizisomapo.
Justin Japhet <juanyjaphet@yahoo.com>
Dar es salaam, Kinondoni Tanzania - Thursday, November 13, 2003 at 11:33:26 (EAT)
Mungu awabariki wewe pamoja na fgamilia yako.Ameni.Samahani Masihi wa Bwana barua za miezi ya October,November bado?.Naziomba kama zipo ziingize kwenye website maana zinanijenga sana.
Justin Japhet <juanyjaphet@yahoo.com>
Dar es salaam, Kinondoni Tanzania - Thursday, November 13, 2003 at 11:24:29 (EAT)
nimebarikiwa sana na huduma hii ya injili kwa njia ya internet na hasa kupata habari nzuri na za muhimu hasa kwa watu kama sisi ambao tuko mbali na kwa jinsi hii au nyingine ni ngumu kupata msaada wa kiroho kwa ukaribu.
DORICE BOMA <doricebomaaaa@hotmail.com>
lincoln, UK Tanzania - Wednesday, November 12, 2003 at 21:27:36 (EAT)
Kwanza nashukuru Mungu kwa huduma hii ya kuwasikia ndugu zetu Diana na Mwakasege kwa njia hii ya mtandao pia namshukuru Mungu aliyewatuma Mbeya kwa semina hii ya November hakika tumefunuliwa mambo mengi sana. Bwana awaongeze nguvu ya roho mtakatifu wake msonge mbele Amen.
Anna Kallinga <anna.kalinga@lafarge-tz.lafarge.com>
Mbeya, Tanzania - Tuesday, November 11, 2003 at 14:50:41 (EAT)
Kwanza nashukuru Mungu kwa huduma hii ya kuwasikia ndugu zetu Diana na Mwakasege kwa njia hii ya mtandao pia namshukuru Mungu aliyewatuma Mbeya kwa semina hii ya November hakika tumefunuliwa mambo mengi sana. Bwana awangoze nguvu ya roho mtakatifu wake msonge mbele Amen.
Anna Kallinga <anna.kalinga@lafarge-tz.lafarge.com>
Mbeya, Tanzania - Tuesday, November 11, 2003 at 14:49:29 (EAT)
Hongera sana mtumishi wa Mungu kwa mzigo wa Injili ulio nao.
Ninaomba ujumbe huu uupate wewe mwenyewe Personal " You have come to the right time and right season, for using massmedia as a tool to preach the Gospel to the multitudes of unreached souls all over the world"
Alex Kessy Kassuwi <akassuwi@yahoo.com>
Dar es Salaam, Dar Tanzania - Tuesday, November 11, 2003 at 08:14:40 (EAT)
Hongera sana mtumishi wa Mungu kwa mzigo wa Injili ulio nao.
Ninaomba ujumbe huu uupate wewe mwenyewe Personal " You have come to the right time and right season, for using massmedia as a tool to preach the Gospel to the multitudes of unreached souls all over the world"
Alex Kessy Kassuwi <akassuwi@yahoo.com>
Dar es Salaam, Dar Tanzania - Tuesday, November 11, 2003 at 08:14:14 (EAT)
Hongera sana mtumishi wa Mungu kwa mzigo wa Injili ulio nao.
Ninaomba ujumbe huu uupate wewe mwenyewe Personal " You come to the right time and right season, for using massmedia as a tool to preach the Gospel to the multitudes of unreached souls all over the world"
Alex Kessy Kassuwi <akassuwi@yahoo.com>
Dar es Salaam, Dar Tanzania - Tuesday, November 11, 2003 at 08:13:42 (EAT)
Hongera sana mtumishi wa Mungu kwa mzigo wa Injili ulio nao.
Nimaomba ujumbe huu uupate wewe mwenyewe Personal " You come to the right time and right season, for using massmedia as a tool to preach the Gospel to the multitudes of unreached souls all over the world"
Alex Kessy Kassuwi <akassuwi@yahoo.com>
Dar es Salaam, Dar Tanzania - Tuesday, November 11, 2003 at 08:13:15 (EAT)
MUNGU WETU ALIYE MKUU SANA APEWE SIFA!
NI FARAJA YA PEKEE KUONA YA KUWA WATU WANAMPOKEA YESU MPAKA HADI KWENYE MTANDAO!NDUGU MTUMISHI WA MUNGU UBARIKIWE SANA NA BWANA NA AKUTIE NGUVU KATIKA UTUMISHI WAKO JINA LA BWANA LIPEWE SIFA!(AMEN!)
pascal elias <pascal@bornagain.com>
dar es salaam, dar es salaam Tanzania - Monday, November 10, 2003 at 17:50:17 (EAT)
Ninaomba muombe Mungu awaruhusu mje Tabora kufundisha semina mwaka 2004 katika jina la YESU AMIN.pia ninaomba mtuombee mimi na yangu mahitaji yote na matatizo yote YESU aingilie kati yaishe Tumuone YESU katika maishaya kila siku kwa Utukufu wake.
Kepha Mlugu <lifemintbr@hotmail.com>
Tabora, Tanzania - Saturday, November 08, 2003 at 10:16:56 (EAT)
Bwana azidi kuwatia nguvu.
Amani Kitali <amanijk@yahoo.com>
new haven, ct USA - Saturday, November 08, 2003 at 05:57:23 (EAT)
Nimefurahishwa na mambo yaliyoko kwenye website yenu. Yanafundisha na kuponya. Mungu awabariki ili muendelee na kazi hiyo.
Jina la Bwana liinuliwe
Noel Peter Sawe <noelsawe@yahoo.com>
Serengeti, Tanzania - Friday, November 07, 2003 at 14:14:50 (EAT)
kwanza ningependa kusema kwamba nimejifunza mambo mengi sana katka hii website ya mwakasege na pia nimeamka kiroho kwa kweli nilikuwa sijui nini mana ya kanisa na sasa najua nini maana ya kanisa. na ningependa kuwashukuru MWAKASEGE NA DIANA kwa ushirikiano wenu mzuri MUNGU awape nguvu ya kuweza kumtumikia na kuwalisha kondoo wake kwa njia ya neno lake. AMEN
na pia ningependa kujua kuhusu barua za maombi tunazotuma huwa zinajibiwa au huwa mnaomba tuu?
Noella Yusuph <nollah@hotmail.com>
Mwanza, Tanzania - Friday, November 07, 2003 at 13:34:47 (EAT)
Asante bwana Yesu kwa karama alizonijalia hapa duniani Maoni yangu nikwamba mngejaribu kufafanua vizuri hilo neno uamsho kwani watu wengi wanaelewa vibaya. Unakuta mtu hamuelezei mtu kama lilivyo.Ubarikiwe sana
Ephugenia. <ladyannelyimo@yahoo.com>
Dar es salaamu, Dar Tanzania - Thursday, November 06, 2003 at 22:19:52 (EAT)
Asante kwa kanda za ndoa, ninajifunza mambo mengi kila Siku. (kanda hizi hazikuwa available kwa watu ambao hawajaolewa/hawajaoa, hivyo sikuzipata kabla sijaolewa), lakini baada ya kuzisikiliza, naPENDEKEZA Kanda za 'kutofautiana katika ndoa ni jambo la kawaida', kumbuka upendo wa kwanza na nyinginezo, zingeuzwa kwa vijana.(wawe kwenye ndoa au la....
Website yako ni nzuri na inanibariki. Kuna website mbili navisit; yako na ya Adrian Rogers..
Asante na Mungu akubariki....Karibu saaana Florida
Lulu Phillips <lulukp45011@yahoo.com>
Arusha/Florida, Tanzania/USA - Thursday, November 06, 2003 at 04:57:07 (EAT)
Mungu awabariki sana naomba huduma hii isongembele katika Jina La Yesu Kristo.Amen
jacquline baguma <neemabuggs@yahoo.com>
DSM, Boko Tanzania - Wednesday, November 05, 2003 at 20:04:53 (EAT)
Mungu awabariki sana naomba huduma hii isongembele katika Jina La Yesu Kristo.Amen
jacquline baguma <neemabuggs@yahoo.com>
DSM, Boko Tanzania - Wednesday, November 05, 2003 at 20:04:13 (EAT)
Ninamshukuru Mungu kwa muujiza wa tovuti hii ya kikristo, inatufundisha na kutujenga sana. Ni msaada tele katika safari yetu ya kwenda nyumbani juu.
Justin Moshi <justinmoshi@yahoo.com>
Tanga, Manispaa Tanzania - Wednesday, November 05, 2003 at 18:45:39 (EAT)
Tunaomba mafundisho zaidi kuhusu vijana,na maombi kuhusu sisi vijana God Bless You.
leah kapange <leykap2002@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Wednesday, November 05, 2003 at 16:10:22 (EAT)
BWANA YESU ASIFIWE.HONGERENI KWA KAZI NZURI MNAYOFANYA YAKUWALETA KONDOO WA MUNGU WALIOPOTEA.HAKIKA NIMEONA MENGI NA MENGI YAMENIBARIKI KAKTIKA WEB SITE YAKO MUNGU AKUBARIKI SANA
NI MIMI JOYCE SHINYANGA
joyce christopher <joyciamasanjuo>
shinyanya, Tanzania - Wednesday, November 05, 2003 at 15:01:46 (EAT)
Mungu awazidishie nguvu na mzidi kuomba kwa ajili ya wengine.
Rachel George <rkiyao@yahoo.com>
Njiro, Arusha Tanzania - Wednesday, November 05, 2003 at 14:59:20 (EAT)
NABRIKIWA NA KUTIWA NGUVU ZA MUNGU KUPITIA MAFUNDISHO YENU KTIKA INTERNATE MUNGU AWABARIKI.
B.N.MWAKASEGE.
BROWN MWAKASEGE <tubukege@hotmail.co.>
DAR-ES-SALAAM, ILALA Tanzania - Wednesday, November 05, 2003 at 14:05:52 (EAT)
amen
bright <bbigurube@hotmail.com>
ars, ars Tanzania - Tuesday, November 04, 2003 at 20:45:57 (EAT)
Bwana Yesu apewe SIFA.
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana kwa kazi ambayo Mungu anakutuma kuifanya katika kizazi hiki na majira haya ya jinsi yake.
Mimi binafsi ninasoma web-site yako na kubarikiwa kimwili na kiroho pia.Maana Mungu analeta majira mapya kwa nchi yetu ya Tanzania katika ufahamu wa kumjua Yesu, na katika watu kutembea katika mpango na makusudi ya Mungu.
Mimi binafsi ninafundishwa na Roho Mtakatifu mambo mengi na magumu kupitia web-site hii.
Na ni maombi yangu, Mungu Roho Mtakatifu azidi kutenda makubwa zaidi kiliko yale tunayowaza au hata kuyanena kupitia web-site hii, na katika huduma nzima uliyopewa mtumishi wa Mungu.
Mungu wangu na AKUBARIKI
Amen.
Andrew Lawere <alawere81us@yahoo.com>
Dar-es-salaam, Tanzania - Tuesday, November 04, 2003 at 14:13:49 (EAT)
Ninamtukuza Mungu kwa ajili ya huduma hii jinsi ilivyo msaada kwa Kanisa.
Luke Mwambilinyi <mwanzela@yahoo.com>
Kigoma, Kigoma Tanzania - Monday, November 03, 2003 at 18:07:44 (EAT)
Tahnk you very much for the work you are doing May the Almighty God continue to blees the Ministry.
katusabe grace <katusabe68@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Monday, November 03, 2003 at 12:45:41 (EAT)
karibu tena dar es salaam
fragrance nnkya <nfragrance@hotmail.com>
Dar es Salaam, ilala Tanzania - Saturday, November 01, 2003 at 21:56:35 (EAT)
Ndugu Bwana Yesu asifiwe sana. Mungu akutie Nguvu katika huduma yake. Ombi langu ni kwamba Ninaomba mikanda ya senina ya mwanza. Unaweza kunitumia kwa njia ya mabasi ya Mtei yanayokuja Shinyanga na akabithiwe Ndugu Temu wa Matechi Enterprises shy. Nitazipata.Mwisho ninaomba uniombee ,ili nipate kwenda kusoma. mungu anaweza. Amin.
Rev. Michaeli P. Lyimo. <pormenatz @ yahoo. com>
Shinyanga, Kusini Tanzania - Saturday, November 01, 2003 at 17:09:24 (EAT)
ninawapongeza ktk jina la Bwana wetu yesu kristo,kazi mnayoifanya imetubariki sana,ila naomba mjitahidi kujibu maswali tunayowayumia.mbarikiwe sana.
millcent <millcent@yahoo.com>
dar es salaam, upanga Tanzania - Saturday, November 01, 2003 at 14:16:50 (EAT)
Namshukuru Mungu Sana aliyewabariki kwa baraka zote za mwilini na za rohoni na kuwapa ninyi uweza au kazi hii ya kumtumikia Mungu namna hii. Ninachotaka kuwashirikisha ni jinsi Mungu anavyofanya kazi nanyi na Roho Mtakatifu alivyo muaminifu kutufunulia kile ambacho kwa kinywa cha Petro Mungu aliahidi ya kuwa wazee watatabiri na watoto na vijana wenu pia. Kwa kweli Semina ya Arusha ilikuja wakati ambapo ndipo nilikuwa nifanya maandalizi ya harusi, ilikuwa ndiyo wiki ya mwisho nadhani kabla ya harusi. Na niliamini nitapokea muujiza wangu kupitia semina hii. Ajabu ni Kwamba Mungu alinipa mstari huo wa Yeremia 29:11 kutembea nao, baada ya kuona kuwa nina shida kidogo katika kumuamini, na hatimaye, nilipata ufafanuzi zaidi kwa kupitia semina hii. Kuanzia hapo nimeona tu na kuamini kuwa, maisha yangu yako mikononi mwa Mungu ambaye amenipangia mafanikion na amani, na mambo mazuri mbeleni. Na harusi yetu ilifanikiwa kiasi cha kubakia " Kusema; namna hii hatukuwaza"! Kwakeli Namshukuru sana Mungu kwa kuwa na watu wa maana hapa Tanzania kama Ninyi. Mungu awabariki sana na mzidi kusonga mbele. Shetani kweli" Angejua asingemsulubisha Mwana wa Adamu"! Amen
Mrs. Joyce Godlisten Kihundwa <joe_mshana@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Saturday, November 01, 2003 at 11:29:13 (EAT)
maombi juu yangu katika mafanikio naomba mnikumbuke
joseph mambia <harvest60@hotmail.co>
DSM, - Tanzania - Thursday, October 30, 2003 at 10:13:13 (EAT)
Kama ilivyofanyika kwa Elisha toka kwa Eliya ,Mungu wa Yakobo akupe moyo watu wanaopata neema hii kwa kupitia wewe wavuviwe nao hivyo hivyo ili ufalme wa Mungu ujazwe na Kristo kudhihirishwa zaidi ulimwenguni.
ERICK D. MAKEMO <erickjosh@hotmail.com>
Dar es salaam, kinondoni Tanzania - Thursday, October 30, 2003 at 07:25:30 (EAT)
Mbona ukurasa wa vijana hakuna kitu tangu nifuatilie ukurasa huu mnasema utatokea muda si mrefu.ninaomba mlifanyie kazi ukurasa huu kwasababu mimi ni kijana ningependa kuona mambo ya vijana yanaelimishwa kwa maana vijana tupo kwenye hatari kubwa ukizingatia magonjwa mengi,madawa ya kulevya vijana wanaharibikiwa.
Masauko Mkolongo <simjaneth@yahoo.com>
Dar es Salaam, Kinondoni Tanzania - Wednesday, October 29, 2003 at 14:31:49 (EAT)
sina nahoni ila nimefurahishwa na jinsi program ilivyo badilishwa imerahisisha mahitaji.
ladislaus <ladislausk@yahoo.co.uk>
arusha, arusha Tanzania - Wednesday, October 29, 2003 at 12:34:36 (EAT)
ni website nzuri na Mungu akubaliki sana kwa kuanzisha kitu kama hichi
Amen
Violet Brown <violetbrown2004@yahoo.com>
Morogoro, - Tanzania - Tuesday, October 28, 2003 at 21:41:21 (EAT)
ni website nzuri na Mungu akubaliki sana kwa kuanzisha kitu kama hichi
Amen
Violet Brown <violetbrown2004@yahoo.com>
Morogoro, - Tanzania - Tuesday, October 28, 2003 at 21:41:08 (EAT)
MUNGU AWATIE NGUVU KATIKA HUDUMA YENU YA KUWALETA WATU KWA YESU. MBARIKIWE NA BWANA
KUBELA A. MWAKATUNDU <mwakatunduka@yahoo.com>
ARUSHA, ARUSHA Tanzania - Tuesday, October 28, 2003 at 18:08:33 (EAT)
MUNGU AZIDI KUWABARIKI ILI MUENEZE KAZI YAKE KWA KILA MTU.
Joyce R Shumbusho <romuald@uccmail.co.tz>
DSM, DSM Tanzania - Tuesday, October 28, 2003 at 16:40:13 (EAT)
NILITAKA KUJIFUNZA JUU YA SOMO LA NDOA NIMESHINDWA KUFUNGUA, NIFANYEJE?
MICHAEL HILIZA <mhiliza@yahoo.com>
MBEYA, Tanzania - Tuesday, October 28, 2003 at 14:24:21 (EAT)
NILITAKA KUJIFUNZA JUU YA SOMO LA NDOA, NIMESHINDWA KUFUNGUA, NIFANYEJE?
MICHAEL HILIZA MOSHI <mhliza@yahoo.com>
MBEYA, Tanzania - Tuesday, October 28, 2003 at 14:19:23 (EAT)
Mafundisho yako na masomo yako ni ufunguo wa maisha ya kiroho kwa wale waliokoka na msaada kwa wale ambao hawaja okoka.Bwana azidi kukuimarisha ili jina lake litukkuzwe.
Malaki 2:10.
Lucy Damas <luclight81@yahoo.com>
Dar es Salaam, Tegeta Tanzania - Tuesday, October 28, 2003 at 12:58:40 (EAT)
Kazi mnayofanya ni njema.Mungu awabariki sana.
Salome Jackson Mushi <salomemushi@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Tuesday, October 28, 2003 at 11:52:19 (EAT)
Asante kwa huduma, Ninafarijika Mungu awatie nguvu zaidi mzidi kutulisha.
hilda John Mvinile <mvinile@hotmail.com>
DSM, Tanzania - Tuesday, October 28, 2003 at 11:28:00 (EAT)
Asante kwa huduma, Ninafarijika Mungu awatie nguvu zaidi mzidi kutulisha.
hilda John Mvinile <mvinile@hotmail.com>
DSM, Tanzania - Tuesday, October 28, 2003 at 11:27:57 (EAT)
Bwana Yesu asifiwe asanteni sana kwa huduma yenu yenu nzuri na mungu awabariki sana mzidi kueneza injili kwa mataifa yote
aidan sembuche <sembucheah2001@yahoo.com>
dodoma, dodoma Tanzania - Monday, October 27, 2003 at 14:17:35 (EAT)
Website ni nzuri na hasa baada ya kuifanyia "a new appearance" Naona Front page ya web imejaa sana, vitu ni vingi sana kiasi kwamba ni rahisi ku-skip some topics pia inaleta dis-harmony ya mpangilio. Napendekeza for just a spaced page ya mwanzo with main headings ambazo uki-click inakupeleka kwenye hizo sub-titles, asante.
Joachim Mussa Ntungi <ntungi@yahoo.com>
Dar, Tanzania - Monday, October 27, 2003 at 11:32:40 (EAT)
Mungu akutie nguvu mtumishi Mwakasege pamoja na familia yako, kwa kuwa Mungu alikuchagua uitende kazi yake. Amina
lydia james <lydiajames100@hotmail.com>
Dodoma, area A Tanzania - Monday, October 27, 2003 at 09:49:55 (EAT)
Mungu akutie nguvu mtumishi Mwakasege pamoja na familia yako, kwa kuwa Mungu alikuchagua uitende kazi yake. Amina
lydia james <lydiajames100@hotmail.com>
Dodoma, area A Tanzania - Monday, October 27, 2003 at 09:49:32 (EAT)
Mungu akutie nguvu mtumishi Mwakasege pamoja na familia yako, kwa kuwa Mungu alikuchagua uitende kazi yake. Amina
lydia james <lydiajames100@hotmail.com>
Dodoma, area A Tanzania - Monday, October 27, 2003 at 09:47:30 (EAT)
naomba niwe naletewa kila maombi mapya
alice kaaya < Alice_kaaya@hotmail.com >
dsm, dsm Tanzania - Monday, October 27, 2003 at 09:06:50 (EAT)
Mungu na akubariki wewe na familia yako na Huduma ambayo Mungu amekupa.AMEN.
JUSTIN JAPHET <justinjafetiy@yahoo.com>
DAR ES SALAAM, KINONDONI Tanzania - Sunday, October 26, 2003 at 19:51:26 (EAT)
amen
bright <bbigurube@hotmail.com>
ars, ars Tanzania - Saturday, October 25, 2003 at 19:45:45 (EAT)
namshukuru mungu kwa huduma yenu.nataka kusoma semina ya ndoa lakini ninapoingia inakataa.je nifanyeje. tulifunga ndoa 27/09/2003
JOSEPH THEOPHILO <joseph_kaaya@yahoo.com>
mbeya, mbeya Tanzania - Saturday, October 25, 2003 at 12:05:27 (EAT)
Naamini Umifika wakati wakuanza kushirikiana na madhehebu ya kipentekosti.Tunahitaji umoja wamakanisa kwetu hapa Tanzania.Zaburi 133
Hamrabi Hangaya Kisenha <hangayah1@yahoo.com>
Dar es Salaam, Dar es Salaam Tanzania - Saturday, October 25, 2003 at 11:33:46 (EAT)
Kipaji ni majaliwa, si wote wenye karama hii. Ninawaombea karama zaidi na zaidi ili muweze kuokoa Taifa la Mungu. Mungu abariki zaidi juhudi zenu.
Lina Stanslaus <lina42001@yahoo.com>
Dar es Salaam, Sinza Tanzania - Friday, October 24, 2003 at 17:51:38 (EAT)
Kipaji ni majaliwa. Ninawaombea karama zaidi na zaidi ili muweze kuokoa Taifa la Mungu. Mungu abariki zaidi juhudi zenu.
Lina Stanslaus <lina42001@yahoo.com>
Dar es Salaam, Sinza Tanzania - Friday, October 24, 2003 at 17:51:03 (EAT)
Kipaji ni majaliwa. Ninawaombea karama zaidi na zaidi ili muweze kuokoa Taifa la Mungu. Mungu abariki zaidi juhudi zenu.
Lina Stanslaus <lina42001@yahoo.com>
Dar es Salaam, Kinondoni Tanzania - Friday, October 24, 2003 at 17:50:26 (EAT)
Bwana awatie nguvu na awape maono na mafunuo ya kueneleza Injili kwa ujasiri
George Richard Kijumbe <georgek@illovo.co.za>
Kidatu, Morogoro Tanzania - Friday, October 24, 2003 at 17:28:34 (EAT)
mungu azidi kukubariki.
george sawe <gsawe@yahoo.com>
dsm, kinondoni Tanzania - Friday, October 24, 2003 at 13:45:00 (EAT)
Nabarikiwa sana na mafundisho yako. Tafadhali tunahitaji Semina mara kwa mara hapa Dar es Salaam. Mungu anakutumia sana katika kuongea na watu wake. Ahsante sana.
Annet R. Ngahyoma <arngalimecha@hotmail.com>
Dar es Salaam, Tanzania - Friday, October 24, 2003 at 12:36:12 (EAT)
Without any doubt this is wisdom era of the church ,MAY GOD
BLESS YOU MIGHTLY.
pasca magiri <pascalmg@hotmail.com>
arusha, Tanzania - Thursday, October 23, 2003 at 14:59:02 (EAT)
NAOMBA HUDUMA HII IWAFIKIE HATA WATU WA VIJIJINI NAONA MMEWASAHAU KABISA
AIDAN SEMBUCHE <sembucheah2001@yahoo.com>
DODOMA, DODOMA Tanzania - Thursday, October 23, 2003 at 09:02:14 (EAT)
MAWE NANYI DAIMA
ABRAHAM MWAKATUNDU <mwakatunduaf@yahoo.co.uk>
ARUSHA, ARUSHA Tanzania - Wednesday, October 22, 2003 at 19:30:14 (EAT)
Nimefaidika sana kwa kusoma mafundisho yako.
Janet <janetsamwel@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Wednesday, October 22, 2003 at 14:48:47 (EAT)
amen
bright <bbigurube@hotmail.com>
ars, ars Tanzania - Wednesday, October 22, 2003 at 12:41:28 (EAT)
Nimefurahishwa na yaliyomo ndani ya WEBSITE hii kwa ujumla wake.Naomba ufafanuzi zaidi kuhusu ubatizo unaokubalika kwa mujibu wa Biblia kwa watu wote.
Johansen Bishota Lwekamwa <J_LWEKAMWA@hotmail.com>
Tanzania - Wednesday, October 22, 2003 at 09:36:02 (EAT)
Ndugu Christopher na Diana Mwakasege,Mungu awabariki kwa huduma yenu.Nimejifunza mengi kupitia huduma hii mnayotoa kwa njia ya website,kwa vile ni vigumu kwangu kuhudhurua kwenye mikutano yenu hapo Tanzania,ombi langu ni kutaka kujua ratiba yenu mtakapo kuwa na semina hapa New York,na cha pili nashindwa kuingia kwenye mafundisho ya wenye ndoa,mimi nimeolewa ndoa ya mume mmoja.
Be blessed!
Blessings Peter <timothyloisi@yahoo.com>
Ny , ny USA - Wednesday, October 22, 2003 at 01:49:13 (EAT)
Ndugu Christopher na Diana Mwakasege,Mungu awabariki kwa huduma yenu.Nimejifunza mengi kupitia huduma hii mnayotoa kwa njia ya website,kwa vile ni vigumu kwangu kuhudhurua kwenye mikutano yenu hapo Tanzania,ombi langu ni kutaka kujua ratiba yenu mtakapo kuwa na semina hapa New York,na cha pili nashindwa kuingia kwenye mafundisho ya wenye ndoa,mimi nimeolewa ndoa ya mume mmoja.
Be blessed!
Blessings Peter <timothyloisi@yahoo.com>
Ny , ny USA - Wednesday, October 22, 2003 at 01:42:06 (EAT)
hatupati habari za muumba za kutosha huku chuoni kwa upande wa mabibo hostel
nselele patrick <nselele@yahoo.com>
Dar es salaam, +chuo kikuu Dar(UDSM) Tanzania - Tuesday, October 21, 2003 at 16:27:58 (EAT)
Bwana YESU asifiwe mimi sina maoni bali naomba nitumiwe maombi jinsi ya kuombea ndoa yangu
lydia nyirenda <shliddy@yahoo.com>
dar es salaam, dar Tanzania - Tuesday, October 21, 2003 at 16:15:20 (EAT)
Nashukuru kwa hduma hii mnayotupatia,Mungu azidi kuwatia nguvu.Naomba nipatiwe maelezo ili niweze kujifunza zaidi kuhusu somo la Ndoa,kwani nashindwa kuingia sielewi jinsi ya kupata password.Mimi nimeolewa,ndo ya mume mmoja.
Justina M Wandera <justinawandera@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Tuesday, October 21, 2003 at 12:08:32 (EAT)
Nashukuru kwa hduma hii mnayotupatia,Mungu azidi kuwatia nguvu.Naomba nipatiwe maelezo ili niweze kujifunza zaidi kuhusu somo la Ndoa,kwani nashindwa kuingia sielewi jinsi ya kupata password.Mimi nimeolewa,ndo ya mume mmoja.
Justina M Wandera <justinawandera@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Tuesday, October 21, 2003 at 12:07:47 (EAT)
Bwana Yesu asifiwe!
Nabarikiwa sana na vipindi hivi,
Sasa tunahitaji mafundisho ya ndoa
pia mafundndisho ya jinsi ya kulea watoto/vijana wetu Ki-Kristo.
Asanteni Mungu awabariki.
Janet
Janet A. Swai (Mrs.) <swaij52@hotmail.com>
Dar Es Salaam, Kinondoni Tanzania - Tuesday, October 21, 2003 at 11:24:03 (EAT)
NAMSHUKURU MUNGU KWA KUNIPA NAFASI HII.NAWAPONGEZA SANA DIANA NA MWAKASEGE KWA KUWAFIKISHA WATU KARIBU NA MUNGU.MUNGU AWABARIKI SANA KATIKA KAZI YENU
MARGARETH YAGAZA <MARGARETHYAGAZA78@HOTMAIL.COM>
TANGA, TANGA Tanzania - Tuesday, October 21, 2003 at 08:27:11 (EAT)
ubarikiwe kwa huduma
NEREA IGOGO <glorytogod83@yahoo.com>
TARIME, Tanzania - Monday, October 20, 2003 at 20:40:20 (EAT)
Mungu aendelee kuwabariki na kuwawezesha muendelee na huduma yenu ya kumtangaza KRISTO YESU.
huruma tuntufye and margareth james <hntuntufye@yahoo.co.uk>
Dar es salaam, Tanzania - Sunday, October 19, 2003 at 19:26:49 (EAT)
Mungu akubariki mpendwa kwa utumishi wako.
Mr & Mrs Richard Maabadi <rmaabadi@hotmail.com>
Houston, Texas USA - Sunday, October 19, 2003 at 17:57:12 (EAT)
Nakushukuruni sana kwa semina ya neno la Mungu. Naomba semina hiyo katika Redio Wapo hapa DSM iwe japo mara mbili kwa wiki. Mara moja kwa wiki muda ni mdogo mno.
PHILEMON WILLIAM TEMI <philemontemi@yahoo.com>
DAR ES SALAAM, ILALA Tanzania - Saturday, October 18, 2003 at 16:55:49 (EAT)
Mungu wa bwana wetu Yesu Kristo awabariki nyinyi kwa baraka zote za rohoni
Ninahitaji kusoma mafundisho ya ndoa sina password ya kuingilia nifanyeje?
Mrs Lilian Mwangoka <lmwangoka@hotmail.com,lmmwangoka@yahoo.com>
DSM, DSM Tanzania - Saturday, October 18, 2003 at 14:41:33 (EAT)
Mungu wa bwana wetu Yesu Kristo awabariki nyinyi kwa baraka zote za rohoni
Mrs Lilian Mwangoka <lmwangoka@hotmail.com,lmmwangoka@yahoo.com>
DSM, DSM Tanzania - Saturday, October 18, 2003 at 14:39:57 (EAT)
Huduma mnayoifanya kwa Watu wa Mungu ni kubwa,Mungu awabariki baraka zote za rohoni na za mwilini,na kuikuza huduma hii ili wengi zaidi na zaidi tuzidi kufunguliwa siku hata siku.Ni maombi yangu kwa kila mmoja kwamba Mungu atupe neema ya kuyaishi yale tunayoyapata/jifunza kupitia huduma yenu.
Hilda Marco <hmarco211@hotmail.com>
Dodoma, Tanzania - Saturday, October 18, 2003 at 14:39:19 (EAT)
Napenda huduma yenu
Jane Mshana <janefelixus@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Saturday, October 18, 2003 at 14:21:30 (EAT)
Naomba nitumiwe huduma mbalimbali za neno la Mungu.Ili nami niweze kujifunza neno Takatifu la Mungu aliye hai -Ameni
KOBOLE MIKAH MWASYOGE <mkobole@hotmail.com>
Dar er saalam, Ukonga Tanzania - Saturday, October 18, 2003 at 11:36:29 (EAT)
Mimi sina maoni ila ninasumburiwa na tatizo moja,ambalo ni hili mimi nimeokoka hivi karibuni, nilikuwa nasoma bibilia kila siku. Hivi sasa ninavyoongea bibilia sijaigusa hata mara moja.Ninaomba msaada wa kuukulia wokovu wangu.
Mungu akubaliki sana amina
Ni mimi Frank Senka
Frank Senka <senkafrank@yahoo.ca>
Tanzania - Friday, October 17, 2003 at 20:42:15 (EAT)
God Bless you for the ministry
christopher <chris29ta@yahoo.com>
Dar es salaam, Tanzania - Friday, October 17, 2003 at 20:25:27 (EAT)
Bwana yesu asifiwe, ninamshukuru mungu kwa jina la yesu kristo kwa kuwafunulia ninyi kutulisha neno lake kwa njia hii.jina la bwana libarikiwe.
Gerald Remmy <geraldremmy@yahoo.com>
Dar es salaam, Tanzania - Friday, October 17, 2003 at 14:36:17 (EAT)
BWANA WA MAJESHI na awabariki kwa kazi nzuri mnayoifanya.
matiko chacha <matikochacha@akest.org>
DAR ES SLAAM, kinondoni Tanzania - Friday, October 17, 2003 at 13:00:17 (EAT)
BWANA WA MAJESHI na awabariki kwa kazi nzuri mnayoifanya.
matiko chacha <mtikochacha@akest.org>
DAR ES SLAAM, kinondoni Tanzania - Friday, October 17, 2003 at 12:56:48 (EAT)
napenda sana mafundisho yako yanajenga
Shadrack chilongani <schilongani@yahoo.com>
Dar es Salaam, Dar es Salaam Tanzania - Friday, October 17, 2003 at 11:13:51 (EAT)
nimefurahi kuona mabadiliko makubwa katika website hii. kwasababu ilifika mahali ikazoeleka, lakini sasa inakupa hamu ya kuendelea kuisoma. Hii inaonyesha jinsi gani, ambavyo watu wa MUNGU hawaja muacha ELIMU aende zake. MUNGU awabariki sana kwa kazi hii ya kutusaidia kupata maarifa ya Rohoni.
daniel lutego <lutego10@yahoo.com>
iringa, iringa Tanzania - Thursday, October 16, 2003 at 15:41:20 (EAT)
Bwana akuongezee nguvu na uweza wake uwe pamoja na wewe, kwani tunafarijika sana tunaposoma website hii.
Godlove Mtengela <mc1tz@yahoo.com>
Dar es Salaam, Dsm Tanzania - Thursday, October 16, 2003 at 15:39:57 (EAT)
Bwana akuongezee nguvu na uweza wake uwe pamoja na wewe, kwani tunafarijika sana tunaposoma website hii.
Godlove Mtengela <mc1tz@yahoo.com>
Dar es Salaam, Dsm Tanzania - Thursday, October 16, 2003 at 15:39:12 (EAT)
Ninamtukuza Mungu kwa mafundisho yenye nguvu za Mungu namna hii.Pia namshukuru Mungu kwa ajili ya wewe kukubali kutumika katika nafasi hiyo ya ualimu.Mungu akuhifadhi hata atakapofunuliwa siku ya mwisho.ameni
shadrack daudi <chaddaudi@yahoo.com>
dsm, ilala Tanzania - Thursday, October 16, 2003 at 11:07:00 (EAT)
Mimi nina matatizo yangui nataka niyalete kwenu sasa nitayaletaje naombeni muongozo wenu.
Richie Bullet <richiebullet@hotmail.com>
Moshi, Moshi Tanzania - Wednesday, October 15, 2003 at 12:37:42 (EAT)
Naombeni mnisaidie mimi ninamatatizo yangu nataka kuyaleta kwenu kwani yananisumbua sana. sasa nitayaletaje??
Anna Mallya <a1980217@hotmail.com>
Moshi, Town Tanzania - Wednesday, October 15, 2003 at 12:33:45 (EAT)
Naombeni mnisaidie mimi ninamatatizo yangu nataka kuyaleta kwenu kwani yananisumbua sana. sasa nitayaletaje??
Anna stephane <a1980217@hotmail.com>
Moshi, Town Tanzania - Wednesday, October 15, 2003 at 12:32:13 (EAT)
Miujiza ya mungu wanayo pata watu.
Annie Mallya <annymallya80@yahoo.com>
Moshi, majengo Tanzania - Wednesday, October 15, 2003 at 12:29:19 (EAT)
MIMI SIO MAONI ILA NAOMBA MNIPE UTARATIBU WA MTU ANAYETAKA KUYALETA MAMATIZO YAKE KWAKO
HIVYOM NAOMBA MNISAIDIE KWA HILO
EMANUEL AMANI MKURUVI <mkuruvi@yahoo.com>
ARUSHA, ARUSHA Tanzania - Tuesday, October 14, 2003 at 18:17:57 (EAT)
MIMI SIO MAONI ILA NAOMBA MNIPE UTARATIBU WA MTU ANAYETAKA KUYALETA MAMATIZO YAKE KWAKO
HIVYOM NAOMBA MNISAIDIE KWA HILO
EMANUEL AMANI MKURUVI <mkuruvi@yahoo.com>
ARUSHA, ARUSHA Tanzania - Tuesday, October 14, 2003 at 18:17:02 (EAT)
The Arusha Ministry was wonderful to never experienced before may God empower you and your Ministry to serve the Lord.Amen
Yohana D.Gunda <yohanagunda@yahoo.com>
Moshi, Tanzania - Tuesday, October 14, 2003 at 12:28:36 (EAT)
The Arusha Ministry was wonderful to never experienced before may God empower you and your Ministry to serve the Lord.Amen
Yohana D.Gunda <yohanagunda@yahoo.com>
Moshi, Tanzania - Tuesday, October 14, 2003 at 12:27:52 (EAT)
amen
bri <bbigurube@hotmail.com>
ars, ars Tanzania - Tuesday, October 14, 2003 at 11:14:40 (EAT)
namshukuru Mungu kwa ajili yenu mkipata nafasi tuwasiliane
Mungu awabariki.
gabriel shoo <ojasho2001@yahoo.cm>
moshi, kilmanjaro Tanzania - Tuesday, October 14, 2003 at 09:01:00 (EAT)
Nina barikiwa sana na huduma uifanyayo mtumishi na mungu akujaalie sana.
Endelea tu jope kyala ukujibhona imbombo jako,USAJIGWEGE FIJO.
Mwaluseke Ephraim Adam <mwaluseke2002@yahoo.com>
mtwara, kusini Tanzania - Monday, October 13, 2003 at 16:17:11 (EAT)
Nilibarikiwa sana na semina ya neno la Mungu iliyofanyika Mwanza. Semina ya kwanza ilikuwa mwezi wa tatu mwanzoni iliyofanyika Dar-es-salaam. Semina ya DSM nilikuwa njiani nikienda Afrika kusini kwenye mkutano kikazi. Nilihudhuria siku nne tu. Niliandika maombi yangu kwenye karatasi na kupeleka mbele.Miongoni mwa maombi hayo ni kupandishwa cheo ambacho tangu nianze kazi nilikuwa sijapandishwa. Mwezi wa saba nilipokea barua ya kupandishwa cheo mara saba. Kwa mtu asiyeona barua atafikiri ni uongo. Nilipandishwa kutoka TGS 2 mpaka TGS9. Namshukuru sana Mungu kwa kujibu maombi yangu, nategemea hata maombi mengine niliyoomba atajibu kama alivyojibu ombi hili.
Naomba Mungu amtie nguvu mtumishi wake katika huduma hii. Katika semina ya Mwanza kwa mara ya kwanza niliweza kunena kwa lugha, hasa ukizingatia kanisa ninalosali K.K.K.T inakuwa si jambo la kawaida kuona tendo hili. Namshukuru sana Mungu na naomba anitie nguvu katika hili.
Frank Joram Mwakanyamale <mwakanyamale@hotmail.com>
mwanza, Tanzania - Monday, October 13, 2003 at 15:05:03 (EAT)
bwana asifiwe,
mimi nafamilia yangu tunabarikiwa sana na huduma hii,tungeomba kama inge boreshwa kidogo kwa kuongezea [muziki ]yaani kwaya mbali mbali ili kuchangamsha web site yako.ahsante may G0D bless you
john lema <j.lema@talk21.com>
dar, mashariki Tanzania - Monday, October 13, 2003 at 15:02:02 (EAT)
amen
bri <bbigurube@hotmail.com>
ars, ars Tanzania - Monday, October 13, 2003 at 08:24:09 (EAT)
Bwana awabariki na kuwainua na kuwatumia zaidi katika kueneza neno lake ili wale wote wasiofahamu uweza wa Bwana Yesu wapate kufahamu kwa kupitia kwenu Amina!
sophia <shkomba@hotmail.com>
dar es salaam, ilala Tanzania - Sunday, October 12, 2003 at 13:13:26 (EAT)
Mungu awatie nguvu katika huduma hii. kisha Mungu afungue milango kwa wafadhili ndani na inje ili huduma hii imfikie kila mmoja kwa jina lake. Amen
zephania lulyeho <zephaniamarianie@yahoo.com>
mbeya, Tanzania - Saturday, October 11, 2003 at 11:24:15 (EAT)
Jina la Bwana lihimidiwe sana kwa ajili ya huduma yenu na Mungu awabariki sana.AMEN
Rogers Peter Mchaina <rpmchaina@yahoo.com>
Dar es Salaam, Tanzania - Friday, October 10, 2003 at 19:54:26 (EAT)
Ninavutiwa sana na mahubiri yako unayotoa katika Redio Wapo inayorusha matangazo yake kila siku ya Jumatano. Ombi langu ni kwamba, niombee ili niweze kupandishwa cheo kazini kwani nimuda mrefu sasa nina cheo kimoja. Ninaamini kuwa maombi yako yatanipandisha cheo mara moja. Mungu akubariki sana
Philemon Temi <philemontemi@yahoo.com>
DSM, DSM Tanzania - Friday, October 10, 2003 at 19:52:06 (EAT)
Namshukuru Mungu kwa ajili ya Web site hii nzuri ya Neno la Mungu ninachoomba kwa Mungu ni kukupeni Mafundisho zaidi ili muweze kulisha kondoo wa Bwana Yesu.
Mary A. Msuya <msuyamary@yahoo.com>
Dar es Salaam, Tanzania - Friday, October 10, 2003 at 19:50:03 (EAT)
Happiness Jesse <phapy2002@yahoo.com>
Mwanza, Mwanza Tanzania - Friday, October 10, 2003 at 15:37:42 (EAT)
Nimevutiwa na mafundisho yenu kupitia vipindi vya redioni vinavyorushwa na Wapo Radio. Pia ningepenza kupata msaada wa maombi yenu kutokana na shida inayonitatiza lakini sijui ni utaratibu gani mnaotumia kwa sisi tulio mbali kidogo. Mimi nampenda YESU na nimeokoka. Mbarikiwe sana na ninawapenda.
Emma Timothy <naendwa@libis.udsm.ac.tz>
DAR, DAR Tanzania - Friday, October 10, 2003 at 15:26:45 (EAT)
Ninaomba unitumie somo la "kumsikiliza Roho Mtakatifu"
Fanuel Damian <christsoldier2@yahoo.com>
Lushoto Tanzania - Friday, October 10, 2003 at 14:54:47 (EAT)
Halleluya, Ubarikiwe sana na Huduma Bwana aliyokupa. Imetusaidia sana sana tangu tuanze kuitumia 1996. Tunakuombea. Amen.
Elifuraha J. Olomi <olomiejk@yahoo.com>
MWANZA, Mwanza Tanzania - Friday, October 10, 2003 at 12:57:16 (EAT)
Ubarikiwe sana na huduma Bwana aliyokupa. Imetusaidia sana sana tangu tuanze kuitumia. Tunakuombea. Halleluya!
Elifuraha J. Olomi <olomi@yahoo.com>
MWANZA, Mwanza Tanzania - Friday, October 10, 2003 at 12:52:21 (EAT)
Ubarikiwe katika Utatu,
Ni ufunuo mzuri kabisa na wenye kujenga kiroho.
Bwana akubariki na roho mtakatifu aendelee kukutia nguvu ili kuzidi kutafuta waliopotea kupitia mtandao huu.
Kwa kweli nilikuwa najaribu tu jina lako kupitia www.google.com searching system na kufanikiwa kukupata.
Bwana YESU asifiwe sana
Ahsante.
Ipyana Thompson Mwakamela <itmwakamela2@yahoo.com>
Dar es Salaam, Ukonga Tanzania - Friday, October 10, 2003 at 12:31:31 (EAT)
Maoni yangu kuwa watu wengi wamekuwa wakipokea miujiza ya Mungu kwa njia ya kanda na redio kupitia mahubiri ya Mwinjilist Christopher Mwakasege, tunamshukuru Mungu kwa kumtumia. Mara nyingi sisi ambao hatukubahatika kuhudhuria semina yake, Sehemu ya MAOMBI INATUSOGEZA KARIBU SANA, lakini basi, utasikia mtumshi akisema funga macho yako tuombe, maana leo hii utapokea muujiza wako, na nguvu zipo mahali hapa... akiwa anaendelea hivyo sisi huku nyumbani tumesimama na kujimimina mbele za Mungu, tukingojea kweli muujiza lakini hata kabla hajaomba, Lo! utasikia wimbo ule wa Kijitonyama ndio kipindi kimeisha. Ninaomba ikiwezekana katika kurekodi pawepo sehemu ya maombi kabla ya kumaliza kipindi.
La pili muda ule wa saa 3:30 hata mara nyingine saa 4 kasorobo ni muda ambao ni usiku. Ikiwezekana kipindi hicho kianza saa 2:30 - saa 3:30. Mungu aibarika kazi yake na amtie nguvu mtumishi ili siku moja aendleshe S E M I N A K U B W A Wilayani Monduli. Asibaki tu kwenye Miji mikubwa tuna kiu hasa nasi tunaishi mbali na Mji wa Arusha. Mtumishi omba K I B A L I toka kwa Mungu uje Monduli. Ubarikiwe "Amin"
simon Mollel
Monduli, Africa Tanzania - Friday, October 10, 2003 at 12:20:53 (EAT)
amen
ubi <bbigurube@hotmail.com>
ars, ars Tanzania - Friday, October 10, 2003 at 07:56:41 (EAT)
ninaomba uongeze muda wa kututembelea hapa dodoma,mungu awabariki sana kwa huduma hii.
abihudi george kinyaha <abihudik@yahoo.co.uk>
dodoma, mjini Tanzania - Thursday, October 09, 2003 at 20:52:33 (EAT)
"With God all things are possible if you trust and obey"
Blessed Timothy & Irene J. Kyara <timjaykay@yahoo.com>
Gaborone, G/West-Phase two Botswana - Thursday, October 09, 2003 at 17:13:33 (EAT)
"with God all things are possible"
Blessed Timothy & Irene J. Kyara <timjaykay@yahoo.com>
Gaborone, G/West-Phase two Botswana - Thursday, October 09, 2003 at 17:11:20 (EAT)
ILE SEMINA YA NENO LA MUNGU DSM ITAFA NYIKA LINI?
JAPHET A. KIMONGES <jkimonges@hotmail .com>
DAR ESALAAM, TEMEKE Tanzania - Thursday, October 09, 2003 at 10:56:15 (EAT)
amen
BRIGHT <bbigurube@hotmail.com>
ars, ars Tanzania - Wednesday, October 08, 2003 at 14:42:54 (EAT)
MUNGU AWABARIKI KWA HUDUMA NJEMA.
Christopher Mwamzanya <cmwamzanya@Yahoo.com>
MBEYA, Mbeya Tanzania - Wednesday, October 08, 2003 at 13:38:06 (EAT)
Bwana Yesu asifiwe. Natoa pongezi zangu kwenu kwa huduma yenu nzuri ambayo imenibariki sana na imenisaidia kukua kiimani kupitia mafundisho yenu na nimabarikiwa sana. Tena kwa sasa mpaka kwenye redio tunapata mafundisho ambayo yamefanyika nje ya Dar kwa kweli ninashukuru sana Mungu kwani Imani yangu imeongezeka sana baada ya somo la sehemu ya maneno katika imani yako. Somo hili limenibariki sana pia ulipozungumzia kuhusu utoaji, kwani watu wengi tunatoa, na kupanda mbegu bila hata ya kumwagilia maji, hivyo mbegu inakuwa haioti, lakini baada ya kusikia hayo nafundisho nimebarikiwa sana. Na Mungu awajalie katika huduma yenu ili lile kusudio mlioitiwa lipate kutimia.Bwana Yesu asifiwe
Jacqueline Marion <makele14@hotmail.com>
Dar es salaam, Tanzania - Wednesday, October 08, 2003 at 11:38:07 (EAT)
Wapendwa katika Bwana,Tumsifu Yesu Kristo. Mimi ni mkristo Mkatoliki. Namshukuru Mungu sana kwa kuniwezesha kuandika katika kitabu chenu cha wageni. Nimeona Web-site yenu kwenye kitabu chenu kizuri, Mungu alichowafunulia kutufundisha nacho, "MTWIKE YESU KINACHOKUFADHAISHA". Namshukuru Mungu kwa kunipa nafasi ya kuweza kuhudhuria semina iliyofanyika Arusha Meru Secondandy Kuanzia tarehe 28/10. Nimepata mengi kwenye semina hiyo na naomba Mungu aniwezeshe kukaa nayo siku zote za maisha yangu. Pia kitabu hiki ni kizuri sana na kinafundisha mmno kiasi kwamba sioni ni kwanini siku zote nilikuwa nabeba mizigo mizito, tena nikimkosea Mungu. Naamini kwamba kila nitakayempa kitabu hiki akisome atapewa baraka kama nilizopewa mimi na kwamba kila mtu ataacha kubeba mizigo mizito na badala yake atamtwisha Yeye aliyejitolea kuibeba kwa upend Mkuu tena bila gharama yoyote. Na kwa sababau Yeye alisema tusimwonee aibu, sioni aibu kusema wazi kwamba Nimempokea Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yangu. Kwani kwa Yesu sote ni kondoo wake bila kujali dhehebu wala dini. Yesu ndiye Njia na Wokovu, mtu haendi kwa Baba ila kwa njia ya Yesu.
Bwana Mungu wetu awabariki sana.
TUMSIFU YESU KRISTO.
Veronica K. Nsoro <kisstanford@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Tuesday, October 07, 2003 at 14:44:10 (EAT)
namshukuru sana mmwenyezi mungu kwa ajili yenu kwani ninabarikiwa sana kwa huduma zenu. mungu awabarikini sana ili kazi yake izidi kuendelea
grace mwakisole <gracie20002003@yahoo.co.uk>
dar es salaam, udsm Tanzania - Tuesday, October 07, 2003 at 14:08:01 (EAT)
namshukuru sana mwenyezi mungu kwa ajili yenu kwani nimekuwa nikibarikiwa sana kupitia huduma zenu. mungu awabarikini sana ili kazi yake izidi kufanikiwa.
grace mwakisole <gracie20002003@yahoo.co.uk>
dar es salaam, ukonga Tanzania - Tuesday, October 07, 2003 at 14:05:04 (EAT)
Bwana asifiwe,
Nashukuru mungu kwa Baraka nilizozipata kutokea kwenye mtandao huu.Kwakweli nimebarikwa sana kutokana na mtandao huu,mungu azidi kuwaangazia ili muweze kulisha kondoo zake ipasavyo.
Upendo.E.Mwakisisile <upendo2000@yahoo.com>
Dar es Salaam, Tanzania - Tuesday, October 07, 2003 at 11:59:37 (EAT)
Namshukuru Mungu kwa ajili yenu. Bwana asifiwe sana.
Jennifer Mushi <jenifer@kicheko.com>
Moshi, KILIMANJARO Tanzania - Tuesday, October 07, 2003 at 11:03:13 (EAT)
I real appreciate the steps made so far in this website. infact it is the website that will enrich the true christians both spiritually, mentally and physically. It gives us the food of life "biblical scriptures" from our heavenly father and son Jesus Christ, our Lord and Saviour.Frankly speaking the teachings, seminars provided by the servants of God have opened my heart and bring me even much closer to God than before. i real appreciate. May the God Almighty empower the web designers and the servants of God for the most important job they are doing. I am just browsing the web in order to find more and more. I am on the move and my intention is reach to where God has planned me to be. We are really in the battle, the battle against the devil, and we are ought to emerge victorious. Indeed, the conquers through the blood of the Lamb, Jesus christ.
I join hand all the efforts you are making in order improve the website in reaching more people all over the country.
Thanks,
May the name of Jesus Christ be praised!Amen
Godbless U all,
Brethren in Christ,
Mkonyi
mkonyi <fjmkonyi@yahoo.com>
dar es salaam, dar es salaam Tanzania -
Mungu abariki Mikutano yake yote unayo Injilisha.
Audax H. Rweshabura. <audaxrweshabura@yahoo.com>
Usa River, Arusha Tanzania -
NAWASALIMU KTKT JINA LA MWOKOZI WETU YESU KRISTO ALIYE HAI.MUNGU AWABARIKI KWA KAZI YENU NJEMA KWA UTUKUFU WAKE. MAONI YANGU NINAOMBA KUWAKUMBUSHA KWAMBA BADO TUNASUBIRI SAFU YA VIJANA NDOA.
HELLEN RICHARD JUMA <RICHHENA@yahoo.com>
Dar-es-Salaam, Kinondoni Tanzania -
MUNGU wetu ni mzuri!Nimekuwa nikifuatilia website hii tangu niliposoma tangazo la kwenye kitambaa lililobandikwa ukutani mkutanoni Diamond.Nabarikiwa sana na yote yaliyomo humo na pia,nimewafahamisha watu kadhaa kuhusu injili kupitia njia hii.MUNGU wa ABRAHAMU, MUSA na ELIYA azidi kuwabariki na kuwapa maono zaidi na zaidi, juu ya yote MUNGU awe nanyi daima dumu ili kusudi lake lizidi kutimia.
Yamiko Mlekano <wisdomlekano@yahoo.co.uk>
Dar Es Salaam, University of Dar Es Salaam Tanzania -
Nimekuwa nikifuatilia website hii tangu nilipoisoma kwenye tangazo la kwenye kitambaa kilichobandikwa ukutani mkutanoni Diamond!!Nabarikiwa sana na kile kilichomo humo na nimewafahamisha watu wengi juu ya hili nao pia huisoma, kikubwa zaidi nawapongeza kwa kuifanyia modification,juu ya yote MUNGU WA ABRAHAM,MUSA na ELIYA azidi kuwa nanyi daima dumu!!
Yamiko Mlekano <wisdomlekano@yahoo.co.uk>
Dar Es Salaam, Kinondoni Tanzania -
Naipenda huduma hii na Mungu awabariki sana.
violet letta <vailetl@yahoo.co.uk>
Dar es salaam, ukonga Tanzania -
ndugu Mungu atukuzwe kwa ajili ya huduma yenu, tunawaomba muwe mnatuletea mafundisho mapya kila mara pamoja na mahubiri kwa njia ya video
Jackline Malisa <faraja21@yahoo.com>
denver, co USA -
Namshukuru Mungu sana kwa ajili ya watumishi wake wenye maono makubwa ya kuiponya jamii yetu. Kupitia Website hii tumebarikiwa sana. Mungu akubariki sana kwa huduma yako.
Daniel .A. Lema <anderlema@yahoo.co.uk>
Dar es salaam, Tanzania -
Ninamshukuru Mungu kwa jinsi mnavyo mtumikia, na mabadiliko ya Website yanayo endelea. Ninaomba muweke wazi account No. yenu ya Bank ili kadri tunavyo zidi kubalikiwa tuweze kuwatumia fedha kwa ajiri ya bwana. Hiyo Namba iwekeni katika website ionekane vizuri kwa urahisi.
Mungu awabariki wote na awazidishie mzidi kuzaa na kuzaa na kuzaa zaidi na zaidi, mbarikiwe na baraka zote za Ibrahimu, Isaka, Yakobo na makabila 12 ya wana wa Israel. Amen
Leonarda Kokubelwa Kabwogi <lkabwogi@yahoo.com>
Dar es Salaam, Ilala Tanzania -
Namshukuru Mungu sana kwa huduma mnayoitoa, binafsi nimeifaidika sana na nimeshuhudia wengi wakiokoka na wakipata uponyaji wa aina mbalimbali kupitia huduma na masomo yenu muhimu tunayojifunza. Mungu awabariki na kuwapa nguvu ili muendelee zaidi kutumika kwa utukufu wake. Lilian Itemba, Tumaini University -Iringa.
Lilian Jonas Itemba <lilyitemba@yahoo.co.uk>
Moshi, Tanzania -
MUNGU AWABARIKI KWA HUDUMA HII AMBAYO IMEKUWA NI MSAADA KWA WENGI NA MUNGU AWASAIDIE ILI MUWAFIKIE WENGI
AIDAN SEMBUCHE <sembucheah2001@yahoo.com>
dodoma, TANZANIA Tanzania -
Mimi ninaendelea kumshukuru Mungu na kumtukuza kwa ajili yenu Mama na Baba Mwakasege kwa ajili anavyowatumia kutulisha kiroho kwa kweli Sifa, Heshima na Utukufu namrudishia Bwana Yesu kwa ajili yenu na Mungu aendelee kuwabariki sana. AMEN
Happiness Geoffrey Lema <happyggk@yahoo.com>
Dar es Salaam, Tanzania -
nina furaha sana kwa mahubili yenu ahsante
castro mpunza <mpunza88@hotmai.com castromp@yahoo.coml >
iringa, iringa Tanzania -
Nabarikiwa sana na website yako. Mungu azidi kukutia nguvu katika huduma hii.
Charles S. Wagofya <cswagofya@hotmail.com>
Dar Es Salaam, Kinondoni Tanzania -
Tunaomba huduma hii pia itumie redio mwangaza hapa mjini dodoma
AIDAN SEMBUCHE <sembucheah2001@yahoo.com>
Dodoma-Tanzania, Dodoma Tanzania -
Mungu awabariki kwa jitihada zenu za kulisha wana kindoo. Tunashukuru kwa kututembelea Mwanza na kutufanya wapya kwa MKONO WA MUNGU
Gwandumi Joseph Fairom <joetrude2000@yahoo.co.uk>
Mwanza, Tanzania -
Bwana Yesu Asifiwe Nimebarikiwa sana kwa kusoma website Hii na Nimemuona Mungu katika mafundisha Haya Naomba Mungu awawezeshe Zaidi na zaidi katika Huduma Hii nawaombea Mbarikiwe.
Jane J Tuppa <jtuppa@yahoo.co.uk>
Arusha, Arusha Tanzania -
hongera mwalimu mwakasege mtumishi wa Mungu kwa kutulisha neno la Mungu wakazi wa Mwanza mwezi septemba 2003, Bwana akubariki.
dunstan kaihula <dunstankaihula@yahoo.co.uk>
mwanza, magharibi Tanzania -
Hakika nimeuona utukufu wa Mungu kupitia mtandao huu,nami namuomba Mungu awasaidie wengi hasa vijana ambao kila wapatapo nafasi kutembelea web-sites wao hupoteza muda kusoma na kutazama mambo yasiyofaa,basi na wafunguke kwa tovuti hii. Amen
Denis Salamba <sabodenis@hotmail.com>
Arusha, Tanzania -
Naomba nipate huduma ya kiroho
Richard J.Mutashobya <richardmutashobya@hotmail.com>
Mwanza, Dayisisi ya Mashariki ya Ziwa Victoria -Usharika wa Imani Tanzania -
Nimebarikiwa sana na mafundisho kupitia tovuti hii,na nimejifunza vitu vingi mno.Mungu awabariki kwa maono mazuri na huduma njema
GLORY BE TO THE KING IN THE HIGHEST, HALELUYAH
Godfrey Wandwi <mbudhih@yahoo.com>
Dar-es-salaam,Upanga, Mashariki Tanzania -
Nimebarikiwa sana na mafundisho kupitia tovuti hii,na nimejifunza vitu vingi mno.Mungu awabariki kwa maono mazuri na huduma njema
GLORY BE TO THE KING IN THE HIGHEST, HALELUYAH
Godfrey Wandwi <mbudhih@yahoo.com>
Dar-es-salaam, Mashariki Tanzania -
Website hii ni nzuri kwani inagusa maisha ya watu katika ukweli uliopo ndani ya biblia. Mungu azidi kubaliki kazi hii.
Pantaleon Shoki <shokip@hotmail.com>
Mwanza, Tanzania -
Wapendwa watu wa MUNGU,endeleeni na wito mlioitiwa wa kumtumikia MUNGU wetu, ninafarjika sana, kwa mafundisho,pamoja huduma ya BWANA inavyosonga mbele,BWANA awatangulie.
JASPER S SHOO <jsshoo@hotmail.com>
mwanza, Tanzania -
Baba na mama mchungaji, huduma yenu inanibariki sana, na kwa mara ya kwanza nimehudhuria semina zote mlizofanya mwanza. Ninawatia moyo kwamba msichoke, yapo makubwa zaidi Mungu atafanya kupitia huduma yenu. Endeleeni kunyenyekea chini ya mkono wa Mungu naye atawatumia zaidi. Nitaendelea kuwasiliana nanyi baadaye. Mungu awabariki.
stephen makandilo <stevemakandilo@yahoo.com>
mwanza, mwanza Tanzania -
Mungu awatie nguvu msonge mbele kwa ujasiri mkuu na kufanya mambo makubwa zaidi ya haya.AMEN
Joyce Metili <jmetili@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania -
mungu akubariki ndg mwakasege na mama diana kwa kukulisha neno la mungu katika semina iliyofanyika mwanza mwezi september 2003.
dunstan kaihula <dunstankaihula@yahoo.co.uk>
mwanza, magharibi Tanzania -
Mungu ashukuriwe,
Mimi ni mtazamaji mzuri sana wa Mtandao huu wa computer. Na kwa kweli nimebarikiwa sana na mabadiliko makubwa katika website hii. Mungu awabariki sana, na mzidi kubuni mavumbuzi mengi ya jinsi ya kumtumikia Mungu. Awape yeye Hekima itokayo kwake katika ufanisi wa kweli wa kumtumikia. Amen.
Joyce Mbonea Mshana <joe_mshana@yahoo.com>
Arusha, Tanzania -
Tunakushukuru sana kwa maombi yako unayoyatoka kwa ajili ya watumishi wa Bwana.
Nakutakia kila la heri na Baraka za bwana katika kazi yake uitendayo
Happines Masatu <hmasatu@hotmail.com>
Iringa - Tanzania, Iringa Tanzania -
Mpendwa Mwalimu Mwakasege,
Bwana Yesu Kristo asifiwe!
Ninamshukuru Mungu kwa kukutumia wewe katika huduma ya kutafuta kondoo waliopotea. Ahsante kwa mahubiri yako ambayo hutia moyo nikatapo tamaa ya kufanya jambo fulani hasa mara nisikilizapo vipindi vyako mbalimbali katika radio ya sauti ya injili kikiwepo kipindi cha somo lihusulo Kazi ya Damu ya YESU, ambayo hasa ni upatanisho kati yetu sisi, uponyaji na Mungu pamoja na utakaso wa dhambi zetu.
Bwana Yesu akubariki sana na ngudu wote katika huduma hiyo.
Ni wako katika Bwana,
Erasto MALILA,
Compassion International Tanzania.
P.O.Box 3064,
ARUSHA.
Erasto Malila <erastomalila@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania -
amen
ubi <bbigurube@hotmail.com>
ars, ars Tanzania -
Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe.Utukufu una yeye.
Tunawashukuru kwa huduma yenu mnayotupatia katika web site yenu.Bwana awabariki.
Veikko T. Kyogo <veikkokyogo@hotmail.com>
Arusha, Arusha Tanzania -
Bwana Yesu asifiwe sana,watumishi wa Mungu,Nambariki Mungu kwa ajili ya mtandao huu jinsi ulivyokuwa mzuri.Mungu awazidishie hekima ili kazi yake iendelee mbele.
ASANTERABI C.SANG'ENOI <asangenoi@yahoo.com>
Moshi, Tanzania -
-
matiko chacha <->
dar-es- salaam, kimara Tanzania -
KAMA BWAMA WA MAJESHI ASINGALITUACHIA UZAO TUNGALIKUWA KAMA SODOMA TUNGALIFANINISHWA NA GOMORA. Huduma yenu si bure Mungu aliye hai awabariki sana.
Senitu Cecilia Mkini <cemki29@yahoo.com>
Morogoro, Tanzania -
KAMA BWANA WA MAJESHI ASINGALITUANCHIA UZAO TUNGALIKUWA KAMA SODOMA TUNGALIFANANISHWA NA GOMORA. Mungu wa Ibrahimu,Isaka na Yakobo ambaye ndiye Mungu wangu awabariki sana
Senitu Cecilia Mkini <cemki29@yahoo.com>
Morogoro, Tanzania -
Mungu awabariki kwa kazi nzuri mnayoifanya.Naomba mafundisho ya ndoa na familia katika mtandao
Rebecca Mwamba <rebbsm@excite.com>
Dar es salaam, Kinondoni Tanzania -
amen
bright <bbigurube@hotmail.com>
arusha, arusha Tanzania -
Mungu wabariki sana kwa updates ambazo mumefanya kwenye hii page. Nimekuwa nikipata shida kwa muda mrefu kujua shida ni nini kwani nimekuwa siipati online.
Now I know that you are ABLE and you can MAKE it.
God bless you mightly for blessing others.
University of Dar es Salaam Student.
Mathew Mndeme <mathewmndeme@yahoo.com>
Dar es saam, Tanzania -
Huduma yenu kwa Kanisa ni Nzuri nno inatubariki
christopher Z Masseri <chrismass6@hotnail.com>
Sanya juu, Siha Tanzania -
This is a nice new web site plus this guest book
george J. Mngodo <hizaa@yahoo.com>
Arusha, North Tanzania -
huduma yenu inahitajika sana kwa vijana tafuteni namna kuwapata kwa wingi zaidi na Mungu awatie NGUVU katika hilo kwa jina la YESU Amen
philemon n mgonja <phnmgonja@yahoo.com>
arusha, mbauda Tanzania -
WATUMISHI WA MUNGU.
Poleni na kazi ya Bwana.
Niwakati uliokubalika sasa, kwamba bwana hatawaacha watu wake hata wakati teknologia ya dunia inabadilika, na sisi watu wake tuende nayo sambamba.
Kazi yenu si bure.
Hendry Minja
Hendry Isawangu Minja <h_minja@yahoo.com>
Morogoro, Morogoro Tanzania -
Nimefurahishwa na mabadiliko ya web hii, nimeitembelea mara kadhaa hapo nyuma ilikuwa nzuri lakini kwa sasa imekuwa bora zaidi kwa upande wa kiufundi.
Mungu awabariki!
Uswege Lusekelo Mwaipyana <umwaipyana@yahoo.com>
Dar es salaam, Kijitonyama Tanzania -
Nimefuarahi sana kuwepo kwa page hii ya huduma ya Mwakasege kwani hata tulioko mbali na nchini kwetu Tanzania tunapata mafundisho yake, labda sijaipitia vizuri lakini ningeomba kuwepo na nafasi ya kutoa shuhuda kwa kupitia internet lakini isiwe kwenye hii sehemu ya maoni.
Mungu abariki huduma hii.
Samson Kiware,
Samson Kiware <skiware@carthage.edu>
Arusha, Tanzania -
Nambariki sana Mungu kwa Huduma Yenu. Awatie Nguvu kwa kila jambo mlitendalo kwa ajili ya Utukufu wake.
Mary Matela <m_matella@yahoo.com>
Arusha, Tanzania -
Tunatambua mzigo mkubwa aliowapa mungu katika huduma yenu.Mungu awatie nguvu sana, mzidi kusongambele kwa utukufu wa Mungu.
Beatrice Mani <beatmanitz@yahoo.com>
Dar es salaam, Tanzania -
dfadfasdfasdfadf
dfsdfsdf <sdfsdfasd>
sdfsdfsd, asf Tanzaniadf -
Bwana Yesu awabariki watumushi wa Mungu.Kazi yenu siyo bure.
Euster Kibona <eusterkibona>
Dar-es-Salaam, Kinondoni Tanzania -
Nafurahi kuona website kama hizi zinatusaidia kupata nakala mbalimbali zinazohusu maneno ya Mungu yanayotungoza kila siku kwa njia mbalimbali.
Grace Mushy <brightrich@yahoo.com>
Kilimanjaro, Tanzania -
tuombee kanisa kwa upana zaidi,na sehemu ambazo wakristo wanateswa duniani kote,
golden mwabuka <golden_mwabuka>
manispaa, mbeya Tanzania -
Bwana Yesu asifiwe!!
Fausta <fausta_P@hotmail.com>
Arusha, Arusha Tanzania -
MUNGU awabariki
bright bigurube <bbigurube@hotmail.com>
arusha, arusha Tanzania -
Bwana Yesu apewe sifa kwa kumuwezesha mtumishi wa Mungu kuwa website ambapo sasa tutawasiliana dunia nzima.
African John Mlay <african.m@kicheko.com>
Moshi, Moshi mjini Tanzania -
Bwana Yesu asifiwe sana.
Phlaviana Kavishe <phlavy@yahoo.com>
Dar, Tanzania -
Bwana Yesu asifiwe sana.
Phlaviana Kavishe <phlavy@yahoo.com>
Dar, Tanzania -
Kicheko Ltd <info@kicheko.com>
Dar, Tanzania -