Kitabu cha Wageni - 2004

Tunashukuru kwa kututembelea. Kama bado hujajiandikisha katika kitabu hiki, tunakuomba jiandikishe sasa!
mimi nikijana wa miaka 29 ninampenda yesu sana maoni yangu naomba sana inijibu maombi yangu niliyokuandikia kupitia imeli yako nilikuandikia kwamba nina mchumba na tunahitaji kupima virusi vya ukimwi. naomba uwe pamoja nami katika maombi mungu atusaidie wote tupate majibu mazuri ili tuweze kufunga ndoa. kama mungu atatujalia kwa nguvu na uweza wake kutufanya wazima tunatarajia kufunga ndoa mwezi wa sita. asante mungu akubariki katika huduma nategemea majibu mazuri nikiwa na imani ya maombi kutoka kwenu mr and mrs mwakasege.
rosedanny <rosedanny2001@yahoo.co.uk>
kikuyuau miyuji, dodoma mjini Tanzania - Tuesday, December 21, 2004 at 13:29:44 (EAT)
Jambo hili ni jema na BARAKA ZITOKAZO JUU MBINGUNI ZIWAENDEE WOTE WALIOSHIRIKI KATIKA KUFANYA SHUGHULI HII KUWA YA MAFANIKIO.
Jackson Luka Nkya <jaxonluka@yahoo.com>
MOSHI, HAI Tanzania - Tuesday, December 21, 2004 at 13:15:23 (EAT)
MUNGU AWABARIKI KWA HUDUMA YENU,NA NINAHITAJI MAOMBI KWA AJILI YA NDOA NA FAMILIA YANGU.
ALICE CHOPETTA <choplicy@yahoo.co.uk>
Dar es salaam, SINZA Tanzania - Tuesday, December 21, 2004 at 11:45:04 (EAT)
Asante kwa kazi ya Mungu.
lindiparish <lindiparish@yahoo.com>
lindi, Tanzania - Monday, December 20, 2004 at 15:26:50 (EAT)
Mimi ni mkimbizi ninacho hitaj ni kusoma kitabu cha biblia
MAOMBI Prince <mao_prince2002@yahoo.fr>
Kasulu, Kambini Mtabila Tanzania - Friday, December 17, 2004 at 08:33:16 (EAT)
Bwana wetu Yesu Kristu asifiwe sana. Nimefurahi sana kujiunga na huduma hii kupitia mtandao huu. Kwa kweli Mungu azidi kuwabariki watumishi wake kwa kutoa huduma kupitia internet. nina ombi kama ikiwezekana mngeweka mambo yanayohusu ufunuo wa Yohana maana kitabu hiki kina mafumbo ambayo kwa mtu asiyekuwa na mafunuo inakuwa ni vigumu kuelewa ile misamiati. Mungu azidi kuwabariki sana.
Mrs Susan Kabogo <skahema@hotmail.com>
Dar Es Salaam, Tanzania - Friday, December 17, 2004 at 07:28:42 (EAT)
nilipendezwa sana na semina yenu ya Iringa ilinifundisha mambo makubwa
Dr Eligreta Mnzavas <eligreta@yahoo.co.uk>
Iringa, lutheran kanisa kuu Tanzania - Thursday, December 16, 2004 at 08:47:31 (EAT)
NIMEFURAHI,HUDUMA NI NJEMA NA MUNGU WANGU AWAWEKE MADHABAHUNI PAKE DAIMA.UPANDE WA KIINGEREZA UNA SHIDA KIDOGO HATA HIVYO NATUMAINI BWANA ATATENDA.TIINI KILA LIAMLIWA NA BWANA.ASANTE.
Fred Lihinda <lihindafred@hotmail.com>
Cottbus, ujerumani - Thursday, December 16, 2004 at 00:39:25 (EAT)
NIMEFURAHI,HUDUMA NI NJEMA NA MUNGU WANGU AWAWEKE MADHABAHUNI PAKE DAIMA.UPANDE WA KIINGEREZA UNA SHIDA KIDOGO HATA HIVYO NATUMAINI BWANA ATATENDA.TIINI KILA LIAMLIWA NA BWANA.ASANTE.
Fred Lihinda <lihindafred@hotmail.com>
Cottbus, ujerumani - Thursday, December 16, 2004 at 00:39:23 (EAT)
Nafurahia huduma hii.kwa leo sina maoni yeyote kwani ni mara yangu ya kwanza kuingia ktk safu hii. Ila nawaombea Mungu awatie nguvu katika huduma hii.
Pendo I. Msegu(Mrs. Nicodem <msegupn@yahoo.com>
Morogoro, Morogoro Tanzania - Wednesday, December 15, 2004 at 13:47:58 (EAT)
BWANA AZIDI KUWAONGOZA WATUMISHI WAKE WOTE WANAOJITAABISHA KWA KAZI YAKE.KWANI UJIRA WAO UUKARIBU.MUNGU AWABARIKI.JINA LA YESU NA LIHIMIDIWE NA WATU WOTE,ULIMWENGUNI.CHRISTMAS NJEMA,NA YENYE BARAKA NYINGI.
mesha kapessa <meshaek@yahoo.co.uk>
Dar, kinondoni Tanzania - Monday, December 13, 2004 at 10:58:23 (EAT)
Malaika wa Bwana hufanya kituo kwa wamchao akiwazungukia na kuwaokoa
Nathaniel Conrad <andasoni@hotmail.com>
D Salaam, Tanzania - Sunday, December 12, 2004 at 14:31:18 (EAT)
Untwa yo Ntimi gwangu ndikupondwaga nafimo
Natahniel Conrad
D Salaam, Tanzania - Sunday, December 12, 2004 at 14:28:23 (EAT)
Ninabarikiwa sana kwa kupitia website hii.Mungu na awatie nguvu na kuwaongezea hekima ili tuzidi kujifunza mengi kupitia nyie.
Peniela Wilson <qwpenny2005@yahoo.com>
Arusha, kaskazini Tanzania - Saturday, December 11, 2004 at 19:31:10 (EAT)
MUNGU akusaidie kuendelea na kazi hii
Owden Kabuka <owden2005k@yahoo.com>
Mtwara, Mtwara Tanzania - Thursday, December 09, 2004 at 17:10:09 (EAT)
MUNGU akusaidie kuendelea na kazi hii
Owden Kabuka <owden2005k@yahoo.com>
Mtwara, Mtwara Tanzania - Thursday, December 09, 2004 at 17:08:10 (EAT)
MUNGU wangu na akubariki sana kwa kazi hiyo unayofanya.Naam na akupiganie KUTOKA 14:13-14.Pia wana maombi wote TANZANIA tuchukue hatua ya kuomba kwaajili ya mtumishi wa BWANA pamoja na watumishi wote ulimwenguni.
Ignas Mgidange <mgidange@yahoo.com>
Mtwara, Mtwara Tanzania - Thursday, December 09, 2004 at 16:44:57 (EAT)
MUNGU AWABARIKI SANA KWA HUDUMA ZENU MBALIMBALI MNAZOZITOA KUPITIA SEMINA, REDIO NK KWA KWELI KWA MARA YA KWANZA NILIGUSWA NA HUDUMA YENU YA NENO LA MUNGU KUPITIA REDIO, NAKUMBUKA NILIKUWA MWAKA WA PILI KATIKA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM 2003 NILIPOFUNGUA RADIO NA KUSIKIA MAHUBIRI YAKO, KUANZIA SIKU HIYO SIKUWAHI KUKOSA MFULILIZO WA VIPINDI VYAKO MPAKA LEO. MUNGU AKUBARIKI NA AENDELEEKUKUTIA NGUVU UENDELEE KUICHAPA INJILI ILI SHETANI ASIPATE MFUASI.
OMBENI SHUMA <oshuma@yahoo.co.uk>
Dar es salaam, Tanzania - Thursday, December 09, 2004 at 11:52:21 (EAT)
Ni nzuri kama nini kukutana na kweli katika njia ya uzima na kuwa na maisha tele ndani ya Yesu
Joseph Juma <jitegemee22@hotmail.com>
Dar es salaam, Tanzania - Wednesday, December 08, 2004 at 21:09:57 (EAT)
Mungu awabariki kwa Kazi yenu njema, mimi ni mtoto wa miaka,kumi na moja, naomba na sisi,Watoto muwemnatuandalia Semina zetu wakati mnapokuja, tunahitaji kujifunza na pia tunahitaji Maombi toka kwenu watumishi wa Bwana.Angalau hata masaa mawili, tunatamani sana,nasisi kupokea Upako toka kwa Bwana,maana tunaamini Mungu anamakusudi na maisha yetu, nitashukuru sana endapo ombi langu litasikilizwa kwa niaba ya Watoto wenzangu wote wa Tanzania.
Ninawatakia heri ya Chrismas na mwaka mpya.
Ndimim Joshua Mnzava Mbeya.

Joshua S Mnzava <glorygodisgood@yahoo.co.uk>
mbeya municipal, Mbeya Tanzania - Tuesday, December 07, 2004 at 19:26:29 (EAT)
nashukuru sana mungu katika kunitoa kwenye majaribu.
Emmiliana John <sweetemmy@yahoo.com>
dar es salaam, kawe Tanzania - Tuesday, December 07, 2004 at 19:24:57 (EAT)
Endeleeni kumtumikia Mungu, kwa kuwa yeye ni Bwana wa Mavuno.
Henry Shimo <Khshimo@yahoo.co.uk>
Mtwara, Mtwara Tanzania - Tuesday, December 07, 2004 at 11:54:42 (EAT)
Nice site!
AmericanWolf <rtf@mail.ru>
- Sunday, December 05, 2004 at 15:29:56 (EAT)
Nabarikiwa sana ninapotembelea mtandao huu.Mungu awabariki mzidi kuitenda kazi ya Bwana.Naomba mnielekeze mahali ninapoweza kupata kanda zenu za cassette kwa hapa Dar es salaam
Frank Mtyama <frankmtyama@hotmail>
Dar es salaam, Tanzania - Friday, December 03, 2004 at 14:00:32 (EAT)
mungu hakubarikisana
humprey mwakyoma <humphreymwaskyo'yahoo>
moshi/mjini, soweto Tanzania - Friday, December 03, 2004 at 12:16:03 (EAT)
mungu hakubarikisana
humprey mwakyoma <humphreymwaskyo'yahoo>
moshi/mjini, soweto Tanzania - Friday, December 03, 2004 at 12:16:03 (EAT)
mungu hakubarikisana
humprey mwakyoma <humphreymwaskyo'yahoo>
moshi/mjini, soweto Tanzania - Friday, December 03, 2004 at 12:15:57 (EAT)
WITH JESUS WE ARE ALWAYS THE WINNER'S
Natahniel Conrad <andasoni@hotmail.com>
DAR ES SALAAM, Tanzania - Wednesday, December 01, 2004 at 13:37:00 (EAT)
Naipongeza sana huduma hii maana watu wengi wanazidi kuokolewa.Pia huduma hii izidishe zaidi katika TV hata mara tatu kwa juma,Mungu awabariki sana.
Tumaini Stephen <tumainisd@hotmail,com>
Mwanza, Mz Tanzania - Tuesday, November 30, 2004 at 15:50:57 (EAT)
Ndugu Watumishi wa Mungu, Mbarikiwe sana kwa ajili ya huduma hii, na Mungu aliyeianzisha aikamilishe ndani yenu kufuatana na mipango yake. Tuzidi kumwomba Mungu ili jina la Yesu Kristo likiriwe na kila kinywa. Naomba password ya mafundisho ya ndoa tafadhali
Bibiana Reuben Massawe <bibianareuben@hotmail.com>
Tanga, Tanga Tanzania - Tuesday, November 30, 2004 at 13:02:29 (EAT)
Ndugu Watumishi wa Mungu, Namwomba Mungu aipanue zaidi kazi aliyoianzisha ndani yako, aikamilishe kufuatana na mapenzi yake. Ubarikiwe sana wewe na familia yako. Tuzidi kuombeana ili jina la Bwana wetu Yesu Kristo likiriwe na kila kinywa.
Naomba password ya mafunindisho ya ndoa tafadhali.

Bibiana Reuben Massawe <bibianareuben@hotmail.com>
Tanga, Tanga Tanzania - Tuesday, November 30, 2004 at 12:56:20 (EAT)
Ubarikiwe naBwanba.
Joseph Johnson Kimbwereza. <jojoki1@yahoo.com>
Arusha., Arusha. Tanzania - Tuesday, November 30, 2004 at 11:25:09 (EAT)
KAZI YA BWANA MUNGU LAZIMA IFANYWE. TWAKUOMBEENI MUENDELEE KUTULISHA MANA. PIA I'VE NEVER SEEN AN EXCEPTIONAL ORGANIZATION LIKE THIS, WE NEED WHAT YOU TEACH,YOU PREACH PRECISELY TO MEET OUR COMMUNITY NEEDS,I LIKE WHEN YOU DONT SEGRAGATE, INFACT YOU UNITE US.NO MATTER WHAT A DENOMINATION WE ALL NEED PRECIOUS BLOOD OF JESUS.I PRAY THE DAY WILL COME,WHEN PEOLE WILL UNDERSTAND AND FLEE AWAY FRO PREJUDICE AND MISCONCEPTION UPON WHERE THE WORD OF GOD COME FROM.I ADVICE IF YOU ASK HOLY SPIRIT TO TEACH US ABOUT TWO THINGS 0ne. AFRICAN CHRISTIANTY LIFE STYLE AND
.James B. Fulman <jamesandfulman@yahoo.com>
arusha, ARUSHA Tanzania - Monday, November 29, 2004 at 16:28:38 (EAT)
MUNGU AKUPE NGUVU KATIKA KUFANYA KAZI YAKE
mashaka simon <mbugism@yahoo.co.nz>
MBEYA, MBEYA Tanzania - Sunday, November 28, 2004 at 13:14:55 (EAT)
MUNGU AKUPE NGUVU KATIKA KUFANYA KAZI YAKE
mashaka simon <mbugism@yahoo.co.nz>
MBEYA, MBEYA Tanzania - Sunday, November 28, 2004 at 13:14:55 (EAT)
Mungu awatie nguvu zaidi ili muweze kumtumikia kwa nguvu zenu zote!
Cheistian Aminiel <chrissytz@yahoo.com,chrissytz@hotmail.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Sunday, November 28, 2004 at 13:08:58 (EAT)
mungu awabariki katika huduma mnayotoa. katika kumtumikia mungu.
editha sam
moshi, moshi Tanzania - Saturday, November 27, 2004 at 14:55:25 (EAT)
Asante kwa ufunuo nilioupata natumaini mungu atatusaidia.
Salome L. Makalla <lidakala@yahoo.com>
dar es salaam, dsm Tanzania - Saturday, November 27, 2004 at 14:53:11 (EAT)
Well, what else could I say...
Vikko Joe <rtf@mail.ru>
- Friday, November 26, 2004 at 23:05:03 (EAT)
naomba usogeze nje ya nchi hii
Yogi Ahamya <ahamyayogi@yahoo.co.uk>
Tanzania - Friday, November 26, 2004 at 15:47:08 (EAT)
Nawaombea mzidi kubarikiwa na BWANA.
GERALD ABSANTO <geraldsumari@yahoo.com>
DAR/Arusha, Tanzania - Friday, November 26, 2004 at 14:38:05 (EAT)
Nimefurahishwa na tovuti yenu hasa sehemu ya maombi. Mungu awabariki.
Harvest Nikanori Mariki <bwanaasifiwe73@yahoo.com>
Kahama, Shinyanga Tanzania - Friday, November 26, 2004 at 11:36:26 (EAT)
Kwa sasa sina maoni yoyote nitatoa baadaye
Emma Ntwale <ntwaleemma@hotmail.com>
Arusha, Tanzania - Thursday, November 25, 2004 at 14:51:20 (EAT)
Namshukuru Mungu kwa huduma hii, Na kumuomba aibariki izidi kusonga mbele
Verah Laiser <venney2003@hotmail.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Thursday, November 25, 2004 at 10:18:24 (EAT)
Mung awabariki ktk kazi nzuri mnayofanya kwa ajili ya utukufu wake.
joyce amina lwasye <ajl@mfa.no>
dsm, dsm Tanzania - Thursday, November 25, 2004 at 09:25:01 (EAT)
Bwana Yesu asifiwe. Nashukuru kwa website nzuri yenye mafundisho mengi. Nawatia moyo muendelee mbele. Kazi yenu siyo bure. Mungu mwenyewe ndiye atakayewalipa.
Matilda Buriani <matilda@yahoo.com>
Dar, Tanzania - Wednesday, November 24, 2004 at 15:02:06 (EAT)
Naomba niwe mmoja wa walio jiregista kwenye subsriber Injili ili niweze kusoma mambo ya ndoa.
Renalda F. Matem <renaldamatem64@hotmail.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Monday, November 22, 2004 at 15:29:17 (EAT)
Natoa shukrani kwa vipindi mbalimbali vinavyorushwa redioni Mungu aibariki huduma hii amen. Namshukuru Mungu kwa mponya mtoto wangu aliyekuwa anaumwa sana kwa siku tatu mfululizo na hata nilikata tamaa lakini nilipokuwa namsikiliza mtumishi wa Mungu Mwakasege siku ya jumamosi tarehe 6/11/2004 aliposema wenye magonjwa waguse wanapoumwa nikaweka mkono katika tumbo la mwanangu na nikaamini ya kwamba Yesu amemponya hivyo kuanzia jumatatu ya tarehe 8/11/2004 hakuumwa tena na kuharisha kukafunga na akaanza kula chakula kama kawaida na mpaka sasa anaendelea vizuri. Bwana Yesu apewe Sifaaaaaaaaaaaaaa! Yesu nakushukur kwa ajili ya mtumishi wako Mwakasege nakuomba uendelee kumbariki na kumhudumia.Amen
Rosemary Samuel Kileo <rosemary_samuel2004@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Monday, November 22, 2004 at 13:03:35 (EAT)
Naomba muwe mnanitumia mail za maombi
frank <frankcalist@hotmail.com>
Arusha, Mbauda Tanzania - Monday, November 22, 2004 at 10:18:35 (EAT)
Website yako ni nzuri na ina mafundisho mazuri kwa wakristo hasa katika kipindi hiki cha maingiliano. Mungu akubariki mtumishi wake, na wote wanaotumikia oganaizesheni yako.
Daniel Lugenge <daniel_lugenge@yahoo.com>
Dar es Salaam, Tanzania - Sunday, November 21, 2004 at 17:39:16 (EAT)
Bwana Mungu azidi kuwabariki ili kazi yake iendelee kuzaa matunda ndani ya roho za watu wote
Pamela <lyamp@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Sunday, November 21, 2004 at 17:14:52 (EAT)
I would like firstly to thank GOD for his gerace to the people of Tanzania . We have granted the really servants of the living GOD who are total commited to work with GOD. Secondly i would like to thank man of GOD Mr. Christopher Mwakasege for his good work of preaching the GOSPEL of JESUS CHRIST through even the internet . I want to promise him that we shall be together by the means of prayer so that GOD may increase his anounting to him and also GOD may continue to give him the spirit of wisdom always AMEN
BALTAZARI PAUL <baltazarnjau@yahoo.com>
DAR ES SALAAM, DAR ES SALAAM Tanzania - Sunday, November 21, 2004 at 15:46:00 (EAT)
Naomba kusoma mafundisho juu ya ndoa
Ibrahim Kalengo <ikalengo@ccsabco.co.za>
Dar Es Salaam, Dar Es Salaam Tanzania - Saturday, November 20, 2004 at 14:07:52 (EAT)
MUNGU akubariki kwa huduma hii
Ibrahim Kalengo <ikalengo@ccsabco.co.za>
Dar Es Salaam, Dar Es Salaam Tanzania - Saturday, November 20, 2004 at 14:00:03 (EAT)
mimi ni mfanyakazi nimeokoka nampenda Yesu lakini kiwango changu cha mshahara ni kidogo naomba muwe mnanitumia masomo yatakayo nisaidia kukuza kipato changu kwa njia ya Mungu. mwisho nasikia mna gazeti lenu ninge penda kulipata ikiwezekana.nabarikiwa sana na mafundisho yenu ya redioni kila jumatano.asanteni sana mbarikiwe
DAVID BROWN MPANGO <dmpango2003@yahoo.co.uk>
Dar es salaam, Ilala Tanzania - Friday, November 19, 2004 at 14:38:25 (EAT)
SINA MAONI
David Brown <dmpango2003@yahoo.co.uk>
Dar es salaam, Ilala Tanzania - Friday, November 19, 2004 at 14:26:04 (EAT)
Mimi kwa sasa niko lndonesia napenda kujiunga kwenye kitabu hiki ili niweze kua karibu na mungu kwa kupata habari njema za bwana,naomba muwe mnanitumia maombi, naomba mnifanyie maombi ili nipate kazi maana mkataba wangu umeisha,naomba sana msaada wenu, kazi yangu ni mcheza mpira, na tatizo langu la pili ni viongozi wangu awataki kinilipa hakizangu kama mkataba unavyo sema kwaiyo naomba msaada wa bwana, nategemea mtanisaidia, na kama kunamaombi ya kufanya naomba mnitumie,
THOMAS MASHALLA NYANDA <toma_332@hotmail.com>
TEMEKE, DAR TANZANIA - Thursday, November 18, 2004 at 16:02:51 (EAT)
Nimeshindwa kufungua mafundisho juu ya ndoa sasa nitawezaje?
Clarence Ndyetabula <clamsenga@yahoo.co.uk>
Ngara, Karagwe Tanzania - Thursday, November 18, 2004 at 14:16:03 (EAT)
Baba wa bwana wetu Yesu Krito atujalie wingi wa baraka na neema zake siku sote za maisha yetu.
Theodora F.Manumbu <tmanumbu2000@yahoo.com>
MWANZA, Tanzania - Thursday, November 18, 2004 at 13:28:33 (EAT)
MUNGU AZIDI KUWABARIKI KATIKA HUDUMA HII YA KUMTUMIKIA. KWA KWELI MIMI BINAFSI NIMEBARIKIWA SANA NA MASOMO YENU. MBARIKIWE MUINGIAPO NA MTOKAPO.
MARY MSUYA <maria@sopalodges.com>
ARUSHA, Tanzania - Thursday, November 18, 2004 at 11:47:50 (EAT)
Nmshukuru Mungu kwa kupa huduma hii ya uwalimu kwani tunapona kupitia mafundisho ambayo Roho mtakatifu anayaleta kupitia kwako Bwana akubariki sana
Godbless <blessmsu@yahoo.com>
Bagamoyo, Bagamoyo Tanzania - Tuesday, November 16, 2004 at 19:40:46 (EAT)
NAOMBA MAFUNDISHO YA KUWAJENGA VIJANA KIROHO YAANDALIWE.
NDYETABULA, DANIEL <alkard101@yahoo.co.uk>
SUA MOROGORO, Tanzania - Tuesday, November 16, 2004 at 17:47:11 (EAT)
Hongera kwa kuanzisha huduma ya maombezi hata katika mtandao wa internet.Mungu azidi kuwabariki katika kufanya kazi yake na kuchunga kondoo.
Adrian Njau <adriannjau@yahoo.com>
Dsm, Dsm Tanzania - Tuesday, November 16, 2004 at 16:44:02 (EAT)
Mungu awabariki na kuwatia nguvu.
Jacqueline Amos Mfwangavo
Canal Winchester, Ohio U.S.A .tel(614)834-5444 - Monday, November 15, 2004 at 19:47:10 (EAT)
MAY THE LORD ENABLE YOUR MINISTRY REACH MORE AND MORE PEOPLE BEFORE HIS SECOND COMING .MAY HIS BLESSINGS ABOUND IN YOU. AMEN.
FRED MONYO <fredmonyo@yahoo.com>
MOSHI, KILI Tanzania - Monday, November 15, 2004 at 11:21:47 (EAT)
Mungu akutie nguvu na akuwezeshe kuifanya kazi ya Mungu hapo Tanzania na nje ya Tanzania Mr and Mrs Mwakasege.
FRANK CHUNGU <FCHUNGU@HOTMAIL.COM>
Canton, OHIO USA - Sunday, November 14, 2004 at 23:27:35 (EAT)
ninaomba tuombe ili vijana waweze kubadilika kitabia kwani wanaangamia na gonjwa la ukimwi
siah materu <siahmateru@yahoo.com.uk>
iringa, k.kuu Tanzania - Saturday, November 13, 2004 at 16:41:46 (EAT)
ni web site nzuri inayoelimisha wąkristo. naomba Password mafundisho ya Ndoa tafadhali.
Gasper J Kimaro <gasperjos@yahoo.com>
DSM, KKKT,Mashariki na Pwani Tanzania - Saturday, November 13, 2004 at 13:35:25 (EAT)
Yesu aendelee kuwapa nguvu katika huduma.Kwa kweli kupitia huduma hii wengi wanafunguliwa hasa majeraha ya ndani.Ni maombi yangu Mungu aendelee kuwapa nguvu mpya kila siku.Ndugu kazi yenu si bure katika Bwana 1Wakorintho15:58
Joshua E.Lyimo <joshualyimo@yahoo.co.uk>
Moshi, Hai Tanzania - Friday, November 12, 2004 at 20:28:57 (EAT)
MUNGU awa bariki kwa huduma hii ya maombezi, ni mara yangu ya kwanza kutembelea web hii na nimefurahi sana nitazidi kumwomba MUNGU anitie nguvu. Na tuzidi kuombeana.
Raymond Issalah <rayissalah@hotmail.com>
Dar, Tanzania - Friday, November 12, 2004 at 19:43:51 (EAT)
nafurahia sana mahubiri yako na nitafurahi sana kama nita pata nafasi ya kukutembelea kazini kwako
erick nyoka <erick_nyoka@yahoo.com>
dodoma, kati Tanzania - Friday, November 12, 2004 at 14:27:34 (EAT)
MUNGU AIBARIKI KAZI YAKE KUPITIA KWA WATUMISHI MNAOINULIWA NA YEYE TU.
Ev.Gabriel Moses Masinga <masiga_gabriel@yahoo.com>
DSM, Tanzania - Friday, November 12, 2004 at 10:01:21 (EAT)
MUNGU AZIDI KUWABARIKI KWA BARAKA ZOTE ZA ROHONI NA MWILINI,NA AWAPE HAJA YA MIOYO YENU NA KUWAFIKISHA MNAPOTARAJIA KUFIKA,KIROHO,KIMWILI NA KIHUDUMA.
KISSAH G. TUNTUFYE <kgintu@yahoo.com>
dar-es-salaam, kinondoni Tanzania - Thursday, November 11, 2004 at 16:35:50 (EAT)
Ninabarikiwa sana na mafundisho yanayoendelea sasa juu ya kujikwamua kiuchumi ki-Mungu. Mbarikiwe sana.
Egnatio Mtawa <theegnatio@yahoo.com>
Makete, Iringa Tanzania - Thursday, November 11, 2004 at 15:06:45 (EAT)
Naomba huduma hii iwe inawafikia hata watu wa vijijini angalau hata mara moja kwa mwaka katika mikoa yote ya Tanzania.
Mkini Luka Charles <lukacharz@yahoo.co.uk>
Iringa, Iringa Tanzania - Wednesday, November 10, 2004 at 16:03:24 (EAT)
Fikiri ni jinsi gani unaweza kuwasaidia zaidi wale ambao wameokoka na wanataka kupata mafundisho ya kutosha kwa wakati ili waweze kumtumikia Mungu, mimi naiombea huduma hii ili iweze kuanzisha shule ya Biblia mahali fulani hapa nchini ili watu mafundisho ya NENO LA MUNGU wakati WOTE wanapohitaji.
Rev.Prince Edward Hiiti <princehiiti@yahoo.co.uk>
MOSHI, KILIMANJARO Tanzania - Tuesday, November 09, 2004 at 11:11:55 (EAT)
Bwana Yesu asifiwe sana nafurahishwa sana na mafundisho yenu. Mungu awatie nguvu Amen
Cecilia <cdnsemiwe2000@yahoo.com>
Dar es salaam, Kilimanjaro Tanzania - Monday, November 08, 2004 at 14:58:54 (EAT)
Nimebarikiwa sana na huduma yenu Mungu awabariki sana na awatangulie katika utumishi wenu
FRANK MKIRAMWINYI <framwinyi@yahoo.com>
MWANZA, Tanzania - Monday, November 08, 2004 at 12:32:14 (EAT)
Mungu na akubariki sana
Amos Mwijage <anmwijage@hotmail.com>
Lindi, Kusini Tanzania - Sunday, November 07, 2004 at 18:23:30 (EAT)
Napenda kuwa mmoja wenu katika huduma ya Bwana wetu Yesu Kristo,nafikiri mtanitumia majarida mengi ya kusoma kwa njia hii ya mail ili niweze kuu fahamu ukristo zaidi kwa ndani. Asante kwa huduma.
Gloria William Kimenye <glorykkimenye188@hotmail.com>
Dodoma, Dodoma Tanzania - Saturday, November 06, 2004 at 13:45:28 (EAT)
Mungu aendelee kuwabariki sana na upako wake uwashukie. AMEN
Rose P. Terry <rozeterie@hotmail.com>
Tanzania - Friday, November 05, 2004 at 11:59:38 (EAT)
Tunahitaji mafundisho ya Ndoa na tumuone Yesu akizibadilisha ndoa zetu.
Mercy Kyamba <mercykyamba@hotmail.com>
Arusha, Tanzania - Thursday, November 04, 2004 at 11:14:35 (EAT)
Mungu awabariki kwa huduma hii.
Abiudi George Kinyaha <abihudik @yahoo.co.uk>
Dodoma, makaomakuu Tanzania - Wednesday, November 03, 2004 at 20:01:54 (EAT)
Nawashukuruni wote kwa kuiendeleza huduma hii ya neno la Mungu kwa kupitia vipindi vya redio. Mungu Ibariki huduma hii Amen
Rosemary Samuel Kileo <rosemary_samuel2004@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Monday, November 01, 2004 at 15:55:25 (EAT)
mungu awabariki sana wewe na familiya yako
NEEMA B KAAYA <neema_kaaya@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Thursday, October 28, 2004 at 13:44:15 (EAT)
nimeokoka nampenda yesu.
Lusingu Azayobob. <boblusingus@hotmail.com>
Dar es salaam, Kinondoni. Tanzania - Thursday, October 28, 2004 at 11:53:49 (EAT)
Bwana yesu atukuzwe Namshukuru Mungu kwa kuwa yeye ni mwema na anatupenda namwomba kila siku azidi kuwalinda wtumishi wake namwomba pia awajaze kila siku kwa upya nguvu zake ili mzidi kusimama katika kazi yake Bwana asifiwe
Godbless msuya <blessmsu@yahoo.com>
Bagamoyo, bagamoyo Tanzania - Wednesday, October 27, 2004 at 18:03:24 (EAT)
nilituma maoni yangu je yaliwafikia walengwa wanao husika katika huduma ya mungu mwenye enzi yote.
yonathan landa <yonathanlanda@yahoo.com>
dar es salaam, temeke Tanzania - Wednesday, October 27, 2004 at 13:55:44 (EAT)
Mungu akubariki sana kwa kazi kubwa unayoifanya ya kutunza watu kimwili na kiroho Karibu sana iringa tarehe 4/11/2004 ila bado hatujaelewa huo mkutano utafanyika sehehu gani Mungu akubariki san akwa kazi kubwa unayoifanya
Siah.M.Materu <Siah.yahoo.com/ PO BOX.940 IRINGA>
Iringa, kanisa kuu Tanzania - Tuesday, October 26, 2004 at 18:42:49 (EAT)
SINA MAONI ILA MUNGU ALIEWAIRTENI SHAMBANI MWAKE AWATIE NGUVU
Evalyne Nnko <MissNancy_Eva@hoatmail.com>
Arusha, Tanzania - Tuesday, October 26, 2004 at 15:47:03 (EAT)
Kusudi la Mungu ni watu wote wamjue, wampende, wamtumike na mwisho wafike kwake Mbinguni. Mungu katika jina la Bwana Yesu Nijalie nikuishie.
Bahati Restituta <restmallya@yahoo.co.uk>
Moshi, Moshi Tanzania - Tuesday, October 26, 2004 at 14:37:40 (EAT)
Tunamshukuru Mungu kwa Huduma hii mnayoifanya. Munngu awabariki na kuwatia nguvu. Watu wengi wanaokoka na kuponywa miili, nafsi na roho.Jitahidini kuona ni jinsi gani ya kuwasaidia maana wanabaki bila msaada na hatimaye wanarudi katika hali zao za awali na huenda hali zao zinakuwa mbaya zaidi.Fikiri kuwa na madarasa ya kuwalea na ikibidi mwangalie ni nani ambaye ana imani na huduma mnayofanya na mwenye mafundisho manyofu ambaye mnaweza mkamtumia ili kulea hayo MAVUNO. Mungu awabariki na kuwaongoza katika yote. Tunawapenda na tunawaombea.
REV.ROGATH K. SWAI <maasaimission@yahoo.com>
ARUSHA, ARUSHA Tanzania - Monday, October 25, 2004 at 19:42:56 (EAT)
Tunamshukuru Mungu kwa Huduma hii mnayoifanya. Munngu awabariki na kuwatia nguvu. Watu wengi wanaokoka na kuponywa miili, nafsi na roho.Jitahidini kuona ni jinsi gani ya kuwasaidia maana wanabaki bila msaada na hatimaye wanarudi katika hali zao za awali na huenda hali zao zinakuwa mbaya zaidi.Fikiri kuwa na madarasa ya kuwalea na ikibidi mwangalie ni nani ambaye ana imani na huduma mnayofanya na mwenye mafundisho manyofu ambaye mnaweza mkamtumia ili kulea hayo MAVUNO. Mungu awabariki na kuwaongoza katika yote. Tunawapenda na tunawaombea.
REV.ROGATH K. SWAI <maasaimission@yahoo.com>
ARUSHA, ARUSHA Tanzania - Monday, October 25, 2004 at 19:41:46 (EAT)
Namshukuru Mungu Aliye Hai kwa kuwapa uwezo na mawazo ya kufungua Web page Naamini imekuwa ya msaada na itakuwa ya msaada kwa watu wengi wakristo na wengine. Mungu Awabariki Sana, Awalinde na kuwatia nguvu na zaidi ya yote akutane na mahitaji yenu yote kwa ujumla pamoja na familia yote.
Orida Yonah <oyonah@yahoo.com>
Tanga, Tanzania - Monday, October 25, 2004 at 18:56:15 (EAT)
Salam ktk jina la Bwana Yesu. Poleni sana kwa jinsi Mungu anavyowatumia kwa kuwapa watu wake habari ya mbinguni. Maoni yangu nikuwa mngetuongezea mda wa kipindi cha neno jioni lile linaloanza saa tatu usiku liwe angalau la lisaa limoja na kuendelea na pia kama inawezekana kuwe na kipindi cha mahubiri kwenye ITV Kila jumapili baadatu ya saa za ibada Mungu awabariki ktk kazi njema . NAYE ALIEIANZISHA KAZI NJEMA MIOYONI MWENU ATITIMILIZA HATA SIKU ZA KRISTO YESU.
Amos Fahamuel <ammarochi@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Saturday, October 23, 2004 at 12:56:57 (EAT)
Mungu awabariki kwa kazi ambayo mnaifanya na azidi kuwabariki katika kutenda kazi yake.
SABINA MWAKASEGE <reddiance@yahoo.co.uk>
Dar Es Salaam, Tanzania - Friday, October 22, 2004 at 15:29:59 (EAT)
NINIMSHUKURU SANA MUNGU KWA AJILI YAHUDUMA YENU. MUNGU AZIDI KUWAPA NGUVU ZAIDI NA ZAIDI.NINAPENDEKEZA KAMA MUNGU AKIWAPA KIBALI MFANYE SEMINA ZAIDI YA MBILI KWA MWAKA HAPA DAR ES SALAAM.PILI NAOMBA EMAIL ADDRESS ZA WAWAKILISHI WENU WA MIKOANI ZIINGIZWE KWENYE WEB SITE YENU.MUNGU AWABARIKI.
MAANGA TUMSIFU <tmaanga@yahoo.com>
DSM, KINONDONI Tanzania - Friday, October 22, 2004 at 14:26:49 (EAT)
BWANA YESU KRISTO ASIFIWE SANA! Nawatakia kazi njema na Mungu azidi kuwatia nguvu katika huduma hii na mzidi kuwavuta wengi kwake kama ulivyo mpango wake Kristo.MUNGU awatangulie katika kila jambo mfanyalo kwa ajili ya sifa na utukufu wa jina lake yeye aliyetuumba kwa makusudi yake mwenyewe.
RWELENGELA ANSFRIDA <rwelengela@yahoo.co.uk>
DAR, DAR Tanzania - Thursday, October 21, 2004 at 10:03:01 (EAT)
maoni yangu mimi ni kwamba tunaomba kila unapokuja kwetu kutupa neno au kutulisha neno la uzima nilikuwa naomba uwe na muda wa kuonekana kwa urahisi kabla ya saa kumi ili wenye shida kubwa tuweze kukuona. kwa mfano mimi nina mama yangu mgonjwa ambaye alipooza upande ana miaka mitatu sasa tangu kupooza kwake na tumekuwa tukihudhuria katika semna zako bado hajapona. mimi ninashida ya kupata mawasiliano kuhusu maombi ya huyo mama maana nimesikia kuwa unaweza kuombea hata kupitia kwenye mtandao huu. nitashukuru sana kama utafanya hivyo.
rose danny <rosedanny2001@yahoo.com>
miyuji, dodomamjini Tanzania - Wednesday, October 20, 2004 at 17:53:26 (EAT)
Mungu Akubariki kwa mahubiri na mafundisho mazuri. Yamekuwa yakinijenga tangu niipate na kuifungua hii site kutoka kwa rafiki yangu wa Dodoma.Ninge omba kupata mafundisho juu ya ndoa. Mimi nina umri wa miaka 55.
Emy Nderingo <emynderingo@yahoo.co.uk>
Morogoro, Morogoro Tanzania - Wednesday, October 20, 2004 at 14:20:28 (EAT)
NAOMBA UKURASA WA KUTAZAMA TV URUDISHWE NA MASOMO ZAIDI YONGEZWE KWA UPYA NA KUWEKWE NJIA NZURI ILI TUNAOTAKA KUAGIZA VITTOKA MIKANI IWE RAHISI
DENNIS MWAIPOPO <dennis_josephat@hotmail.com>
MTWARA, Tanzania - Tuesday, October 19, 2004 at 18:35:49 (EAT)
naomba ufundishe jamii kuhusu ndoa na mungu atakupa kibali tu,mungu akubariki sana
ester kihwele <esterkihwele@yahoo.com>
dsm, Tanzania - Tuesday, October 19, 2004 at 16:31:44 (EAT)
naomba ufundishe jamii kuhusu ndoa na mungu atakupa kibali tu,mungu akubariki sana
ester kihwele <esterkihwele@yahoo.com>
dsm, Tanzania - Tuesday, October 19, 2004 at 16:31:09 (EAT)
Bwana awabariki kwa kazi nzuri inayofanyika
Godwin Mpelumbe <mpelumbes@yahoo.com>
Dar es salaam, Temeke Tanzania - Tuesday, October 19, 2004 at 14:24:47 (EAT)
ENDELEA KUHUBIRI ILI WENGI WAZIDI KUOKOLEWA KWA MAHUBIRI YAKO BWANA YESU AZIDI KUKUONGOZA AMEN
JULIUS .O. MWANGA <kambere77@yahoo.co.uk>
SINGIDA, Tanzania - Tuesday, October 19, 2004 at 12:08:59 (EAT)
Ninamshukuru MUNGU kuniwezesha kukubali na kuamini Mafundisho ya mt.wa MUNGU MWAKASEGE si makosa yangu labda ni uwezo wangu wa kuelewa na nilikuwa siamini sana mafundisho ya Baadhi ya watumishi wa MUNGU eg.KAKOBE lkn sasa namshukuru MUNGU KWA KUNIFUNGUA .SIJAELEWA SANA maana ya kibox hichi cha maoni lkn naamini nitaendelea kuelewa kwa kukitumia na nitaweza kukitumia vyema
DORIS KISIMBO <d_kisimbo@yahoo.com>
DAR-ES-SAALAM, DAR Tanzania - Monday, October 18, 2004 at 18:51:47 (EAT)
Ninamshukuru Mungu kwa utaratibu huu mzuri wa kuwasiliana katika mtandao B WANA YESU [APEWE SIFA Amen
NATHAN MATHIA MASAOE <samwelinathan@yahoo.com>
ARUSHA, ARUSHA Tanzania - Monday, October 18, 2004 at 18:27:30 (EAT)
Ninamshukuru Mungu kwa utaratibu huu mzuri wa kuwasiliana katika mtandao B WANA YESU [APEWE SIFA Amen
NATHAN MATHIA MASAOE <samwelinathan@yahoo.com>
ARUSHA, ARUSHA Tanzania - Monday, October 18, 2004 at 18:27:25 (EAT)
Ninaishi Dar es Salaam, je ninawezaje kukupata?
Martina Mashaka <martina_mashaka@yahoo.com>
Dar es Salaam, Tanzania,united republic - Monday, October 18, 2004 at 16:37:43 (EAT)
Mimi naisha Dar, ningependa kufahamu ni kwa njia gani naweza kukupata.
Martina Mashaka <martina_mashaka@yahoo.com>
Dar es Salaam, DSM Tanzania - Monday, October 18, 2004 at 16:07:44 (EAT)
Mimi naisha Dar, ningependa kufahamu ni kwa njia gani naweza kukupata.
Martina Mashaka <martina_mashaka@yahoo.com>
Dar es Salaam, DSM Tanzania - Monday, October 18, 2004 at 16:06:41 (EAT)
It's a blessing! Thank God for your teachings about the word of GOD. I have a lot. God Bless U and the entire ministry. Thanks, Mwaibindi.
Mwaibindi. Y. Eddson <eliddymwaibindi@yahoo.co.uk>
Njombe, Njombe Tanzania - Monday, October 18, 2004 at 10:49:47 (EAT)
Mungu awabariki kwa kazi yenu njema ya kumuwasilisha kristo kwa mataifa, na kuliponya kanisa la Mungu hapa Tanzania,ninabarikiwa sana na mafundisho yenu!
Lilian Ndauka <ndaukalily@yahoo.co.uk>
Tanga, tanga Tanzania - Sunday, October 17, 2004 at 18:10:52 (EAT)
Tunaombo ikiwezekan tuwaombe viongozi C.C.T.waruhusu waumini ili maubili yako pamoja na wengine yaweze kuonyeshwa kwenye T.V. hasa ambazo mtandao wake upo katika miji mi
JAPHET.R. KASILILIKA <jerbn@hotmail.com>
MBEYA, Tanzania - Saturday, October 16, 2004 at 10:53:26 (EAT)
Tunabarikiwa sana na huduma hiii MUNGU azidi kuwatia nguvu
JACOB /PRISCILLAH MERERE <kingjey2001@yahoo.com>
BOSTON, MA USA - Saturday, October 16, 2004 at 03:03:32 (EAT)
naomba nijiunge na mahubiri ya mwakasege
David Maluila <Maluiladavid@yahoo.co.uk>
Kibaha, Dar es salaam Tanzania - Friday, October 15, 2004 at 18:14:56 (EAT)
NINA SWALI JE KWENYE KUSAMEHE NA KUSAHAU INACHUKUA MUDA GANI MPAKA MTU ASAHAU TENDO BAYA ALILOKUTENDEA MUMEO?
Emy <amaeda@suanet.ac.tz>
Morogoro, Morogoro Tanzania - Friday, October 15, 2004 at 14:03:38 (EAT)
Maoni yangu ni kuwapomgeza kwa shughuli gumu mzifanyazo. Pili ninaomba kutumiwa nakala jinsi ya kujifunza kwa maombi. ya kuvunja nguvu za giza. na nakala ya kuzijua kalama za rohoni.
NEEMA GAMBISHI <neemaga2001@yahoo.com>
Mwanza, Makongoro AICT Tanzania - Friday, October 15, 2004 at 12:30:01 (EAT)
Ubarikiwe sana kwa kazi unayoifanya. Ninaomba Mungu akusaidie sana kwa kazi kubwa unayoifanya ya kufundisha watu kukua kiroho Mungu akubariki sana.
Siah.M.Materu <Siah.yahoo.com/ PO BOX.940 IRINGA>
Tanzania - Friday, October 15, 2004 at 11:25:18 (EAT)
Namshukuru MUNGU kwa kuniwezesha kufika hapa Norway,nilikuwa namuomba Mungu naye amesikia,kwasasa nipo hapa ninasoma,na MUNGU AMEFUNGUA MILANGO YA KAZI ALLELUYA, NAOMBA maombi yenu ili baraka hizi nizishirikishe na wenzangu.MUNGU AWATIE NGUVU KATIKA HUDUMA YENU SEMINA YA MWEZI WA NANE DIAMOND JUBILEE ILIKUWA YA BARAKA KWANGU.
Renatus <rrenatus@yahoo.com>
Oslo, norway - Friday, October 15, 2004 at 09:05:42 (EAT)
Ninaomba tubebe mzigo kuombea vijana ili waepuke na magonjwa ya zinaa.Au mungu awafungulie wapate ajira kila mmoja ili wasihangaike.Karibu sana kwenye semina ya mwezi wa 11kwani tunasubiri kwa hamu sana.Ubarikiwe sana katika utumishi wako.
siah <siahmateru@yahoo.com.uk>
iringa, k.kuu Tanzania - Wednesday, October 13, 2004 at 13:47:51 (EAT)
Mimi ni kijana nimeoa na Mungu amenibariki na mtoto mmoja wa kiume. Nimefurahishwa sana na mafundisho ya ndugu Mwakasege. Mungu aendelee kumbariki na kumtia nguvu na ufahamu zaidi na zaidi. Ningependa nipate kibali cha kusoma mafundisho ya ndoa ambayo yanahitaji uwe na email address na password.
Clement KIVEGALO <ckivegalo@ruralwater.go.tz>
Dar es Salaam, Tanzania - Tuesday, October 12, 2004 at 15:44:38 (EAT)
Ninaihesabu ni baraka kwangu kugundua kuna mtandao huu. Tafadhali muanzishe utaratibu(kama haupo) wa kuwatumia wanakitabu barua na hata ratiba za semina na mikutano mbalimbali. Mungu azidi kuwawezesha ili nasi tuzidi kubarikiwa
Grace Frederick <kishiwah@yahoo.com>
Dar-es-salaam, Tanzania - Tuesday, October 12, 2004 at 15:23:02 (EAT)
Mungu awabariki kwa kazi njema.
Mhando Mbughuni <philyamon2@yahoo.com>
Dar es salaam, Mbezi Beach Tanzania - Tuesday, October 12, 2004 at 12:46:15 (EAT)
Huduma hii izidi kusonga Mbele na tuzidi kumuinua huyu Mungu wetu anayetenda maajabu kwa watu wake!
Rose John Kapungu <rkapungu@hotmail.com>
D'Salaam, Tanzania - Tuesday, October 12, 2004 at 09:29:55 (EAT)
MUNGU ALIYE ANZISHA KAZI NDANI YENU HAKIKA ATAENDELEA KUWA KIONGOZI WA HII HUDUMA.NINA SIKILIZA SANA MAFUNDISHO YAKO KUPITIA RADIO WAPO KILA SIKU YA JUMATAO USIKU.MUNGU AWABARIKI.
INDIAEL JAMES MTEI <indiamtei@yahoo.com>
DAR-ES-SALAAM, TEMEKE Tanzania - Monday, October 11, 2004 at 16:01:37 (EAT)
Tungepata vipindi kwa njia ya TV tungefarijika sana,tuna mambo mengi ambayo kama tungelikuwa tunapata neno katika TV tungefunguka na matatizo yaliyopo moyoni yangetoweka.
Amani Kimaro <ackimaro@yahoo.com>
Dar-es-salaam, Tanzania - Monday, October 11, 2004 at 15:15:51 (EAT)
so happy be able to find this website, God bless you all as u serve Him. I remain in the palm of His Hand Irene
IreneKiwelu <irenek4him@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Monday, October 11, 2004 at 14:02:09 (EAT)
nimefurahi kufika kwenu mungu awabariki sana.
samwel michael irira <ssirira@hotmail.com,ssirira@yahoo.uk.co.>
korogwe, Tanzania - Saturday, October 09, 2004 at 18:01:33 (EAT)
Kweli maombi ya Mwakasege kwa imani yanasaidia sana watu. Mimi pia naamini kwa kupita jina la Yesu kristu ukiwa kama mtumishi wa Bwana nitasaidika kupitia wewe. AMEN!!!
Wendy Moshy <vwmoshy@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Saturday, October 09, 2004 at 17:56:00 (EAT)
Mimi ni mke wa mume mmoja na nina mtoto mdogo mvulana miezi 5 tu nahitaji maombi kutoka kwenu ili Mungu amsimamie Mume wangu hasitangetange nje, pili naomba kupewa nafasi ili niingie ktk webb site yenu ya mafundisho ya Ndoa naomba Password tafadhari
Darcy Ellison <darcy_ellison@hotmail.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Friday, October 08, 2004 at 16:10:51 (EAT)
sisi tulio dar kimasomo tunakupata mara moja kila wiki halafu ndio basi tena hata kufuatilia mtiririko wa masomo yako mazuri inakuwa tabu kwani tunasahau.kama itawezekana na sisi huku tuwe na siku 2 zilizofuatana kama wenzetu wa arusha.
william mugasa <mugasawilliam@yahoo.com>
arusha, arusha Tanzania - Friday, October 08, 2004 at 15:51:36 (EAT)
naomba kujulishwa mengi kuhusu huduma zenu
herman lukas mndeme <hapitologictz@yahoo.com>
arusha, meru Tanzania - Friday, October 08, 2004 at 13:50:42 (EAT)
ninaomba website ya somo la ndoa
judithmallya <judithmallya@yahoo.com>
korogwedistrict, Tanzania - Thursday, October 07, 2004 at 23:10:16 (EAT)
Nimefurahi sana kusikia ujumbe wa Neno la Mungu. Naomba nitumiwe nakala za mafundisho zaidi kwa njia hii ya email kama itawezekana.
Winfrida Sebastian <winseba@yahoo.com>
Mwanza, mwanza Tanzania - Thursday, October 07, 2004 at 13:02:16 (EAT)
Naomba nitumiwe kitabu: Mambo ya kufanya MATUMIZI yako yanayozidi KIPATO ulichonacho.
Msaki Ndesika <ndesika2002@yahoo.com>
Mwanza, Tanzania - Tuesday, October 05, 2004 at 18:22:27 (EAT)
naomba nitumiwe masomo ya kunikuza kiroho.
candidus kulaya <ckulayas@yahoo.com>
Dodoma, Tanzania - Tuesday, October 05, 2004 at 17:11:24 (EAT)
Bwana asifiwe sana.MR&Mrs Mwakasege hongereni kwa mliko fikia na Mungu awasaidie Amen
Flora Paul <flopaul20@yahoo.com>
Arusha, kijenge Tanzania - Tuesday, October 05, 2004 at 17:03:14 (EAT)
Mungu na akazidi kuwaimarisha katika kasi Kazi hii ya maombezi si rahisi. Bwana azidi kuwaimarisha katika kazi hii ya maombezi ili mkaaombee kizazi hiki ambacho kimejaa uovu wa kila aina. Mimi binafsi nimefarijika sana na maombi yako. Ninamshukuru Mungu kwa ajili ya Huduma Hii ya Neno la Mungu kwa njia ya mtandao. Maoni yangu ningefurahi sana Mtumishi wa Mungu C. Mwakasege akafungua kituo cha Kurushia Matangazo yaani TV yako. Kwa kweli ule muda tunaokuwa nao nyumbani wakati tumekaa sebuleni tungekuwa tunapata Neno pia kwa njia hiyo ili hata wale wasiopenda kwenda kwenye mafundisho wayapate pia. Ninaamini hasa sisi wakazi wa Dar tusingewasha tena station nyingine maana tunabarikiwa sana na Utumishi wako. Ubarikiwe sana na Mungu akuwezeshe Mtumishi.
Sayuni Ringo <zionringo@yahoo.com>
Dar es Salaam, Tanzania - Tuesday, October 05, 2004 at 15:31:54 (EAT)
TUMUTEGEMEE YESU KATIKA KILA JAMBO
KASASE <mbonipa>
morogoro, MZUMBE Tanzania - Monday, October 04, 2004 at 15:36:15 (EAT)
Mungu amewainua kwa kusudi maalum,endeleeni kulitumikia shauri la MUNGU kwa wakati aliowaweka hapa duniani bila kuvunjwa moyo.
Samuel Ndauka <ndukasam@yahoo.com>
Tanga, east Tanzania - Monday, October 04, 2004 at 14:55:37 (EAT)
Nimeoka na napenda tuungane nayi katika maombezi kwani nina matatizo ya kiafya
Martha Sospeter Sagondi <marsago20@yahoo.com>
Mwanza, Mwanza Tanzania - Monday, October 04, 2004 at 12:37:13 (EAT)
mr na mrs mwakasege mungu awatie moyo maana kazi yenu sibure.mungu azidi kuwapiginia katika kuitenda kazi yake.EDITHA SAM
e
Tanzania - Saturday, October 02, 2004 at 23:39:11 (EAT)
Mungu abariki ukurasa huu wa kitabu cha wageni.
SHIMATA FELIX. <fedash56@hotmail.com>
DAR ES SALAAM, TANZANIA Tanzania - Saturday, October 02, 2004 at 22:16:53 (EAT)
Mungu abariki ukurasa huu wa kitabu cha wageni.
BROWN ANDERSON. <brownanderson>
DAR ES SALAAM, TANZANIA Tanzania - Saturday, October 02, 2004 at 22:14:22 (EAT)
Nimefurahia mno kuona website hii. Mungu awabariki sana
Stephen Rusibamayila <stephen_rusibamayila@yahoo.com>
Dar es Salaam, N/A Tanzania - Friday, October 01, 2004 at 16:52:19 (EAT)
Ninawashukuru sana Mwakasege na Diana kwa kutuelimisha na kutoa mafundisho mbalimbali hasa kwa sisi vijana tunaotarajia kuanza maisha upya na kuishi na familia nyingine. Yale mafundisho yamenionyesha njia nzuri sana, hasa kwa mimi ambaye nilikuwa sijui kama kuna kuacha wazazi wangu na kuishi na wazazi wengine. Mungu awazidishie neema na baraka ili muweze kutuelimisha vizuri zaidi. Amen
Teresia <tedi_s2002@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Friday, October 01, 2004 at 15:15:26 (EAT)
naomba tuhuti hii iongeze uhuru na urahisi wa mtumiaji moja kwa moja. kwa mfano mimi nilikuwa nataka kuuliza swali lakini sijapata "icon" ambayo inaniruhusu kufanya hivyo pili tunaomba biblia iwe imeunganishwa kwenye huu mtandao hata kama itakuwani ya kiingereza ambayo tayari ipo kwenye computer.
francis isimilo <amosyonline@yahoo.com>
dares salaam, Tanzania - Thursday, September 30, 2004 at 16:17:16 (EAT)
Mungu azidi kukubariki katika mafundisho yako.
Asnath Ngonyani <asnath26@hotmail.com>
Dar es salaam, Temeke Tanzania - Thursday, September 30, 2004 at 16:03:49 (EAT)
UJUMBE KWA NJIA YA TELEVISION MFANO STAR TV, ITV NA TVT, ITATUSAIDIA TULIO WENGI KUPATA UJUMBE WA NENO LA MUNGU JAPO MARA MOJA KWA JUMA. BWANA AZIDI KUWATIA NGUVU.
LYDIA SAKAFU <sesakafu@yahoo.com>
MWANZA, MJINE Tanzania - Thursday, September 30, 2004 at 14:30:37 (EAT)
Ninamshukuru Mungu kwa kazi kubwa na nzuri inayoendelea kufanyika kila siku ya huduma ya neno lake kwa kupitia website hii. Naomba Mungu azidi kuwapigania katika yote. Mungu wa Amani awe nanyi daima. amen
Rosemary Samuel Kileo <rosemary_samuel2004@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Thursday, September 30, 2004 at 09:01:27 (EAT)
polesana nakazi yamungu mimi danieli nikohapa kongo
daniel s komba <danisikomba@yahoo.com>
goma, congo - Wednesday, September 29, 2004 at 18:16:24 (EAT)
Nashukuru sana kwa kutembelea website ya Mwakasege naomba Mungu awasaidie katika huduma hii ya aina yake ya kulitangaza neno lake na kuwavuta wengine kwake kupitia huduma hii. Damu ya Yesu ndiyo jibu la yote. Amen
Rosemary Samuel Kileo <rosemary_samuel2004@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Wednesday, September 29, 2004 at 13:28:15 (EAT)
tunashukulu sana kwakujitaidi kwenu mungu awabaliki sana .tunazidi kuwaombea.
irene gerald <irenegerald@hotmail.com>
africa, temeke Tanzania - Wednesday, September 29, 2004 at 11:58:19 (EAT)
Mungu awabariki kwa huduma
Lucy Nambuo <lnambuo@hotmail.com>
Dar es Salaam, Ds Salaamar e Tanzania - Wednesday, September 29, 2004 at 07:55:33 (EAT)
BWANA AWATIE MOYO NA KUWAIMARISHA SIKU ZOTE KATIKA HUDUMA HII YA YEYE MWENYEWE; NA MSICHOKE MAANA MTAPATA UJIRA KWA MAJIRA YAKE BWANA.
MICHAEL MLONGA <mmlonga@yahoo.com>
ARUSHA, Tanzania - Tuesday, September 28, 2004 at 19:27:16 (EAT)
Glory to God! Servants of God, praise the Lord Jesus Christ! Whenever I visit your web site and watch video cassettes,listen to radios, read books.I always become blessed by your service.GOD BLESS AND GIVE YOU GOOD HEALTH.Ameni!
BUKUKU,W.P.M <wpmbukuku>
Mbeya, Mbeya mjini Tanzania - Tuesday, September 28, 2004 at 18:30:00 (EAT)
Mungu awabariki sana,nimefurahia masomo ya web yenu.tuzidi kuombeana
martina lukumay <mlukumay@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Tuesday, September 28, 2004 at 10:54:59 (EAT)
Mbarikiwe kwa huduma hii ya neno la mungu kwa njia ya mtandao kwa kuwa ni mara yangu ya kwanza kufungua mtandao huu sina la zaidi kwa siku ya leo nawatakia kila la heri
MRS,HELLEN,S.ACHIMPOTA <hellenaachimpota626@hotmail.com>
MOROGORO, Tanzania - Tuesday, September 28, 2004 at 09:49:54 (EAT)
Glory be to Almighty God! Website ni nzuri na mafundisho ni mazuri yamenibariki sana hasa yale ya vijana. Mungu awabariki na kuwalinda ilil muweze kuendelea kutenda kazi ya Bwana.AMEN
Faraja Kiuwanga <fajlize@yahoo.co.uk>
Dar es Salaam, Tanzania - Monday, September 27, 2004 at 10:48:18 (EAT)
Mwalimu Mwakasege Mungu akubariki sana mafundisho yako yanashibisha roho, karama Mungu aliyo kupa Baba unafundisha vizuri sana. Masomo yanaeleweka kwa namna ya ajabu.Masomo yote yanaeleweka,Mungu akubariki na familia yako wasalimie Anna Joshua na Neema.
veronica mukasa <veronicamukasa@yahoo.com>
Dar es salaam, Dar es salaam Tanzania - Sunday, September 26, 2004 at 18:42:06 (EAT)
Mwalimu Mwakasege Mungu akubariki sana mafundisho yako yanashibisha roho, karama Mungu aliyo kupa Baba unafundisha vizuri sana. Masomo yanaeleweka kwa namna ya ajabu.Masomo yote yanaeleweka,Mungu akubariki na familia yako wasalimie Anna Joshua na Neema.
veronica mukasa <veronicamukasa@yahoo.com>
Dar es salaam, Dar es salaam Tanzania - Sunday, September 26, 2004 at 18:42:04 (EAT)
MUNGU AWATIE NGUVU SANA KTK KAZI HII NJEMA SANA MUIFANYAYO KWANI HATA TUKIWA MBALI TUNAPATA MAFUNDISHO YAKO NA NINAENDELEA KUKUWA KIROHO.ASANTE SANA.
GILDA RICHARD <gildarich2000@yahoo.co.uk>
Cape town, tygerberg Afrika ya kusini - Sunday, September 26, 2004 at 15:26:51 (EAT)
Nifurahishwa sana na mafundisho yenu, endeleeni mbele.
Evelyn Paraboy Kaney <evelynparaboy@hotmail.com>
Mbeya, MN Tanzania - Sunday, September 26, 2004 at 07:48:55 (EAT)
Namshukuru sana Mungu kwa ajili yenu, kwani naweza kupata injili na taarifa za semina kupitia mtandao huu.Bwana awabariki na kuwatia nguvu katika utumishi wenu.
Lambo Mayenga <limayenga@costech.or.tz>
Dar es salaam, DSM Tanzania - Saturday, September 25, 2004 at 11:49:29 (EAT)
NINGEPENDA HUDUMA HII IFIKE PIA VYUONI KWA SABABU TUNAIHITAJI SANA NA MAZINGIRA YA VYUONI YANASIKITISHA
Godwin Protace <god21tz@yahoo.com>
Morogoro , MLALI Tanzania - Saturday, September 25, 2004 at 10:50:42 (EAT)
nahitaji kujua mengi kuhusu Mungu
furaha Hussein <flugunda2000@yahoo.com>
mwanza, kanda ya ziwa Tanzania - Saturday, September 25, 2004 at 10:41:37 (EAT)
May almighty God be with you Ev. Teacher. Mwakasege and your wife Diana, to uprift the great name of Jesus. "Ujumbe wangu ni kuwa wewe na mimi tumelibeba jina kubwa la bwana YESU kwahiyo inatupasa kuwa watakatifu" Mungu awabariki.
Eng. David B. Nestory <dav_ne_ba@hotmail.com>
Mwanza, Sengerema Tanzania - Friday, September 24, 2004 at 17:31:38 (EAT)
Naomba Password ya somo la ndoa
Rose Mnangu <rose.mnangu@heifermza.or.tz>
Mwanza, Ilemela Tanzania - Friday, September 24, 2004 at 12:12:40 (EAT)
Nitazidi kuwaombea kwanza nimefurahi kwa ujio wenu Mwanza kwa kweli tumepata kitu ambacho ni hazina kubwa katika maisha ya kiroho. Mafundisho yamenijenga na kuniinua sana katika maisha yangu ya kiroho. Naomba kama ikimpendeza Mungu mwaka kesho watumishi wa Mungu muweze kuja tena, Na Mungu awabariki sana.
Mrs. Rose Mnangu <rose.mnangu@heifermza.or.tz>
Mwanza, Ilemela Tanzania - Friday, September 24, 2004 at 12:07:50 (EAT)
Nitazidi kuwaombea kwanza nimefurahi kwa ujio wenu Mwanza kwa kweli tumepata kitu ambacho ni hazina kubwa katika maisha ya kiroho. Mafundisho yamenijenga na kuniinua sana katika maisha yangu ya kiroho. Naomba kama ikimpendeza Mungu mwaka kesho watumishi wa Mungu muweze kuja tena, Na Mungu awabariki sana.
Mrs. Rose Mnangu <rose.mnangu@heifermza.or.tz>
Mwanza, Ilemela Tanzania - Friday, September 24, 2004 at 12:06:55 (EAT)
Bwana wetu Yesu Kristo asifiwe, nawasihi wapendwa katika Bwana tuombeane ili kusudi na mapenzi ya Mungu katika maisha yetu yampendeze yeye Tukiwatakia Watumishi wa Bwana Afya njema na Neema yake Bwana wetu Ye
NATHAN MATHIA MASAOE
ARUSHA, ARUSHA Tanzania - Friday, September 24, 2004 at 11:53:48 (EAT)
bwana asifiwe sana , mimi ni mwanafunzi wa Huduma yenu kwa muda mrefu, sasa nilikuwa naomba pia huduma isogee na hapa south africa, na sisi tunataka kubarikiwa pia mungu awabariki sana,
charles Kloe <kloe2005@yahoo.com>
pretoria, Gauteng south africa - Thursday, September 23, 2004 at 21:49:37 (EAT)
Endelea kuhubiri INJILI kwani wengi inatufikia kwa njia ya mahubiri yako mazuri na yenye KUELEWEKA
JULIUS .O. MWANGA <kambere77@yahoo.co.uk>
SINGIDA, Tanzania - Thursday, September 23, 2004 at 12:06:05 (EAT)
NINAOMBA MAOMBI KWA AJILI YA MITIHANI INAYOTUKABILI MBELE YETU MIMI NA MUME WANGU PAUL PIA NAPENDA KUMSHUKURU MUNGU KWA JINSI ALIVYOONEKANA KWETU TOKA TULIPOANZA NDOA YETU .
Mrs Leah Mkinga Kabale <ennakb@yahoo.co.uk>
Dar-es -salaam, Tanzania - Thursday, September 23, 2004 at 09:06:37 (EAT)
Nimefurahi sana kupata wasaa wa kushiriki pamoja na wengine katika website hii
Ms Leah Mkinga Mwakasendo <ennakb@yahoo.co.uk>
Dar-es -salaam, Tanzania - Thursday, September 23, 2004 at 08:56:53 (EAT)
MUNGU AENDELEE KUWATIA NGUVU KATIKA KAZI YAKE NA AMANI YA MUNGU IWE PAMOJA NANYI NYOTE.
Monica Nsobi <brief20042000@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Wednesday, September 22, 2004 at 16:59:41 (EAT)
Mungu afungue milango ya kazi sehemu nyingine. Niombewe niwe mnene wa wastani mimi ni mwembamba ila hasili yangu ni unene. Mungu afungue milango kwa ajili ya mchumba wangu apate kazi. Mahusiano mazuri na mchumba wangu. Niwe na hofu ya Mungu.
Monica Nsobi <brief20042000@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Wednesday, September 22, 2004 at 16:56:49 (EAT)
Mungu aendelee kuitia kazi yake nguvu na maarifa
Aika BN <haikah@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Tuesday, September 21, 2004 at 11:11:41 (EAT)
Thank you for developing this very good site !
bestiality sex <cdatdlive@hotmail.com>
- Monday, September 20, 2004 at 19:21:02 (EAT)
Thanks for all things you all done to me
Digna <sweetydig_tz2004@yahoo.co.uk>
Kilimanjaro, Mjini Tanzania - Monday, September 20, 2004 at 17:40:16 (EAT)
Naomba uzidi kuniombea yesu azidi kunifungua. Nahitaji kuwa mhubiri. Nina nia ya kufanya hivyo. Nahitaji nguvu zaidi
sarapia <sarapiaminja@hotmail.com>
Dar, dar Tanzania - Monday, September 20, 2004 at 11:05:17 (EAT)
Bwana Yesu apewe sifa
ADRIAN OLOTU <adrian_olotu@yahoo.co.uk>
MOSHI . TANZANIA, KILIMANJARO Tanzania - Saturday, September 18, 2004 at 12:47:11 (EAT)
Bwana Yesu apewe sifu
ADRIAN OLOTU <adrian_olotu@yahoo.co.uk>
MOSHI . TANZANIA, KILIMANJARO Tanzania - Saturday, September 18, 2004 at 12:46:12 (EAT)
MUNGU ANAMPANGO MZURI KWETU KWA KUTUPA MTUMISHI WA MUNGU IL ATUFUNDISHE NENO LAKE TUMSIKILIZE NA KUJIFUNZA KITI KWA KUPITIA MTUMISHI WAKE AMEN
hendry j mlay <hmlay2002@yahoo.com>
MOSHI, KILIMANJARO Tanzania - Saturday, September 18, 2004 at 12:34:03 (EAT)
May God bless your ministry abundantly,
willhard mbogela <wimbo2001@hotmail.com>
Arusha, Tanzania - Friday, September 17, 2004 at 17:14:39 (EAT)
hata ktk kitabu cha mungu.heri yao wale wafanyao kazi ya mungu kwani baraka zake huwashukia kila wanapoihitaji kwa maombi na sala
jordan valentine <jordankvcc@excite.com>
Dar-Es-Salaam, Dar Es-salaam Tanzania - Friday, September 17, 2004 at 16:34:15 (EAT)
Bwana Yesu Asifiwe. Mwenyezi Mungu awabariki zaidi na zaidi kwa kueneza injili na mafundisho, kwa kweli ninaelimika sana.
Rose P. Terry <dai@postalbank.co.tz>
Dar es Salaam, Tanzania - Thursday, September 16, 2004 at 17:11:19 (EAT)
Keep up this great resource. I bookmark your site, best greetings ...
sex reality <free1ds00@hotmail.net>
- Thursday, September 16, 2004 at 04:21:21 (EAT)
Tunaomba ushirikiano wenu katika sala kwa ajili ya maombi ya mitihani iliyo mbele yetu mimi na mdogo wangu Jacqueline std VII, mimi Form IV. Sote tunamtegemea Mungu.
Alex John Jawa <alexjawa2000@yahoo.com>
MWANZA, Nyakato Tanzania - Wednesday, September 15, 2004 at 15:28:21 (EAT)
tumrudie yesu awe mwokozi wa maisha yetu
japhety patrick <japhty@myway.com>
Arusha, K.K.K.T Tanzania - Tuesday, September 14, 2004 at 18:01:50 (EAT)
tumrudie yesu mwokozi wa maisha yetu
japhety patrick <japhty@myway.com>
Arusha, K.K.K.T Tanzania - Tuesday, September 14, 2004 at 18:01:11 (EAT)
Watu wa mungu tuwe macho hizi ni siku zamwisho
Lugano ipyana <luipge@hotmail.com>
Arusha, moravian Tanzania - Tuesday, September 14, 2004 at 17:50:16 (EAT)
mimi mkazi wa Dodma, maoni yangu nilikuwa naomba na sisi muwe mnatutembelea kwa mwaka mara mbili maana nina uhakika hakuna ambaye huwa anachoka mahubiri na mafundisho yenu hata mkikaa mwezi mzima
r0sedanny
Tanzania - Tuesday, September 14, 2004 at 13:35:50 (EAT)
ningependa mtufanyie duka mjini ili tuwe tunapata kanda zenu kiurahisi,wengi tunakosa tunaamua kufanyadabind
joyce nathan <joycemaega@yahoo.com>
arusha, Tanzania - Tuesday, September 14, 2004 at 12:21:44 (EAT)
Website hii ni nzuri sana, Mungu awabariki muendelee kutoa huduma za Mungu.
Rose Bendera <rosebendera@yahoo.com>
D'Salaam, Tanzania - Tuesday, September 14, 2004 at 09:24:08 (EAT)
Glory to God
Nathan Conrad <andasoni@htmail.com>
D'Salaam, Tanzania - Monday, September 13, 2004 at 11:03:41 (EAT)
kwakeri mna jitaidi sana na shughuri zenu ongerenisana
irene gerald mtalemwa <irenegerald@hotmail.com>
tanzania, dar Tanzania - Monday, September 13, 2004 at 09:39:40 (EAT)
kwa kweli ninabarikiwa sana na huduma hii na kwa kweli msaada wangu mkubwa ni kuiombea ili Mungu awezeshe kuifikisha mahali pale anataka!Amen
Wilfred Mkumbo <wmkumbo@yahoo.com>
Dar es salaam, Tanzania - Sunday, September 12, 2004 at 14:16:23 (EAT)
kwa kweli ninabarikiwa sana na huduma hii na kwa kweli msaada wangu mkubwa ni kuiombea ili Mungu awezeshe kuifikisha mahali pale anataka!Amen
Wilfred Mkumbo <wmkumbo@yahoo.com>
Dar es salaam, Tanzania - Sunday, September 12, 2004 at 14:15:19 (EAT)
Nakuomba uje Iringa kwa mahubiri yako matamu sana. Tunahitaji kuwa na wewe kwa karibu ili tupate wokovu.
Mary Jacob Ngowi <tritntrs@trit.or.tz>
MUFINDI, KUSINI Tanzania - Saturday, September 11, 2004 at 13:58:55 (EAT)
Nakuomba unisaidie niokoke mimi na nyumba ya baba yangu
Mary Jacob Ngowi <tritntrs@trit.or.tz>
MUFINDI, KUSINI Tanzania - Saturday, September 11, 2004 at 13:51:05 (EAT)
Nimebarikiwa sana na Huduma yenu.Mungu awabariki na nitazidi kuwaombea.
SELINA KAPANGE <selkapan@yahoo.com>
Dar es Salaam, Tanzania - Friday, September 10, 2004 at 14:34:41 (EAT)
Huduma yako imesambaa sana huko Kaskazini.Tunaomba ufike na huku ili na sisi wa Kusini tushiriki pamoja nanyi.MUNGU awabariki.
Estom Balula <estom@christlinks.com>
Mtwara, Mtwara Tanzania - Friday, September 10, 2004 at 14:12:52 (EAT)
Endelea kupanua mtandao ili neno la Mungu lienee Tanzania na hatimaye duniani kote.Mungu akubariki.
Leo Richard Kilamile <kilamilelr@christlinks.com>
Mtwara, Mtwara Tanzania - Friday, September 10, 2004 at 14:03:46 (EAT)
Bwana asifiwe poleni nakazi katika utumishi wa Bwana tunaomba matangazo yawe yanarusha hadi Iringa kwani hayatufikii,pia hayo mahubiri huenda yakabadilisha maisha ya wanafunzi na wanavyuo pamoja na wanairinga wote. MUNGU AWABARIKI AMENI
verediana makendi <veredimakendi@yahoo.com>
iringa, iringa Tanzania - Friday, September 10, 2004 at 13:24:04 (EAT)
ninaomba muda wa vipindi vya kwaya viendelee kama ilivyo kuwa mwanzo kwanini siku hizi matangazo ni mengi kupita vipindi vya kwaya ndiyomana wengi sikuhizi wanaama wana sikiliza redio upendo.
adventina venance <advenance2004@yahoo.com>
dar es salaam, dar es salaam Tanzania - Friday, September 10, 2004 at 13:17:34 (EAT)
Ninaomba mtulushie matangazo yenu yafike hadi IRINGA kwanitunahamu ya kujiunga nanyi katika mahubiri,matangazo,nyimbo za dini.Kwani kila wakati tunamsikiliza Mwakasege kwenye radio free Afrika tu ambapo ninakuwa badoninahamu ya kusikiliza kipindi kinakuwa kimekwisha muda wake basi ninakuwa sina furaha kwakuwa kimeisha.
Agness <Agnessysina@yahoo.com>
Mgololo, Mgololo Tanzania - Friday, September 10, 2004 at 13:09:45 (EAT)
Nafurahia huduma yako.Mungu akutie nguvu.
JAPHET SIRONGA <sironga2002@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Friday, September 10, 2004 at 11:57:37 (EAT)
Nafurahia huduma yako.Mungu akutie nguvu.
JAPHET SIRONGA <sironga2002@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Friday, September 10, 2004 at 11:57:23 (EAT)
Mungu anatupenda sana na ndio maana ili maandiko yatimie nyakati hizi za mwisho kwa waliowake anamwaga roho wake kwa mafunua hii ndio injili Jina la Bwana libarikiwe.
Elisante Charles Mkumbo <elirudia@yahoo.com>
Morogoro, mashariki Tanzania - Thursday, September 09, 2004 at 17:49:32 (EAT)
Mungu anatupenda sana na ndio maana ili maandiko yatimie nyakati hizi za mwisho kwa waliowake anamwaga roho wake kwa mafunua hii ndio injili Jina la Bwana libarikiwe.
Elisante Charles Mkumbo <elirudia@yahoo.com>
Morogoro, mashariki Tanzania - Thursday, September 09, 2004 at 17:45:46 (EAT)
Mungu anatupenda sana na ndio maana ili maandiko yatimie nyakati hizi za mwisho kwa waliowake anamwaka roho wake kwa mafunua
Elisante Charles Mkumbo <elirudia@yahoo.com>
Morogoro, mashariki Tanzania - Thursday, September 09, 2004 at 17:40:12 (EAT)
semina zako nyingi ni nzuri sana tunaomba ziongezwe semina za wamama na hasa jinsi ya kuenenda kkkwa hekima katika mambo ya kiroho.
Grace Kisanga <graceline@yahoo.com>
Morogoro, morogoro Tanzania - Thursday, September 09, 2004 at 15:30:47 (EAT)
MUNGU AWABALIKI SANA SANA WOTE NITAZIDI KUWAOMBEA MZIDI KUPATA UTUKUFU WA MUNGU MILELE AMINA.
irene gerald <irenegerald2003@yahoo.com>
tanzania, temeke Tanzania - Thursday, September 09, 2004 at 11:17:54 (EAT)
kwakweri nikizuri sana hii website yenu ni mzuri mnajibu maombi kwaurahisi sana kwa haraka sana tunashukuru sana ongeleni sana bwana yesu awabaliki
irene gerald <irenegerald2003@yahoo.com>
dar-es-salaam, temeke Tanzania - Thursday, September 09, 2004 at 11:09:17 (EAT)
tuaomba tupate injili ya kuomba toba
janeth <mamacathelove@yahoo.com>
sinza, dar es salaam Tanzania - Tuesday, September 07, 2004 at 19:16:11 (EAT)
Ninaomba mtumishi wa Mungu awe anatembelea Mkoa wa Iringa katika vyuo na mashule huenda ikasaidia wanavyuo na wanafunzi kubadilika sana katika maisha yao.
Agness S. Mwinuka <Agnessysina@yahoo.com>
MGOLOLO, MGOLOLO Tanzania - Tuesday, September 07, 2004 at 18:44:57 (EAT)
Mungu aliye mwaminifu azidi kuwainua katika huduma yenu
Lucy Faith Suphian <faithljg@yahoo.com>
Manyara, Babati Tanzania - Tuesday, September 07, 2004 at 15:25:35 (EAT)
TUNAPENDA KUPATA MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU HASAHASA MASOMO YA UWAKILI(utoaji)NA NIDHAMU KATIKA KUMTUMIKIA MUNGU VITU AMBAVYO VIMEUFANYA MJI WA MUSOMA KUWA NYUMA KIROHO NAJUA WEWE KAMA MWALIMU WA HAYA YOTE UTAKUWA UMESAIDIA INJILI KUSONGA MBELE NA KUVUNJA UTAWALA WA IBILISI KUTAWALA MJI WETU HUU NI MATUMAINI YANG U UTATUFIRIA JUU YA JAMBO HILI MFUNDISHO MENGINE UTULETEE KUPITIA TV NA MAJARIDA AMBAYO YANAFIKIKA SEHEMU MBALIMBALI UBARIKIWE KWA HUDUMA YAKO MAANA IMEBARIKI NA KUGEUZA MAISHA YANGU MIMI NA WATU WENGI HAPA MUSOMA
PETRO NKANYILA MWINUKA <petermwinuka@yahoo.com>
MUSOMA, Tanzania - Tuesday, September 07, 2004 at 14:38:49 (EAT)
Website yenu ni nzuri sana tunajiofunza vitu vingi sana
Noel Francis <nfm_2512@yahoo.com>
Arusha, Arumeru Tanzania - Monday, September 06, 2004 at 09:50:47 (EAT)
MUNGU WETU AWAPE ZAIDI MAONO YAKUHUBIRI INJILI YA YESU KWA UWEZO WA ROHO MTAKATIFU NA KWA ISHARA NA MAAJABU PIA AWAPE MAONO YA KUHUBIRI KUSINI.
SILIRUS H NAMKOKO < >
LINDI, Tanzania - Sunday, September 05, 2004 at 10:50:03 (EAT)
Mungu wetu awazeshe kuitia Mbolea VISION mlionayo katika KRISTO YESU iweze kukua zaidi na kusambaa! Pia akutane na mahitaji yenu yaliyomo katika UTU wa ndani!.
Stanley Humphrey <sta33nl@yahoo.co.uk>
Lindi, Tanzania - Sunday, September 05, 2004 at 10:28:45 (EAT)
Mungu wetu awazeshe kuitia mbolea Vision mlionayo katika Kirto Yesu ikuwe zaidina kusambaa katika kila aaminiaye!Pia akutane na mahitaji yenu mlionayo katika utu wa ndani!.
stanley humphrey <sta33nl@yahoo.co.uk>
Lindi - Tanzania, Tanzania - Sunday, September 05, 2004 at 09:59:15 (EAT)
Ni mara yangu ya kwanza kusoma website hii. Ninashukuru MUNGU kwa kuwa ni ya msaada mkubwa sana. Nitaendelea kupata neno la MUNGU kupitia website hii. MUNGU awabariki sana katika kazi zenu.
Martin Katua <mkatua2003@yahoo.co.uk>
Shinyanga, Tanzania - Saturday, September 04, 2004 at 12:32:33 (EAT)
Hongereni sana kwa kuanzisha huduma hii. Ninaifuatilia na kusoma kila ripoti iliyomuhimu kwangu kulingana na muda wangu. Kwa kweli imani yangu inakuwa siku hadi siku. Naomba basi mjaribu ku-update website hii, ili sisi ambao tuko mbali na Arusha tuweze kufaidika kwa kupata mafundisho tofauti. Pia kama mnaweza mtutumia majarida, ripoti kupitia email address yangu
Cecilia Chambaka <ceci_chambaka@yahoo.co.uk>
Dar, Tanzania - Saturday, September 04, 2004 at 12:26:59 (EAT)
Namshukuru Mungu aliyewapa huduma ambayo hata na sisi tunabarikiwa nayo sana, Mungu aliyewaweka katika utumishi huo awabariki na kuwalinda na mabaya yote pamoja na wote mnaoshirikiana nao. nilibarikiwa sana na semina iliyopita hapa Diamond Jubilee zaidi nimejua biblia ndio uchumi kamili.Roho mtakatifu anisaidie nibadilike kuamini kuwaza na kutenda kwangu, ili niweze kuzaaa matunda. damu ya Yesu ifunike huduma yenu, katika jina la Yesu.
Dinna <dinnalyimo@yahoo.com>
Dar, kinondoni Tanzania - Saturday, September 04, 2004 at 11:50:30 (EAT)
Jina la bwana libarikiwe kwakweli mafundisho yanafundisha mambo mazuri hata mpaka nimepata Moyo wa kuendelea na Wokovu baada ya kusoma haya mafundisho nimegundua kuwa shetani ni mtu mbaya sana nawashukuru Mungu awabariki.
Anense John Mongi <anney_mongi@yahoo.com>
Arusha, Mianzini Tanzania - Thursday, September 02, 2004 at 15:39:54 (EAT)
Glory to God Namshukuru Mungu kwa matendo yake makuu,amenibariki nimepata kazi ya utafiti
Natahniel Conrad <andasoni@hotmail.com>
D'Salaam, Tanzania - Thursday, September 02, 2004 at 13:00:09 (EAT)
napenda mahubiri ya mwakasege na naomuomba aniombee kwa jina hilo hapo juu, na namwombea mungu andelee kumpa nguvu na uhai aendelee kuwaombea mwenye shida na tabu katika maisha haya machafu ya ulimwengu huu.
lolitha Lema <mebelowi@yahoo.com>
Morogoro, MOROGORO Tanzania - Thursday, September 02, 2004 at 09:31:57 (EAT)
napenda mahubiri ya mwakasege na naomuoba aniombee kwa jina hilo hapo juu, na namwombea mungu andelee kumpa nguvu na uhai aendelee kuwaombea mwenye shida na tabu katika maisha haya machafu ya ulimwengu huu.
lolitha Lema <mebelowi@yahoo.com>
Morogoro, MOROGORO Tanzania - Thursday, September 02, 2004 at 09:01:03 (EAT)
Mungu awabariki katika utumishi wenu
EMMANUEL PAUL <jetrgshy@hotmail.com>
DAR ES SALAAM, Tanzania - Wednesday, September 01, 2004 at 13:23:08 (EAT)
Mungu awabariki sana. Ila ningeomba muanzishe utaratibu wa maubili kwenye TV mbalimbali kama anavyofanya Kakobe kwa ajili ya huduma hii kuwafikia watu wengi maana walio wengi wanaangalia TV badala ya kusikiliza Redio.
Edwin E. Kalisa <eliankalisa@yahoo.com>
Dar Es Salaam, DSM Tanzania - Tuesday, August 31, 2004 at 14:01:40 (EAT)
NAHITAJI KUPATA KITABU CHA DAMU YA YESU NA JINSI INAVYO FANYA KAZI. MAONI YANGU NI KUWA HUDUMA YA MUNGU KUPITIA KWAKO ISOGEEHADI VIJIJINI.
JOSHUA KIULA <joshuarac@yahoo.com>
TANGA, TANGA Tanzania - Monday, August 30, 2004 at 20:19:54 (EAT)
HUDUMA HII MUNGU AMEIWEKA MAKUSUDI NA NI ZAWADI KUBWA KWA WATANZANIA KATIKA KUUJENGA MWILI WA KRISTO.
James Sabuni <jksabuni@yahoo.com>
DSM, ILALA Tanzania - Monday, August 30, 2004 at 19:52:47 (EAT)
Naomba mada ya ndoa na uchumba muiweke katika website ili kila aliyafikia umri wa kuifanyia kazi aisome na imsaidie. Mung awabariki.
Paschal J. Lutambi <lutambijuma>
Dar - es - salaam, Ilala Tanzania - Monday, August 30, 2004 at 15:02:33 (EAT)
Naomba muniandike katika kitabu cha wagni.
Paschal J. Lutambi <lutambijuma@yahoo.uk>
Dar - es - salaam, Ilala Tanzania - Monday, August 30, 2004 at 14:58:38 (EAT)

Paschal J. Lutambi <lutambijuma@yahoo.uk>
Dar - es - salaam, Ilala Tanzania - Monday, August 30, 2004 at 14:56:08 (EAT)
Naomba Mungu aendelee kuwapa nguvu ili kulitangaza neno lake zaidi na zaidi.Nimehudhuria semina yenu iliyomalizika th.29-8-204,{Diamond Jubilee,DSM}nimejifunza mengi,nimefurahia na kupata marafiki wengi kupitia jina la BWANA YESU. Tofauti na hayo, nimepata vitabu ambavyo vinanijenga katika maisha yangu ya ujana na hata nitakapofika uzeeni. Naomba muikumbuke Dar es Salaam,angalau kila mwaka tupate semina moja kutoka kwenu. MUNGU AWABARIKI.
Paschal J. Lutambi <lutambijuma@yahoo.uk>
Dar - es - salaam, Ilala Tanzania - Monday, August 30, 2004 at 14:52:19 (EAT)
Nimekuwa nikifuatilia mafundisho yenu lakini kila ninapojaribu kufunguo somo la ndoa najibiwa siruhusiwi, ninaomba kujiunga katika wanaoruhusiwa kusoma somo la Ndoa. Nimeolewa pia nimeokoka ninampenda na kumtumikia Bwana Ninasali kanisa la AICT Dodoma.
Celina Evarist Kipeja <celina_evarist@yahoo.com>
Dodoma, Dodoma Tanzania - Saturday, August 28, 2004 at 16:01:11 (EAT)
Ninawapongeza sana katika jina la bwana Yesu, Mnawafundisha watu wengi kwa njia hii ya Mtandao. Nawatakia kila la Kheri. Bwana awatie nguvu ili muendelee kutoa masomo mbalimbali kwa kadri mtakavyofunuliwa. Asanteni
celina Evarist Kipeja <celina_evarist@yahoo.com>
Dodoma, Dodoma Tanzania - Saturday, August 28, 2004 at 15:48:56 (EAT)
HUDUMA YENU NI NZURI SANA.MUNGU AZIDI KUWATIA NGUVU MZIDI KULITANGAZA JINA LAKE.MBARIKIWE KATIKA JINA LA BWANA.
Beatrice Massawe <bmbettytz@yahoo.com>
DAR ES SALAAM, Tanzania - Thursday, August 26, 2004 at 08:47:17 (EAT)
karibu kwenye huduma cct chuo kikuu dar
janeth mwambona <janeth1996@hotmail.com>
dar, Tanzania - Thursday, August 26, 2004 at 03:26:51 (EAT)
Nashukuru sana kwa kupatiwa MSAADA wa kuwezeshwa kusoma neno la mungu na mafundisho ya biblia katika lugha yetu ya kiswahili ambayo wengi wetu tunaifahamu vizuri. Katika Jina na damu ya YESU tovuti hii iendelee kuwepo na kubalikiwa. Amen.
Robert Chihenga <rmtengule@usa.com>
dar es salaam, dsm Tanzania - Wednesday, August 25, 2004 at 14:58:07 (EAT)
Mafundisho yako ni mazuri, MUNGU akubariki uendeleze kazi yake.Amen
Peter Malulu <malulupbw@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Wednesday, August 25, 2004 at 13:53:52 (EAT)
Mungu akubariki sana kwa huduma yako. Naomba kujiunga na Website
Raphael Kivuyo <raphngares@yahoo.com>
Ausha, Arumeru Magharibi Tanzania - Wednesday, August 25, 2004 at 10:11:33 (EAT)
Ninaomba maombi yako kwa ajili ya -Upako wa huduma ya kiualimu iliyo ndani yangu -Nifunguliwe mlango wa ufadhili kwa masomo yangu ya nje ya nchi pamoja admission. -Naomba maelezo ya jinsi gani naweza kupata kanda za video za mafundisho ya Neno la Mungu
EMMANUEL PAUL <emapaul_trg@yahoo.com>
DAR ES SALAAM, Tanzania - Tuesday, August 24, 2004 at 17:17:24 (EAT)
Ninaomba maombi yako kwa ajili ya -Upako wa huduma ya kiualimu iliyo ndani yangu -Nifunguliwe mlango wa ufadhili kwa masomo yangu ya nje ya nchi pamoja admission. -Naomba maelezo ya jinsi gani naweza kupata kanda za video za mafundisho ya Neno la Mungu
EMMANUEL PAUL <emapaul_trg@yahoo.com>
SHINYANGA, Tanzania - Tuesday, August 24, 2004 at 17:09:07 (EAT)
Ninafarijika sana na mafundisho yenu Bwana awabariki sana.Nimeshindwa kujiandikisha kwenye website yenu pamoja na kufuata maelekezo kwa makini.
PROJEST TOROTO <projest58@yahoo.com>
ARUSHA, ARUSHA Tanzania - Tuesday, August 24, 2004 at 16:16:33 (EAT)
Nawafunika kwa DAMU YA YESU wewe Mwakasege, Diana Mkeo, familia yako, pamoja na timu yako nzima.
MARIA BIMBIGA <mariabimbiga@yahoo.com>
IRINGA, IRINGA Tanzania - Tuesday, August 24, 2004 at 14:33:40 (EAT)
MAFUNDISHO YA NDOA
ALBERT KINGU <KINGUALBERT@HOTMAIL.COM>
DSM, KIN Tanzania - Tuesday, August 24, 2004 at 12:36:17 (EAT)
MAFUNDISHO YA NDOA
ALBERT KINGU <KINGUALBERT@HOTMAIL.COM>
DSM, KIN Tanzania - Tuesday, August 24, 2004 at 12:35:52 (EAT)
MAFUNDISHO YA NDOA
ALBERT KINGU <KINGUALBERT@HOTMAIL.COM>
DSM, KIN Tanzania - Tuesday, August 24, 2004 at 12:35:25 (EAT)
Bwana Yesu asifiwe sana MTumishi wa Mungu tunaomba uje DOdoma
AIDAN SEMBUCHE <sembucheah2001@yahoo.com>
Dodoma, Dodoma Tanzania - Monday, August 23, 2004 at 15:44:48 (EAT)
Mungu wenu awabariki na kazi yenu mlioitiwa kuifanya.Amen
Newton Mwakabambo <newton_other@yahoo.com>
Kyela, Tanzania - Monday, August 23, 2004 at 09:25:48 (EAT)
Mungu akubariki sana mpakwa mafuta wa Mungu. Na Mungu aendelee kuiinua hudama yako.
Ester Rwela <dandaester4@yahoo.com>
Dar, Ukonga Tanzania - Sunday, August 22, 2004 at 14:22:04 (EAT)
NAOMBA MUNISAIDIE VITABU VIFUATAVYO:BIBLIA YA KISWAHILI,YA KIFARANSA NA YA KINGEREZA PAMOJA NA NYIMBO ZA WOKOVU.MIMI NI MKIMBIZI WA KIRUNDI NIKO KAMBINI.
NDABIBONYE DESIRE <ndabib@yahoo.co.uk>
MTABILAII/AB4/3/16/4 PO BOX 107 KASULU, KIGOMA Tanzania - Saturday, August 21, 2004 at 15:16:28 (EAT)
NAOMBA MUISAIDIE VITABU VIFUATAVYO:BIBLIA YA KISWAHILI,YA KIFARANSA NA YA KINGEREZA PAMOJA NA NYIMBO ZA WOKOVU.MIMI NI MKIMBIZI WA KIRUNDI NIKO KAMBINI.
NDABIBONYE DESIRE <ndabib@yahoo.co.uk>
MTABILAII/AB4/3/16/4 PO BOX 107 KASULU, KIGOMA Tanzania - Saturday, August 21, 2004 at 15:16:09 (EAT)
NAOMBA MUISAIE VITABU VIFUATAVYO:BIBLIA YA KISWAHILI,YA KIFARANSA NA YA KINGEREZA PAMOJA NA NYIMBO ZA WOKOVU.MIMI NI MKIMBIZI WA KIRUNDI NIKO KAMBINI.
NDABIBONYE DESIRE <ndabib@yahoo.co.uk>
MTABILAII/AB4/3/16/4 PO BOX 107 KASULU, KIGOMA Tanzania - Saturday, August 21, 2004 at 15:15:50 (EAT)
Mungu akubariki sana na azidi kuiinua huduma hii
K. N. Njau <knjau@CPE.udsm.ac.tz>
Dar es Salaam, Tanzania - Saturday, August 21, 2004 at 14:20:25 (EAT)
Mungu akubariki sana na azidi kuiinua huduma hii
K. N. Njau <knjau@udsm.ac.tz>
Dar es Salaam, Tanzania - Saturday, August 21, 2004 at 14:15:55 (EAT)
NAOMBAMAOMBI YENU KWA AJILI YA NDUGU ZANGU WAOKOKE. NINGEPEN DA SEMINA YA MWAKASEGE IWE INA FANYIKA MARA MBILI KWA MWAKA HAPA DODOIMA. KWA MUNGU KILA KITU KINA WEZEKANA.
gershom samuel utonga <sonofgod89@yahoo.com>
DODOMA, DODOMA Tanzania - Friday, August 20, 2004 at 17:08:55 (EAT)
Mzidi kuwa na huduma nzuri kama mnayoitoa ktk radio Ila naomba kipindi cha mahubiri ambacho kiko Dar muda uongezeke au siku ya ziada kama itawezekana. Mungu awabariki sana. Kwani ninaposikiliza mahubiri yenu nabarikiwa sana.
Lilian Rayner <lilyrayner2002@yahoo.com>
Dar es Salaam, Dar es salaam Tanzania - Wednesday, August 18, 2004 at 10:31:11 (EAT)
MUNGU AKUBARIKI
onesmo ngao <onengao@yahoo.com>
morogoro, sua Tanzania - Tuesday, August 17, 2004 at 19:08:10 (EAT)
ENDELEENI KUITENDA KAZI YA BWANA MUNGU AWABARIKI SANA
LEONARD JORDAN <butiama@yahoo.com>
Dar es salaam, Mashariki na pwani Tanzania - Tuesday, August 17, 2004 at 16:14:47 (EAT)
Nimeokoka mwezi april 1999 na kujazwa Roho Mtakatifu katika semina ya mwezi wa saba iliyoendeshwa na Christopher Mwakasege mwaka huo huo. Kwa sasa nimekuwa mtumishi wa Mungu, na natumika kwenye huduma ya Habari Njema, Ministry, na tunaendesha gazeti la habari njema pamoja na maombezi. Namshukuru Mungu kwa huduma ya Mwakasege, kwani nimefika huku niliko kwa msaada wenu wa kutumiwa na Munngu.
Palemo Felisiani <massawep@yahoo.com>
Dar es Salaam, Dar es Salaam Tanzania - Tuesday, August 17, 2004 at 14:08:49 (EAT)
Namshukuru bwana kwa kuniokoa
SAMWEL N SHEUYA <sheuya>
MOSHI, kilimanjaro kati Tanzania - Tuesday, August 17, 2004 at 08:44:32 (EAT)
Namshukuru sana Mungu kwa ajili ya website hii,maana inafanyika baraka na msaada mkubwa ktk maisha yangu na familia yangu kwa ujumla.Tunamshukuru sana Mungu kwa kufungua milango ya huduma hii kutufikia huku Marekani.Mungu awabaliki sana. NAOMBA UONGEZE PICHA MBALIMBALI ZA SEMINA(MATUKIO) MNAZOZIFANYA. GOD BLESS YOU!!!!
Mrs Jacqueline Amos Mfwangavo <amosjackson44@hotmail.com>
Ohio, Canal winchester Marekani - Tuesday, August 17, 2004 at 05:43:34 (EAT)
mungu na akubariki wewe,mama,watoto na familia nzima na huduma yenu pia.Amen
AGGGREY MWAMAKULA <kitweaggrey@yahoo.com>
Dar es salaam, Tanzania - Saturday, August 14, 2004 at 14:03:15 (EAT)
MUNGU AWABARIKI KATIKA KAZI ZENU ZA KULISHA KONDOO WAKE NA AZIDI KUWAPA MAHITAJI MNAYO HITAJI KTK KUCHUNGA KONDOO ZAKE.AWABARIKI WATOTO WENU JOSHUA NA HAO WATATU NA MJUKUU WENU MMOJA AMINA.
JENIPHER <jenipher@yahoo.com.co>
MOSHI, KIL Tanzania - Saturday, August 14, 2004 at 11:26:21 (EAT)
Nabarikiwa sana na website hii;Mungu awabariki sana kwa huduma hii.
E.B.Kalumbete <epabenjamin@yahoo.com>
Dsm, Tanzania - Friday, August 13, 2004 at 16:57:43 (EAT)
Nabarikiwa sana na website hii;Mungu awabariki sana kwa huduma hii.
E.B.Kalumbete <epabenjamin@yahoo.com>
Dsm, Tanzania - Friday, August 13, 2004 at 16:57:19 (EAT)
Natamani sana kama mngenishirikisha katika masomo yenu kwani ndio nimempokea Yesu.nahitaji maombi yenu
ROSELYNE TARIMO <rosegtarry@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Friday, August 13, 2004 at 13:14:46 (EAT)
Mungu awabariki sana kwa huduma nzuri mno mnayoitoa. Mimi binafsi imenijenga sana. Kila ninapohudhuria semina yenu lazima nitoke na kitu cha kunijenga. Naomba Mungu azidi kuwamiminia baraka tele.
Faith Lucy Matumbo <lucymatumbo@yahoo.com>
Dar es Salaam, Tanzania - Thursday, August 12, 2004 at 09:30:49 (EAT)
tumefurahi kuona website hii maana tumetafuta kwa muda mrefu sana. Pia tumefurahishwa kwa kazi ya Bwana. Asante
joyce na iddah <jjmodestus@yahoo.co.uk, iddademi@yahoo.co.uk>
iringa, mlandege Tanzania - Wednesday, August 11, 2004 at 18:37:51 (EAT)
Namshukuru Mungu ninasikiliza vipindi vyako na ninavipenda sana. Karibu ufundishe semina ya ndoa Ngaramtoni Habari Maalum
Lilian L azarus <liilianl@yahoo.co.uk>
Arusha, Arumeru Tanzania - Tuesday, August 10, 2004 at 23:11:56 (EAT)
Mungu azidi kuwatia nguvu katika kumtumikia bila kuchoka na awape maisha marefu yenye furaha.
eliesh nathan <enmanka@htmail.com>
D'salaam, Tanzania - Tuesday, August 10, 2004 at 18:08:28 (EAT)
Mungu Baba yetu wa mbinguni azidi kuwabariki katika JINA LILE LIPITALO KILA JINA; JINA LA YESU
Betty Gondwe <bettygondwe54@hotmail.com>
Mbeya, Mbeya Tanzania - Tuesday, August 10, 2004 at 16:36:06 (EAT)
Mungu akubariki sana mchungaji Mwakasege pamoja na familia yako na akutie nguvu uweze kumtumikia kwa Moyo wako wote, Akili zako zote na Nguvu zako zote. Jina la Bwana libarikiwe sana.
Stephen Mwilolezi <smwilolezi@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Tuesday, August 10, 2004 at 15:19:53 (EAT)
Mungu akubariki sana mchungaji Mwakasege pamoja na familia yako na akutie nguvu uweze kumtumikia kwa Moyo wako wote, Akili zako zote na Nguvu zako zote. Jina la Bwana libarikiwe sana.
Stephen Mwilolezi <smwilolezi@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Tuesday, August 10, 2004 at 15:19:41 (EAT)
Mungu akubariki sana mchungaji Mwakasege pamoja na familia yako na akutie nguvu uweze kumtumikia kwa Moyo wako wote, Akili zako zote na Nguvu zako zote. Jina la bwana libarikiwe sana.
Stephen Mwilolezi <smwilolezi@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Tuesday, August 10, 2004 at 15:18:57 (EAT)
Asante sana kwa Huduma yako. Mungu akubariki na akuimarishe uweze kuifanya kazi yake kwa akili zako zako zote, Moyo wako wako na Nguvu zako zako.
Stephen Mwilolezi <smwilolezi@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Tuesday, August 10, 2004 at 15:13:06 (EAT)
bwana yesu asifiwe, website hii ni nzuri inatujenga kiroho, kuna kitu kimoja nilikuwa naomba muweke na maombi ya yatima na wajane ili nasi tujifunze mambo mengi kuhusu neno la mungu na wokovu kwa ujumla
elizabeth <elizabethbugengo@hotmail.com>
dar es salaam, Tanzania - Tuesday, August 10, 2004 at 10:42:51 (EAT)
Mungu ni Mwema mno tunaendelea kubarikiwa na website yenu! Bwana wa Rehema awabariki watumishi wake msichoke
Mary <Matela>
Arusha, Tanzania - Monday, August 09, 2004 at 19:55:41 (EAT)
Mungu Azidi Kuwabariki sana
Nancy Mpangile <nancylisam@hotmail.com>
Hounslow, London - Monday, August 09, 2004 at 16:50:23 (EAT)
Yesu ni bwana
emanuel samwel <gwimos441@yahoo.com>
Dar-es-salaam, Dar-es-salaam Tanzania - Sunday, August 08, 2004 at 12:56:56 (EAT)
Tunafurahi kuona kuwa , Injili ya yesu inzaidi kuhubiriwa kwa rugha ya kiswahili katika tekenoljia ya Internet. Ninaamini Mungu ataizidishia huduma hii izidi kupata mafanakio cha zaidi ninasisitiza kwamba nguvu ya Injili ielekezwe kwa vijana wenye nguvu wenye uwezo wa kulijenga kanisa la bwana.
Emanuel Tayali <dftayali@yahoo.com>
London, westminster England, UK - Saturday, August 07, 2004 at 18:57:26 (EAT)
Mungu akubariki kwa huduma hii nzuri.
Maria Bimbiga <mariabimbiga@yahoo.com>
Iringa, Iringa Tanzania - Saturday, August 07, 2004 at 09:59:29 (EAT)
bwana yesu apewe sifa mungu akubariki sana mtumishiwake ningeomba mkoa mpya wa Manyara nao uwe semina ili mungu azidishe huduma
PRAYGOD MANGUSHA <mangushe@yahoo.com>
ARUSHA, Arusha Tanzania - Friday, August 06, 2004 at 20:14:50 (EAT)
Mungu awabariki
Natahaniel Conrad <andasoni@hotmail.com>
Zanzibar, Tanzania - Friday, August 06, 2004 at 17:54:26 (EAT)
Ninapenda kuokoka kama wewe mpendwa.Lakini moyo wangu ni mgumu sana tena sana.Yaani kila ninapo taka kufanya hivyo moyo wangu unasiita,Nifanyeje. Pia ninaomba uwe unatumia somo takatifu litakalo niongoza kila siku.Neno ambalo kila shetani anapo nikabili basi liwe linanijia na kunifanya niepuke dhambi. Ngusuma undule nkamu gwagu,Ngusuma fiiiiiiijo.Ngatele ni kisu.Bora ngomoke nkitembe kya Jesu.
Christopher Lissa Mwakitalu <chrisslissa@yahoo.com.uk>
Dar es Salaam, Daresalaam Tanzania - Thursday, August 05, 2004 at 18:34:10 (EAT)
Ninapenda kuokoka kama wewe mpendwa.Lakini moyo wangu ni mgumu sana tena sana.Yaani kila ninapo taka kufanya hivyo moyo wangu unasiita,Nifanyeje. Pia ninaomba uwe unatumia somo takatifu litakalo niongoza kila siku.Neno ambalo kila shetani anapo nikabili basi liwe linanijia na kunifanya niepuke dhambi. Ngusuma undule nkamu gwagu,Ngusuma fiiiiiiijo.Ngatele ni kisu.Bora ngomoke nkitembe kya Jesu.
Christopher Lissa Mwakitalu <chrisslissa@yahoo.com.uk>
Dar es Salaam, Daresalaam Tanzania - Thursday, August 05, 2004 at 18:33:20 (EAT)
Mungu awabariki kwa kazi yenu njema. Jina la Bwana libarikiwe sana.Amen
Ansfrida Rwelengela <rwelengela@yahoo.co.uk>
bukoba, Tanzania - Thursday, August 05, 2004 at 18:17:17 (EAT)
mnaendesha vizuri kipindi cha mwakasege ktkt redio ya wapo ila recording inakuwa poor
Blessed Ruhinda <bruhindatz@yahoo.com>
Dar-es-salaam, dmp Tanzania - Thursday, August 05, 2004 at 15:58:08 (EAT)
mnaendesha vizuri kipindi cha mwakasege ktkt redio ya wapo ila recording inakuwa poor
Blessed Ruhinda <bruhindatz2yahoo.com>
Dar-es-salaam, dmp Tanzania - Thursday, August 05, 2004 at 15:57:21 (EAT)
mungu azidi kuwabariki na kuwatia nguvu katika huduma yenu.
Michael wetta <wetta_2003@hotmail.com>
dar es salaam, ilala Tanzania - Wednesday, August 04, 2004 at 15:41:33 (EAT)
Kitabu hiki ni kizuri na kitasaidia wengi na Mungu awabariki sana.
FRANCIS PAUL <fsaliboko@yahoo.com>
Dar es Salaam, Temeke Tanzania - Wednesday, August 04, 2004 at 13:11:01 (EAT)
Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kuwasiliana na wewe kwa njia hii ya mtandao.Mungu akubariki sana.
Elikunda Tenga <eatenga@hotmail.com>
MOSHI, K/KATI Tanzania - Tuesday, August 03, 2004 at 16:00:49 (EAT)
Ninamshukuru sana Mungu ambaye yeye ni mwema siku zote katika maisha ya mwanadamu; mwanadamu ambaye siku zote yeye hastahili mbele za Mungu. Ni kwa rehema na fadhili zake tu ndizo zinatufanya kuishi na kwamba yeye aliyemgeukia Mungu na kumfanya Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wake, atapona. Maoni yangu ni kwamba mafundisho ya NENO la Mungu kupitia njia ya Redio yamekuwa ni ya BARAKA sana katika maisha yangu. Mungu akubariki sana na pia mimi binafsi ningekuomba ufanye utaratibu wa kutuwekea semina katika eneo la Ngaramtoni ya juu. Mungu akubariki sana.
ISRAEL MARKO OLKIARISHOI <iolkiarishoi@hotmail.com>
Arusha, Arumeru Magharibi Tanzania - Monday, August 02, 2004 at 12:56:04 (EAT)
Ninamshukuru sana Mungu ambaye yeye ni mwema siku zote katika maisha ya mwanadamu; mwanadamu ambaye siku zote yeye hastahili mbele za Mungu. Ni kwa rehema na fadhili zake tu nsizo zinatufanya kuishi na kwamba yeye aliyemgeukia Mungu na kumfanya Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wake, atapona. Maoni yangu ni kwamba mafundisho ya NENO la Mungu kupitia njia ya Redio yamekuwa ni ya BARAKA sana katika maisha yangu. Mungu akubariki sana na pia mimi binafsi ningekuomba ufanye utaratibu wa kutuwekea semina katika eneo la Ngaramtoni ya juu. Mungu akubariki sana.
ISRAEL MARKO OLKIARISHOI <iolkiarishoi@hotmail.com>
Arusha, Arumeru Magharibi Tanzania - Monday, August 02, 2004 at 12:52:07 (EAT)
MUNGU AWABARIKI SANA ,TUNAFURAHIA HAZINA HIZI TOKA MADHABAHUNI MWA BWANA.TARATIBU ZA KUSOMA MASOMO YA NDOA HAZIELEWEKI HASA MABO YA PASSWAORD TAFADHALI NAOMBA MSAADA MAANA MIMI NI MWANA NDOA NA NINAHITAJI KUPATA HAYO MAFUNDISHO AHSANTE.
ELISHA S JOSEPH <elishasjm@yahoo.com>
ARUSHA, Tanzania - Friday, July 30, 2004 at 15:59:08 (EAT)
Mungu awabariki sana kwani hii site ina mambo makuu sana,nimefurahishwa na masomo mengi sana hata sijui nisome lipi niache lipi yote ni mema tuu.(somo maalum kwa vijana limenibariki sana)
LAMBERT ARNOLD <arnoville@yahoo.com>
Dar es salaam, - Tanzania - Thursday, July 29, 2004 at 17:00:14 (EAT)
Napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa huduma yako ya maombi unayotoa kila week end kwenye Radio sauti ya injili Moshi.mungu azidi kukubariki.
Robert Shembilu <rshembilu@hotmail.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Thursday, July 29, 2004 at 13:49:47 (EAT)
Mungu awabariki na mzidi kulieneza neno la Bwana na kuwakombea kondoo wa Bwana waliopotea. Bwana Yesu asifiwe
Betty Joseph <sabeti63@hotmail.com>
DSM, Tanzania - Wednesday, July 28, 2004 at 17:32:37 (EAT)
Nakusalimu katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Naomba pass word ya ndoa. Mungu akubariki sana.
Vicktoria Isaac Lyimo <lyimo2@yahoo.com>
DSM, Tanzania - Wednesday, July 28, 2004 at 15:42:53 (EAT)
Nakusalimu katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Naomba pass work ya ndoa. Mungu akubariki sana.
Vicktoria Isaac Lyimo <lyimo2@yahoo.com>
DSM, Tanzania - Wednesday, July 28, 2004 at 12:41:10 (EAT)
Bwana YESU ASIFIWE POLENI NA MAJUKUMU YA KAZI YA INJILI ENDELEENI NA HUDUMA YA KUENEZA INJILI BWANA AWABARIKI MNO
AIDAN SEMBUCHE <sembucheah2001@yahoo.com>
DODOMA, DODOMA Tanzania - Tuesday, July 27, 2004 at 16:45:22 (EAT)
Bwana YESU ASIFIWE POLENI NA MAJUKUMU YA KAZI YA INJILI ENDELEENI NA HUDUMA YA KUENEZA INJILI BWANA AWABARIKI MNO
AIDAN SEMBUCHE <sembucheah2001@yahoo.com>
DODOMA, DODOMA Tanzania - Tuesday, July 27, 2004 at 16:45:16 (EAT)
Masomo ni mazuri sana. Yananisaidia ktk kukuza imani yangu.Mungu awabariki ktk utumishi huo.
QUEEN MAPUNDA <queenmapunda@yahoo.com>
Dar-es-salaam, Mashariki Tanzania - Tuesday, July 27, 2004 at 15:35:36 (EAT)
Masomo ni mazuri sana. Yananisaidia ktk kukuza imani yangu.Mungu awabariki ktk utumishi huo.
QUEEN MAPUNDA <queenmapunda@yahoo.com>
Dar-es-salaam, Mashariki Tanzania - Tuesday, July 27, 2004 at 15:34:58 (EAT)
Masomo ni mazuri sana. Yananisaidia ktk kukuza imani yangu.Mungu awabariki ktk utumishi huo.
QUEEN MAPUNDA <queenmapunda@yahoo.com>
Dar-es-salaam, Mashariki Tanzania - Tuesday, July 27, 2004 at 15:34:04 (EAT)
Tunaomba upange ratiba sikumoja ufike Ludewa kuleta injili
Lusungu Mbede <lusungum@hotmail.com>
Ludewa, Iringa Tanzania - Monday, July 26, 2004 at 19:07:11 (EAT)
Bwana Yesu Asifiwe, Endeleeni kuelimisha na kuongeza wigo wa mafundisho kwa wale wasioweza kutumia Internet na ambao hata radio sio rahisi kusikiliza. Tengenezeni Bronchures n.k. Mungu awabariki sana na kuwapigania mumtumikie hata ukamilifu wa dahari.
Mrs. Joyce Peter Steven Saro <jjmp152002@yahoo.com>
Dar es Salaam, Tabata Tanzania - Monday, July 26, 2004 at 14:10:46 (EAT)
Bwana akiwa upande wetu hakuna atakayesimama juu yetu
Nathan Conrad <andasoni@hotmail.com>
D salaam, Tanzania - Friday, July 23, 2004 at 17:51:20 (EAT)
Mungu awakabariki
Nathan Conrad <andasoni@hotmail.com>
D Salaam, Tanzania - Friday, July 23, 2004 at 11:46:31 (EAT)
Namshukuru Mungu YEHOVA kwa kunibariki
Nathan Conrad <andasoni@hotmail.com>
D Salaam, Tanzania - Thursday, July 22, 2004 at 17:16:36 (EAT)
Mungu awabariki sana na muendelee na utumishi kwa utukufu wa jina lake ili injili izidi kusonga mbele zaidi na zaidi.
patrick Kiluwa. <patrickkiluwa@yahoo.com>
Tanga, Tanga Tanzania - Thursday, July 22, 2004 at 14:36:51 (EAT)
Naomba kujiunga na website
Patrick Mwangota <patricknm2001@yahoo.com>
Dar-es-salaam, Kinondoni Tanzania - Thursday, July 22, 2004 at 09:09:30 (EAT)
Naomba kujiunga na website
Patrick Mwangota <patricknm2001@yahoo.com>
Dar-es-salaam, Kinondoni Tanzania - Thursday, July 22, 2004 at 09:08:58 (EAT)
Naomba kujiunga na website
Patrick Mwangota <patrick2001@yahoo.com``>
Dar-es-salaam, Kinondoni Tanzania - Thursday, July 22, 2004 at 09:08:03 (EAT)
great site mgbada
jai <jaimugu@yahoo.de>
hii, Tanzania - Thursday, July 22, 2004 at 04:16:06 (EAT)
BWANA YESU ASIFIWE,Nimejifunza mengi kutoka mafundisho yanayotolewa kwenye vipindi vya radio na mtandao wenu.naomba kupewa mafundisho ya ndoa na niko tayari kuchangia.MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI WA MUNGU.
rosemary miselya(mrs) <rosemiselya@yahoo.com>
musoma, musoma Tanzania - Wednesday, July 21, 2004 at 10:05:13 (EAT)
nampenda bwana yesu awe mwokozi wa maisha yangu.
paul shayo <paulshayo@ yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Wednesday, July 21, 2004 at 09:20:38 (EAT)
Glory to God
Natahan Conrad <andasoni@hotmail.com>
D Salaam, Tanzania - Tuesday, July 20, 2004 at 16:26:01 (EAT)
Namshukuru Mungu kwa wema wake alionitendea
Nathan Conrad <andasoni@hotmail.com>
D Salaam, Tanzania - Tuesday, July 20, 2004 at 09:41:25 (EAT)
Namshukuru Mungu kwa wema wake alionitendea
Nathan Conrad <andasoni@hotmail.com>
D Salaam, Tanzania - Tuesday, July 20, 2004 at 09:40:52 (EAT)
Mungu awabariki
Nathan Conrad <andasoni@hotmail.com>
D Salaam, Tanzania - Tuesday, July 20, 2004 at 09:36:51 (EAT)
Ninabarikiwa sana na mafundisho ya mtumishi wa Mungu Mr. Mwakasege, Mungu ambariki sana.
Jane Fatukubonye <jowana56@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Monday, July 19, 2004 at 18:04:16 (EAT)
Munngu azidi kukupa upako
shalom deusdedit <faith shallom@yahoo.com>
Dar es salaam, Tanzania - Saturday, July 17, 2004 at 20:47:05 (EAT)
MUNGU AWABARIKI SANA
Mark Francis <yambis2004@yahoo.com>
Arusha , Arusha Tanzania - Saturday, July 17, 2004 at 10:53:31 (EAT)
MUNGU AKUTIE NGUVU KWA KAZI UNAYOIFANYA YA HUDUMA, TUNABARIKIWA SANA NA MAFUNDISHO YA KNENO KATIKA REDIO SAUTI YA INJILI MUNGU AZIDI KUKUBARIKI, ZAIDI SANA TUNAKUOMBEA UENDELEE KUSONGA MBELE KATIKA KUMHUBIRI KRIST0 YESU , KWA WENGINE NI KIKWAZO LAKINI KWETU NI NGUVU ZA MUKNGU.
EMANUEL MEISILAL <meisilal@yahoo. com>
Arusha, Tanzania - Friday, July 16, 2004 at 19:11:08 (EAT)
Kazi yenu mnayofanya si bure mtavuna kwa wakati wake msipozimia moyo.Mungu awabariki na azidi kuwatia nguvu,ili kondoo wake wazidi na kuzidi.
Elizabeth E. Msuya <eemsuya@yahoo.com>
Dar ea salaam, Tanzania - Friday, July 16, 2004 at 14:30:28 (EAT)
nimefurahia sana website
peter mhuwa <petermhuwa78@yahoo.co.uk>
mwanza, kwimba Tanzania - Friday, July 16, 2004 at 13:45:28 (EAT)
Nimebarikiwa sana na semiana kwa vijana wanaotarajia kuoa /kuoelewa. Pia nilitaka kusoma semina kuhusu waliooa / olewa lakini sikweza kwakuwa sina password.Naomba kupewa password
hbakangana <hbakangana@yahoo.com>
Dsalaam, Tanzania - Thursday, July 15, 2004 at 12:45:48 (EAT)
God bless you all.
Rita H. <hrita4@yahoo.ca>
Dar es salaam, Tanzania - Thursday, July 15, 2004 at 09:49:46 (EAT)
Ni vema kumshuru Bwana kwa kila jambo na pia kuutafakari uzuri wa Bwana Hekaluni mwake.Pia namshukuru Mungu wa MBINGUNI na YESU KRISTO Mwana wake ambaye ndiye BWANA WETU kwa kututu mia mjumbe wake ili aweze kutengeneza Njia ya Bwana Yesu ili siku yakuja Bwana asiwepo mtu awayeyote Kumlaumu Yesu kwamba hakuhubiriwa ama Hakusikia mafundisho ya Neno lake,JAPO IMEANDIKWA,KUSIKIA MTASIKIA LAKINI HATAELEWA; Jambo moja ambalo kweli linasikitisha sana Kwa sasa ni Kuona Vijana wanaangamia!!! wakati MUNGU anasema" NI MEWAANDIKIA NYINYI VIJANA KWA KUWA MNA NGUVU NANYI MMEMSHINDA SHETANI", Badala yake sasa hivi ni kwamba shetani ametushinda vijana** ninamasikitiko makubwa sana kuona vijana tunaangamia kwa kukosa maarifa ya neno la Mungu!na IMEANDIKWA "NI JINSI GANI KIJANA AISAFISHE NJIA YAKE? NI KWA KUTII,AKILIFUATA NENO LAKE YESU. Ninaona Pamoja na Mafundisho ya mtumishi wa Mungu MWL.CHRISTOPHER MWAKASEGE NA MAMA JINSI WANAVYO TUHANGAIKIA VIJANA Badala ya kutii tuna Kaidi, Fikiria kijana ambaye ameokoka utamkuta hata nyumbani Anashabikia Miziki ya RAP katika televisheni Na bahati mbaya saana serikali Haizuii kuonyesha mambo haya Hadharani. Maoni yangu Mtumishi wa Mungu utuombee sana vijaana maana Kundi kubwa sasa lina kwenda Kuangamia Hayamkini hata Waliookoka. Yesu alisema ulionipa sikumpoteza hata mmoja isipokuwa yule Mwana uwasi yeye aliwalinda pia Mtumishi utulinde isipokuwa wale waliondikiwa Hivyo kwao jua la haki kuwazukia itakuwa vigumu,Tumkabidhi Bwana Njia zetu zote!!.Kweli nina Majonzi MAKUBWA SANA MOYONI KUONA JINSI VIJANA TUNAVYOANGAMIA WATU WA MUNGU WATUMISHI MAOMBI NI SILAHA! TUKIYATUMIA TUTASHINDA HATA TELEVISHENI ZITAKOMA KUONESHA PICHA ZA MADISCO,NA ZA UCHI,MUNGU ATUKUZWE KWA KUMTUMA MWANAWE YESU KRISTO KWA AAJIRI YA KUOKOA ULIMWENGU HUU WA DHAMBI. Pia naomba mkemee "SHETANI" AMBAYE NI ADUI YETU ILI MANENO YA HOVYO YASIO NA MAANA KUWANDIKWA KATIKA WEBSITE HII. MUNGU WA NEEMA AWABARIKINI NYOTE NA KUWAJARIA UZIMA WA MILELE!!!,''AMENI''
Mesha Edward Kapessa <meshaedwtz@hotmail.com>
Arusha, usariver Tanzania - Wednesday, July 14, 2004 at 18:35:15 (EAT)
Mungu awabariki sana katika huduma hii mnayoifanya kwa uaminifu, Ila mnisaidie kuomba pamoja nami juu ya familia ya mtumishi/mzee ELIUD ambaye unahudumu pamoja naye, kwa kuwa ninamzigo wa maombi juu yao.,amani ya KRISTO iwe nawe.
ARON JOSEPH <ajosta@yahoo.com>
arusha, kimandolu Tanzania - Wednesday, July 14, 2004 at 17:16:57 (EAT)
Mungu awabariki sana katika huduma yenu, ila naomba mnisaidie kuomba pamoja nami juu ya familia ya mtumishi/mzee ELIUD,ambaye unahudumu pamoja naye, nina mziko juu ya familia yake, naomba muwe na amani ya KRISTO.
ARON JOSEPH <ajosta@yahoo.com>
ARUSHA, KIMANDOLU Tanzania - Wednesday, July 14, 2004 at 17:03:21 (EAT)
Ndugu katika kristo, Mimi sina mengi zaidi ila tu nilikuwa naomba kushirikiana pamoja nanyi katika shida zangu, hivyo basi hasa hasa nilikuwa naomba kuombewa ili niweze kufanikiwa katika maisha yangu ya kila siku.
ARNOLD KISAKA <bariki_arnold@yahoo.com>
Mbeya, Mbeya Tanzania - Wednesday, July 14, 2004 at 13:51:42 (EAT)
Huduma ya MANA kwa Mkoa wetu wa Dodoma, tunaomba iangaliwe katika usimamizi hasa kwa wahudumu wakati wa semina kwani inavyoonekana baadhi ya wahudumu huwa hawajitoi kwa ajili ya huduma ila ni kutaka kujionyesha pia kutambulisha makanisa yao kwani vitu wanavyovifanya si vyaKimungu. Nashauri wahudumu wa Semina hizi kubwa wawe ni watu ambao wanaushuhuda mzuri sio tu kila kanisa litoe wawakilishe wa kuhudumia Semina inakuwa inaleta tosari. MUNGU AIBARIKI HUDUMA HII YA MANA.
Upendo Emmanuel Mwankenja <EMAUPE YAHOO.COM>
Dodoma., Tanzania - Wednesday, July 14, 2004 at 11:03:38 (EAT)
Iombeeni Tanzania, iombeeni Africa!
Navaya ole Ndaskoi <ndaskoi@uccmail.co.tz>
Oslo, Oslo Norway - Wednesday, July 14, 2004 at 11:03:22 (EAT)
Huduma ya MANA kwa Mkoa wetu wa Dodoma, tunaomba iangaliwe katika usimamizi hasa kwa wahudumu wakati wa semina kwani inavyoonekana baadhi ya wahudumu huwa hawajitoi kwa ajili ya huduma ila ni kutaka kujionyesha pia kutambulisha makanisa yao kwani vitu wanavyovifanya si vyaKimungu. Nashauri wahudumu wa Semina hizi kubwa wawe ni watu ambao wanaushuhuda mzuri sio tu kila kanisa litoe wawakilishe wa kuhudumia Semina inakuwa inaleta tosari. MUNGU AIBARIKI HUDUMA HII YA MANA.
Upendo Emmanuel Mwankenja <EMAUPE YAHOO.COM>
Dodoma., Tanzania - Wednesday, July 14, 2004 at 11:00:39 (EAT)
Yehova awabariki
Nathan Conrad <andasoni@hotmail.com>
D salaam, Tanzania - Wednesday, July 14, 2004 at 08:53:38 (EAT)
Nabarikiwa sana na mafundisho yenu.
Alade John Maluli <maluli1@yahoo.com>
Dodoma, Dodoma Tanzania - Tuesday, July 13, 2004 at 14:44:38 (EAT)
Nawasalimu kwa jina la yesu, nimevisit website yenu ni nzuri sana mungu awabariki maana hata mimi napata mafundisho mengi mazuri kutoka kwenye hii website, yanajenga kiroho kwakweli mungu awabariki mzidi kueneza injili kwa njia ya mtandao. Jingine ni kwamba kuna kitu kimoja nimeona kimepungua kwenye hii website sijaona masomo yanayoongolea wajane.
elizabeth <elizabethbugengo@hotmail.com>
Dar-Es-Salaam, sinza Tanzania - Tuesday, July 13, 2004 at 14:40:54 (EAT)
Mungu awabariki kwa huduma nzuri
Mr Philip L Sanga <lonati_f@yahoo.com>
DSM-CHUO KIKUU, Tanzania - Tuesday, July 13, 2004 at 14:07:25 (EAT)
namshukuru sana kupata nafasi ya kujifunza maneno ya Mungu kupitia huu mtandao,ninajifunza mengi yanayoyainua maisha yangu ya kiroho. Mungu awabariki sana pia nawatakia kazi njema ktk utumishi
daniel anderson <anderlema@yahoo.co.uk>
dar es salaam, Tanzania - Tuesday, July 13, 2004 at 13:42:20 (EAT)
Kwanza kabisa kabla ya yote napenda Ni Mshukuru Mungu kwa ulinzi wake jinsi anavyonipigania hata sasa Maana yeye hapendi hata mmoja apotee.Pili nawashuru kwakunipa nafasi hii ambayo ni adimu kwani ni wachache walioipata,Kubwa kabisa na la msingi katika maisha yetu ni kulijua NENO LA MUNGU WETU.NA KUMJUA BWANA YESU KAMA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU.Kimsingi tumshukuru sana tena sana BWANA YESU kwa kumtumia Mtumishi wake MWAKASEGE kuwafundisha watoto wa Mungu ujumbe aliomwitia. Kweli kama ni kulisha kundi analilisha sawasawa Bwana Azidi kumkirimia Neema yake.Niseme kwamba Nalifurahi waliponiambia na twende nyumbani mwa BWANA,mtumishi wa mungu yeye hata sasa anazidi kutukaribisha katika Kundi la KONDOO WA MUNGU,YESU NDIYE MCHUNGAJI MWEMA ambaye anamuogoza Mwakasege,Mtumishi usichoke katika kutenda kazi ya Bwana Kwani utavuna kwa wakati wake."WAKASAIDIANA KILA MTU NA MWENZAKE,MWENZAKE AKAMWAMBIA NDUGU YAKE UWE NA MOYO MKUU.MJIPE MOYO,msimzimishe ROHO WA MUNGU yeye aliyeanzisha kazi ndani yenu ndiye atakaye ikamilisha.BWANA AWABARIKI.
Mesha Edward Kapessa <meshaek2000@yahoo.co.uk>
Arusha, usariver Tanzania - Monday, July 12, 2004 at 19:22:47 (EAT)
Bwana yesu asifiwe sana,kwani naipongeza huduma ya bwana wetu kristo yesu kwani vijana ndio wanaotakiwa kumtumikia mungu.
yonathan landa <yonathanlanda@yahoo.com>
dar es laam, temeke Tanzania - Monday, July 12, 2004 at 16:57:45 (EAT)
TUNAOMBA MRUDI TENA DODOMA MAANA TUMEBARIKIWA SANA NA SEMINA ILIYOPITA JUU YA SABABU SABA ZA KUTOKUWA MASKINI
AIDAN SEMBUCHE <sembucheah2001>
DODOMA, DODOMA Tanzania - Monday, July 12, 2004 at 16:28:25 (EAT)
Mwacheni MUNGU aitwe MUNGU maana fadhili zake ni kuu
Nathan Conrad <andasoni@hotmail.com>
D salaam, Tanzania - Monday, July 12, 2004 at 08:37:45 (EAT)
Nilibarikiwa sana na huduma yenu ktk mji wa tanga.Na kufurahia kwa jinsi uloivyo tutia moyo wachungaji wa Tanga. Mungu azidi kuibariki huduma alioiweka ndani yako.Neno la kutia moyo [YEYE ALIE ANZA KAZI NJEMA MOYONI MWAKO ATAITIMILIZA.] MchJ.Shee
Mch.Joseph Shee <josephshee2001@yahoo>
Tanga, Tanzania - Sunday, July 11, 2004 at 20:19:22 (EAT)
Nilibarikiwa sana na huduma yenu ktk mji wa tanga.Na kufurahia kwa jinsi uloivyo tutia moyo wachungaji wa Tanga. Mungu azidi kuibariki huduma alioiweka ndani yako.Neno la kutia moyo [YEYE ALIE ANZA KAZI NJEMA MOYONI MWAKO ATAITIMILIZA.] MchJ.Shee
Mch.Joseph Shee <josephshee2001@yahoo>
Tanga, Tanzania - Sunday, July 11, 2004 at 20:18:41 (EAT)
mungu akubariki mwl mwakasege uendelee kutoa neno la mungu, kwa njia ya tovuti.
peter herman <hermanwhite2000@yahoo.com>
dsm, pwani Tanzania - Saturday, July 10, 2004 at 18:41:35 (EAT)
Kila la kheri katika huduma
Faraja Muhondwa <fmuhondwa@yahoo.co.uk>
bangalore, Karnataka India - Saturday, July 10, 2004 at 15:31:39 (EAT)
YEHOVA Mungu awalinde kuwaongoza katika kazi mnayoifanya
Nathan Conrad <andasoni@hotmail.com>
D salaam, Tanzania - Friday, July 09, 2004 at 16:05:06 (EAT)
Ninamshukuru MUNGU kwa huduma yenu mzidi kusonga mbele kwani (Tunayaweza mambo yote ktk yeye atutiaye nguvu) Ninaomba mnisaidie masomo ya kuishi maisha MATAKATIFU ktk umri wa ujana MUNGU AWABARIKI.
Mark Francis <yambis2004 @ yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Friday, July 09, 2004 at 12:20:50 (EAT)
Ninamshukuru MUNGU kwa huduma yenu mzidi kusonga mbele kwani (Tunayaweza mambo yote ktk yeye atutiaye nguvu) Ninaombaa mnisaidie masomo ya kuishi maisha MATAKATI ktk umri wa ujana MUNGU AWABARIKI.
Mark Francis <yambis2004 @ yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Friday, July 09, 2004 at 12:14:16 (EAT)
MUNGU akubariki.nimepen dezwa na jinsi unavyo heshimu huduma uliyoitiwa.Nahitaji mfundisho zaidi
janeth mwambona <janeth1996@hotmail.com>
dar es salaam, Tanzania - Thursday, July 08, 2004 at 18:23:51 (EAT)
Tumtangulize YEHOVA kwa kila jambo
Nathaniel Conrad <andasoni@hotmail.com>
D salaam, Tanzania - Thursday, July 08, 2004 at 17:10:46 (EAT)
KAZI ZENU KWELI NI NZURI NA ZINASIKIKA SANA HAPA TZ. SWALI LANGU NAOMBA LIJIBIWE KWAMBA UNAWEZA KUOMBEWA BILA YA KUBADILISHA DINI.NAOMBA MAJIBU KUPITIA EMAIL YANGU
EDWIN KISANGA <edwinkisanga@yahoo.co.uk>
DSM, UBUNGO Tanzania - Thursday, July 08, 2004 at 15:29:49 (EAT)
JE UNAWEZA KUOMBEWA BILA KUWA MUUMINI????????????????????
edwin kisanga <edwinkisanga@yahoo.co.uk>
dsm, ubungo Tanzania - Thursday, July 08, 2004 at 15:26:22 (EAT)
samahani, nilisahau kumalizia maoni yangu kwa kusema kwamba,maoni hayo ningependa yakifanyiwa kazi yaingizwe kwenye huu mtandao.Ahsante,Mungu awabariki.
Suzana Kiwelu <suzykt12@yahoo.com>
Dar-es- salaam, Temeke Tanzania - Thursday, July 08, 2004 at 15:12:57 (EAT)
sijaona somo la juu ya kunena kwa lugha,ni jinsi ghani mtu ataweza kunena kwa lugha inakuaje? je inatokea bila kujua(does it come automatically)?,utajuaje unenaji huo ni wa kweli au la?je,kuna maneno maalum ambayo watu wanao nena wanapaswa wanene?kuna unenaji wa uongo?Kuna unenaji unaofanyika myu anaponena unasikia tu herufi 2? mfano rarara......,ni wakati gani mtu anatakiwa kunena?
Suzana Kiwelu <suzykt12@yahoo.com>
Dar-es-salaam, Temeke Tanzania - Thursday, July 08, 2004 at 15:07:52 (EAT)
YEHOVA awabariki na kuwapa nguvu muzidi kulisha kondoo zake
Nathan Conrad <andasoni@hotmail.com>
D Salaam, Tanzania - Thursday, July 08, 2004 at 14:51:57 (EAT)
YEHOVA awabariki
Nathaniel Conrad <andasoni@hotmail.com>
D salaam, Tanzania - Thursday, July 08, 2004 at 08:43:24 (EAT)
Mungu awabariki sana katika huduma hii, nimepokea mengi sana na yanatia nguvu kiimani na kuzidi kusonga mbele kiroho. Pia ninapokuwa nyumbani ninapata tumaini kwamba nikifika ofisini nitafungua mtandao na kupokea maneno mazuri kwa ajili ya chakula cha kila siku kiroho.
Olga <olganzali@yahoo.com>
Dar es Salaam, Dar es Salaam Tanzania - Tuesday, July 06, 2004 at 15:11:16 (EAT)
Mungu awabariki kwa kazi njema mnayofanya,Mungu atawalipa kwa wakati wake.
lazaro <lazalu2003@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Monday, July 05, 2004 at 16:04:37 (EAT)
Tunaomba urudi tena Dodoma tuna kiu ya kusikiliza neno la Mungu
Aidan sembuche <sembucheah2001>
Dodoma, dodoma Tanzania - Monday, July 05, 2004 at 14:38:19 (EAT)
Bwana Yesu Asifiwe Nawashukuru kwa huduma nzuri ambayo imenitia moyo kwa kiasi kikumbwa sana pindi nifunguapo Web site hii.Na Mungu andelee kuwapa nguvu ya ziada katika huduma hii.
Tom Lema <tomlema2000@yahoo.com>
arusha.tanzania, arusha Tanzania - Friday, July 02, 2004 at 11:55:59 (EAT)
Bwana Yesu Asifiwe Nawashukuru kwa huduma nzuri ambayo imenitia moyo kwa kiasi kikumbwa sana pindi nifunguapo Web site hii.Na Mungu andelee kuwapa nguvu ya ziada katika huduma hii.
Tom Lema <tomlema2000@yahoo.com>
arusha.tanzania, arusha Tanzania - Friday, July 02, 2004 at 11:55:27 (EAT)
Nawasalimu katika jina la bwana, Kwakweli nilipo fungua hii web site kwa mara ya kwanza nilifarijika sana na mafundisho yaliyomo.Hivyo mungu awasaidie muendelee kutuelimisha.
Erick Sadiki Msangi <erick70537@yahoo.com>
Dar es salaam, Tanzania - Friday, July 02, 2004 at 10:57:46 (EAT)
Mbarikiwe na Bwana, ninahitaji kuingia kwenye mafunzo ya ndoa lakini kila nikiingiza password inakataa nifanyeje?
debora wenga <deborawenga@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Friday, July 02, 2004 at 08:59:06 (EAT)
Mungu akubariki katika huduma hii unayotoa
Catherine <cmynah@hotmail.com>
Dar es salaam, Tanzania - Friday, July 02, 2004 at 00:42:32 (EAT)
Namshukuru sana Mungu kwa kukutumia kufundisha Neno lake kila ninapoingia katika web site hii nasikia kujua kitu kipya naona kila nisomapo napata ongezeko katika maisha ya kiroho naomba nifahamishe jinsi ya kusoma masomo ya ndoa au nitumi kitabu au machapisho kwani ktk mtandao kunahitajika password ambayo sijui na sifahamu mashariti ya kuipata mimi Bwana Yesu akutie nguvu na Uzidi kujazwa na Roho mtakatifu Mungu akulinde na Familia yako yote naomba hayo ktk Jina la Bwana Yesu jina lililo kuu kupita majina yote Ameni
Godbless <blessmsu@yahoo.com>
Bagamoyo, Pwani Tanzania - Thursday, July 01, 2004 at 19:06:28 (EAT)
mtumishi wa mungu ubarikiwe kwa kazi nzuri unayoifanya kwani mimi binafsi nimepata majibu ya maswali mengi niliyokuwa nikijiuliza.
amani <amanimono@yahoo.com>
moshi, moshi mjini Tanzania - Thursday, July 01, 2004 at 17:43:09 (EAT)
mtumishi wa mungu ubarikiwe kwa kazi nzuri unayoifanya kwani mimi binafsi nimepata majibu ya maswali mengi niliyokuwa nikijiuliza.
amani <amanimono@yahoo.com>
moshi, moshi mjini Tanzania - Thursday, July 01, 2004 at 17:40:28 (EAT)
Inapendeza na Mungu awabariki kw kazi nzuri
Pastor Dickson Amos Nghily <pastordaus@yahoo.com>
Dar Es Salaam, Kawe Tanzania - Thursday, July 01, 2004 at 17:29:40 (EAT)
ni website mzuri sana kwani hata nasi tunaweza tuka washa Computer yetu na kujifunza neno la Mungu kupitia mafundisho ya Christopher Mwakasege ambayo yamechapishwa kwa mtandao huu.
Sandra Benjamin <omis55@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Thursday, July 01, 2004 at 16:51:41 (EAT)
SINA MAONI ILA MUNGU AWABARIKI KATIKA HUDUMA YENU MLIYOPEWA NA MUNGU MSICHOKE BALI MUIMARIKE MKIJUA KUWA TAABU YENU SIYO BURE KATIKA BWANA.WEBSITE YENU IMEKUWA MSAADA WA KUKUA KIROHO KWANGU.
Ashery A Biyoboke <biyoboke@hotmail.com>
Dar es Salaam, Tanzania - Thursday, July 01, 2004 at 09:52:07 (EAT)
NAPENDA NIWASALIMU WAANDISHI WOTE KATIKA KITABU HIKI CHA WAGENI KWA JINA LA BWANA. MUNGU AWABARIKI SANA NA MUENDELEE KUMTUKUZA NA KUMTEGEMEA YEYE KWA KILA JAMBO MLIFANYALO. AMEN.
WILBARD CHIPANDA <wpchipanda@hotmail.com>
DODOMA, DODOMA Tanzania - Wednesday, June 30, 2004 at 17:31:42 (EAT)
NAPENDA NIWASALIMU WAANDISHI WOTE KATIKA KITABU HIKI CHA WAGENI KWA JINA LA BWANA. MUNGU AWABARIKI SANA NA MUENDELEE KUMTUKUZA NA KUMTEGEMEA YEYE KWA KILA JAMBO MLIFANYALO. AMEN.
WILBARD CHIPANDA <wpchipanda@hotmail.com>
DODOMA, DODOMA Tanzania - Wednesday, June 30, 2004 at 17:30:14 (EAT)
Mwacheni Mungu aitwe MUNGU
Nathaniel C Ugonile <andasoni@hotmail.com>
Dar es salaam, Tanzania - Wednesday, June 30, 2004 at 12:27:07 (EAT)
huduma hii ni nzuri sana.
Matrona Boniface <matydebony@yahoo.com>
arusha, Tanzania - Wednesday, June 30, 2004 at 11:51:52 (EAT)
Mungu akubariki kwani kupitia mafundisho yako nimepona kutoka roho ya udini.Niombee Mumgu anisimamishe kwenye wokovu.Mimi ni mkarisimatiki.
SUSAN MGAI <--->
DAR ES SALAAM, Tanzania - Wednesday, June 30, 2004 at 11:15:51 (EAT)
Mungu akubariki sana kwani kupitia mafundisho yako nimepona kutoka roho ya udini.Mungu azidi kukuongeza kipawa chake.
SUSAN MGAI <-------------->
Dar es salaam, Tanzania - Wednesday, June 30, 2004 at 11:11:34 (EAT)
UBARIKIWE KWA MAFUNDISHO MBALIMBALI. YAMEFANYIKA BARUA KWANGU NA FAMILIA YANGU. UBARIKIWE NA BWANA
Nestor G . G Shirima <nestor.s@kicheko.com>
DSm Tanzania - Tuesday, June 29, 2004 at 12:38:30 (EAT)
Mungu akubariki katika kazi zako haswa nyakati hizi za mwisho ambapo nyumba zina migongano na mifarakano ya hatari tafadhali niombee kwani nina mahangaiko ya kutisha juu ya familia yangu. Tafadhali tafuta muda utoe somo la unyumba makanisani haswa usharika wa Kijenge ambapo wewe pia unaabudu
bernard rabiel swai <benrabiel@yahoo.co.uk>
arusha, Tanzania - Monday, June 28, 2004 at 18:04:37 (EAT)
siku zote naota na natamani nami kuwa mchungaji na mhubiri kama wewe,niombee na nipe ushauri nifanye nini?
Michael Tandike <tandikem@yahoo.co.uk>
Dodoma, Dodoma Tanzania - Sunday, June 27, 2004 at 19:39:06 (EAT)
Unayoyaongea mchungaji ni karama ambayo wachache sana katika nchi hii wanayo,namuomba mungu akubariki uendelee kutoa huduma kwa watanzania muda na wakati wote bila kuchoka
Michael Tandike <tandikem@yahoo.co.uk>
Dodoma, Dodoma Tanzania - Sunday, June 27, 2004 at 19:36:41 (EAT)
Namshukuru Mungu kwa ajili ya huduma yenu imenisaidia na inanisaidia sana kumjua na kumpenda Mungu.Nitafurahi zaidi ikiwafikia na wengine hapa Mtwara.
Adam Rassa <doctor773jr>
mtwara town, Mtwara Tanzania - Sunday, June 27, 2004 at 12:26:35 (EAT)
Naomba niwenatumiwa habari mara kwa mara kuhusu neno la mungu.
HENRY MDAPO <henrymdapo@yahoo.com>
Dar es Salaam, Dar Tanzania - Saturday, June 26, 2004 at 15:18:52 (EAT)
Namshukuru Mungu maana amenitendea maajabu siwezi kueleza
Nathan Conrad <andasoni@hotmail.com>
Dar es salaam, Tanzania - Friday, June 25, 2004 at 14:47:52 (EAT)
Nawapongeza kwa kazi mnayoifanya na YEHOVA awabariki
Nathaniel C Ugonile <andasoni@hotmail.com>
Dar es salaam, Tanzania - Friday, June 25, 2004 at 14:38:30 (EAT)
God Bless
Rita H <hrita4@yahoo.ca>
Arusha, Arusha Tanzania - Thursday, June 24, 2004 at 18:48:10 (EAT)
Mungu awabariki kwa kazi yake nzuri mnayoifanya.Naomba msaada wa kupata password ya mafundisho ya ndoa.
BUPE MWABENGA <bupek@hotmail.com>
Dar es salaam, Tanzania - Thursday, June 24, 2004 at 13:18:26 (EAT)
Mungu awabariki sana kwa huduma hii. Ninamuomba Mungu wetu mwema zidi kuwatia nguvu, Amen. Anuani ya e-mail yenu haipatikani, mails zinarudi
Dorothy Mwanyika <dorothy_mwanyika@yahoo.com>
Mbeya, Mbeya Tanzania - Thursday, June 24, 2004 at 13:10:57 (EAT)
shukurani kwa Mungu kwa kunipatia ajira kama nilivyoomba ktk maombi ya kwenye box uwanja wa mashujaa moshi mwaka jana
GILERT RAPHAEL MWESIGWA <mwesigwa4@hotmail.com>
BUKOBA, KAGERA Tanzania - Thursday, June 24, 2004 at 09:24:28 (EAT)
Ningeomba au kushauri Mchungaji Mwakasege anapokuja kufanya mikutano ya injili Dsm ambapo mimi ninaishi ajaribu japo mara moja kwa mwaka kufanya mkutano wake ktk maeneo ya wazi kama mnazi mmoja au jangweni ili watu wote waweze kupata neno kwani kuna wengine hali zao kiuchumi ni mbaya au hata kwa kupita njia tuu watavutwa kuingia ktk mahubiri kuyasikiliza.
prosper Mapunga Kyamba <proskyamba@yahoo.com>
Dar es Salaam, Tanzania - Wednesday, June 23, 2004 at 15:35:44 (EAT)
Kwakweli nabarikiwa sana kila siku tangu nilipookoka ninaamani. Vipindi vyako kuanzia ijumaa -Jpili kwakweli vinanibariki sana nikijisikia nimevunjika moyo ninafarijika asante sana na bwana akubariki milele mtumishi
linda <lindamsangi@yahoo.com>
kilimanjaro, kaskazin Tanzania - Tuesday, June 22, 2004 at 21:14:19 (EAT)
Sijajua namna ya kujiunga na web yenu. yaani ninpofungua kuhusu walio kwenye ndoa inabidi niandike User Name na Password Nitapata vipi hizo password na User Name. Tafadhali nisaidie nisaidie
CHRISTOPHER SAILENI <csai65@hotmail.com>
DODOMA, DODOMA TANZANIA - Tuesday, June 22, 2004 at 16:22:55 (EAT)
MUNGU AWABARIKI.
victor george <vicmwale@yahoo.com>
dar es salaam, Tanzania - Tuesday, June 22, 2004 at 15:22:42 (EAT)
NAPENDA KUPATA MASOMO YA BIBLIA KWA NJIA YA INTERNET
CHRISTOPHER SAILENI <csai65@hotmail.com>
DODOMA, DODOMA Tanzania - Tuesday, June 22, 2004 at 09:23:43 (EAT)
Naomba kujifunza mafundisho ya ndoa. Mungu awabariki.
Mrs.Felicia John Kimea <feliciajohn210@yahoo.com>
DAR ES SALAAM, KINONDONI Tanzania - Tuesday, June 22, 2004 at 07:54:39 (EAT)
Kazi hii muifanyayo sio bure;kwa kuwa inawagusa wengi . Na sio kuwagusa tu na kuwaacha kama walivyo, bali ina wabadilisha kutoka njia zao mbaya,au kuzidi kusimama katika kristo. Hivyo nitadumu kuwaombea maisha marefu afya nema mafanikio kiuchumi . nk
Gideon Y.Kwalazi <gkwalazi_1@hotmail.com>
Dar es salaam, Tanzania - Monday, June 21, 2004 at 14:52:47 (EAT)
Tuendelee kumshukuru Mungu kwa maombi bila kuchoka na kuwaombea wale wote wanaotuchukia na wasiotupenda; Bwana awabariki sana Mr & Mrs. Mwakasege kwa kutupa mafundisho ya Mungu yaliyo na wigo mpana na mifano iliyo mingi kama Bwana Yesu alivyokuwa anafundisha kwa mifano, tunashukuru sana kwa Mungu wakazi wote wa Dodoma kutuletea Mtumishi wa Mungu Ndugu Mwakasege ambaye tunaendelea naye kwenye Semina iliyoanza jana- Mungu ambariki sana yeye pamoja na familia yake yote - AMINA.
WILBARD CHIPANDA <wpchipanda@hotmail.com>
DODOMA, DODOMA Tanzania - Monday, June 21, 2004 at 12:12:19 (EAT)
MUNGU AWABARIKI KATIKA HUDUMA YENU!!!
Josephine Mzinga <dophine03@yahoo.com>
Dar-es salaam, Tanzania - Monday, June 21, 2004 at 09:30:38 (EAT)
Namshukuru Mungu kwa huduma hii ya kwenye internet kwani inatusaidia kujifunza neno. Mungu awabariki Mr.& Mrs. Mwakasege andelee kuwawezesha katika huduma hii. Kipekee namshukuru sana Mungu kwa ajili yenu.
Mrs.Felicia John Kimea <feliciajohn210@yahoo.com>
DAR ES SALAAM, KINONDONI Tanzania - Monday, June 21, 2004 at 07:55:00 (EAT)
Bwana Asifiwe Mtumishi. Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu wewe,huduma yako pamoja na familia. Nitakuombea wewe na huduma yako.
Loiruck J. Mollel <loimollel2004@yahoo.com>
DAR ES SALAAM, KKKT Tanzania - Sunday, June 20, 2004 at 17:12:15 (EAT)
sijajua namna ya kujiunga na web yenu. yaani ninpofungua kuhusu vijana au walio kwenye ndoa inabidi mniandika email yangu na password. lakini nikiandika hii e mail inakataa kufunguka. nisaidie nakosea wapi?
agnes mwakabungu <aggymwama@yahoo.com>
dar es salaam, ukonga Tanzania - Saturday, June 19, 2004 at 14:35:04 (EAT)
Napenda kuanzia sasa niishi ktk Kristo!
Ronald <ronnykim2002@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Friday, June 18, 2004 at 15:57:24 (EAT)
ASANTE KWA HUDUMA HII.imeugusa moyo wangu kwani nilikuwa na umkubwa kwenye kibofu cha mkojo,lakini nilitoa Sadaka yangu kwenye semina ya march,2004 hapa Dar kwenye bahasha kuchangia huduma na nikaisemea neno juu ya uponyaji wangu na.na baada ya mwezi mmoja nilishangaa uvimbe ule umetoweka.
JAMES SABUNI <jksabuni@yahoo.com>
DAR, ILALA Tanzania - Thursday, June 17, 2004 at 18:32:07 (EAT)
Naomba kujiunga ktk kitabu cha wageni.
Charles Kabaka <ckmactz@yahoo.com>
Dar es salam, Dar Tanzania - Thursday, June 17, 2004 at 15:32:30 (EAT)
napenda kutoa pongezi zangu kwenu kwanza bwana yesu asifiwe .harafu ni hivi kwanini msitiwekee shot film au tuseme video ili tusikilize neno ra bwana live kabisa na kusoma pia? ni hayo tu
ramadhanipeter <rapejuka_26@hotmail.com>
daressalaam, mabiboext,,makuburi Tanzania - Thursday, June 17, 2004 at 12:40:11 (EAT)
Salamu nyingi kutoka Vienna! Mgeni mmoja... ;O)
Mchongamawe <mchongamawe@swahili.at>
Vienna, Austria - Wednesday, June 16, 2004 at 13:15:47 (EAT)
TUENDELEE KUIHUBIRI INJILI BILA KUCHOKA KWA WATU WOTE ILI WAPATE KUOKOKA NA KUFUATA MISINGI YA DINI BILA KUCHOKA.
WILBARD CHIPANDA <wpchipanda@hotmail.com>
DODOMA, DODOMA Tanzania - Wednesday, June 16, 2004 at 11:54:13 (EAT)
Neno la Mungu ndiyo taa yetu kutuangazia kila siku na kwa kila jambo. Namshukuru sana Mungu, kwa kupitia Mtumishi wake Christopher Mwakasege kutufundisha neno la Mungu.
Glory B. Lyimo <glorylyimo>
Arusha, Arusha Tanzania - Wednesday, June 16, 2004 at 10:46:25 (EAT)
Tuombeane
Lameck Hazali <lameckhazali@yahoo.co.uk>
Dae es Salaam, Ukonga Tanzania - Tuesday, June 15, 2004 at 17:06:25 (EAT)
Nataka kuwa mwanachama wa mafundisho ya ndoa.
Rhoida Lwehela <lwehela@hotmail.com>
Dar es Salaam, Kinondoni Tanzania - Tuesday, June 15, 2004 at 16:00:40 (EAT)
Nilipenda sana kupata mafundisho, ya wana ndoa kutoka kwenye website yenu kwani ninatarajia kuolea mwezi wa kumi na moja. Nimeokoka na ninampenda yesu. Ni mshirika wa MANATABANACLE BIBLE CHURCH kwa mchungaji Carlos Wilson Kirimbai. Nimeshindwa kupata somo hilo kutokana na kuhitajika kwa information ambayo sijaelewa namna ya kuipata. Zaidi ya hayo nabarikiwa sana na mafundisho yenu hasa kwa vijana, nimepata muelekeo mzuri namana ya kumjua mchumba au mume sahini. Mungu awabariki sana!
Monica Bogwe <mbogwe@yahoo.com>
Dar es Salaam, Tanzania - Tuesday, June 15, 2004 at 13:43:46 (EAT)
mungu awabaliki sana kwa kazi yako nzuri unayoifanya ya kuwakomboa watumishi wa mungu waliolemewa na dhambi nimejifunza mambo mengi hasa ya kiroho
sylivano ngallya <syliveryeko@yahoo.co.uk>
dodoma, dodoma Tanzania - Monday, June 14, 2004 at 17:52:11 (EAT)
nafurahishwa na kubarikiwa na huduma zenu MUNGU AWABARIKI ilin muendelee .
salmin p. msigala <salminp@hotmail.com>
Iringa, mashariki Tanzania - Monday, June 14, 2004 at 17:16:51 (EAT)
Tunaomba mikutano mingi zaidi Arusha
ZIPPORAH NGADADA <zngadada@hotmai.com>
ARUSHA, MOUNTKILIMANJARO Tanzania - Monday, June 14, 2004 at 13:22:12 (EAT)
Hii ni tovuti nzuri ambayo nikiwa na mashaka huingia na kusoma maneno ya Mungu na kwa kweli napata faraja kujua kwamba kuna watu wanaweza kujitoa kwa kusaidia wengine. Mungu awabarik
Mariam Kylie Luther <kylieluther@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Friday, June 11, 2004 at 11:28:03 (EAT)
May our Almighty God bless you so much Mr. & Mrs. Mwakasege for such wonderful and dynamics teachings posted on your website. I have always been spiritually enriched and blessed whenever I visit your website. The testaments are such a wonderful manifestations of what God is doing through your ministry, and the monthly letter are so encouraging in walking and learning more about God. Again, I say God richly bless you with all the knowledge and wisdom of our Lord Jesus Christ and please keep it up the good work because God who started it in you two would bring it to completion in his own season. Therefore stand strong in him alone.
Musa Nzua Mukende Howard Shila <mus640s@smsu.edu>
Springfield, Missouri USA - Thursday, June 10, 2004 at 18:54:49 (EAT)
May our Almighty God bless you so much Mr. & Mrs. Mwakasege for such wonderful and dynamics teachings posted on your website. I have always been spiritually enriched and blessed whenever I visit your website. The testaments are such a wonderful manifestations of what God is doing through your ministry, and the monthly letter are so encouraging in walking and learning more about God. Again, I say God richly bless you with all the knowledge and wisdom of our Lord Jesus Christ and please keep it up the good work because God who started it in you two would bring it to completion in his own season. Therefore stand strong in him alone.
Musa Nzua Mukende Howard Shila <mus640s@smsu.edu>
Springfield, Missouri USA - Thursday, June 10, 2004 at 18:53:53 (EAT)
Tovuti hii inasaidia wasomaji kukua kiroho.
JACOB-JOSHUA HOWARD SHILA. <drjoshuashila@yahoo.com>
ARUSHA, Tanzania - Wednesday, June 09, 2004 at 09:59:09 (EAT)
Namshukuru mungu kwa kupata web site hii kwani itanifundisha mengi katika kumjua kristo mfalme na kuishi maisha yenye furaha.
Douglas Sakibu <deosaki@hotmail.com>
Dar Es Salaam, Tanzania - Tuesday, June 08, 2004 at 11:42:53 (EAT)
ningeomba mtumishi wa Mungu Mwakasege afungue ministry mahali ambapo tutakuwa tunapata huduma mara kwa mara tunapomuhitaji
mpale samwel mwakapeje <mpale_mwakapeje@yahoo.co.uk>
Dar es salaam, mbezi Tanzania - Tuesday, June 08, 2004 at 10:22:53 (EAT)
kicha vijana kianzishwe katika sauti ya injili.
anna mseja <annamseja@yahoo.com>
moshi, moshi mjini Tanzania - Monday, June 07, 2004 at 17:25:22 (EAT)
Ninaomba uanzishe camp za vijana hapa dar es salaam kama huko Arusha wakati wa likizo za shule.
DIANA ABIA <dianaabia2002@yahoo.co.uk>
DAR ES SALAAM, Tanzania - Monday, June 07, 2004 at 14:53:26 (EAT)
Mungu akubariki tunakuombea
Chars Macha <chars@docstatehouse.go.tz>
Dar, Tanzania - Monday, June 07, 2004 at 13:14:10 (EAT)
Mungu akubariki tunakuombea
Chars Macha <chars@statehouse.go.tz>
Dar, Tanzania - Monday, June 07, 2004 at 13:13:52 (EAT)
Nimehudhuria maombi hapo ofisini,nanimeona mabadiliko mazuri katika kipindi kifupi.Naomba Mungu consistency katika maendeleo na kudumu kwenye neno.
Charles Lenoi <clenoi@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Monday, June 07, 2004 at 12:32:04 (EAT)
Kazi unayofanya ni ya Bwana Mwenyewe! Usishawishike kuchoka.
Ismahel Msovella <msovella@yahoo.com>
Njombe, Iringa Tanzania - Sunday, June 06, 2004 at 17:34:57 (EAT)
TUOMBEANENI ILI LENGO LITIMIE
SIMON LEMBRIS <SIMONLEM@YAHOO.COM>
Arusha, ARUSHA Tanzania - Saturday, June 05, 2004 at 11:48:55 (EAT)
Nimemsikia Christopher Mwakasege kwa mara ya kwanza kwa rafiki M-Irish katika maswala ya tafiti za maendeleo. Baada ya muda kidogo nilimsikia kupitia kwa rafiki niliyekuwa nae chuoni juu ya mahubiri yake. Kwa pamoja tulijenga shauku ya kuelezena kila mtu anavyomjua katika uwanja wake. Nilistajabishwa na uwezo wake mkubwa wa kuugawanya muda wake na kuweza kufanya mambo yote kwa ufasaha mkubwa. Hivo ndivyo nilivosegea karibu na kukutana na NENO la MUNGU! BWANA YESU ASIFIWE!
Chrispin J. Beer-Sheba <kushiland@wowmail.com>
Moshi, Kilimanjaro Tanzania - Friday, June 04, 2004 at 18:14:56 (EAT)
Mungu ni mkubwa nashukuru kwa kunipa nafasi hii kusaini humu ndani mimi nashauru kuwa muweke chatin ili watu waweze kubadilishana mawazo humu ndani yakumuinua kristo na ikiwezekana kuwa na watu wanaoweza kuwasaidia watu online Mungu awabariki katika kazi yake Amen
ELLY MSUYA <ellymsuya@hotmail.com>
Dodoma, D/mjini Tanzania - Friday, June 04, 2004 at 16:31:02 (EAT)
am very grady about this site i wish i could be be their on those days of the bigging of this service may god almight bless you and your familly all the people who are giving us this wounder fully service
mathew s mabeta <stillinbeach16@yahoo.com>
dar , ilala Tanzania - Friday, June 04, 2004 at 11:11:17 (EAT)
am very grady about this site i wish i could be be their on those days of the bigging of this service may god almight bless you and your familly all the people who are giving us this wounder fully service
mathew s mabeta <stillinbeach16@yahoo.com>
dar , ilala Tanzania - Friday, June 04, 2004 at 11:11:07 (EAT)
Nafurahia masomo ambayo Bwana amekuwezesha kutufundisha, ila mtumishi naomba maombi yako kwa ajili yangu na familia yangu kwani nilirudi nyuma katika viwango vya kukulia wokovu na kila ninavyojitahidi nashindwa kusimama sawa sawa na NENO!
Felix Tufingene Mwambona <felix.mwambona@dhl.com>
Dar Es Salaam, Tanzania - Thursday, June 03, 2004 at 21:01:36 (EAT)
Napendekeza kama itawezekana tupate semina mara tatu kwa mwaka hapa Arusha Pili naomba kama itawezekana tupate semina katika wilaya yetu ya Arumeru katika kijiji cha kioga au Oloigeruno ahsante sana narudi tena kwa kweli nashukuru sana kwa huduma yako imekuwa ya baraka sana na niliweka hitaji langu kwenye box kuhusu harusi yangu na Mungu ameifanikisha sana si kawaida pia naomba maombi kwa ajili ya hitaji langu la kazi na gari Mungu akubariki
Goodluck Moisan <gmoisan2002@yahoo.com>
Arusha, Arumeru Tanzania - Thursday, June 03, 2004 at 19:38:17 (EAT)
Napendekeza kama itawezekana tupate semina mara tatu kwa mwaka hapa Arusha Pili naomba kama itawezekana tupate semina katika wilaya yetu ya Arumeru katika kijiji cha kioga au Oloigeruno ahsante sana
Goodluck Moisan <gmoisan2002@yahoo.com>
Arusha, Arumeru Tanzania - Thursday, June 03, 2004 at 19:28:28 (EAT)
Namshukuru MUNGU kwa kuniokoa kwa njia ya YESU KRISTO. "Asante Mungu kwa kunionyesha web site hii ktk muda ninao kuhitaji sana kuliko wakati mwingine wowote ktk maisha yangu" Naomba maombezi yenu ili mimi na familia yangu tupate wokovu na kuzijua siri za Mungu.
John N. M. Mgana <johnmgana@hotmail.com>
Dar es salaam, Tanzania - Thursday, June 03, 2004 at 17:30:03 (EAT)
hogera sana na tuendelee kuomba maana bila maombi hatuna kitu
hilda chalila <dahilda@hotmail.com>
DSM, Tanzania - Wednesday, June 02, 2004 at 15:57:23 (EAT)
MUNGU AWABARIKI KWA HUDUMA YENU.1.JE,HAKUNA UWEZEKANO WA KUONGEZA VIPINDI VYA REDIO ZAIDI SASA? 2.NAHITAJI KUJIUNGA NA"SUBSCRIBE INJILI"FOMU INAPATIKANAJE KWA EMAIL?
JAPHET A. KIMONGE <jkimonges at yahoo.com>
DAR, PWANI Tanzania - Wednesday, June 02, 2004 at 13:15:54 (EAT)
Bwana Yesu asifiwe, nimeijua website hii baada ya kubarikiwa sana na semina iliyofanyika mjini St paul, na Ndugu Mwakasege pamoja na mkewe. Kwa kweli bwana Yesu aendelee kuwatia nguvu mzidi kutenda kazi yake maana mmepanda mbegu kubwa huku Minnesota. Mungu awabariki sana. Wenu katika kristo Faith Ntukamazina.
Faith Ntukamazina <fntukamazina@yahoo.com>
St. Paul, MN Usa - Tuesday, June 01, 2004 at 23:07:57 (EAT)
Mungu awabariki wote.
Martha <marthangasha@yahoo.com>
Dar es salaam, Tanzania - Monday, May 31, 2004 at 12:42:19 (EAT)
Shalom! Namshukuru Mungu kwa ajili ya site hii.Jinsi ilivyo leo namshukuru Mungu kwani imekua na ni majibu ya maombi yangu kwa Mungu juu ya hilo. Tutaendelea kuomba! Songa mbele mtumishi!
Kusirie Senkondo <ksenkondo@hotmail.com>
Arusha, Tanzania - Saturday, May 29, 2004 at 14:06:16 (EAT)
Mbarikiwe sana
Edmond Lyatuu <edmond.lyatuu@vineyardcolumbus.org>
Columbus, Oh US - Friday, May 28, 2004 at 18:05:42 (EAT)
MSICHOKE KATIKA KUTENDA KAZI HIYO YA BWANA KWANI TAABU YENU SI BURE KATIKA BWANA. HUKU KWETU TABORA, TUNABARIKIWA NA KUJENGWA NA MAFUNDISHO YENU KWA NJIA YA KANDA ZA KAWAIDA NA ZA VIDEO. WENGI WAKISHASIKIA MAFUNDISHO WANABADILIKA KUTOKA KWENYE MITAZAMO WALIYOKUWA NAYO.
Gwitaba, Gibson Yohana <gibsonyohana@hotmail.com>
Tabora, Igunga Tanzania - Friday, May 28, 2004 at 14:36:22 (EAT)
Nahitaji kushiba neno la Mungu kwani madhehebu hayata tupeleka MBINGUNI, bali lile neno liletalo uokovu. Hivyo napenda sana Mafundisho ya Mwakasege na nimepata mafanikio hasa kwa mafundisho ya uwezo wa Damu ya YESU. MUNGU AKUBARIKI UENDELEE NAKAZI ALIYOKTUMA>
Generose Dennis Lyimo <glyimo_rfsp@atma.co.tz>
MBEYA, MBEYA Tanzania - Friday, May 28, 2004 at 13:30:38 (EAT)
Mungu akubaliki pamoja na familia yako Amina
cabuten sheggy <cabuten59@yahooh.com.uk>
Dsm., Tanzania - Friday, May 28, 2004 at 13:24:43 (EAT)
Mungu awabariki.
Harisson Njau <harsonnjau@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Thursday, May 27, 2004 at 12:58:45 (EAT)
Nasikia nguvu ya ajabu mno ninapofungua website hii tena pale mwanzo ninapoona hii picha ya mtumishi wa Mungu amepiga magoti napata upako wa roho mtakatifu usio wa kawaida! Nashukuru kwa mafundisho haya nafunguka zaidi kiroho. JINA LA BWANA LIBARIKIWE KWA AJILI YENU WATUMISHI WA MUNGU. JUHUDI ZENU SI BURE MTAPATA MALIPO MBINGUNI
Mary Mathela <m_matella@naomba.com>
Arusha, Tanzania - Thursday, May 27, 2004 at 08:39:59 (EAT)
BWANA YESU ASIFIWE SANA NASHUKURU MUNGU KWA HUDUMA YENU. ENDELEENI MBELE MSIKATE TAMAA HAMKO PEKE YENU.NAOMBA NISHIRIKIANE NANYI KATIKA KUOMBEANA.
SUZANA MWANGOKA <smwangoka@yahoo.cöm>
morogoro, morogoro Tanzania - Wednesday, May 26, 2004 at 22:21:06 (EAT)

suzana mwangoka <smwangoka@yahoo.com>
morogoro, morogoro Tanzania - Wednesday, May 26, 2004 at 22:15:40 (EAT)
Naomba niruhusiwe kusoma mafundisha maalum kwa wenye ndoa. Nimeolewa mwaka 1977 na mume wangu anaitwa Bwana Raphael Ndunguru. Bwana Yesu awabariki sana.
CHRISTA A. K. GAMA <cagama@hq.bot-tz.org>
Dar es Salaam, DSM Tanzania - Wednesday, May 26, 2004 at 17:03:24 (EAT)
NINAKUOMBEA SANA KTK HUDUMA PAMOJ NA MAMA MUNGU AZIDI KUWATIA NGUVU MPYA KILA SIKU AMEN
CATHERINE TITO <ATHE@HOTMAIL.COM>
DSM, Tanzania - Wednesday, May 26, 2004 at 14:39:00 (EAT)
MUNGU AKUSAIDIE KATIKA HUDUMA YAKO
CATHERINE TITO <CETHE>
DSM, Tanzania - Wednesday, May 26, 2004 at 14:36:00 (EAT)
MUNGU AKUSAIDIE KATIKA HUDUMA YAKO
WILLECIANA BITULLO <WILLECIANA@YAHOO.COM>
DSM, Tanzania - Wednesday, May 26, 2004 at 14:33:43 (EAT)
YESU KRISTU NI YULE YULE, JANA LEO NA KESHO!!!!!!! JINA KUBWA KULIKO YOTE
valerian komu <bkom2001@yahoo.com>
mbeya, mbeya Tanzania - Wednesday, May 26, 2004 at 10:28:33 (EAT)
God bless your ministry
erica Thomas <thomaserica@yahoo.com>
undali, masoko Tanzania - Monday, May 24, 2004 at 13:27:15 (EAT)
Mungu awabariki kwa website hii. Napenda kuweza kuaccess mafundisho ya Ndoa
Thomas Erica <thomaserica@yahoo.com>
Dar es salaam, Kinondoni Tanzania - Monday, May 24, 2004 at 13:09:53 (EAT)
NIMEFARIJIKA SANA NA MAFUNDISHO YAKO KATIKA SEMINA MBALIMBALI HAPA DAR-ES-SALAAM.MUNGU AZIDI KUWAPA NGUVU NA MAONO ZAIDI KATIKA KAZI YAKE.NINAOMBA MSADA KATIKA SOMO LA KUISHI MAISHA YA USHINDI PAMOJA NA SOMO LA NDOA.
GODBLESS MASSAWE <godmassawe@hotmail.com>
Dar-es-salaam, Kinondoni Tanzania - Sunday, May 23, 2004 at 15:42:47 (EAT)
Kazi yako ni nzuri,Mungu akubariki na endelea kumtumikia.
Mwassa Jingi <mwassajingi@yahoo.com>
Dar Es Salaam, Tanzania - Saturday, May 22, 2004 at 17:04:18 (EAT)
Naomba masomo ya kuongozwa na roho mtakatifu
stephen kiboma <stephenkiboma@yahoo.com>
DAR ES SALAAM, temeke Tanzania - Saturday, May 22, 2004 at 12:36:52 (EAT)
Bwana yesu apewe sifa, Nawashukuru na kuwapa pole na kazi ngumu ya huduma hii. Nabarikiwa sana ninapoingia katika web site hii kwani nimepata mafundisho mengi na ya menisaidia sana.Mungu awabariki. naombeni maelelkezo jinsi ya kujisajili ili niweze kusoma masomo ya ndoa kwani siellewi kuhusu hiyo password. Nina ndoa takatifu na nitashukuru nikisaidiwa. Sifa zote tumrudishie yeye. AMEN.
Mrs.Mbone Mtega. <mbone73@hotmail.com>
Mbeya, Tanzania - Saturday, May 22, 2004 at 10:11:06 (EAT)
Bwana yesu apewe sifa, Nawashukuru na kuwapa pole na kazi ngumu ya huduma hii. Nabarikiwa sana ninapoingia katika web site hii kwani nimepata mafundisho mengi na ya menisaidia sana.Mungu awabariki. naombeni maelelkezo jinsi ya kujisajili ili niweze kusoma masomo ya ndoa kwani siellewi kuhusu hiyo password. Nina ndoa takatifu na nitashukuru nikisaidiwa. Sifa zote tumrudishie yeye. AMEN.
Mrs.Mbone Mtega. <mbone73@hotmail.com>
Mbeya, Tanzania - Saturday, May 22, 2004 at 10:10:35 (EAT)
Bwana yesu apewe sifa, Nawashukuru na kuwapa pole na kazi ngumu ya huduma hii. Nabarikiwa sana ninapoingia katika web site hii kwani nimepata mafundisho mengi na ya menisaidia sana.Mungu awabariki. naombeni maelelkezo jinsi ya kujisajili ili niweze kusoma masomo ya ndoa kwani siellewi kuhusu hiyo password. Nina ndoa takatifu na nitashukuru nikisaidiwa. Sifa zote tumrudishie yeye. AMEN.
Mrs.Mbone Mtega. <mbone73@hotmail.com>
Mbeya, Tanzania - Saturday, May 22, 2004 at 10:10:03 (EAT)
Bwana yesu apewe sifa, Nawashukuru na kuwapa pole na kazi ngumu ya huduma hii. Nabarikiwa sana ninapoingia katika web site hii kwani nimepata mafundisho mengi na ya menisaidia sana.Mungu awabariki. naombeni maelelkezo jinsi ya kujisajili ili niweze kusoma masomo ya ndoa kwani siellewi kuhusu hiyo password. Nina ndoa takatifu na nitashukuru nikisaidiwa. Sifa zote tumrudishie yeye. AMEN.
Mrs.Mbone Mtega. <mbone73@hotmail.com>
Mbeya, Tanzania - Saturday, May 22, 2004 at 10:09:19 (EAT)
Bwana yesu apewe sifa, nabarikiwa sana nikiingia ktk web site yenu, mungu awabariki. Naomba msaada wa maelekezo jinsi ya kujisajili ili niwe na password nisome mafundisho ya ndoa.kwani kila nikitaka kusoma inanipasa niweke password. Nimeolewa kwa ndoa takatifu. Nitafurahi endapo mtanisaidia. Mungu awabariki na nahitaji maombi yenu ktk ndoa yangu.
Mrs.Mbone Mtega. <mbone73@hotmail.com>
Mbeya, Tanzania - Friday, May 21, 2004 at 12:46:44 (EAT)
Nimebarikiwa sana na Website hii.Maoni yangu ningefurahi zaidi kama Maswali ambayo yanaulizwa km. vijana wanapouliza mambo mbalimbali yanayowatatiza, nivizuri yangepata majibu yake kupitia website hii, pasipo kusubiri kusikiliza kanda, kwani wengine hawana uwezo wa kununua.
Grace Joseph Sheggy <gsheggy@yahoo.com>
Dar es salaam, Tanzania - Friday, May 21, 2004 at 11:17:52 (EAT)
Namshukuru Mungu kwa kuwawezesha kutuelimisha kwa njia hii ya mtandao na Mungu azidi kuwafunulia zaidi na kuwapa maono makubwa zaidi ya kuwaelimisha watu wake ili wafike mbinguni. Maoni yangu ni kuwa kama ikiwezekana hata vipatikane vipeperushi vya kuwapa wengine kwani siyo wote ambao wanauwezo wa kuingia kwenye mtandao. Nashauri kuwa wakati mtumishi wa Mungu anapokwenda kwenye mikutano mahali popote viwepo na vipeperushi vya maneno ya Mungu ya aina mbalimbali na hii itakuwa ni kueneza neno la Mungu pia. Nawatakieni neema ya Mungu kwa kazi hii na Mungu mwenye uweza awape juhudi na nguvu ya kutekeleza haya yote Amen.
Kennedy M. Lyimo <kel@norad.no>
Dar Es Salaam, Dar Tanzania - Thursday, May 20, 2004 at 11:22:36 (EAT)
namshukuru Mungu aliyekuita na kukuwezasha kufanya hayo [filipi 4:13
mchungaji julius peter lyimo. <evgjuliuspeter>
dar es salaam, mbezi luis Tanzania - Wednesday, May 19, 2004 at 14:02:04 (EAT)
Kwa kweli, iam so blessed by Pastor Mwakasege since i first spot on him during diamond jubilee Seminar in 2001 and i real thank God to have time to listen to his teachings. Since then i have been following him all the way whenever he comes to preach in Dar es salaam. Good enough since i got saved in August/2001 i never missed his teachings even last year when i wa about to seat for my A'Level national final examination but God gave me the chance to have sometime to listen to him. I real give glory to God for the last seminar of this year which was held at the Diamond jubilee hall as the continuation of the seminar held at PTA hall. Sincerelly iam changed the way i think about my future life particulary financial wise as a young boy of 22years old and i admire bright future with Christ and prosperous life in Jesus name. Otherwise, may God bless you in keeping your faith firm and steadfast sothat we can be receiving a wonderful messages from God through you. I love your ministry and stay blessed.
MosesJames Kazigaba <kazigaba@yahoo.com>
Dar es salaam, Ubungo Tanzania - Monday, May 17, 2004 at 18:35:02 (EAT)
mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana nimekuwa nikifungua web yako imenibariki sana hasa masomo ya vijana na ikimbie zinaa mimi nimeokoka na na mtumishi katika huduma ya Efatha
Shalom Deusdedit <faith_shallom@yahoo.com>
Dar es salaam, Tanzania - Monday, May 17, 2004 at 12:07:36 (EAT)
Nitapataje e-mail ya Mtumishi Mwakasege binafsi ili nimweleze jambo langu la siri ninalomuomba ushauri wake? au namba yake ya cellphone?
Matthew Mille <millemm@hotmail.com>
Dallas, Texas USA - Monday, May 17, 2004 at 07:04:27 (EAT)
Mtandao huu ni muhimu sana hivyo msikate tamaa
Aimbora Sarakikya <aindysara@yahoo.com>
Dar es salaam, Tanzania - Sunday, May 16, 2004 at 12:33:52 (EAT)
Jina la Bwana Jehova Libarikiwe. Mungu awabariki kwa kuhudumu kupitia mtandao maana hata nilipo mbali na nyumbani (Tanzania) huku ugenini bado napokea baraka za Mungu kwa njia ya huduma hii. Mungu wa Yakobo awabariki sana.
Mrs Esther Y. E. Mndeme <eyesmndeme@hotmail.com>
Chiba City, Chiba Prefecture JAPAN - Friday, May 14, 2004 at 11:16:43 (EAT)
Namshukuru Mungu kwa huduma yenu namwomba awabariki na aendelee kuwatumia ktk mafundisho mbalimbali naomba password ya mafundisho ya wanandoa nimeoa mwaka 2002 bado hatujapata mtoto nawatakieni baraka za bwana ktk huduma hii Damu ya Yesu iwalinde Ameni
Mr Godbless Msuya <blessmsu@yahoo.com>
BAGAMOYO, Bagamoyo Tanzania - Friday, May 14, 2004 at 10:57:12 (EAT)
Msaada wa Kiroho.
SAULATH K. BAKARY <saulathbakary@yahoo.com>
Dar es salaam, Kinondoni Tanzania - Friday, May 14, 2004 at 10:43:36 (EAT)
Msaada wa Kiroho.
SAULATH K. BAKARY <saulathbakary@yahoo.com>
Dar es salaam, Kinondoni Tanzania - Friday, May 14, 2004 at 10:43:20 (EAT)
Msaada wa Kiroho.
SAULATH K. BAKARY <saulathbakary@yahoo.com>
Dar es salaam, Kinondoni Tanzania - Friday, May 14, 2004 at 10:42:57 (EAT)
Tunashukuru sana kwa huduma hii, Mungu aendelee kuwatumia katika maeneo yote.Ninaomba msaada wa password ya Ndoa katika website yako.Asante
Michae Mkinywa <Michaelmkinywa@hotmail.com>
Iringa-ilula, Iringa_Kilolo Tanzania - Friday, May 14, 2004 at 08:24:58 (EAT)
Mungu akubariki sana bwana na bibi Mwakasege kwa Huduma hii inayopanuka.Ni maombi yangu kwenu ili Mungu awape mzigo na mikoa ya kusini Mtwara na Lindi.Hapa kusini panahitaji nguvu ya ziada kufunguka watu kuna njaa kubwa ya neno la Mungu na walishaji ni wachache.Naamini kama imewezekana Tanga itawezekana hata hapa. Munfgu awabariki katika huduma yenu.
Philipo Lulale <plulale@yahoo.com>
Mtwara, Mtwara Tanzania - Thursday, May 13, 2004 at 18:22:31 (EAT)
Naomba msaada wa Kiroho.
SAULATH K. BAKARY <saulathbakary@yahoo.com>
Dar es Salaam, Kinondoni Tanzania - Thursday, May 13, 2004 at 16:59:46 (EAT)
Naomba msaada wa Kiroho.
SAULATH K. BAKARY <saulathbakary@yahoo.com>
Dar es Salaam, Kinondoni Tanzania - Thursday, May 13, 2004 at 16:58:51 (EAT)
Nasema aksante Mungu,nakukushukuru kwa kumkabidhi mtoto wetu Alex Jawa mikononi mwako ili ukamjalie akaweze kushinda mtihani wake wa kumaliza form four na kuingia form five na kuweza kuendelea na masomo ya juu zaidi, Mungu tunazidi kukutukuza kwa hilo, Amen. (Bila kuwasahau wale wote wanaotegemea kufanya mitihani mbalimbali kwa mwaka huu 2004).
Edna Boaz Jawa <ejawa2002@yahoo.co.uk>
Nyakato, Mwanza Tanzania - Wednesday, May 12, 2004 at 16:07:58 (EAT)
Naomba masomo ya kunijenga kiroho,kwasababu sina E-Maili naomba mtumie sanduku la posta 14019 Arusha.
Williamu Joseph Mallya.
Arusha Tanzania , Arusha Tanzania - Tuesday, May 11, 2004 at 15:31:55 (EAT)
SEND THE PU TO DATE NEWS ABOUT THE MINISTRY TO SUBSCRIBERS.
Isaac Mtwale <imtwale@yahoo.com>
Dares salaam, Tanzania - Tuesday, May 11, 2004 at 15:05:13 (EAT)
Matendo yenu yaendane na kiapo , au kukili kwa toba yenu. Na sio vinginevyo.
Jerome Ernest <jerry24boy@yahoo.com>
Morogoro,Tanzania,East,Africa., morogoro Tanzania - Tuesday, May 11, 2004 at 11:56:14 (EAT)
matendo yenu na yawe kama maneno yenu.
Jerome Ernest <jerry24boy@yahoo.com>
Morogoro,Tanzania,East,Africa., morogoro Tanzania - Tuesday, May 11, 2004 at 11:52:35 (EAT)
matendo yenu na yawe kama maneno yenu.
Jerome Ernest <jerry24boy@yahoo.com>
Morogoro,Tanzania,East,Africa., morogoro Tanzania - Tuesday, May 11, 2004 at 11:52:01 (EAT)
Ni matumaini yangu ya kwamba huduma hii ni nzuri sana hasa ketu sisi ambao tunapenda sana huduma zako. mungu akubariki na naomba huduma hii izidi kuboreshwa.
Stephen Mishita <stevenmiy03@yahoo.com>
Dar es salaam, Segerea Tanzania - Monday, May 10, 2004 at 20:45:20 (EAT)
Ni matumaini yetu ya kwamba sisi kama kikundi cha vijana ambao tumejitoa kumtumikia Mungu popote pale kwa njia ya nyimbo, mahubiri na mambo mengine, tunayo furaha kuwa katika orodha ya kitabu chako cha wageni. pia tunaomba sana mtupe msaada hasa wa neno la mungu kupitia address hii kwa kweli ni jambo la kumshukuru mungu sana
Ukwata chuo cha ualimu kasulu <ukwata04@yahoo.co.uk>
kigoma, kasulu Tanzania - Monday, May 10, 2004 at 20:41:30 (EAT)
munguawapenafasiyakujibumaombikwanjiayaemali. munguawabariki.
joycemollel <joycemollel132@hotmall.com>
arusha., mjini. Tanzania - Monday, May 10, 2004 at 18:56:44 (EAT)
munguawapenafasiyakujibumaombikwanjiayaemali. munguawabariki.
joycemollel <joycemollel132@hotmall.com>
arusha., mjini. Tanzania - Monday, May 10, 2004 at 18:56:05 (EAT)
Tunashukuru kwa huduma hii kwani inatufanya kupata habari ya mambo mbalimbali kwa mfano kanda mbalimbali vitabu na shuhuda mbalimbali za kujenga Mungu abariki huduma yenu
Willhard Mbogela <wimbo2001@hotmail.com>
arusha, Tanzania - Monday, May 10, 2004 at 14:49:10 (EAT)
Naomba mniombee sana, kwani kila nikiokoka nashindwa kuendelea na wokovu. Pia marafiki zangu wazamani wananifuata na kunipeleka kwenye pombe na sigara na wananinunulia wenyewe. Naomba kupitia kitabu hiki cha wageni mnisaidie sana, ninapenda sana kuendelea na wokovu lakini shetani amenitawala. Namba yangu ni 0745-433704
Watanga Mukandilo <leondardmugondo@yahoo.com>
Dar es Salaam, Kinondoni Tanzania - Saturday, May 08, 2004 at 14:44:19 (EAT)
Naomba mniombee sana, kwani kila nikiokoka nashindwa kuendelea na wokovu. Pia marafiki zangu wazamani wananifuata na kunipeleka kwenye pombe na sigara na wananinunulia wenyewe. Naomba kupitia kitabu hiki cha wageni mnisaidie sana, ninapenda sana kuendelea na wokovu lakini shetani amenitawala.
Watanga Mukandilo <leondardmugondo@yahoo.com>
Dar es Salaam, Kinondoni Tanzania - Saturday, May 08, 2004 at 14:33:16 (EAT)
Mnafanya vizuri kazi ya mungu,mungu awa bariki.
loserian raphael laizer <loserianlaizer@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Saturday, May 08, 2004 at 14:04:00 (EAT)
Huduma ya mafundisho ya Mwakasege kupitia sauti ya Injili imekuwa baraka kubwa Kiteto.wakati redio nyingi hazisikiki kutokana na umbali Redio RSI imeshamiri na kuleta mapinduzi ya kiroho kwa watu.Ahsante na Mungu awabariki.
Andrew Mwakalobo <kinnapa-dp@habari.co.tz>
kibaya, manyara Tanzania - Saturday, May 08, 2004 at 11:46:47 (EAT)
nataka kuweza kupata mafundisho ya ndoa kupitia mail yenu
elifuraha paul mtowe <emtowe@vodacom.co.tz>
arusha, arusha Tanzania - Friday, May 07, 2004 at 17:20:19 (EAT)
amen
bright <bbigurube@hotmail.com>
ars, ars Tanzania - Friday, May 07, 2004 at 11:13:49 (EAT)
Nimehamasika sana na mahubiri yako, na nimeamua kumfuata Bwana.
Evarist Mwitumba <emwitumba@yahoo.co.uk>
Dar es Salaam, Dar es Salaam Tanzania - Friday, May 07, 2004 at 07:55:16 (EAT)
kinzuri sana hiki kitabu.
paul <pmateru2000@yahoo.com>
DAR ES SALAAM, dar Tanzania - Thursday, May 06, 2004 at 14:33:47 (EAT)
Kila mwenye pumzi na amtukuze Bwana, Mtumishi wa Mungu tunaomba msaada wa kuombewa watoto wetu wote ulimwenguni walioko karibu na kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya Sekondari ambao wanategemea kufanya mtihani mwaka huu ili Mungu awape mwanga wa roho mtakatifu wa kuweza kuwaongoza yale waelekezwayo na waalimu wao na kuishinda mitihani yao kwa maisha yao ya baadae: Mungu amekwisha wabariki amen.
Edna Boaz Jawa <ejawa2002@yahoo.co.uk>
Nyakato, Mwanza Tanzania - Thursday, May 06, 2004 at 10:27:35 (EAT)
nafarijika kutoka kwenu
bertha johnson <berthahaluu@yahoo.com>
kahama, Tanzania - Thursday, May 06, 2004 at 07:42:19 (EAT)
Nimeupenda mtandao wenu kwa kuwa una elimisha watu ili waweze kuokoka na pia waweze kuombewa matatizo yao yanao wazunguka.Napia kwa wale wasio elewa vizuri tofauti ya Agano la Kale na Jipya.
Gasper Romwald Francis <gasper740@yahoo.com>
dar, dar es salaam Tanzania - Wednesday, May 05, 2004 at 17:06:15 (EAT)
Nimeupenda mtandao wenu kwa kuwa una elimisha watu ili waweze kuokoka na pia waweze kuombewa matatizo yao yanao wazunguka.Napia kwa wale wasio elewa vizuri tofauti ya Agano la Kale na Jipya.
Gasper Romwald Francis <gasper740@yahoo.com>
dar, dar es salaam Tanzania - Wednesday, May 05, 2004 at 17:06:01 (EAT)
Mungu awabariki sana kwa kulitangaza Neno lake kwa ujasiri.
Ansfrida Rwelengela <rwelengela@yahoo.co.uk>
DSM, DSM Tanzania - Wednesday, May 05, 2004 at 13:48:15 (EAT)
MUNGU AWABARIKI SANA
SHIRODKAR EZEKIEL <SHIROEZEK@YAHOO.COM>
Dar es Salaam., K"NDONI Tanzania - Wednesday, May 05, 2004 at 10:50:44 (EAT)
Tunashukuru kwa hudumi hii nzuri sana, na mungu azidi kuwabariki
Mrs. Lilian F. Ndossi <jacoblilian@hotmail.com>
Dar es Salaam, Tanzania - Tuesday, May 04, 2004 at 15:46:58 (EAT)
Tuzidi kuombeana katika maisha haya ya kila siku.
loserian <loserianlaizer@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Sunday, May 02, 2004 at 14:18:00 (EAT)
Mungu azidi kuwaongoza katika huduma hii aliyowapa.
Elibariki T. Malaki <elituva@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Friday, April 30, 2004 at 13:09:37 (EAT)
amen
bright <bigurube@hotmail.com>
Tanzania - Friday, April 30, 2004 at 11:08:28 (EAT)
Nimeokoka. Ninaomba kujulishwa namna ya kujisajili kwa ajili ya kusoma mafundisho ya ndoa. Nimeolewa nina mume mmoja kwa ndoa takatifu.
Mrs. Anna Luteganya <annambura@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Friday, April 30, 2004 at 09:33:03 (EAT)
Nimefurahia sana hii huduma. Mungu awabariki sana
Leah Sanga <ley_762003@yahoo.com>
dar es salaam, Dar es salaam Tanzania - Thursday, April 29, 2004 at 17:59:38 (EAT)
Jina la Mungu na lihimidiwe, Bwana christopher na Bi Diana Mwakasege Mungu awajaze nguvu na website ina ubora na mambo mengi mema kwa ajili ya uponyaji.
Mariam Luther Kiulla <kylieluther@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Thursday, April 29, 2004 at 16:35:53 (EAT)
mungu awabariki sana kwa huduma yenu nzuri.
khadija shirodkar <khadshiroez@yahoo.com>
dares salaam, k"ndoni Tanzania - Thursday, April 29, 2004 at 12:53:53 (EAT)
Bwana Yesu Kristo awabariki katika huduma hii, iwafikie hata wale ambao hawajawahi kulisikia jina la Mwokozi na Bwana wetu Yesu Kristo. Mbarikiwe na Bwana.
Victoria Isack Lyimo <lyimo2@yahoo.com>
DSAM, Tanzania - Thursday, April 29, 2004 at 12:04:54 (EAT)
Nimebarikiwa sana na huduma hii ya Internet, imenifanya nijifunze mambo mengi ambayo nilikuwa siyajui. Nimepata vitu vipya katika maisha yangu ya wokovu.Ninapenda kujifunza zaidi kuhusu ndoa lakini nashindwa kupata mahali pa kusaini ili niweze kuingia na kusoma kuhusu ndoa
Julia <jchipalo@yahoo.com>
Mwanza, Tanzania - Thursday, April 29, 2004 at 08:13:38 (EAT)
Tunaomba msaada wa maombi kwa ajili ya majaribu yanayotuandama ili tuweze kuyashinda.
Edna Jawa <ejawa2002@yahoo.co.uk>
Mwanza, Nyakato Tanzania - Wednesday, April 28, 2004 at 09:57:09 (EAT)
NAKUOMBEA SANA MUNGU AZIDI KUJIFUNUA KWAKO
ARON JOSEPH TALIKA <ajosta@yahoo.com>
ARUSHA, KIMANDOLU Tanzania - Tuesday, April 27, 2004 at 16:52:30 (EAT)
Nimefurahishwa sana na huduma ya Ev. C. Mwakasege. Ukweli ni kuwa inajibu hoja za watu wengi kuhusiana na wokovu, ndoa, na uchumi. Ninaamini kuwa Mungu hapendi umaskini wa kiroho wala wa kimwili.
Rev. Frank Luvanda <fluvanda@yahoo.com>
Dodoma, Kongwa Tanzania - Tuesday, April 27, 2004 at 13:03:57 (EAT)
Praise God! Ninafurahiwa sana na ujumbe zenu ktka magazeti pia ktk redio yaani napenda kusema Mungu awabariki sana na azidi kuwatumia .
Juliet Mgalama <jmgalama@yahoo.co.uk>
Arusha, Tanzania - Tuesday, April 27, 2004 at 12:33:18 (EAT)
Jina la Bwana lizidi kubarikiwa; Watu walioko Magerezani, kwenye kambi za watoto yatima naomba nao watembelewe ili wazidi kumtukuza Mungu kwa kuwakumba kwa sala na kuwaona, ili wapate kujua kuwa Mungu ni muweza wa mambo yote juu ya wale tulio na kila shida yeye ndiye mfariji wetu mkuu.
Edna Jawa <ejawa2002@yahoo.co.uk>
Mwanza, Nyakato Tanzania - Tuesday, April 27, 2004 at 10:45:13 (EAT)
amen
bright <bbigurube@hotmail.com>
ars, ars Tanzania - Monday, April 26, 2004 at 23:01:01 (EAT)
mungu awabariki
cletus J.Ndila <ndillah@yahoo.com>
mwanza, Tanzania - Monday, April 26, 2004 at 16:28:52 (EAT)
ninaomba mafundisho uyarushe katika kituo kilichoko hapa dodoma cha redio uzima na redio mwanngaza.
abihudi george kinyaha <abihudik@yohoo.co.uk>
dodoma, makaomakuu Tanzania - Sunday, April 25, 2004 at 20:17:44 (EAT)
Mungu aendelee kuwatia nguvu wewe na mama kwa huduma yenu ya kulisha wana kondoo. Ninaomba kujisajili katika mafundisho ya ndoa.
Emmanuel Reuben Katuma <ekatuma@hotmail.com>
Moshi, Moshi Tanzania - Sunday, April 25, 2004 at 17:40:04 (EAT)
bwana asifiwe dada na kaka mwakasege ninahitaji maombi yenu na pia naomba niwasiliane nanyi kwa email yangu wakati wowot. amen
salome noah <tkyambiki@yahoo.com.uk>
birmingham, united kingdom london - Sunday, April 25, 2004 at 15:53:09 (EAT)
mie nahitaji maombi yenu kwani maisha ulaya ni magumu bila yesu si kitu kuwepo ulaya. nami nihitaji kuwasiliana nawe dada na kaka mwakasege
salome noah <tkyambiki@yahoo.com.uk>
crawley, langley green london - Sunday, April 25, 2004 at 15:43:14 (EAT)
Hongera sana MR and MRS MWAKASEGE kwa kufungua website hii inatufundsha mambo mengi hasa mimi kama kijana "MUNGU AWABARIKI SAAANA"
LILIAN JOHN KIMARIO <leejaykay2003@yahoo.com>
ARUSHA, A/MJINI Tanzania - Saturday, April 24, 2004 at 11:49:58 (EAT)
Jina la Yesu lipewe sifa. Ninamshukuru mungu sana kwa kunipa muda wa kusikiliza mafundisho yenu ya kanda za radio,kusikiliza vipindi vyenu radioni,kusoma vitabu na majarida na kuhudhuria semina ya Mwanza mwaka jana, kwa kweli nazidi kujengeka kiroho kila kukicha binafsi pamoja na familia yangu. Huduma yenu ni nzuri sana na Mungu awazidishie nguvu kadri awezavyo muendelee kusonga mbele. Tuzidi kuombeana kwa Mungu.
Violet E Kiwia <vkiwia2000@yahoo.co.uk>
Dar-es-slaam, Tanzania - Friday, April 23, 2004 at 14:18:59 (EAT)
Mumgu akutie nguvu Mtumishi
Joseph Mbilinyi <jmbilinyi@hotmail.com>
Dar es salaam, Mashariki Tanzania - Thursday, April 22, 2004 at 20:22:59 (EAT)
NAMSHUKURU MWENYEZI MUNGU KWANI MAFUNZO YENU YANASAIDIA SANA KATIKA KUBADILISHA MAISHA YA WANADAMU.
OSCAR LYIMO <MA.G@YAHOO.COM>
ARUSHA, NGARENARO Tanzania - Thursday, April 22, 2004 at 13:33:23 (EAT)
NAMSHUKURU MWENYEZI MUNGU KWANI MAFUNZO YENU YANASAIDIA SANA KATIKA KUBADILISHA MAISHA YA WANADAMU,PIA NINAPENDA MNIOMBEE KWA MWENYEZI MUNGU ILI AWEZE KUNISAIDIA KATIKA KUCHAGULIWA KATIKA MTIHANI WANGU WA KIDATO CHA NNE{SELECTION}MWAKA HUU.
OSCAR LYIMO <MA.G@YAHOO.COM>
ARUSHA, NGARENARO Tanzania - Thursday, April 22, 2004 at 13:32:21 (EAT)
NAMSHUKURU MWENYEZI MUNGU KWANI MAFUNZO YENU YANASAIDIA SANA KATIKA KUBADILISHA MAISHA YA WANADAMU
OSCAR LYIMO <MA.G@YAHOO.COM>
ARUSHA, NGARENARO Tanzania - Thursday, April 22, 2004 at 13:25:43 (EAT)
MUNGU NA ASHUKURIWE.UBARIKIWE SANA KWA MAFUNZO UNAYOTUPA KUPITIA VYOMBO MBALIMBALI.NASHUKURU KWA SEMINA YA DIAMOND JUBILEE IMEIBARIKI MNO NAOMBA MNISHIRIKISHE KWENYE MAOMBI YENU YA KILA SIKU.
MRS.JOSEPHINE SHUMA <joseshuma@yahoo.com>
DAR ES SALAAM, Tanzania - Wednesday, April 21, 2004 at 17:19:06 (EAT)
MUNGU NA ASHUKURIWE.UBARIKIWE SANA KWA MAFUNZO UNAYOTUPA KUPITIA VYOMBO MBALIMBALI.NASHUKURU KWA SEMINA YA DIAMOND JUBILEE IMEIBARIKI MNO NAOMBA MNISHIRIKISHE KWENYE MAOMBI YENU YA KILA SIKU.
MRS.JOSEPHINE SHUMA <joseshuma>
DAR ES SALAAM, Tanzania - Wednesday, April 21, 2004 at 17:12:40 (EAT)
Ninapenda sana kushiriki pamoja nanyi katika maombi na maombezi.Mungu awabariki ili muweze kulifikisha neno lake kwa kila aminiye.
LINDA h. MSECHU <li75ly@yahoo.co.uk>
Dar es salaam, Tanzania - Wednesday, April 21, 2004 at 11:50:39 (EAT)
Ninapenda sana kushiriki pamoja nanyi katika maombi na maombezi.Mungu awabariki ili muweze kulifikisha neno lake kwa kila aminiye.
LINDA h. MSECHU <li75ly@yahoo.co.uk>
Dar es salaam, Tanzania - Wednesday, April 21, 2004 at 11:49:30 (EAT)
endeleeni mbele kazi yenu ni njema sana
dickson mtalitinya <dmtalitinya@yahoo.com au dnzey@excite.com>
moshi, Tanzania - Tuesday, April 20, 2004 at 16:02:20 (EAT)
Mungu awabariki kwa huduma yenu nzuri.
Juliana Paul Mwalusamba <julianapm2000@yahoo.com>
Morogoro, Tanzania - Tuesday, April 20, 2004 at 12:54:15 (EAT)
kwa kweli vipindi vyako ni vizuri sana kwasabu unaposema mtu yeyote mahali alipo kama anaumwa aombe kufuatana na mimi kweli wengiwao tumepona Mungu akubariki sana na akutie nguvu asante mtumishi wa Mungu
linda msangi <linda msangi@yahoo,com>
moshi, mosh mjini Tanzania - Monday, April 19, 2004 at 20:18:01 (EAT)
Mimi na familia yangu tumebarikiwa na huduma hii,Mungu azidi kuwabariki.
Mwl.Fredrick M.Mbise <fmbise@yahoo.com>
Arusha, - Tanzania - Sunday, April 18, 2004 at 19:38:35 (EAT)
nawashukurusana kwa huduma yenu na mungu awongezee heri duniani,pia nawashukuru kwa kuanzisha vipindi vya radio ambavyo kila jumapili kupitia RFA watu wa vijijini ambapo radio za FM hazifiki mnawasaidia sana kwa mafundisho kwa njia ya radio.mfano kule bukoba vijiji katika wilaya ya Muleba ambapo mimi nimekulia huko nikiwa nimeenda kusalimia huwa nafaidika sana na maubiri kwa njia ya radio free. asante na Bwana awabariki
amon julius rweggira msuya <amonjulius@yahoo.co.uk>
Arusha, Arusha Tanzania - Sunday, April 18, 2004 at 19:07:53 (EAT)
Mungu analiangalia Neno lake apate kulitimiza
Dafrosa A.Wenga <dwenga@hotmail.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Friday, April 16, 2004 at 12:40:57 (EAT)
naomba nipatiwe mafundisho ya ndoa
hellen mayaya <hellenmayaya@hayoo.com>
Dar es Salaam, Tanzania - Thursday, April 15, 2004 at 18:32:19 (EAT)
TANZANIA TUNAPENDWA NA MUNGU WETU.INJILI INAHUBIRIWA KWA NAMNA ZOTE OH HALELUYA. MIMI NI ASKARI POLISI NAOMBA MUOMBEE JESHI LA POLISI LA TANZANIA ILI LIANGAZIWE NA NURU YA KRISTO.
ALPHAXARD A.MWITA <mwita712@yahoo.com>
DODOMA, Tanzania - Thursday, April 15, 2004 at 14:54:42 (EAT)
Bwana asifiwe. tunaomba mungu akuwezeshe uje mtwara kulisha kondoo zake. mungu akubariki.
Frida Masawe <fridamasawe@yahoo.com>
Mtwara, Kusini Tanzania - Thursday, April 15, 2004 at 13:05:46 (EAT)
Naomba mnitumie semina ya ndoa.MUNGU AWABARIKI KATIKA HUDUMA YENU.AMEN
Mrs.Elizabeth Luhigo <elihigo@msn.com>
Dar-es-Salaam, Dar-es-Salaam Tanzania - Thursday, April 15, 2004 at 07:44:19 (EAT)
naomba mniombee kwani naitaji kurekodi kanda na nimesha tunga jimbo.Kwahiyo mniombee mungu anisaidie kwani bila yeye sinta weza.niombe nipate mtu wa kunizamini katika nyimbo hizo baazi ya nyimbo nilizo tunga. AMINI,NINAKUSHUKURU,HIZI NI SIKU ZA MWISHO,MAJARIBU naomba mniombee ziwe zenye upako wa ali ya juu.
diana ezekieli <dianaezy@yahoo.com>
tegeta, m. Tanzania - Wednesday, April 14, 2004 at 14:49:27 (EAT)
Mungu awabariki mzidi kutuombea kwani tunaitajim maombi yenu sana mungu awabariki
diana ezekieli <dianaezyp@hotmail.com>
tegeta, machinjioni Tanzania - Wednesday, April 14, 2004 at 14:40:50 (EAT)
Naomba kusoma makala ya mafundisho ya ndoa.
Bageni Wambura <bageni73@yahoo.com>
Dar es salaam, Dar es salaam Tanzania - Wednesday, April 14, 2004 at 12:15:01 (EAT)
Mungu aendelee kukutumia kwa namna ya ajabu sana ili uendelee kutufundisha .
magilani <elshama2001@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Tuesday, April 13, 2004 at 16:11:45 (EAT)
upako katika kila ninachofanya ,yaani kuhubiri,kuomba,kulea,kuimba nk,
magilani <elshama2001@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Tuesday, April 13, 2004 at 16:09:10 (EAT)
Web site ya Mwakasege inarahisisha kupata kitu unachotafuta. Ni web site yenye habari za injili kwa kiswahili ambayo haina kifani.
Jacob Ubwe <jacob.ubwey@ttcl.co.tz>
Dar es Salaam, Dar es Salaam Tanzania - Tuesday, April 13, 2004 at 11:20:31 (EAT)
HAKUNA
GIVONS EPAFRA
MOSHI, Tanzania - Monday, April 12, 2004 at 18:46:19 (EAT)
KAMA NG'OMBE ANGEJUA HATIMA YAKE NI KUCHINJWA ASINGESIMAMA MNADANI KUSUBIRI WANUNUZI, LAKINI WEWE UNAJUA HATIMA YAKO NI JEHANAMU, MBONA UNANG'ANG'ANIA DHAMBI ZAKO EWE MWANADAMU? JIRUDI
Noel Peter Sawe <nsawe72@excite.com>
Serengeti, Arusha Tanzania - Monday, April 12, 2004 at 16:48:43 (EAT)
Tuombeane katika maisha
aswile ipyana <lugman42@hotmail.com>
arusha, moravian Tanzania - Sunday, April 11, 2004 at 15:56:05 (EAT)
Kuwepo na simu ya "hot line" kwa sababu simu ile ya Arusha ni Fax pia kwa hiyo ni vigum kuwapata
Frank Mofati <frankm_4@yahoo.com>
Dar es Salaam, Kndoni Tanzania - Saturday, April 10, 2004 at 11:30:13 (EAT)
mungu akubariki katika kazi yako
joyce dugo <joicedugo@yahoo.com>
dodoma, dodoma mjini Tanzania - Saturday, April 10, 2004 at 10:08:48 (EAT)
Mkaribieni Mungu nae atawakariobia
Nathan Conrad <andasoni@hotmail.com>
Dsalaam, Tanzania - Friday, April 09, 2004 at 19:14:06 (EAT)
HUDUMA YENU NI NJEMA, BWANA YESU AWABARIKI. NILIBARIKIWA SANA NA SEMINA YA MAPATO NA MATUMIZI HAPA DSM.
HENRY. I. LEMA. <HENRYISHIKAEL@YAHOO.COM>
DARESSALAAM, Tanzania - Thursday, April 08, 2004 at 17:58:12 (EAT)
HUDUMA YENU NI NJEMA, BWANA YESU AWABARIKI. NILIBARIKIWA SANA NA SEMINA YA MAPATO NA MATUMIZI HAPA DSM.
HENRY. I. LEMA. <HENRYISHIKAEL@YAHOO.COM>
DARESSALAAM, Tanzania - Thursday, April 08, 2004 at 17:57:50 (EAT)
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu, akupe ufahamu zaidi wa kuweza kuiboresha zaidi website yako hii ili tuweze kufika safari yetu ya Mbinguni tukiwa hatuna mawaa.
Samson Zanny <samson@nanetel.com>
Dar es Salaam, ilala Tanzania - Thursday, April 08, 2004 at 17:06:03 (EAT)
Mungu awabariki kwa kazi nzuri.
cabuten sheggy <cabuten59@yahooh.com.uk>
Dsm., Tanzania - Wednesday, April 07, 2004 at 15:01:55 (EAT)
tunawashukuru kwa huduma zenu mnazo endeleanazo,mungu awabariki.MUNGU AMEJIJU MAOMBI YANGU KWENYE BOX
daudi wilfred <daviswills11@yahoo.com>
hai, Tanzania - Tuesday, April 06, 2004 at 10:44:18 (EAT)
tunawashukuru kwa huduma zenu mnazo endeleanazo,mungu awabariki.
daudi wilfred <daviswills11@yahoo.com>
hai, Tanzania - Tuesday, April 06, 2004 at 10:40:49 (EAT)
Libarikiwe Jina la Bwana wetu Yesu Kristo kwa jinsi anavyolihudumia kanisa lake. Mungu awabariki kwa kutii na kujitoa kutumika hemani mwake. Roho Mtakatifu alipanga ratiba juu ya Semina ya Dar es Salaam (March 2004). Tarehe 2/4/2004 katika Agape Television Network (ATN), ikirusha vipindi vya Trinity Broadcasting Network (TBN) ya Marekani, mfundisho yenye mada sawa na Semina yalitolewa. Kwangu nimeona sio bahati tu (NOT A COINCIDENCE but!)ni Ratiba ya Roho Mtakatifu. Libarikiwe Jina la Bwana wetu Yesu Kristo.
Mrs Esther Y.E. S. Mndeme <eyesmndeme@hotmail.com,eyesmndeme@lycos.com>
BAGAMOYO, PWANI Tanzania - Tuesday, April 06, 2004 at 10:20:21 (EAT)
Mungu akubari kwa huduma uliyo nayo kwa watu wake. Jipe moyo mkuu katika yote unayo pitia maana MUNGU aliye kuita yu pamoja nawe ili ajitukuze na kujithiirisha kwa matendo ya ajabu katika huduma yako. Tuombeane. GOD BLESS YOU AGAIN.
Elifsi Sumari <info@missiontourstz.com>
Arusha, - Tanzania - Monday, April 05, 2004 at 16:40:02 (EAT)
Kwa kweli kazi mnayoifanya inatuhamasihsa sisi vijana kumjua Mungu. Mbona kipindi cha jumapoili Radio Free Africa hamkirushi tena? Naomba kirudishwe kwenye ratiba yenu
Noel Sawe <nsawe72@excite.com>
Arusha, Serengeti National Park Tanzania - Sunday, April 04, 2004 at 14:46:07 (EAT)
ITS MY PRAYER THAT OUR HEAVENLY GOD THE FATHER OF GLORY MAY CONTINUE TO GIVE YOU MORE KNOWLEDGE AND DIVINE INSIGHT OF HIS WORD. BE BLESSED ABUNDANTLY
JEREMIAH KILEO <jeremmy@ilovejesus.net>
Dar Es Salaam, Tanzania - Saturday, April 03, 2004 at 18:13:42 (EAT)
NIMEFURAHI SANA KWA HUDUMA YENU MUNGU AWATIE NGUVU ZAIDI
STIDE TIBENDA <stidetibenda@yahoo.com>
ARUSHA, Tanzania - Saturday, April 03, 2004 at 15:41:33 (EAT)
Mungu akubari kwa huduma yake.
Jubilate Matowo <jubymatowo@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Saturday, April 03, 2004 at 12:14:13 (EAT)
Mungu akutie nguvu zaidi na zaidi katika kufundisha,kwani wengi tumekuwa Kiroho kupitia mafundisho yako ya neno la Mungu
Jubilate Matowo <jubymatowo@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Saturday, April 03, 2004 at 11:59:36 (EAT)
amen
bright <bbigurube@hotmail.com>
ars, ars Tanzania - Friday, April 02, 2004 at 14:37:37 (EAT)
Na mshukuru mungu sana kwa ajili yako pia kwa kukupa uwezo na maono kwa ajili ya injili iletayo wokovu kwa kila aminiye. Ninaomba umtoe mafundisho kwa ajili ya ndoa kwa kutumia website yenu hasa yale ya ndani kabisa pia kwa sababu wanaoangalia ni watu wa aina mbalimbali basi kwa sisi tulioolewa ikiwezekana ututumie kwenye E-mail zetu au utupe password ya kufungulia maana kila ninapojaribu kufungua eneo hilo linalohusu ndoa halifunguki. Ni mategemeo yangu kuwa utaliangalia suala hilo. Mungu akubariki katika utumishi wako.
Mrs Omega John Mboya <omegainjesus.yahoo.com>
Dar es salaam, Tanzania - Friday, April 02, 2004 at 11:12:10 (EAT)
Bwana asifiwe Na Mungu awabariki ktk huduma aliyowapa .Amen !
Bonn Didas <bonndidas@yahoo.co.uk>
Arusha, Tanzania - Friday, April 02, 2004 at 09:40:19 (EAT)
Tunamshukuru Mungu sana kwa huduma yenu nzuri Bwana aliyoiweka mioyoni mwenu, mafundisho yako kila siku ya J.tano Radio WAPO yanatubariki sana,. Asante pia kwa maombi yenu tunamuona Bwana akishughulika na familia yetu, akimlinda mtoto wetu na afya zetu pia. Ushauri wetu, tungefurahi pia kama ukingekuwa unahudumu kwa njia ya Television . Television ya Agape Television Network. Watu wengi sana wangependa kukuona na kuwaona wahubiri wengi wakihudumu. Mungu awabariki. Mr. and Mrs. Munishi (Colman + Neema + Colina)
Mr.and Mrs. Colman Munishi <neycol@hotmail.com>
Dar es Salaam, Dar es Salaam Tanzania - Thursday, April 01, 2004 at 19:28:34 (EAT)
nimefuraishwa sana na uduma zenu mungu awabariki
oscar mike <kisubi@yahoo.com>
arusha, arusha Tanzania - Thursday, April 01, 2004 at 13:55:04 (EAT)
Ninashukuru sana kwa huduma ya mafundisho, kwani ninabarikiwa sana kwa huduma yako. Mungu akubariki sana.Ninaomba pia kupata kanda zako za video kwa mafundisho ya kanisani. Mchg. Manase E. Msengi KKKT-Dayosisi ya Kati, Usharika wa Mkalama, S.L.P 100, Singida. Simu: 0744-539235.
Mchg. Manase E.Msengi <msengimanase@yahoo.co.uk>
KKKT-Singida, Tanzania - Thursday, April 01, 2004 at 12:51:00 (EAT)
Huduma mnayoifanya ni njema na inatubariki sana . Tunaomba ile huduma ya kuangalia na kusikiliza mahubiri kwa njia ya mtandao irudishwe illi tuweze endelea kuangalia
Christopher <chrismass6@hotmail.com>
Moshi, Hai Magharibi Tanzania - Thursday, April 01, 2004 at 10:22:58 (EAT)
Oh,Mungu awabarikini we Mwakasege na familia yako,Upako wa ROHO Mtakatifu uwashe moto kila neno mtamkalo!
Julius K .Mwakalebela <nkudu2001@yahoo.com>
Dar es salaam, Tanzania - Wednesday, March 31, 2004 at 21:03:50 (EAT)
kwa kweli mmekuwa msaada mkubwa kwa kanisa na jamii kwa mafundsho yasiyochanganjwa mapokeo.MUNGU NA AWAINUE JUU SANA ALIPOWAKUSUDIA,TENA AWAPE MAISHA MAREFU.
abigail mushi <selinaone2000 @yahoo.com>
da es salaamk, Tanzania - Wednesday, March 31, 2004 at 20:04:13 (EAT)
Asante
Lutengano Mwalubandu <lutenny@yahoo.com>
Dodoma, Tanzania - Wednesday, March 31, 2004 at 19:22:21 (EAT)
HALELUYA, NINAMSHUKURU MUNGU KWA AJILI YA TOVUTI HII, KWA SABABU IMEIFUNGUA BINAFSI KWA MAMBO MENGI KWA MFANO SOMO LA MKIRISTU NA UCHUMI LIMENISAIDIA SANA.MUNGU AWABARIKI KATIKA HUDUMA YENU.TUNAWAPENDA NA TUNAWAOMBEA. MUNGU NA AWABARIKI JESUS IS LORD MEGGY
margreth patrick kaizilege <kmpkaizilege@yahoo.com>
DSM, ILALA Tanzania - Wednesday, March 31, 2004 at 14:03:25 (EAT)
Mungu wawabariki sana watumishi wa Mungu mlio katika Kriso Yetu Bwana wetu. Namshukuru Mungu nikiona au nikisikia ya kuwa mu wazima na mnaendelea vizuri na kazi ya Bwana wetu Kristo. Napenda pia kuwaomba muwe pamoja na mimi katika kuwaombea wangonjwa wenye miyo mikubwa, kisukari, kuumwa na miguu, na kuvimba mwili mzima. Natumaini mtakuwa pamoja nami na Mungu awabariki sana.
Atupakisye Brown Mpagama <atupakisyem@hotmail,com>
Dar es Salaam , Tanzania - Wednesday, March 31, 2004 at 13:45:34 (EAT)
mungu akubariki uendelee kutufundisha na kujua mungu wetu anataka tufanye nini,amin
benjamin e mungele <bmungele@hotmail.com>
dar es salaam, dmp Tanzania - Wednesday, March 31, 2004 at 13:16:15 (EAT)
mungu akubariki uendelee kutufundisha na kujua mungu wetu anataka tufanye nini,amin
benjamin e mungele <bmungele@hotmail.com>
dar es salaam, dma Tanzania - Wednesday, March 31, 2004 at 13:15:31 (EAT)
Bwana asifiwe!Mimi niokoka na ninampenda YESU!Nabarikiwa sana na mafundisho ya Mwakasege na yananisaidia maisha yangu koroho!Mbarikiwe sana na bwana YESU aendelee kuwafunulia na kuwatia nguvu katika huduma yenu.
Noreen Mushema <precioustz@yahoo.co.uk>
Dar-es-salaam, Tanzania - Wednesday, March 31, 2004 at 11:18:42 (EAT)
Tunamshukuru Mungu kwa kutupa Mtumishi huyu kwani tunafaidika kiroho na tunakidhiwa haja zetu kupitia mtumishi huyu, Sifa na Shangwe tunampa Mungu. Mungu awabariki. Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Arusha.
Janeth Makundi <mangowi@yahoo.co.uk>
Arusha, Arusha Tanzania - Wednesday, March 31, 2004 at 09:29:43 (EAT)
Asante kwa huduma hii muhimu sana kwetu.Naomba kama kunauwezekano tuweze kupata masomo yote yanayofundishwa katika maeneo yote kama yalivyo badala ya riport ambazo zinakuwa kwa ufupi sana.Pia tuwekewe utwratibu mzuri wa kuagiza kanda kwa njia ya e-mail.Tunaomba pia huduma ya maombi kwa e-mail iweze kurekebishwa kiufundi maana ilikuwa ikitusumbua au ilikuwa haiwezi kutuma.Asante kwa huduma hii na Mungu awabariki- Amen
Michael Mkinywa <mkinywa@yahoo.co.uk au michaelmkinywa@hotmail.com>
Iringa, Iringa mjini Tanzania - Tuesday, March 30, 2004 at 20:44:05 (EAT)
Asante kwa huduma hii muhimu sana kwetu.Naomba kama kunauwezekano tuweze kupata masomo yote yanayofundishwa katika maeneo yote kama yalivyo badala ya riport ambazo zinakuwa kwa ufupi sana.Pia tuwekewe utwratibu mzuri wa kuagiza kanda kwa njia ya e-mail.Tunaomba pia huduma ya maombi kwa e-mail iweze kurekebishwa kiufundi maana ilikuwa ikitusumbua au ilikuwa haiwezi kutuma.Asante kwa huduma hii na Mungu awabariki- Amen
Michael Mkinywa <mkinywa@yahoo.co.uk au michaelmkinywa@hotmail.com>
Iringa, Iringa mjini Tanzania - Tuesday, March 30, 2004 at 20:43:05 (EAT)
Bwana Yesu Asifiwa, Mungu azidi kuwatia nguvu na hekima ili mzidi kuieneza Injili yake kwa watu wote. Mungu awabariki sana.
Sarah Moshi <s_moshy@hotmail.com>
Dar es Salaam, Kinondoni Tanzania - Tuesday, March 30, 2004 at 11:43:34 (EAT)
Bwana asifiwe, Mungu azidi kuwatia nguvu muendelee kufundisha neno lake ili wote tupate kufunguliwa kutoka katika vifungo vya yule mwovu.MBARIKIWE SANA
Stella v.Kipeta <stellakipeta@yahoo.com>
Dar es salaam, Dar es salaam Tanzania - Tuesday, March 30, 2004 at 10:03:17 (EAT)
MAOMBI KUHUSU FAMILIA
LITTY <litty@hotmail.com>
Dar es Salaam, DAR ES SALAAM Tanzania - Monday, March 29, 2004 at 13:03:34 (EAT)
Bwana asifiwe
LITTY <litty@hotmail.com>
Dar es Salaam, NIL Tanzania - Monday, March 29, 2004 at 13:01:19 (EAT)
NIL
ROSE KIPETA <litty@hotmail.com>
Dar es Salaam, NIL Tanzania - Monday, March 29, 2004 at 12:59:24 (EAT)
Bwana asifiwe,mchungaji mimi nina shida moja ninaomba kama inawezekana kuombewa kupitia barua pepe,pia samahani sikutoa maoni kama ulivyo tenga sehemu hii.Naamini hakuna kinachoshindikana kwa bwana amen
claudia noyman <dianoyman79@yahoo.com>
Arusha, meru Tanzania - Sunday, March 28, 2004 at 19:18:45 (EAT)
Bwana asifiwe,mchungaji mimi nina shida moja ninaomba kama inawezekana kuombewa kupitia barua pepe,pia samahani sikutoa maoni kama ulivyo tenga sehemu hii.Naamini hakuna kinachoshindikana kwa bwana amen
claudia noyman <dianoyman79@yahoo.com>
Arusha, meru Tanzania - Sunday, March 28, 2004 at 19:16:56 (EAT)
Tunamshukuru sana Mungu aliyewawezesha kuweka mafundisho ya Neno la Mungu kwenye internet.Yapo mafundiso mengi ambayo tunayapata kutoka kwenye Bank hii ya Neno la Mungu. Asante sana na Mungu awabariki kwa huduma hii.
Godlisten S Mrina <godlisten@hotmail.com>
Dodoma, Dodoma mjini Tanzania - Sunday, March 28, 2004 at 15:25:18 (EAT)
Mungu akubariki sana kwa kazi yake aliyokuitia. LAKINI ninashauri tumwombe sana Mungu akuruhusu uje hata sehemu za kusini mwa Tanzania kwani huko pia kuna roho nyingi zinazoangamia kwa kukosa mafudisho 'proper' Tafadhali Mungu akiseme 'nenda' basi utujie Njombe.
Polikapo S. Mginah <psmginah@yahoo.co.uk au dswt@africaonline.co.tz>
Njombe, Iringa Tanzania - Saturday, March 27, 2004 at 15:21:36 (EAT)
Mungu akubariki sana kwa kazi yake aliyokuitia. LAKINI ninashauri tumwombe sana Mungu akuruhusu uje hata sehemu za kusini mwa Tanzania kwani huko pia kuna roho nyingi zinazoangamia kwa kukosa mafudisho 'proper' Tafadhali Mungu akiseme 'nenda' basi utujie Njombe.
Polikapo S. Mginah <psmginah@yahoo.co.uk au dswt@africaonline.co.tz>
Njombe, Iringa Tanzania - Saturday, March 27, 2004 at 15:21:31 (EAT)
Mungu akubariki sana kwa kazi yake aliyokuitia. LAKINI ninashauri tumwombe sana Mungu akuruhusu uje hata sehemu za kusini mwa Tanzania kwani huko pia kuna roho nyingi zinazoangamia kwa kukosa mafudisho 'proper' Tafadhali Mungu akiseme 'nenda' basi utujie Njombe.
Polikapo S. Mginah <psmginah@yahoo.co.uk au dswt@africaonline.co.tz>
Njombe, Iringa Tanzania - Saturday, March 27, 2004 at 15:21:24 (EAT)
Mungu akubariki sana kwa kazi yake aliyokuitia. LAKINI ninashauri tumwombe sana Mungu akuruhusu uje hata sehemu za kusini mwa Tanzania kwani huko pia kuna roho nyingi zinazoangamia kwa kukosa mafudisho 'proper' Tafadhali Mungu akiseme 'nenda' basi utujie Njombe.
Polikapo S. Mginah <psmginah@yahoo.co.uk au dswt@africaonline.co.tz>
Njombe, Iringa Tanzania - Saturday, March 27, 2004 at 15:19:37 (EAT)
Mungu akubariki sana kwa kazi yake aliyokuitia. LAKINI ninashauri tumwombe sana Mungu akuruhusu uje hata sehemu za kusini mwa Tanzania kwani huko pia kuna roho nyingi zinazoangamia kwa kukosa mafudisho 'proper' Tafadhali Mungu akiseme 'nenda' basi utujie Njombe.
Polikapo S. Mginah <psmginah@yahoo.co.uk au dswt@africaonline.co.tz>
Njombe, Iringa Tanzania - Saturday, March 27, 2004 at 15:19:37 (EAT)
JINA LIPITALO MAJINA YOTE LA BWANA WETU YESU LISIFIWE!!! MUNGU AWABARIKI KILA IITWAPO LEO KWA KAZI NJEMA ANAYOFANYA KWA KUWATUMIA KAMA VYOMBO VYAKE VITEULE, VILIVYOTAKASWA NA MWENYEWE. FURAHINI KWA KUWA MAJINA YENU YAMEANDIKWA MBINGUNI. TUTAENDELEA KUWANAWISHA MIKONO.
REGINA LIMI <limiregina@godmail.com>
TANGA TANZANIA, TANGA Tanzania - Saturday, March 27, 2004 at 14:46:46 (EAT)
tuiiombee nchi ya thailand uwokovu
lucy <lucyfesto@yahoo.com>
arusha, ars Tanzania - Saturday, March 27, 2004 at 14:46:04 (EAT)
MUNGU AWABARIKI KILA IITWAPO LEO KWA KAZI NJEMA ANAYOWATUMIA KAMA VYOMBO VYAKE VITEULE, VILIVYOTAKASWA NA MWENYEWE.FURAHINI KWA KUWA MAJINA YENU YAMEANDIKWA MBINGUNI. TUTAENDELEA KUWANAWISHA MIKONO.
REGINA LIMI <limiregina@godmail.com>
TANGA, TANGA Tanzania - Saturday, March 27, 2004 at 14:29:55 (EAT)
Natamani sana kusoma mambo yaliyopo kwenye ndoa lakini kila ninapo jaribu kuingia sifanikiwi. Je una weza kunisaidia? Zaidi nawaombea ili mumeze kutimiza wajibu mlioitiwa na Mungu. Mbarikiwe sana
Mr.Emmanuel D saganda <smtandika@yahoo.co.uk>
Mtwara, - Tanzania - Saturday, March 27, 2004 at 14:11:38 (EAT)
TUNAOMBA UTUKUMBUKE MTWARA KWA MAOMBI.
Mr.Emmanuel D Saganda <smtandika@yahoo.co.uk>
Mtwara, Tanzania - Saturday, March 27, 2004 at 13:59:45 (EAT)
MUNGU AKUBARIKI KATIKA KAZI YAKO
Joice Dugo <joicedugo@yahoo.com>
Dodoma, Dodoma Tanzania - Saturday, March 27, 2004 at 13:36:41 (EAT)
MUNGU AKUBARIKI KATIKA KAZI YAKO
Joice Dugo <joicedugo@yahoo.com>
Dodoma, Dodoma Tanzania - Saturday, March 27, 2004 at 13:25:56 (EAT)
Tumsifu Yesu Kristo.Napenda kuwapongeza kwa kazi yenu njema mnayoifanya yakumtangaza Yesu Kristo kwa bidii.Mungu awabariki na awape nguvu katika utendaji wenu.Napenda sana masomo yako kwa kuwa yanamuinua Kristo na hayana udini. Jinala bwana libarikiwe na kusifiwa kupitia watumishi wake.Amina
Ansfrida Rwelengela <rwelengela@yahoo.co.uk>
DSM Tanzania - Friday, March 26, 2004 at 15:47:55 (EAT)
subsribe injili
Ansfrida Rwelengela <rwelengela@yahoo.co.uk>
DSM Tanzania - Friday, March 26, 2004 at 15:38:53 (EAT)
Mungu awabariki na azidi kuwatia nguvu katika huduma hii mliyoitiwa, na niomba Mungu azidi kuwaingezea Umri wa kuishi pamoja na familia zenu azidi kuzibariki katika Elimu na maombo yote mazuri yanayowazunguka. Amenu
Atupakisye Brown Mpagama <atupakisyem@hotmail,com>
Dar es Salaam , Tanzania - Friday, March 26, 2004 at 15:20:59 (EAT)
sina Maoni bali nawaombea Mungu azidi kuwabariki katika huduma hii.
Elibariki Mwakapeje <emwakapeje@yahoo.com>
Dar, DMP Tanzania - Thursday, March 25, 2004 at 22:16:52 (EAT)
amen
bright <bbigurube@hotmail.com>
ars, ars Tanzania - Thursday, March 25, 2004 at 19:46:48 (EAT)
Tunaomba kupata matukio ya kila semina kama ilivyotoka ya Tanga,kwa sisi tulio na Komputer zenye Spika.
Atupele Mwaipasi <atupele61@yahoo.co.uk>
Mbeya, Tanzania - Thursday, March 25, 2004 at 14:12:58 (EAT)
Nimekuwa natiwa Moyo sana hasa baada ya kusoma habari mbalimbali ambazo zinaonesha Jinsi gani watu wanamtafuta Mungu.Huduma hii ni nzuri kwani kila anayetembelea Tovuti hii amekuwa anajifunza na kupata mambo mapya na mazuri kwenye maisha yake ya kiroho. Neno la bwana linasema wakusanyikapo wali au watatu naye atakuwa mmoja katika yao.Basi hata kwenye tovuti hii yupo pomaja na sisi. Neeema ya bwana ipitayo akili na nia zetu izidi kuwa pomoja nasi sasa na hata milele AMINA
Amos Biteya <biteyaboy@hotmail.com>
Sinza, Dar es salaam Tanzania - Thursday, March 25, 2004 at 12:11:26 (EAT)
NAPENDA KUSIKILIZA MAHUBIRI YENU NA NIMESHAPOKEA UPONYAJI MNAPOOMBEA KTK REDIO NA NINAWAOMBEA MUNGU AZIDI KUWAWEZESHA ILI WENGI WAMJUE KUPITIA HUDUMA YENU. NAOMBA KUPATA MAFUNDISHO YA NDOA.
Eliwanzita Mwashiga <emwashiga@yahoo.com>
Shinyanga, Shy Tanzania - Thursday, March 25, 2004 at 09:50:16 (EAT)
Ninaweza kusikiliza mahubiri kupitia website hii?
John Kamya <sempogo@hotmail.com>
Kahama, Tanzania - Thursday, March 25, 2004 at 02:12:48 (EAT)
huwa nabarikiwa sana na huduma hii.
mwaluseke <mwaluseke2002@yahoo.com>
Mtwara, rigion Tanzania - Wednesday, March 24, 2004 at 17:32:38 (EAT)
huwa nabarikiwa sana na huduma hii.
mwaluseke <mwaluseke2002@yahoo.com>
Mtwara, rigion Tanzania - Wednesday, March 24, 2004 at 17:32:04 (EAT)
Mungu awabariki mzidi kukoa na wale bado hawajamjua bwana yesu. Amen
Dorothy .P. Mtui <dpmtui@yahoo.com>
Dar es salaam, Kinondoni Tanzania - Wednesday, March 24, 2004 at 11:40:40 (EAT)
Mungu awabariki kabisa, kabisa katika huduma hii aliyowaitia. Tunaendelea kuwaombea - mshitaki wetu asije akawaona. Tunamtia upofu
Sophia Mallas <sophiemallas@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Tuesday, March 23, 2004 at 09:55:50 (EAT)
Huduma yenu ni nzuri sana ,na ninawaombea kwa Mungu ili awazidishie talanta yenu ya utumishi.mimini mwanakwaya toka Muhimbili Glory Singers/Usharika wa muhimbili.
de-pedro deniss Nkya. <deel49@yahoo.com>
Dar es salaam, Ilala Tanzania - Monday, March 22, 2004 at 15:28:04 (EAT)
Mungu awabariki sana ktk huduma yenu awazidishie baraka tele pia kwenye familia yenu pamoja na wote mnaoshirikiana nao ktk huduma .amen
Francis Modest Mtey <francismodest@yahoo.co.uk>
Arusha, Tanzania - Monday, March 22, 2004 at 13:38:00 (EAT)
Mungu awabariki sana ktk huduma yenu awazidishie baraka tele pia kwenye familia yenu pamoja na wote mnaoshirikiana nao ktk huduma .amen
Francis Modest Mtey <francismodest@yahoo.co.uk>
Arusha, Tanzania - Monday, March 22, 2004 at 13:29:21 (EAT)
Mungu awabariki sana ktk huduma yenu awazidishie baraka tele pia kwenye familia yenu pamoja na wote mnaoshirikiana nao ktk huduma .amen
Francis Modest Mtey <francismodest@yahoo.co.uk>
Arusha, Tanzania - Monday, March 22, 2004 at 13:31:23 (EAT)
NAWATAKIENI BARAKA ZA MUNGU KATIKA KAZI YAKE NZURI MANAYOFANYA MUNGU AWABARIKI SANA.KARIBUNI SANA SHINYANGA TUNAHAMU SANA NA NYIE NI MIMI JOYCE SHINYANGA
joyce christopher kisamo <joyciamasanjuo@yahoo.com>
shinyanga, Tanzania - Sunday, March 21, 2004 at 17:20:00 (EAT)
Mimi nimeokoka na ninampenda Yesu kupita kawaida,napenda niwatie moyo kwa huduma yenu kwa kweli Mungu awabariki.Pia mumeweza kutambua kuwa dunia ina maendeleo ya kiuchumi hivyo mukaona ni vyema kuwa na mfumo huu mpya hii inaonyesha kuwa sisi walokole kwa wa mataifa kuwa MUNGU tunayemwabudu ni wa jinsi ya tofauti.Mungu awabariki.Amen.
DAVID MZUNGU <mzunguh3@hotmail.com>
ZANZIBAR, PEMBA Tanzania - Saturday, March 20, 2004 at 18:48:20 (EAT)
amen
bright <bbigurube@hotmail.com>
ars, ars Tanzania - Saturday, March 20, 2004 at 15:56:19 (EAT)
Ufalime wa Mungu uenee popote
umburi wiston <umburis@yahoo>
Daer salaam, Tanzania - Friday, March 19, 2004 at 20:29:45 (EAT)
Bwana Yesu asifiwe namshukuru mungu kwa huduma unayoitoa.Kwa kusoma mafundishi kATIKA MTANDAO HUU nimefunguliwa mabo mengi.Ninamomba umwombe Mungu akuweze uje ufanye mahubiri na mafundiki kwa watu wa Mungu Mtwara.Mumgu akubariki.
Frida Masawe <fridamasawe@yahoo.com>
Mtwara, mtwara Tanzania - Friday, March 19, 2004 at 14:54:02 (EAT)
Nimekuwa nikibishana hata na mke wangu kuwa hakuna muhubiri ninaye mwamini kama mwakasege kwa jinsi Mungu anavyomtumia,binafsi sijaokoka na sijui kupima roho lakini najiskia zaidi kubarikiwa na mahubiri yako ni imani yangu kuwa siku moja Neema ya Mungu itanishukia.Mungu wangu wa mbinguni azidi kukutia nguvu
Terry elliud <terrrie@hotmail.com>
Dar es salaam, Ilala Tanzania - Friday, March 19, 2004 at 10:00:04 (EAT)
Nimekuwa nikibishana hata na mke wangu kuwa hakuna muhubiri ninaye mwamini kama mwakasege kwa Mungu anavyomtumia,binafsi sijaokoka na sijui kupima roho lakini najiskia zaidi kubarikiwa na mahubiri yako ni imani yangu kuwa siku moja Neema ya Mungu itanishukia.Mungu wangu wa mbinguni azidi kukutia nguvu
Terry elliud <terrrie@hotmail.com>
Dar es salaam, Ilala Tanzania - Friday, March 19, 2004 at 09:58:39 (EAT)
Tunasikia Furaha na Haja Kubwa ya Kumshukuru Mungu Kwa ajili Yenu na kwa kazi Kubwa Mnayofanya Kwa Utukufu wa Mungu na Bwana wetu Yesu Krito. Ni Maombi yangu Kuwa Mungu azidi sana Kuwapaka mafuta na Kuwafunika kwa Utukufu wake mkuu, Kila muwapo Yeye mwenyewe aonekane ndani yenu akisema na kutenda yale aliyowapeleka kusema na kutenda. Amen
THOBIAS L. MARANDU <tlekundayo@yahoo.com>
Birmigham, AL USA/Tanzania - Friday, March 19, 2004 at 03:57:03 (EAT)
Wapendwa katika Bwana. Namshukuru Mungu kwa website hii, nazidi kuwapongeza kwa kazi yenu nzuri mliyotumwa na Mungu. Mimi binafsi nimejifunza mengi sana kutoka katika site hii, nimesoma masomo karibu yote na nimebarikiwa na kufunuliwa mengi ambayo nilikuwa nikiyapata kwa utofauti mkubwa sana katika dhehebu langu. Naomba password ya somo la walio katika ndoa. MUNGU AWABARIKI SANA
Olina ulungu <omulungu@hotmail.com>
DSM, UDSM Tanzania - Thursday, March 18, 2004 at 14:48:21 (EAT)
Huduma hii imekuwa baraka sana kwangu bila shaka kwa wengine pia.Mungu awabariki ninyi pamoja na huduma hii,pia afungue milango zaidi kwa huduma hii ili watu tupate kuponywa na wengi wamjue Yesu na kuokoka.
Davis John <davisjk2004@yahoo.co.uk>
Mbeya Municipal, Tanzania - Thursday, March 18, 2004 at 11:36:52 (EAT)
NAWATAKIA HERI NA BARAKA ZA MWENYEZI MUNGU KATIKA HUDUMA YA NENO LA MUNGU. MUNGU AWABARIKI NA KUWAPA KIPAWA ZAIDI CHA KUFUNDISHA NENO LAKE. MIMI BINAFSI NIMEBARIKIWA SANA.BWANA APEWE SIFA
SARAH E. LYIMO <saralyimo@yahoo.com>
ARUSHA, Tanzania - Thursday, March 18, 2004 at 11:26:53 (EAT)
MUNGU AWTIE NGUVU KTK HUDUMA YENU,NA AENDELEE KUWABARIKI KIROHO,KIMWILI,NA KIHUDUMA.
KISSAH G. TUNTUFYE <kgintu@yahoo.com>
DAR-ES-SALAAM, UBUNGO Tanzania - Wednesday, March 17, 2004 at 20:25:33 (EAT)
MUNGU AENDELEE KUWATIA NGUVU KTK HUDUMA YENU NA AENDELEE KUWABARIKI KIROO,KIMWILI,NA KIHUDUMA.
kissah G. Tuntufye <kgintu@yahoo.com>
Dar-es-salaam, Ubungo Tanzania - Wednesday, March 17, 2004 at 20:21:41 (EAT)
Mungu aendelee kuwabariki katika huduma yenu.
Mch.Lewis John Hiza <lejohiza@yahoo.com>
K"nondoni, D'sm Tanzania - Wednesday, March 17, 2004 at 18:47:58 (EAT)
Ni mara yangu ya kwanza nimefarijika sana na mafundisho katika site hii.Nitazidi kujfunza zaidi kupitia hapa Neno la Mungu.Mungu awabariki.Tuombeane!
Mary Mwalla <ampomary@yahoo.com>
Dar-Es-Salaam, Tanzania - Wednesday, March 17, 2004 at 18:22:04 (EAT)
Ratiba ya ziara zako Kwa mwaka mzima tupatiwe mapema mwanzoni mwa mwaka husika.Ameni!
Phillip Humbo
Mbeya, Mbeya Mjini Tanzania - Wednesday, March 17, 2004 at 16:18:21 (EAT)
Hongera na pole kwa kazi ya kulisha 'Waisraeli' manna. Kuna masomo mengine kwa mfano ndoa hayafunguki, nifanye nini au password ni nini?
Lameck Mtui <lamechmtui@hotmail.com>
Daresalaam, Kinondoni Tanzania - Tuesday, March 16, 2004 at 11:58:56 (EAT)
kwanza napenda kuwapongeza kwa huduma nzuri mnayofanya yakutufundisha neno la mungu kwa kutumia computer.nimependa sana huduma hii.mungu awabariki na kuwatia nguvu katika huduma hii nzuri.
elias japhet mallya <eliasjaphet@yahoo.com>
arusha, arusha town Tanzania - Monday, March 15, 2004 at 20:22:16 (EAT)
Ninapenda kusoma mafundisho na taarifa zilizoko humu.Mungu awabariki na awape maono mapya kila siku.Naomba MUNGU awape kibali mfikie mikoa yote Tanzania hasa mkoa wa Kagera ambapo injili ya kweli imepoa yamebaki mazoea tu.
Geofrey Kemiti <geofreykemiti@yahoo.co.uk>
Dar esalaam, Ukonga Tanzania - Monday, March 15, 2004 at 18:09:24 (EAT)
Bwana awabariki kwa ajili ya kazi ya kueneza ufalme wa Mungu
H.B.Bakangana <www.hbakanga@yahoo.com>
D'Salaam, Tanzania - Monday, March 15, 2004 at 12:38:39 (EAT)
MUNGU(YEHOVA)awabariki sana Mimi namshukuru Mungu kwa kunipatia kazi ya research Iringa
Nathaniel Conrad <andasoni@hotmail.com>
Dar es salaam, Tanzania - Monday, March 15, 2004 at 12:07:23 (EAT)
nakupongeza sana mtumishi kwakubuni hii program na imani hata sisi ambao tunapotea sasa utatuweka kwenye maombi angalao na mungu aweze kutusaidia nakutakia baraka za BWANA
Nixon Elibariki Moshi <mlyauki@hotmail.com>
D.S.M, Kinondoni Tanzania - Sunday, March 14, 2004 at 17:53:29 (EAT)
Natamani sana kusoma mambo yaliyopo kwenye ndoa lakini kila ninapo jaribu kuingia sifanikiwi. Je una weza kunisaidia? Zaidi nawaombea ili mumeze kutimiza wajibu mlioitiwa na Mungu. Mbarikiwe sana
Lina Alex <linaalex22@hotmail.com>
Moshi, Pasua Tanzania - Sunday, March 14, 2004 at 17:01:36 (EAT)
NAPENDA KUWAPONGEZA KWA KAZI NZURI MNAYOFANYA OMBI LANGU KWENU NAOMBA MJE SHINYANGA TUNAHAMU SANA NA NYIE IKUMBUKENI MIMI NAOMBA MUNGU AWAPE KIBALI ILI MUWEZE KUJA SHINYANGA NAAMINI MAOMBI YANGU YATAKUBALIKA KWANI NA HAMU SANA NA NYIE
joyce christopher <joyciamasanjuo@yahoo.com>
shinyanga, shinyanga Tanzania - Sunday, March 14, 2004 at 10:27:22 (EAT)
NAPENDA KUWAPONGEZA CHRISTOPHER NA DADA DIANA KWA KAZI NZURI YA MUNGU WANAYFANYA NINAWAOMBEA NA MUNGU AZIDI KUWABARIKI
joyce christopher <joyciamasanjuo@yahoo.com>
shinyanga, shinyanga Tanzania - Sunday, March 14, 2004 at 10:17:13 (EAT)
wapendwa napenda kuwatia moyo ktk kazi mnayoifanya.Daima kumbukeni maneno haya 1."MUNGU AKIWA UPANDE WETU NI NANI ALIYE JUU YETU?".2.NAYAWEZA MAMBO YOTE KTK YEYE ANITIAYE NGUVU WAFILIPI 4:13.MUNGU AWABARIKI SANA.
EMMANUEL-EZRUH KAAYA <ekaaya2003@yahoo.com>
moshi, kilimanjaro Tanzania - Friday, March 12, 2004 at 20:16:44 (EAT)
Watumishi wa Bwana, Bwana asifiwe. Nimefurahi saana kupata nafasi hii ya kuandika Maoni yangu katika sehemu hii,Mimi ni baba wa watoto watatu na nimeokoka nampenda Bwana nina penda kuwapongeza kwa huduma hii na nitatoa shuhuda chache tu kati ya nyingi nilizoziona na zilizonitokea mimi mwenyewe. 1)Niliomba kwa kutumia njia ya box nipate kiwanja cha kujenga nyumba na sasa nimepata kiwanja na nimeanza kujenga nyumba kubwa tu yenye vyumba vitatu vya kulala choo sebule jiko na sehemu ya kulia chakula kwa uweza wa Mungu na ime fikia karibu kuweka bati. 2)nyumba yangu(mimi na mke wangu) haikuwa na amani na mke wangu lakini kwa kupitia maombi kwenye box sasa tunaishi kwa amani na upendo 3)nilimuomba bwana kupitia kwenye maombi ya box anipe kazi sehemu nyingine kwa sababu sehemu niliyopo walikuwa wanatafuta kunifukuza kazi wanakosa sababu ya kunifukuza na sasa ninapo andika ushuhuda huu kuna sehemu nimepata nafasi ya kazi ya elimu yangu nasubiri tu barua ya kuitwa kwenda huko.Katika hili naomba Bwana azidi kunipigania. 4)kwa kupitia kwenye maombi ya redio mke wangu alipata uponyaji wa meno yaliyokuwa yanauma
Augustino P Shemsika <ashemsika@yahoo.com>
Arusha, ARUSHA Tanzania - Friday, March 12, 2004 at 16:20:43 (EAT)
Naomba kuwa katika orodha ya watu wanaopokea maombi kwa njia hii ya mtandao. Nina kuombea baraka mtumishi wa MUNGU kwa kazi ngumu uliyonayo. Mungu akubariki sana.
Mrs. Prudence Ching'ole <makitoi@hotmail.com>
Ngara, Kagera Tanzania - Friday, March 12, 2004 at 14:45:58 (EAT)
Mungu awabariki kwa huduma yenu, na wala msichoke katika kutenda mema kila mpatapo nafasi kwa kuwa mtavuna kwa wakati wake msipozimia roho. MAONI; Ninaomba jarida la vijana lifunguliwe, nina kiu sana na mafundisho ya vijana kwa sababu na mimi ni kijana, Mungu awabariki.
NANCY LYIMO <nancylyimo@yahoo.com>
Mbezi beach, Dar Tanzania - Friday, March 12, 2004 at 13:50:42 (EAT)
bwana apewe sifa kwa ajili ya kazi aliykupa na nzuri na ubarikiwe maana unaifanya kwa uaminifu.
jubilata alex <jubilataa@yahoo.com>
dar-es-salaam, Tanzania - Friday, March 12, 2004 at 11:47:42 (EAT)
Napenda sana inanibariki, Ila naomba kuhusu somo la Ndoa naona mmelifunga, tujulisheni ili tujue kama kuna kupewa password ya siri kutoka kwenu. naomba wapendwa mnijulishewenu katiks Kristo
janet swai <swaij52@hotmail.com>
Dar Es Salaam, K'ndoni Tanzania - Thursday, March 11, 2004 at 15:03:32 (EAT)
Bwana ametenda maajabu siwezi kueleza
Nathaniel Conrad <andasoni@hotmail.com>
D'Salaam, Tanzania - Thursday, March 11, 2004 at 12:32:26 (EAT)
Mungu anisaidie kufanya vyema katika mitihani yangu
Gervas Macha <machagervas@yahoo.com>
Arusha, afrika Tanzania - Wednesday, March 10, 2004 at 14:32:15 (EAT)
Bwana asipopulinda mji aulindaye akesha bure na Bwana asipoijenga nyumba aijengaye ajisumbua bure,Wapendwa Mungu(YEHOVA) azidi kuwaongoza katika kila jambo
Nathaniel Conrad <andasoni@hotmail.com>
D'Salaam, Tanzania - Wednesday, March 10, 2004 at 10:26:58 (EAT)
Mungu awabariki sana kwa utumishi huu aliowaitia, nimeweza kujifunza masomo mbalimbali kupitia kwenye mtandao na kupata msaada; MBARIKIWE SANA.
EMMANUEL SAMWEL <ephils2000@yahoo.com>
ARUSHA, Tanzania - Tuesday, March 09, 2004 at 16:23:44 (EAT)
Naomba unitumie Maandiko ya semina ya ndoa
James Tikai <jtikai@yahoo.com>
Arusha, Arumeru Tanzania - Tuesday, March 09, 2004 at 15:56:53 (EAT)
Mungu wetu(YEHOVA)ni Mungu mwenye msamaha na upendo kama angehesabu makosa nani angesimama?Yeye alitupenda sisi kabla sisi ya kumpenda yeye,Kwahiyo hatunabudi kujivunia kutembea katika jina lake
Nathaniel Conrad <andasoni@hotmail.com>
D'Salaam, Tanzania - Monday, March 08, 2004 at 17:34:41 (EAT)
Naomba unitumie Mafundisho ya semina ya ndoa.
James Tikai <mstcdc@mstcdc.or.tz>
Arusha, Arumeru Tanzania - Monday, March 08, 2004 at 07:40:47 (EAT)
Maoni yanguni kuiombea huduma hiimungu azdi kuibariki ili iendelee kuwepo maana inaupa uwezawakmkumbuka muweza wa yote na kumtukuza mtumishi wa mungu Mwakasege mungu ukupe uweza zaidiwauweza kufundisha jamii ya watanzania nenola mungu.
Justine J Longwe <sirjusine_1976@yahoo.com>
Mbeya, Tanzania - Sunday, March 07, 2004 at 22:11:13 (EAT)
Mimi anna huwa nafurahiswa na kubarikiwa sana na huduma hii kiasi kwamba wakati mwingine nikiiangalia picha yako mkiwa na mama yangu Diana hapo juu huwa nasikia kujazwa nguvu za Roho mtakatifu.Mungu awabariki sana,sasa mimi nilikuwa nakuombeni kama kuna uwezekano wa kuwasiliana na ninyi moja kwa moja kwani huwa napenda au nitajisikia amani sana nikiwasiliana na ninyi moja kwa moja au hata mkawa mnajibu Email zetu tunazotuma kwenu kwani napata tabu sana ninapotaka kuwasiliana na ninyi moja kwa moja ndio njua mko buzy sana lakini naomba mmuombe mungu awajalie angalau muda kidogo wa kuchati au kujibu masege za watu wa Mungu wa naotaka ushauri na msaada kwenu. asanteni na MUNGU AZIDI KUWABARIKI NAOMBA MNIOMBEE NA MIMI NIWEZE KUIMARIKA KAMA NINYI KWANI NATAMANI SANA KAJUA MUNGU ANATAKA NIMFANYIE NINI ILI NIMRIDHISHE ?
Anna j urio <morioshose@yahoo.com/anna_urio@hotmail.com>
Dar-es-salaam, Ilala Tanzania - Sunday, March 07, 2004 at 20:54:02 (EAT)
Mimi anna huwa nafurahiswa na kubarikiwa sana na huduma hii kiasi kwamba wakati mwingine nikiiangalia picha yako mkiwa na mama yangu Diana hapo juu huwa nasikia kujazwa nguvu za Roho mtakatifu.Mungu awabariki sana,sasa mimi nilikuwa nakuombeni kama kuna uwezekano wa kuwasiliana na ninyi moja kwa moja kwani huwa napenda au nitajisikia amani sana nikiwasiliana na ninyi moja kwa moja au hata mkawa mnajibu Email zetu tunazotuma kwenu kwani napata tabu sana ninapotaka kuwasiliana na ninyi moja kwa moja ndio njua mko buzy sana lakini naomba mmuombe mungu awajalie angalau muda kidogo wa kuchati au kujibu masege za watu wa Mungu wa naotaka ushauri na msaada kwenu. asanteni na MUNGU AZIDI KUWABARIKI NAOMBA MNIOMBEE NA MIMI NIWEZE KUIMARIKA KAMA NINYI KWANI NATAMANI SANA KAJUA MUNGU ANATAKA NIMFANYIE NINI ILI NIMRIDHISHE ?
Anna j urio <morioshose@yahoo.com/anna_urio@hotmail.com>
Dar-es-salaam, Ilala Tanzania - Sunday, March 07, 2004 at 20:50:49 (EAT)
mungu awabariki
eliabi mashingia <eliabitz@yahoo.com>
moshi, moshi mjini. Tanzania - Sunday, March 07, 2004 at 14:03:06 (EAT)
Mungu awabariki kwa kazi yenu nzuri mnayoifana msichoke endekeeni mbele
Elinami kissimbo <ekissimbo@yahoo.com>
dar es salaam, Tanzania - Friday, March 05, 2004 at 15:45:08 (EAT)
Mungu awabariki mzidi kueneza Injili ya Yesu duniani kote hata wote tuweze kumsifu yeye awezaye yote siku zote katika bwana.Amen
Anna Mdee <a_mdee@yahoo.com/amdee@jt-int.com>
moshi, Tanzania - Friday, March 05, 2004 at 15:25:48 (EAT)
MUNGU AENDELEE KUWAPA HEKIMA NA UFAHAMU WA KIROHO ILI HUDUMA IENDELEE KWA UTUKUFU MUNGU AMIN.
GILBERT OLOTU <olotugilberth@yahoo.com>
Arusha, Mjini Tanzania - Friday, March 05, 2004 at 11:13:52 (EAT)
napenda huduma yenu na mungu awabariki sana
gilbert fanuel <gfanuel@yahoo.com>
arusha, Tanzania - Thursday, March 04, 2004 at 19:31:39 (EAT)
Kwa ukweli, nimefurahishwa sana na yaliyo kwenye tovuti yako. Mafundisho yanajieleza vizuri kama vile unahubiri 'live'. Nakupongeza sana na Mwenyenzi Mungu azidi kukutia nguvu zake.
Rangya Muro <rankya@yahoo.co.uk>
Dodoma, Dodoma Tanzania - Thursday, March 04, 2004 at 16:34:32 (EAT)
Tauni haitawapata wana wa Israel hata kama itapiga nchi nzima,ndio watu wa Mungu(YEHOVA)hawatapata matatizo,shida wala majanga ya aina yoyote hata kama wanaishi kwenye yenye majanga,shida na matatizo maana MUNGU WAO ANAWAPIGANIA
Nathaniel Conrad <andasoni@hotmail.com>
D'Salaam, Tanzania - Thursday, March 04, 2004 at 16:18:23 (EAT)
Mungu awabariki na azidi kuwaongoza kwa mkono wake wa kiume kama alivyowaongoza wana Israel jangwani
Nathaniel <andasoni@hotmail.com>
Dar es salaam, Tanzania - Thursday, March 04, 2004 at 16:12:34 (EAT)
Sisi ni chumvi ya dunia naje chumvi ikiisha ukali wake itayiwa nini mpaka ikolee?kwahiyo tunatakiwa tuikoleze dunia kwa injili kama YESU KRISTO alivyotuagiza
Nathaniel <andasoni@hotmail.com>
Dar es salaam, Tanzania - Thursday, March 04, 2004 at 16:06:28 (EAT)
Mungu awasaidie katika huduma zenu za kila siku. Pia naomba nijiunge katika kitabu hiki cha wageni. Mniombee sana katika maisha yangu niendelee kumjua mungu. Mungu awabariki sana
Sarah Samweli Laizer <saralaiza2000@yahoo.com>
Arusha, Mjini Tanzania - Thursday, March 04, 2004 at 12:27:30 (EAT)
Nashukuru kwa Mungu kunipa nafasi hii. Namshukuru Mungu kwa kuwawezesha kuitenda kazi yake, Mungu azidi kuwatia nguvu. Nashukuru kwa maombi ya semina ya mwaka jana, kwani mtoto wangu alifaulu mtihani na sasa yuko shule ya sekondari ya Arusha Day, nilipenda sana kushuhudia katika semina iliyopita (mwezi wa pili) lakini sikupata nafasi. Hakika Yesu ukimuomba mkate hatakupa jiwe. Bwana Yesu asifiwe.
Lilian John <lilingoda@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Wednesday, March 03, 2004 at 17:15:04 (EAT)
Mungu akubariki. Endelea kuweka masomo zaidi katika web site hii. Kazi yako siyo bure.
Daniel Frank
Arusha, Tanzania - Wednesday, March 03, 2004 at 16:59:52 (EAT)
Mungu akubariki. Endelea kuweka masomo zaidi katika web site hii. Kazi yako siyo bure.
Daniel Frank
Arusha, Tanzania - Wednesday, March 03, 2004 at 16:59:33 (EAT)
Mungu akubariki. Endelea kuweka masomo zaidi katika web site hii. Kazi yako siyo bure.
Daniel Frank
Arusha, Tanzania - Wednesday, March 03, 2004 at 16:58:34 (EAT)
HONGERA SANA NAKUTAKIA KILA HERI NA MUNGU AKUBARIKI.NIPE JINSI YA KUKUPATA TUWE PAMOJA SIKU MOJA.EDWIN.
EDWIN KISANGA <edwinkisanga@yahoo.co.uk>
DSM, K'NDONI Tanzania - Wednesday, March 03, 2004 at 16:54:50 (EAT)
Semina kwa vijana ziongezwe
Napendael <napendael2yahoo.com>
Dar es salaam, Kinondoni Tanzania - Wednesday, March 03, 2004 at 13:38:02 (EAT)
Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa huduma hii
Edmund Alphonce Chikondo <echikondo@yahoo.com>
Dar es salaam, DSM Tanzania - Wednesday, March 03, 2004 at 13:23:38 (EAT)
Ninamshukuru Mungu kwa ajili ya website hii kwani kupitia website hii nimejifunza mengi toka kwenu watumishi wa Mungu,Mungu awabariki ili mzidi kupokea ujumbe utokao barazani pake.
CHARLES SHEMBILU <edashcharles@hotmail.com>
Dar, Ilala Tanzania - Wednesday, March 03, 2004 at 09:29:43 (EAT)
amen
bright <bbigurube@hotmail.com>
ars, ars Tanzania - Tuesday, March 02, 2004 at 19:21:45 (EAT)
Ninaomba kama kuna uwezekana tuwekewe kipindi cha vijana kupitia redio sauti ya Injili. Nawatakia Kazi njema ya utumishi wa Taifa.
Appay S. Kirenga <appaykirenga@yahoo.co.uk>
Moshi, Hai Tanzania - Tuesday, March 02, 2004 at 15:48:30 (EAT)
Mungu awape nguvu na umoja mpendane kama timu ya watumishi wake.kwasababu bila yeye hakuna linalo wezekana lakini chunge sana msije mkabeba utukufu kwasabu shetani anapenda kutumia hiyo nafasi sana mungu hawabariki kila siku awafunulie jipya kwa ajili yetu
joshua <joshuambise@hotmail.com>
arusha, arusha Tanzania - Tuesday, March 02, 2004 at 10:48:04 (EAT)
If God wishes you need have continuos Radio program,to help our people.
pst moses wisdom <mowimwa@yahoo.com>
Aruasha, Tanzania - Monday, March 01, 2004 at 21:29:58 (EAT)
Maoni yangu nikuwapongeza katika kazi ya kristo mnayo fanya kwaajili ya watu wa MUNGU nailiwaweze kwendambinguni kwenda kumuona muumba wao.MUNGU awabariki naawazidishe,wapendwa nimeokoka nanimarayangu yakwanza kujiunga nanyi kwa njia hii nanimatumaini yangu kushilikiana nanyi ktk yale kristo atatuanzimu kuyafanya kwani hatutendiyetu wenyewebali kwaaliye tutuma.
mathew lazaro haule <mathewvahim@yahoo.com>
arusha, Tanzania - Monday, March 01, 2004 at 16:43:42 (EAT)
Mungu aendelee kuwapigania afya zenu na huduma mliyonayo ya kulisha Kondoo. Amen
Florence Byanyuma <florencekalikawe2003>
Dar es Salaam, Ilala Tanzania - Monday, March 01, 2004 at 14:51:10 (EAT)
Tuzidi kuomba maana MUNGU wetu ni MUNGU anayejibu,tusome warumi 8:31
Nathaniel Conrad <ijegeje@hotmail.com>
D'Salaam, Tanzania - Monday, March 01, 2004 at 13:12:59 (EAT)
Ahsante kwa kupakua chakula cha kiroho chenye utamu na sifa zinazostahili kwa kanisa la Mungu.MBARIKIWE.
Emmanuel Rwabukambwe <emrwa@hotmail.com>
Bukoba, Tanzania - Sunday, February 29, 2004 at 23:19:59 (EAT)
Nawatakia huduma njema,Ninamshukuru Mungu kwa kujibu maombi yangu niliyoweka kwenye box Moshi mjini 2004.Mungu awabariki.
Osacr G.Koshuma <oscargk@hotmail.com>
Lushoto, Tanzania - Sunday, February 29, 2004 at 09:40:36 (EAT)
tuombeane katika maisha
lugano ipyana mwaikuju <lugman42@hotmail.com>
arushaTanzania, kaskazin Tanzania - Saturday, February 28, 2004 at 15:08:19 (EAT)
Mungu na aendelee kuwapa hekima na ufahamu wa kiroho ili huduma hii iendelee kwa utukufu wa Mungu mwenyewe.
dr mselenge mdegela <drmselenge@yahoo.com>
Dar es Salaam, Muhimbili Tanzania - Friday, February 27, 2004 at 22:54:29 (EAT)
Mungu na aendelee kuwapa hekima na ufahamu wa kiroho ili huduma hii iendelee kwa utukufu wa Mungu mwenyewe.
dr mselenge mdegela <drmselenge@yahoo.com>
Dar es Salaam, Kilolo Tanzania - Friday, February 27, 2004 at 22:53:57 (EAT)
Mungu na aendelee kuwapa hekima na ufahamu wa kiroho ili huduma hii iendelee kwa utukufu wa Mungu mwenyewe.
dr mselenge mdegela <drmselenge@yahoo.com>
Dar es Salaam, Kilolo Tanzania - Friday, February 27, 2004 at 22:52:32 (EAT)
Bwana Yesu Asifiwe Baba na Mama Mwakasege; kwa kweli mimi binafsi huwa namshangaa Mungu sana kwa ajili yenu huwa najiuliza hivi nyie huwa mnafanyaje hadi Mungu anawatumia kiasi hiki? na kuwasikiliza hivyo jamani?. Maana nimeona mikutano ya sehemu mbalimbali na ya watu mbalimbali lakini Mikutano yako mtumishi kwa kweli watu utafikiri siafu e.g. nilikuwa Arusha juzi jamani nikamshangaa Mungu kwa ajili yako mno yote hii ni kwa sababu tumegundua Neno utulishalo watu wa Mungu tunashiba sana.JINA LA BWANA LIBARIKIWE KWA AJILI YENU. Mungu atusaidie ili tuweze kukutana tena Dar next month. ILA TUOMBEANE SANA WATUMISHI WA MUNGU.
Happiness George <happyggk@yahoo.com>
Dar es Salaam, Tanzania - Friday, February 27, 2004 at 18:17:25 (EAT)
Namshukuru Mungu awatie nguvu ili neno la mungu lizidi kuenea pote,vile vile kuhusu kanda za kaseti pange kuwa na utaratibu wa kuwa na studio ndogo ndogo kila mikoa ili wapendwa wawe wanazipata mara moja .mimi binafsi iwapo naweza kuwa ugent MWANZA Sawa. AMEN.
cletus John Ndila <ndillah@yahoo.com>
Mwanza, pasiansi Tanzania - Friday, February 27, 2004 at 17:50:41 (EAT)
Namshukuru Mungu kwa ajili yenu na kutokana na mzigo aliouweka ktk maisha yenu ili mkamtumikie,Mungu wangu azidi kuwabariki na kuwatumia kwa ajili ya Utukufu wake Nautamani sana upako mliokuwa nao na ninamuomba Mungu nami anijalie upako kama huo kwa kadili ya Mapenzi yake.
Samuel M.Baruti <sambaruti@yahoo.com>
Dar Es Salaam, Ilala Tanzania - Friday, February 27, 2004 at 15:56:48 (EAT)
1.Je, hakuna uwezekano wa kuongeza idadi ya vipindi kupitia Redio Wapo tofauti na sasa kipindi kimoja kwa wiki?Tungebarikiwa zaidi!. 2.Je, naweza kuuliza maswali kupitia kitabu cha wageni?Kama sivyo nitumie ukurasa upi?
JAPHET A KIMONGES <jkimonges@yahoo.com>
Daresalaam, Pwani Tanzania - Friday, February 27, 2004 at 11:58:24 (EAT)
Mungu Awabariki na Kuwatunza katika Kuingia na Kutoka Kwenu Amen
Heriel Mahinda Mchome <hmchome2002@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Thursday, February 26, 2004 at 18:31:09 (EAT)
I LOBE THIS PAGE. PLEASE, KEEP UP THE GOOD WORK.
MGBADA JOE ABA NAIJA <MGBADAJOE@ABA.COM>
ABA,NAIJA, ABA BENIN - Thursday, February 26, 2004 at 16:35:16 (EAT)
Tumtegemeeni Mungu
Regina Julius <->
Arusha, Tanzania - Thursday, February 26, 2004 at 13:52:34 (EAT)
Tumtegemeeni Mungu
Regina Julius <->
Arusha, Tanzania - Thursday, February 26, 2004 at 13:51:54 (EAT)
NIMEKATA SHAURI NAOMBA MNIOMBEE ILI NIENDELEE MBELE.NAJIFUNZA MENGI KUPITIA TOVUTI HII NAHITAJI VITABU NA MAFUNDISHO NITUMIE NJIA GANI?
leyla njama <leynjama2000@yahoo.com>
ARUSHA, Tanzania - Thursday, February 26, 2004 at 11:22:09 (EAT)
NIMEKATA SHAURI NAOMBA MNIOMBEE ILI NIENDELEE MBELE.NAJIFUNZA MENGI KUPITIA TOVUTI HII NAHITAJI VITABU NA MAFUNDISHO NITUMIE NJIA GANI?
leyla njama <lleynjama2000@yahoo.com>
ARUSHA, Tanzania - Thursday, February 26, 2004 at 11:17:38 (EAT)
MUNGU AWASAIDIE WOTE WENYE NIA YA KUWARUDISHA WATU WAKE BOMANI. MTUMISHI WA MUNGU NAMTAKIA AFYA NJEMA NA YENYE MATUNDA MEMA. MKUTANO WA KWANZIA TAREHE 15-2-2004 ULINISAIDIA SANA IKIWEZEKANA HATA MRUDIE TENA.GLORY TO GOD.
glory raphaely koisianga <ngaisibeauty2004>
arusha, ilboru Tanzania - Thursday, February 26, 2004 at 09:15:14 (EAT)
Mungu ni Mwema hata kwangu, Mungu awawezeshe ili kufungua Studio yenu/Radio/Tv station.
Meshack M.Ma`Ntoga <mmantoga@barick.com>
Bulyahulu-Kahama, Kahama Tanzania - Thursday, February 26, 2004 at 06:18:54 (EAT)
amen
bright <bbigurube@hotmail.com>
ars, Tanzania - Wednesday, February 25, 2004 at 21:05:22 (EAT)
MBARIKIWE KWA KAZI YA BWANA
JAPHET ABEL KIMONGES <jkimonges@yahoo.com>
Daressalaam, PWANI Tanzania - Wednesday, February 25, 2004 at 16:28:58 (EAT)
Naomba nijiandikishe katika kitabu hiki ili kujifunza neno la Mungu ili kuujenga mwili wa Kristo.
Cesilia Masosi <cesiliamasosi@hotmail.com>
Dar es Salaam, Dar es Salaam Tanzania - Wednesday, February 25, 2004 at 16:24:59 (EAT)
Mbarikiwe
Lutengano Mwalubandu <lutenny@yahoo.com>
Dodoma, Tanzania - Wednesday, February 25, 2004 at 16:18:41 (EAT)
mimi sekela ninamshukuru sana mungu kufungua web site hii kwani imenifungua mambo mengine ambayo nilkuwa gizani nimefarijika sana mungu aendelee kuwapa moyo huo huo wa upendo kuwalisha kondoo naomba mniombee ili niweze kulijua zaidi neno la mungu
sekela paul mwaipyana <sekelanilahi@hotmail.com>
dsm, dsm Tanzania - Wednesday, February 25, 2004 at 15:30:01 (EAT)
mimi sijawahi kuhudhuria kwenye mikutano yote inayofanyika lakini baada ya kusoma web site nimefarijika sana mungu aendelee kuwapa moyo huo huo wa upendo wa kutulisha neno la mungu kwani mimi kabla sijaannza kazi asubuhi ninaanza kufungua hii web site mungu awape nguvu nami naomba mniombee niweze kulijua neno zaidi
sekela paul mwaipyana <sekelanilahi@hotmail.com>
kinondoni, dsm Tanzania - Wednesday, February 25, 2004 at 15:11:09 (EAT)
bwana yesu asifiwe mimi jane naomba diana na mwakasege mniombee nipate mchumba na tuwasiliane kwa e mail ili tuweze kusali pamoja
jane <ladyjane164@yahoo.com>
arusha, Tanzania - Wednesday, February 25, 2004 at 13:38:41 (EAT)
Nimefurahishwa na jinsi website yenu ilivyokuwa nzuri, kweli inaelimisha kuliko nilivyofikiria, Mungu awape nguvu ya kuweza kuhubiri kupitia mtandao huu zaidi na zaidi, "it is an outstanding designed website for real" praise the Lord! Ninaomba Tafadhali kama kuna kitabu kinachoweza kuelezea kwa undani haya yote "in General" kama ilivyokuwa kweye hii website yenu naomba mnifahamishe, na ni bei gani, Wenu katika Bwana, Martin Marcos
Martin <Mollel1@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Wednesday, February 25, 2004 at 12:31:32 (EAT)
Namshukuru Mungu kwa jinsi alivyotuhudumia kwenye semina ya Arusha. mimi ni mwl wa music na Ninajisikia kufundisha. Endapo unao watu wanaopenda aidha kujifunza vyombo ama vocal training niko tayari kutoa huduma hiyo pasipo malipo.
Gadiel Shedaffa <gafashe@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Wednesday, February 25, 2004 at 11:59:13 (EAT)
mtumishi shambani mwa Bwana,mtumishi Mwakasege,nimekuwa nikihudhurio mikutano yako mara kwa mara huwa nabarikiwa sana na jinsi Mungu alivyokupa kipawa,hivyo naomba huduma yako uwe unaisambaza Tanzania nzima,ombi langu hasa usisahau kupeleka huduma vijijini,nako wanamwitaji Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yao,nafanya kazi Destination Tanzania,magazine inayosambaa dunia nzima,mwanzoni magazine hii haikufikia kiwango hicho cha kusambaa dunia nzima,nikahudhuria mkutano wako mwaka jana 2003,nikafanya maombi ya siri ili magazine isambae dunia nzima,maombi yalijibiwa na Mungu,DHL wakakubali kutudhamini kwa ajili ya usambazaji dunia nzima,namwahidi Mungu ya kwamba nitamtumikia siku zangu zote.
chocks chokala. <yachocks@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Wednesday, February 25, 2004 at 11:59:12 (EAT)
Namshukuru Mungu kwa jinsi alivyotuhudumia kwenye semina ya Arusha. mimi ni mwl wa music na Ninajisikia kufundisha. Endapo unao watu wanaopenda aidha kujifunza vyombo ama vocal training niko tayari kutoa huduma hiyo pasipo malipo.
Gadiel Shedaffa <gafashe@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Wednesday, February 25, 2004 at 11:56:10 (EAT)
Namshukuru Mungu kwa jinsi alivyotuhudumia kwenye semina ya Arusha. mimi ni mwl wa music na Ninajisikia kufundisha. Endapo unao watu wanaopenda aidha kujifunza vyombo ama vocal training niko tayari kutoa huduma hiyo pasipo malipo.
Gadiel Shedaffa <gafashe@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Wednesday, February 25, 2004 at 11:55:43 (EAT)
Sina maoni ila nafurahia website yenu, ila ninapotaka kufungua masomo kama ya ndoa inashindwa kufunguka, je ninafanyeje, nami nataka kujifunza masomo ya ndoa na nyumba.
Gladys Mukulasi Mukela <mukglad@yahoo.com>
Dar, Tanzania - Wednesday, February 25, 2004 at 11:34:02 (EAT)
Nimekuwa natiwa Moyo sana hasa napokuta Ujumbe wa wapendwa ambao bado wanaendelea kumtafuta Mungu.Hili ni jambo zuri ambalo linanipa Tumaini ya kuona Mwisho Mzuri wa watu wale waliojitoa kumtafuta Mungu. Nazidi kuwatia mOyo watu wote wanaotumia Huduma hii hata na wale wasioijua basi wanaweza kupewa anwani ya Tovuti hii hili kuweza kupata Habari Njema za Yesu Kristo AMEN
Amos Biteya <BITEYABOY@HOTMAIL.COM>
Nzega, Tabora Tanzania - Tuesday, February 24, 2004 at 23:18:07 (EAT)
Kazi ya ni nzuri sana.Mungu azidi kukutia nguvu.
Mwl Joseph Johnson Kimbwereza. <josephjkim@hotmail.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Tuesday, February 24, 2004 at 19:22:29 (EAT)
Nitapataje vitabu vya kunijenga kiroho nataka kuokoka.
Augustine Michael <nettomasawe@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Tuesday, February 24, 2004 at 16:07:19 (EAT)
mUNGU wake Yakobo awabariki SAAANA mdumu katika kueneza injili mtutie moyo nasi tuige mfano wenu ili injili ienee watu waokolewe.Anzisheni mission ya kufundisha vijana kueneza injili ili vijana wengi wanaokufa kwa ukimwi waokolewe wasife au wasisumbuliwe na uasherati&uzinzi hasa vijana wa shule za msingi,sekondari na zaidi sana vyuoni hasa hapa kwetu chuo kikuu Dar es salaam.Kwa neema ya MUNGU naahidi kuwa ntakuwa wa kwanza kujiandikisha na kupeleka injili kwa vijana MUNGU AWABARIKI SANA MSIKATE TAMAA WALA MSIRUDI NYUMA,Tuonane kwenye semina mkija hapa Dar mwezi ujao.
Robert Charles Lyimo <rochalyimo@yahoo.com>
DAR ES SALAAM, Tanzania - Tuesday, February 24, 2004 at 14:57:20 (EAT)
mUNGU wake Yakobo awabariki SAAANA mdumu katika kueneza injili mtutie moyo nasi tuige mfano wenu ili injili ienee watu waokolewe.Anzisheni mission ya kufundisha vijana kueneza injili ili vijana wengi wanaokufa kwa ukimwi waokolewe wasife au wasisumbuliwe na uasherati&uzinzi hasa vijana wa shule za msingi,sekondari na zaidi sana vyuoni hasa hapa kwetu chuo kikuu Dar es salaam.Kwa neema ya MUNGU naahidi kuwa ntakuwa wa kwanza kujiandikisha na kupeleka injili kwa vijana MUNGU AWABARIKI SANA MSIKATE TAMAA WALA MSIRUDI NYUMA,Tuonane kwenye semina mkija hapa Dar mwezi ujao.
Robert Charles Lyimo <rochalyimo@yahoo.com>
DAR ES SALAAM, Tanzania - Tuesday, February 24, 2004 at 14:57:20 (EAT)
Bwana Yesu Asifiwe! Ninafurahishwa na kubarikiwa sana na masomo yaliyomo humu kwenye hii website yenu. Ninataka kupata taarifa zilizoko kwenye "Ndoa" lakini siioni mahali pa kusign in kwa mimi mgeni ambaye sina password, naomba niingie kwenye hiyo site kwa kupewa maelekezo zaidi. Mungu awabariki!
Angelina Tuntufye Mtowa <amtowa@hotmail.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Tuesday, February 24, 2004 at 14:11:03 (EAT)
Bwana Yesu asifiwe sana.hongera kwa kazi njema ya Bwana.Iende mbele injili eehe iende mbeleeeeee!
Ipyana Mponi <mponi76@hotmail.com>
Washington DC, USA - Tuesday, February 24, 2004 at 07:34:23 (EAT)
MUNGU AENDELEE KUIKUZA NA KUINUA HUDUMA HII IWEZE KUFIKA KWA WATU WENGI ZAIDI.
BURTON SAULO YUDA <busayuda@yahoo.com>
UBUNGO, DAR-ES-SALAAM Tanzania - Monday, February 23, 2004 at 15:23:13 (EAT)
Ninafurahishwa sana na vipindi vya dini vinavyorushwa na Redio Habari Maalum usiku ningeomba viongezwe muda. Mwanakondoo Ameshinda.
Lucy Mpangala <mlucytz@yahoo.com>
Arusha, Kilimanjaro Tanzania - Monday, February 23, 2004 at 14:45:28 (EAT)
Nawashukuruni sana kwa masomo yenu kwani ni mafundisho tosha kutuwezesha kufika kwa Mungu Baba kama tukizingatia mafundisho haya. Mungu awabariki sana na familia yenu. Amen
beatrice <b_kundasai@hotmail.com>
Dar es Salaam, Kinondoni Tanzania - Monday, February 23, 2004 at 14:42:36 (EAT)
Ninawaslimu katika jina la bwana wetu YESU Kristo. Ninashukuru sana kwa kutupa nafasi ya kutoa maoni yatu, Ninaomba sana utakapomaliza safari yako ya Tanga ufanye mpango wa kufanya semina nyingine Arusha, Na sisi tuliowafanyakazi katika idara mbalimbali tupate nafasi ya kuombewa kama nilivyoona jumamosi, Mama akiwaombea wanafunzi, pia viongozi wa makanisa waliombewa katika kipindi cha mchana,nasisi tunaomba tupate baraka hiyo, asante kwa kunipa nafasi hii, bwana sifiwe sana.
Rose C. Naiman <rose_naiman@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Monday, February 23, 2004 at 14:07:42 (EAT)
Nimefurahishwa na web site yako na nakuombea kwa Mungu ili Akubariki zaidi
Sebastian Malisa <sebamalisa@yahoo.com>
Moshi, Kilimanjaro Tanzania - Monday, February 23, 2004 at 12:20:11 (EAT)
Nimefurahishwa na web site yako na nakuombea kwa Mungu ili Akubariki zaidi
Sebastian Malisa <sebamalisa@yahoo.com>
Moshi, Kilimanjaro Tanzania - Monday, February 23, 2004 at 12:19:52 (EAT)
Mungu awabariki sana Muwe na moyo huo huo wa kueneza Injili ili watu wapate kuokoka. Napenda mafundisho ya Ndoa kwa Wingi.
Jenipher <jenipher25@hotmail.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Sunday, February 22, 2004 at 17:04:34 (EAT)
Ni MUNGU mwenyewe anajua tu, ninavyofarijika na mahubiri yetu, asanteni sana kwa maombi yenu, asanteni kwa kazi hii ya kitume. Mzidi kutiwa nguvu mzidi kuniombea. God bless you
Gertrude R. Mmasi <getyr@yahoo.com>
ARUSHA , ARUSHA Tanzania - Friday, February 20, 2004 at 16:03:31 (EAT)
Endelea kutuombea na mungu akubariki wewe pamoja na familia yako
Gldyness Tumaini Tarimo <Gladyemmy @yohoo.com>
Moshi, Moshi Tanzania - Friday, February 20, 2004 at 14:05:21 (EAT)
Bwana Yesu ni mkuu na anatenda mengi makuu jina la bwana Liimidiwe
Emmanuel Kombe <emmkombe@yahoo.com>
Moshi, Moshi Tanzania - Friday, February 20, 2004 at 13:24:05 (EAT)
Ninamshukuru Mungu kwa ajili ya watumishi wake Christopher na Diana Mwakasege.
Joyce Shoo <shoojoy@hotmail.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Friday, February 20, 2004 at 12:34:05 (EAT)
Naomba Maombi maalum nifanikiwe Biashara yangu. Na niwe na amani maishani. Nguvu zagiza zisipate nafasi maishani mwangu
Baraka DavidOgillo <Ogillo@financier .com>
Arusha, Arusha Tanzania - Friday, February 20, 2004 at 11:25:33 (EAT)
Nimebarikiwa sana na website Mungu awabariki kwa kazi nzuri hii, vijana wengi wanakwenda internet cafe naomba mambo mengi ya vijana yapewe nafasi. Pia Mungu awawezesha kuwa na language selection ili hata walio nje ya nchi waweze kusoma na kumuona Mungu. Kama inawezekana siku za usoni watu waweze kulink na website hii kama rafiki watenda kazi pamoja ili tuwe na na mambo mengi zaidi yanayompa Munfu utukufu.
Godas Mwakasege <mwakasege5@yahoo.co.uk>
Dar es salaam, Dar es salaam Tanzania - Thursday, February 19, 2004 at 17:46:51 (EAT)
Mungu awabariki kwa kazi mnayoitenda,awazidishie nguvu ktk kulitangaza jina lake nabarikiwa ninaposikiliza mahubili yenu mungu awabariki.
joyce mahila <mahila14@hotmail.com>
dsm, dsm Tanzania - Thursday, February 19, 2004 at 13:41:20 (EAT)
KWA KWELI NATOA PONGEZI SANA KWA WAANDAJI WA HII WEB SITE KWA KWELI NI NZURI NA INAPENDEZA SANA KWA KWELI MBARIKIWE SANA.
Lawrence Bundala <bundaman75@hotmail.com>
Arusha, Tanzania - Thursday, February 19, 2004 at 11:24:51 (EAT)
napenda kuungana na mafundisho ya muhubiri mwakasege kwani nimegundua yana manufaa katika maisha yangu ya hapa duniani nahitaji huu msaada asante
joseph <josephntoga@hotmail.com>
arusha, arusha Tanzania - Thursday, February 19, 2004 at 09:16:09 (EAT)
Ni jambo la kufurahisha tena lenye kutia moyo kuona kuwa sasa Neno la MUNGU linahubiriwa na Mtumishi wa MUNGU mwalimu Mwakasege kwa njia ya mtandao ,Mwalimu Mwakasege pamoja na wasaidizi wako wote nawatakieni msonge mbelekatika kazi ya BWANA na MUNGU awabarikini na kuwatia shime AMEN.
Edger Simon Mkawo <edgermkawo@hotmail.com>
Uhasibu Arusha, - Tanzania - Wednesday, February 18, 2004 at 18:25:52 (EAT)
Ni ambo la kufurahisha tena lenye kutia moyo kuona kuwa sasa Neno la MUNGU linahubiriwa na Mtumishi wa MUNGU mwalimu Mwakasege kwa njia ya mtandao ,Mwalimu Mwakasege pamoja na wasaidizi wako wote nawatakieni msonge mbelekatika kazi ya BWANA na MUNGU awabarikini na kuwatia shime AMEN.
Edger Simon Mkawo <edgermkawo@hotmail.com>
Uhasibu Arusha, - Tanzania - Wednesday, February 18, 2004 at 18:24:08 (EAT)
Mungu awabariki katika huduma hii.Namshukuru Mungu kwani nabarikiwa sana pamoja na familia yangu.Naomba niunganishwe kwenye mafundisho ya ndoa. Mungu awabariki.
CHRISTINE B .K WALWA <ckorosso@yahoo.com>
Dar-Es-Salaam, Tanzania - Wednesday, February 18, 2004 at 11:49:05 (EAT)
Mungu awabariki katika huduma hii.Namshukuru Mungu kwa ninabarikiwa sana pamoja na familia yangu.Naomba niunganishwe kwenye mafundisho ya ndoa. Mungu awabariki.
CHRISTINE B .K WALWA <ckorosso@yahoo.com>
Dar-Es-Salaam, Tanzania - Wednesday, February 18, 2004 at 11:44:53 (EAT)
naomba email ya mchungaji Mwakasege
jonsiah njamase <jonsiahnjamase@yahoo.com>
dar es salaam, ubungo Tanzania - Tuesday, February 17, 2004 at 18:42:07 (EAT)
Glad to hear what u are doing, always.
Coolbright <coolbbright2003@yahoo.com>
Dar-es-salaam, Tanzania Tanzania - Tuesday, February 17, 2004 at 12:55:52 (EAT)
Mungu wa rehema awazidishie HEKIMA NA BUSARA na awashindie MAJARIBU. Naomba kuandikishwa katika mafundisho ya ndoa.
rose <roseakarogathe@yahoo.com>
arusha, Tanzania - Tuesday, February 17, 2004 at 10:48:59 (EAT)
Naomba maombi kwa ajili ya familia yangu pamoja na maombi kwa ndugu zangu waongoze katika maisha yao na watende yale yanayompedeza Bwana.
Edwick E. Mkongo <edmkongo@yahoo.co.ck>
DSM, K/ndoni Tanzania - Monday, February 16, 2004 at 17:07:38 (EAT)
MUNGU AWABARIKI KATIKA HUDUMA YENU.NAOMBA MNIOMBEE KATIKA MASOMO YANGU KWANI MIMI NI MWANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA BENJAMINI MKAPA,NANI MWENYEKITI WAUKWATA HAPA SHULENI.ASANTENI SANA
TUMAINI TESHA <tumainitesha2000@yahoo.co.uk>
DAR-ES-SALAAM, Tanzania - Sunday, February 15, 2004 at 17:38:40 (EAT)
amen
bright <bbigurubeQ@hotmail.com>
ars, ars Tanzania - Saturday, February 14, 2004 at 20:50:15 (EAT)
Naomba niombewe ili niweze kufanikiwa katika maisha yangu pamoja na familia yangu
Jackson Luka <jaxonluka@yahoo.com>
MOSHI, Tanzania - Saturday, February 14, 2004 at 17:35:06 (EAT)
Naomba mniombee nami niombe niweze kuenenda katika mapenzi ya MUNGU nami niuone ufalme wa MUNGU si ku ile ya mwisho.Pia niweze kufanikiwa ktk maisha yangu ya duniani,niepukane na magonjwa ya hatari kama Ukimwi. Ahsanteni na Mungu atubariki.
Verah Laiser <venney2003@hotmail.com>
Arusha, Tanzania - Friday, February 13, 2004 at 16:33:49 (EAT)
Naomba mniombee nami niombe niweze kuenenda katika mapenzi ya MUNGU nami niuone ufalme wa MUNGU si ku ile ya mwisho.
Verah Laiser <venney2003@hotmail.com>
Arusha, Tanzania - Friday, February 13, 2004 at 16:30:12 (EAT)
Ninamshukuru sana Mungu wetu aliye mwema na mwaminifu , alisema katika siku za mwisho atamwaga Roho wake kwa kila mwenye mwili na sasa tunashuhudia Roho wa Mungu amemwagwa mpaka katika mtandao tunapata chakula cha roho zetu. Mungu atusaidie sana kwa Roho wa Uzima tusikizoee chakula hiki na kukiona cha kawaida na kukinai bali tukione kipya kila siku ili kitupe afya inayohitajika. Jina la Bwana libarikiwe na Mungu awabariki sana ninyi watumishi wake na kuwaongeza (may you incrase in everything, spiritual and physical).Amen
Rose Eda Kasulwa <rkasulwa@ncc.or.tz>
Dar Es Salaam, Kinondoni Tanzania - Friday, February 13, 2004 at 08:24:59 (EAT)
HUDUMA YENU NI NZURI ,MUNGU AWATIE NGUVU TUKO PAMOJA TUNAWAOMBEA
REV Peter Undole <cmihanji2000@yahoo.com>
Arusha, TANZANIA Tanzania - Wednesday, February 11, 2004 at 17:11:45 (EAT)
Tovuti yenu inapendeza sana mpangilio wake. Mungu azidi kuwawezesha kueneza Injli kwa njia hii ya mtandao wa www.
Pius Mabuba <piusmabuba@yahoo.com>
Dar, Dar Tanzania - Wednesday, February 11, 2004 at 14:51:20 (EAT)
Namshukuru Mungu kwa kuwa anaendelea kuwasaidia watu wake wanaofanya kazi ya kuieneza injili. Namuomba awasaidie katika kazi hii ya kumtangaza Kristo kwa njia ya mtandao. Bwana awabariki sana
Noel Peter Sawe <nsawe72@excite.com>
Serengeti, Arusha Tanzania - Wednesday, February 11, 2004 at 12:29:10 (EAT)
Napendekeza semina hasa kwa vijana kwani vijana wengi wa leo hawana habari na neno la Mungu wameishia ktk mambo ya dunia ambayo ni ya muda tu.
happygodus emmanuel <mrhen2002@yahoo.co.uk>
Arusha, Arumeru mashariki Tanzania - Tuesday, February 10, 2004 at 15:03:03 (EAT)
asante sana mchungaji kwa mafundisho yako mema pamoja ya kuwa napata shida ktk kutekeleza wito ambao ninaamini nimeitiwa bila shaka ipo siku maombi yangu yatajibiwa.ninaushuhuda mrefu sana juu ya mafundisho yako ipo siku tutaonana na kukujulisha asante
joseph joseph mkirikiti <mkirikiti@yahoo.com>
moshi, Tanzania - Monday, February 09, 2004 at 16:32:43 (EAT)
naomba kuandikiswa kwenye kitabu cha wageni
lungwa mlimanyika <lungwamlimanyika@yahoo.com.in>
Dar es salaam, kibaha Tanzania - Monday, February 09, 2004 at 14:29:19 (EAT)
tunawapenda na kuwafurahia!
jane moshi <genevivetz@yahoo.com>
Dar es salaam, Tanzania - Monday, February 09, 2004 at 14:08:36 (EAT)
BWANA YESU AWE NAO WOTE WANAOMTAFUTA KWA BIDII!!
RAJAB MWENDA <LILNELLY008@YAHOO.COM>
DAR ER SALAAM, SINZA Tanzania - Sunday, February 08, 2004 at 14:22:05 (EAT)
Nakutia moyo kwa huduma yako
Arthur Juma <arthurjuma@hotmail.com>
Tanga , Tanga Tanzania - Saturday, February 07, 2004 at 15:31:03 (EAT)
Napenda sana semina za neno la Mungu kwani kila ukija Tanga huwa mmoja wapo kati ya wanaofika na kufundishwa nawe jinsi ya kumjua Mungu.Je unaonaje kama utapata redio moja ya kutulisha neno la Mungu kwa kipindi maalum kwa siku maalam.
ARTHUR MARTIN JUMA <arthurjuma@hotmail.com>
Tanga, Tanga Tanzania - Saturday, February 07, 2004 at 15:20:26 (EAT)
naomba kujiandikisha kwenye kitabu cha wageni
idefonce Gingo
nyamongo, tarime Tanzania - Saturday, February 07, 2004 at 14:31:45 (EAT)
Kweli tunafaidika mno kwa mafundisho ya kanda na hii website, ila naomba sehemu ya mafundisho ya vijana kuwekwe mafundisho na pia mtumishi wa Mungu nimaombi yangu basi uje na uingereza pia tunakuitaji sana. Mungu awabariki.
Haulat Mwawanga <haulat@yahoo.com>
birmingham, Shirley England - Saturday, February 07, 2004 at 13:58:23 (EAT)
SHALOM,NAKUMBUKA MTUMISHI WA MUNGU ULIFANYA BIRTH DAY YA MAMA DIAMOND HIYO SIYO DHAMBI LAKINI KUMBUKA MUNGU AMEKUPA MADHABAU YAKE ILI UMTUKUZE PALE HAPAKUWA MAHALI PAKE.JEHOVA NA AKUBARIKI POPOTE UTAKAPOKWENDA NA BWANA HATA KUPUNGUKIA.
DAVIS LEWIS <Jesus is answer @hotmail.com>
Dar - es - salaam, UBUNGO Tanzania - Friday, February 06, 2004 at 15:02:28 (EAT)
KIPEKEE NINAMSHUKURU MUNGU KUKUBALI KUTOA SEHEMU YA UWEZO WA KUTENDA MIUJIZA KWA WOTE WANAOMKIRI YESU KUWA NI BWANA NA MWOKOZI WAO. MIMI NI MMOJA WAO.NAPENDEKEZA SEMINA ZIFANYIKE HATA VIJIJINI KWA AJILI YA WASIO NA UWEZO UWEZOWA HATA REDIO NA HATA WAZEE VIKONGWE. MUNGU WETU AKUJALIE NGUVU.
JOEL L. KIVUYO <mr kivuyo@yahoo.co>
ARUSHA, ARUMERU Tanzania - Thursday, February 05, 2004 at 15:14:32 (EAT)
Tuzidi kuomba
Anthony W. Kimaro. <tonny66us@yahoo.com>
Bomang'ombe, Hai Tanzania - Thursday, February 05, 2004 at 14:11:04 (EAT)
Naomba muwe mnajibu maombi ya watu wanaowaeleza kwa wakati mnapopata maombi ya mtu au mahitaji
Mercy Japhet machai <mlugera@hotmail.com>
Dar es salaam, Tanzania - Thursday, February 05, 2004 at 12:44:36 (EAT)
Ninapotafakari neno la Mungu kupitia mafundisho ya Mwinjilisti Christopher na Diana Mwakasege naona kukua kwa imani na kupokea uzima wa rohoni. Naomba nisaidiwe user name na namba ya siri ya kupata mafundisho ya Ndoa. Kila somo najitahidi kusoma lakini bado somo la NDoa. Bwana Yesu awabariki.
Eunice Chengula <eunice_chengula@yahoo.com>
Tanzania, Iringa Tanzania - Thursday, February 05, 2004 at 11:01:40 (EAT)
Bwana akubariki kwa huduma ya Neno la Mungu naamini taji ipo kwa ajili yako siku moja utapewa. Naomba nisaidiwe namna ya kupata kusoma somo la Ndoa.
eunice Chegnula <eunice_chengula@yahoo.com>
Tanzania, TANZANIA Tanzania - Thursday, February 05, 2004 at 10:39:39 (EAT)
Maoni yangu nikwmba naomba mtembelee wilayani kwani kuna watu wanahitaji sana maombi yenu, nasema hivi kwani mimi nimetoka wilaya moja wishio wamsai na bado hawaja pata kuona maombi kam mnayo fanya Asante sana nategemea maombi yangu mtayaelewa Talk to you soon-laizer
loseran <loserianlaizer@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Wednesday, February 04, 2004 at 16:34:14 (EAT)
Nimebarikiwa sana kwa kusoma mafundisho yenu ktk internet. Zamani nilikuwa sipendelei sana kufungua internet kwa sababu sikuwa naona kitu cha maana zaidi. Sasa nastarehe na kuburudika na mafundisho yenu murua.Nawaombea kwa Mungu ili huduma hii idumu na kusonga mbele. Nielekeze namna ya kuingia katika somo la Ndoa maana ni la muhimu sana kwetu.Mwenyezi Mungu awabariki sana.
Owden James Msokwa <msokwa@science.udsm.ac.tz>
Dar es Salaam, - Tanzania - Tuesday, February 03, 2004 at 15:11:05 (EAT)
Nimebarikiwa sana nilipoingia katika web site hii nimekuwa nikipata nafasi mara kwa mara ya kuuingia na nimejifunza mambo mbali mbali ya kiroho. Mungu Wetu aendelee kuwapa maarifa na Hekima zake katika kuwalisha kondoo zake
mary <mary_klema@hotmail.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Tuesday, February 03, 2004 at 14:08:38 (EAT)
Nimebarikiwa sana nilipoingia katika web site hii nimekuwa nikipata nafasi mara kwa mara ya kuuingia na nimejifunza mambo mbali mbali ya kiroho. Mungu Wetu aendelee kuwapa maarifa na Hekima zake katika kuwakisha kondoo zake
mary <mary_klema@hotmail.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Tuesday, February 03, 2004 at 14:07:14 (EAT)
Mungu awabariki kwa kazi nzuri munayoifanya
Elibariki Tuvana Malaki <elituva@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Tuesday, February 03, 2004 at 11:45:02 (EAT)
maoni yangu ningeomba kikundi cha sifa kitakachosimama pamoja na wewekuifanyakazi yamungu. kwanjiahiyo utawezakukilea.hayo ni maoniyangu.jambojingine kamautahiyaji wakati mwingine nijekusaidia kupiga kinanda mimi niko tayarikujakusaidia kamautahitaji.mungu awabarikisana nawatakia kazinjema ya mugu.nimimi amos muungwana kutoka dodoma kwaujumla wote hawajambo
amosi muungwana <amossilvester@yahoo.com>
dodoma, Tanzania - Monday, February 02, 2004 at 20:43:48 (EAT)
Mungu Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo wa Nazareth azidi kuwapa ufunuo na ufahamu wake
Isabela Seme <isabela_seme@yahoo.com>
Dar es Salaam, Tanzania - Monday, February 02, 2004 at 16:40:21 (EAT)
songa mbele,kazi yako ni njema
Ebenezer Kombe <ebenkombe@hotmail.com>
Mwanza, Tanzania - Monday, February 02, 2004 at 14:03:40 (EAT)
Mungu awabariki katika kutoa huduma kwa watoto wake
Isabela Seme <isabela_seme@yahoo.com>
Dar es Salaam, Dar es Salaam Tanzania - Monday, February 02, 2004 at 13:27:00 (EAT)
Mimi sina maoni ila shukrani. miminamshukuru mungu anayewatumia nyinyi kupitia huduma yenu kwa ajili ya kuponya roho za watu wake maana tunakula na kunywa mezani pa bwana kupitia mtandao mungu awatie nguvu na maarifa zaidi ili nasi tuzidi kusonga mbele kiroho.amen.
mrs dorothy mgeni <mgenidrt@hotmail.com>
mbeya, Tanzania - Monday, February 02, 2004 at 12:36:09 (EAT)
Bwana ashukuriwe kwa ukuu wake.
Idda Amani Makawia <makawiaidda@yahoo.co.uk>
ARusha, Tanzania - Sunday, February 01, 2004 at 23:27:19 (EAT)
Nahitaji kuweza kupata ukurasa unaohusu ndoa naomba nijulishwe taratibu zake. Asante
Mrs Lilian Fredrick Ndossi <jacoblilian@hotmail.com>
Dar es Salaam, Kinondoni Tanzania - Friday, January 30, 2004 at 13:46:35 (EAT)
Nimebarikiwa sana kwa kusoma mafundisho yenu ktk internet.Nazidi kuwaombea kwa Mungu ili huduma hii isonge mbele.Naomba pia mnielekeze jinsi ya kufungua semina ya ndoakila nikiingiza password inagoma.Aksante na mbarikiwe.
MRS.E.Nyagwaswa <elizaomingo@hotmail.com.>
Dar es salaam, Tanzania - Friday, January 30, 2004 at 12:08:57 (EAT)
NAOMBA WATU WASISITIZIWE KUOMBA SANA KWA SABABU YA HUDUMA HIYO YA MANA.
GUDAT PAUL <gudat987@yahoo.com>
ARUSHA, SAKINA Tanzania - Friday, January 30, 2004 at 10:56:39 (EAT)
NAMSHUKURU MUNGU KWA HUDUMA YENU NZURI,HAKIKA WATU TUNABARIKIWA,NAPENDA KUJIFUNZA MASOMO YA NDOA,LAKINI KILA NIKIJARIBU KWENYE WEBSITE YENU NASHINDWA NAOMBA MNIELEKEZE ILI NIPATE HAYA MASOMO NA MUNGU WA BWANA WETU YESU KRISTO AWABARIKI.
Renatus <rrenatus@yahoo.com>
musoma, Tarime Tanzania - Thursday, January 29, 2004 at 21:33:57 (EAT)
Tunashukuru kwa mafundisho yako
Elizabeth Daniel Nyagwaswa <elizaomingo@hotmail.com>
Dar es salaam, Ukonga Tanzania - Thursday, January 29, 2004 at 12:45:03 (EAT)
Ninamshukuru Mungu kwa jinsi ambavyo amekuwa akiitumia huduma hii. Mungu awabariki na kuwawezesha. Nimefurahi sana baada ya kufungua hii website na kuikuta imekarabatiwa upya. Asante sana na Mungu awabariki.
Mrs. Stella Mayenje <sozigwas@hotmail.com>
Dar es Salaam, Tanzania - Thursday, January 29, 2004 at 12:17:12 (EAT)
MUNGU AKUBARIKI KWA HUDUMA YAKO HII,AZIDI KUKUTIA NGUVU ILI IENDELEE. MIMI NIMEJENGEKA MNO NA HUDUMA HII HADI KUCHUKUA HATUA YA KUOKOKA ,AMBAPO NIMEMWONA MUNGU KWA SURA NYINGINE .MUNGU AKULINDE WEWE NA FAMIYA YAKO ILI HUDUMA ISONGE MBELE.
EDWARD SAUKIWA <ngowiedward@hotmail.com>
TABORA, TABORA Tanzania - Tuesday, January 27, 2004 at 17:09:28 (EAT)
ninawaombeeni sana katika huduma yenu,kijana wangu anasema atahubiri kama Mwakasege,mbarikiwe sana
mwakatundu Abraham <mwakatunduaf@yahoo.co.uk>
Arusha, Tanzania - Tuesday, January 27, 2004 at 10:44:17 (EAT)
Ninamshukuru sana Mungu kwa huduma hii, ninaona nguvu ya Mungu kwa namna ya tofauti kila ninapo soma mafundisho haya ya Neno la Mungu. BWana awabariki
Mrs. Eunice Mhema <eunice_chengula@yahoo.com>
Iring, Magharibi Tanzania - Monday, January 26, 2004 at 13:43:44 (EAT)
Ninamshukuru sana Mungu kwa huduma hii, ninaona nguvu ya Mungu kwa namna ya tofauti kila ninapo soma mafundisho haya ya Neno la Mungu. BWana awabariki
Mrs. Eunice Mhema <eunice_chengula@yahoo.com>
Iring, Magharibi Tanzania - Monday, January 26, 2004 at 13:38:53 (EAT)
Ev.C. Mwakasege namshukuru mungu kwa karama hii aliyoiweka ndani yako/yenu ambayo imekuwa baraka kubwa kwa wengi wetu ambao mlitufikia tulipokuwa mashuleni.Wengine tumezaliwa mara ya pili kiroho vinywani mwenu na sasa bwana ananifundisha kupitia roho wake mtakatifu kwa ajili ya kutimiza wajibu wangu ambao ameufunua kwangu mwaka 1999, ingelikuwa vigumu kumuelewa Bwana Yesu kama ushuhuda wako/wenu nisingeusikia. Ila kwa kupitia kwako/kwenu bwana aliweza kunihakikishia kuwa ninaweza kuwa mtumishi wake na kimsingi sikuwa wa kwanza kuambiwa nipande gari kupitia mlango wa dereva. Bwana awabariki na kuwawezesha kukamilisha sehemu yako/yenu katika ujenzi wa kanisa lake takatifu. Mwanao katika kristo Eli-an-shisaria.
Eli-an-shisaria Invocavith <emuniss@hotmail.com>
Dar Es Salaam, ILALA Tanzania - Sunday, January 25, 2004 at 12:00:37 (EAT)
Ndg mtumishi, Yesu asifiwe! Ninapenda kukupongeza wewe binafsi na wote unaofanya nao kazi kwa namna moja au nyingine kwa kazi kuuuba mnayofanya KIP IT AP & PUL Y SOX more n more mpaka pale Bwana atakapo sema HeY!Mwakasege STOOOP ! hapo mheshimiwa utakapo katisha mbele YAKE,huku wale wapambe wa JUU wakiuliza,'''...na huyu eti ni nani?''' hapo itakapo sikika sauti ya MWENYEWE ikijibu..."NAYE HUYU,NAYE HUYU,NAYE HUYU......ni MWANANGU". Jamani jamani I don't, I'will never have a feel that Mr. mtumishi u'll have from that moment on. ......and I'll give him a stone on which written a NAME that never will any other know except he who receive it .........I ON MY SIDE WILL HAVE MINE THAT EVEN YOU MTUMISHI WILL NEVER KNOW. Nakutakia kazi njema. niombee nifanikiwe katika mambo yangu ili hata Roho yangu itulie according to LILE NENO BWANA alisema juu yang.NALIFAHAMU, na ninataka KULIJUA
david mwakalalile@yahoo.co.tz <davidmwakalalile>
dsm, Tanzania - Friday, January 23, 2004 at 17:25:14 (EAT)
Ndg mtumishi, Yesu asifiwe! Ninapenda kukupongeza wewe binafsi na wote unaofanya nao kazi kwa namna moja au nyingine kwa kazi kuuuba mnayofanya KIP IT AP & PUL Y SOX more n more mpaka pale Bwana atakapo sema HeY!Mwakasege STOOOP ! hapo mheshimiwa utakapo katisha mbele YAKE,huku wale wapambe wa JUU wakiuliza,'''...na huyu eti ni nani?''' hapo itakapo sikika sauti ya MWENYEWE ikijibu..."NAYE HUYU,NAYE HUYU,NAYE HUYU......ni MWANANGU". Jamani jamani I don't, I'will never have a feel that Mr. mtumishi u'll have from that moment on. ......and I'll give him a stone on which written a NAME that never will any other know except he who receive it .........I ON MY SIDE WILL HAVE MINE THAT EVEN YOU MTUMISHI WILL NEVER KNOW. Nakutakia kazi njema. niombee nifanikiwe katika mambo yangu ili hata Roho yangu itulie according to LILE NENO BWANA alisema juu yang.NALIFAHAMU, na ninataka KULIJUA
david mwakalalile <davidmwakalalile>
dsm, Tanzania - Friday, January 23, 2004 at 17:24:25 (EAT)
Sina maoni bali na wapongeza kwa kazi nzuri ya Mungu mnayoifanya , nimekuwa nikifatilia vipindi vya Redio vinavyo rushwa hewani kila siku ya j5 usiku kupiti WAPO Redio hakika nimebarikiwa na ninaiombea huduma hii.
Bildard. R .lema <billdadlema@yahoo.com>
DAR ES SALAM, UBUNGO Tanzania - Friday, January 23, 2004 at 12:10:51 (EAT)
nimefurahishwa na mahhubiri naomba mniombee nami kwa nguvu za mungu niguswe na roho mtakatifu niokoke
Herieth mahona <hmkaanga@yahoo.com>
muheza, anglican Tanzania - Thursday, January 22, 2004 at 23:24:36 (EAT)
nimefurahishwa na mahhubiri naomba mniombee nami kwa nguvu za mungu niguswe na roho mtakatifu niokoke
Herieth mahona <hmkaanga@yahoo.com>
muheza, anglican Tanzania - Thursday, January 22, 2004 at 23:23:18 (EAT)
nimefurahishwa na mahhubiri naomba mniombee nami kwa nguvu za mungu niguswe na roho mtakatifu niokoke
Herieth mahona <hmkaanga@yahoo.com>
muheza, anglican Tanzania - Thursday, January 22, 2004 at 23:22:20 (EAT)
Bwana akubariki zaidi na zaidi kwa kazi yako ya kutufikia watu wengi kwa mahitaji ya aina mbalimbali
Ismahel Y C Msovella <msovella76@hotmail.com>
Njombe, Njombe Tanzania - Thursday, January 22, 2004 at 16:59:04 (EAT)
Mungu awazidishie katika huduma hii ambayo wengi tunapona katika masomo mbalimbali. Ninaomba unielekeze namna ya kuingia katika somo maalumu la ndoa. Mungu awabariki
JOYCE SAMWEL <delsindo@yahoo.com>
Dar es Salaam, Dar Tanzania - Thursday, January 22, 2004 at 13:06:20 (EAT)
Napenda kukupongeza kwa huduma yako nzuri ya kueneza neno la Bwana kwa njia ya internet nasema Mungu akubarika sana nata azidi kukubariki Amen. Ningependa niwe natumiwa mafundusho kwa njia ya e-mail
dorosela bahemula <dorosela50@yahoo.com>
Dar es salaam, DSM Tanzania - Wednesday, January 21, 2004 at 14:10:37 (EAT)
Napenda kukupongeza kwa huduma yako nzuri ya kueneza neno la Bwana kwa njia ya internet nasema Mungu akubarika sana nata azidi kukubariki Amen. Ningependa niwe natumiwa mafundusho kwa njia ya e-mail
dorosela bahemula <dorosela50@yahoo.com>
Dar es salaam, DSM Tanzania - Wednesday, January 21, 2004 at 14:10:17 (EAT)
Tunamshukuru Mungu aliyekupa huduma hii tunamuomba wakati wote aikamilishe kama alivyokusudia.Nitakuwa namaswali kadhaa kila nitakapopata nafasi ya kuuliza ama kwa ajili yangu mwenyewe au watu wengine. Mungu awabriki wote.
Juliana Lugano Kallinga <jlkallinga@yahoo.com>
Dodoma, Dom mjini Tanzania - Wednesday, January 21, 2004 at 14:07:43 (EAT)
Nimetembelea tovuti yako na ninadhani nimeipenda pamoja na kwamba mimi siyo mkristo wala muislam, ninapenda kubadilishana mawazo, ninasoma sana biblia pamoja na vitabu vingine pia. Ninamwamini Mungu pamoja na Utatu Mtakatifu. Mini ni msanii wa picha za kuchora na nimeneja masoko wa kituo cha sanaa na kazi za mikono. Natumaini kuwa yeyote atakayetembelea tovuti hii atafurahi na kupata kitu kipya ktk maisha yake. gano
Gano <kakagano@hotmail.com>
Dar es Salaam, Tanzania - Monday, January 19, 2004 at 17:33:53 (EAT)
Nimetembelea tovuti yako na ninadhani nimeipenda pamoja na kwamba mimi siyo mkristo wala muislam, ninapenda kubadilishana mawazo, ninasoma sana biblia pamoja na vitabu vingine pia. Ninamwamini Mungu pamoja na Utatu Mtakatifu. Mini ni msanii wa picha za kuchora na nimeneja masoko wa kituo cha sanaa na kazi za mikono. Natumaini kuwa yeyote atakayetembelea tovuti hii atafurahi na kupata kitu kipya ktk maisha yake. gano
Gano <kakagano@hotmail.com>
Dar es Salaam, Tanzania - Monday, January 19, 2004 at 17:33:03 (EAT)
I'm a University student and i'll be glad if u will let me know how i can contact u personal. For the time being I'm in Dar.
Peter <coolbright2004@yahoo.com>
moshi,kilimanjaro, moshi vijijini Tanzania - Monday, January 19, 2004 at 16:00:32 (EAT)
Napenda kuwatia moyo kwamba kazi yenu mbele za Bwana ni kubwa na anaiheshimu. Keep it up and be blessed
Flora Millinga <floave2003@yahoo.com>
Dodoma, Dodoma Tanzania - Sunday, January 18, 2004 at 12:50:25 (EAT)
Mungu azidi kuwatia nguvu neno lake lipate kuenea kwa kuwatumia ninyi kwakuwa kupitia kwenu watu wemempokea Kristo na wanaendelea kufanya hivyo. Mbarikiwe Sana
Anamrimgi Maro <amaro26@hotmail,com>
dam, dsm Tanzania - Saturday, January 17, 2004 at 19:23:56 (EAT)
Mungu awabariki kwa kazi yenu njema.
Israel Mlawa <Imlabwa@hotmail.com>
Mwanza, Mwanza Tanzania - Saturday, January 17, 2004 at 13:07:08 (EAT)
Ndugu mtumishi wa Mungu aliye hai nashukuru mno kwa huduma yako ambayo tunaipata kupitia intaneti yaani inatujenga mno na Mungu wa mbinguni akubariki. Naomba vitabu vyako.
REV EMMANUEL MALEMA <malema2002tz@yahoo.com>
MBEYA, Tanzania - Saturday, January 17, 2004 at 12:25:05 (EAT)
Ninamshukuru Mungu anayeweza kutupa maarifa na teknolojia kama hii ya internet.Hata na sisi tulio mbali kufaidi injili inayohubiriwa Tzania.Mungu azidi kuwabariki wapendwa wangu mr&mrs C.Mwakasege;Jan 16 2004.
Wallace Joseph Sahani <wjsahani2002@yahoo.com>
Salt Lake City, Utah United States of America - Saturday, January 17, 2004 at 08:32:32 (EAT)
Nabarikiwa sana na semina zenu Mungu awabariki zaidi na zaidi. naomba Mungu awawezeshe muonekane kwenye TV ili tuendelee kubarikiwa
Mrs rest c. nyambuche <restnyambuche651@hotmail.com>
Dar es salaam, Tanzania - Friday, January 16, 2004 at 18:58:04 (EAT)
Mungu awabariki kwa huduma nzuri na nyeti munayoifanya.
Elibariki Tuvana <elituva@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Friday, January 16, 2004 at 14:23:04 (EAT)
Utukufu apewe Bwana Mungu kwa kuwawezesha kutunza chakula chake kwenye mtandao na kwa kutulisha watu na watoto wake popote tulipo duniani. Tanzania Mungu ametupa Neema ya ajabu maana uamsho uliopo Tanzania ni wa ajabu sana. Nchi nyingi hazijapata neema hiyo baado. Adui anaweza akakwambia sasa unaijua Biblia yote na huhitaji tena mafundisho, lakini kumbuka kwamba kama ambavyo tunakula chakula kila siku ili kitutie nguvu ndivyo tunvyohitaji kupata Neno na mafundisho kila siku ili yatutie nguvu ili tukue kiroho na kustahimili majaribu.
Jeffy Mwakalinga <jeffy@kth.se>
Stockholm, Sweden - Friday, January 16, 2004 at 14:08:07 (EAT)
Mungu na aendelee kuibariki huduma hii na wote wanaohusika nayo maana inatubariki sana.
Dr Mdegela Mselenge <drmselenge@yahoo.com>
Dar Es Salaam, Tanzania - Friday, January 16, 2004 at 14:05:49 (EAT)
Namshukuru Mungu kwa kuwapa wazo la kutunza chakula chake na kuwafundisha watoto wake kwa njia ya Mtadao. Maana sasa chakula chake tunakipata popote tulipo duniani. Tanzania Mungu ametupa Neema ya ajabu maana uamsho uliopo Tanzania ni wa ajabu. Nchi nyingi baado hajipata Neema hiyo. Maana wengine husema biblia nimeisoma na naijua sana. kwa hiyo sihitaji kusoma Neno. Lakini tunasahau kwamba kama ambavyo chakula cha mwili kututia nguvu ndivyo Neno la Bwana linatutia nguvu za kutuwezesha kukua, kustahimili majaribu. Mana unavuna ulichopanda. Ukipanda Neno kwa wingi utavuna baraka zaidi.
Jeffy Mwakalinga <jeffy@kth.se>
Stockholm, Sweden - Friday, January 16, 2004 at 13:37:25 (EAT)
MUNGU AWABARIKI WOTE MLIOSHIRIKI KATIKA KUTAYARISHA WEB SITE HII,MAANA INAOKOA ROHO ZA WENGI AMBAO WALIKUWA WAMEYASAHAU MAAGIZO YA YEHOVA.
ROMAN PETER WANGA <WANGARPW@YAHOO.CO.UK>
dar es salaam, tanzania,east africa, Tanzania - Friday, January 16, 2004 at 08:22:47 (EAT)
naomba kujiunga ili nielewe zaidi
IDEFONCE GINGO
NYAMONGO, TARIME Tanzania - Thursday, January 15, 2004 at 15:08:57 (EAT)
naomba kujiunga ili nielewe zaidi
IDEFONCE GINGO
NYAMONGO, TARIME Tanzania - Thursday, January 15, 2004 at 15:08:55 (EAT)
MUNGU AWABARIKI KWA HUDUMA YENU, MTALIPWA KWA WAKATI WAKEMSIPOZIMIA MIOYO.
elia m timothy <eliatimo@hotmail.com>
dodoma , Tanzania - Thursday, January 15, 2004 at 12:13:58 (EAT)
Uamuzi wa kuwa na website hii ni sahihi na Mungu aweke mkono wake ili Roho Mtakatifu azungumze na watu waweze kupata nafasi ya kuitembelea site hii na kujifunza neno la Mungu. Tunashukuru kwa huduma mnayoitoa Mungu awabariki sana na kubariki kazi ya mikono yenu. Uweke pia kini nashindwa kuipata huduma ya semina ya ndoa nifanyeje?
Hans G. Makundi <makundihg@lycos.com>
Arusha, Tanzania - Thursday, January 15, 2004 at 11:57:21 (EAT)
I THANK THE LORD IN HEAVEN FOR YOUR WEBSITE MAKE IT KNOWN TO OTHERS BECAUSE I DID NOT KNOW IF YOU HAVE THE WEBSITE.MY MESSAGE IS ROM.8:11 WITH EVERY ENCOURAGEMENT IN YOUR MINISTRY FOR OUR LORD JESUS CHRIST Dr JOSEPH
Dr JOSEPH DAVID MSHORO <josephmshoro@yahoo.co.uk>
Dodoma, Tanzania - Thursday, January 15, 2004 at 11:42:33 (EAT)
Naomba mungu azidi kuwabariki na kuwatia nguvu katika katika kazi hii ya kueneza neno lake hasa katika websaiti hii. kwani inasaidia kwa wale wasikuja kwenye mikutano na wale wasiopata muda wa kusikiliza vipindi vyako katika redio,mungu awabariki sana .
mMICHAEL WETTA <wetta_2003@hotmail.com>
Dar es salaam, temeke Tanzania - Thursday, January 15, 2004 at 10:48:53 (EAT)
Tunashukuru kwa huduma mnayoitoa Mungu awabariki sana na kubariki kazi ya mikono yenu.Bwana asiffiwe.
JONAS ANDREW <jonasandrew@yahoo.co.uk>
MOSHI, MOSHI Tanzania - Tuesday, January 13, 2004 at 21:11:28 (EAT)
Nashukuru kwa kuanzisha Website hii kwa kuwa imeweza kunisaidia mambo mengi na nimatumaini yangu kwamba nitazidi kujengeka kiimani kupitia Website hii. Asanteni
Noella Yusuph <nollah@hotmail.com>
Mwanza, Mwanza Tanzania - Tuesday, January 13, 2004 at 16:16:41 (EAT)
Mungu wa Amani awabariki na huduma yenu ikapate kufanikiwa tena Mwaka huu 2004. Pia ahadi yake ya kuwabariki watu wake kadri roho zao zibarikiwavyo ikatimie kwenu. Mpate kubarikiwa sana kadri roho zenu zibarikiwavyo.
Mary Mathela <m_matella@yahoo.com>
Arusha, Tanzania - Tuesday, January 13, 2004 at 13:13:36 (EAT)
kwenye somo la vijana huwezi kuoma nadhani inahitaji marekebisho ukifungua haifunguki.
HELEN MSUYA <helen_msuya@yahoo.com>
arusha, arusha Tanzania - Tuesday, January 13, 2004 at 10:00:26 (EAT)
NIMEIPENDA HUDUMA HII.
DANIEL LAISER <dlaiser82@hotmail.com>
MWANZA, Tanzania - Tuesday, January 13, 2004 at 09:30:10 (EAT)
nitumiwe maombi ya ministry
jesse jonathan <jyesse@yahoo.co.uk>
mjini, mwanza Tanzania - Monday, January 12, 2004 at 20:53:32 (EAT)
Tunaomba mafanikio katika maisha yetu na ndoa yetu iwe imara.
Mr & Mrs James <calphayo@yahoo.com,jmsanzya@excite.com>
TANGA, TANGA Tanzania - Monday, January 12, 2004 at 13:31:53 (EAT)
MAY THE LORD BLESS YOU, YOUR WIFE DIANA,YOUR CHILDREN, THE MINISTRY, THE ENTIRE STAFF AND THEIR FAMILIES. MAY WE ALL GROW IN KNOWLEDGE AND UNDERSTANDING, UP TO THE FULL MEASURE EVEN UNTO CHRIST. your student joseph
Joseph john Ng'ongolo <shagomile@hotmail.com>
Newyork, NY USA - Monday, January 12, 2004 at 05:41:02 (EAT)
amen
BRI <bbigurube@hotmail.com>
ars, ars Tanzania - Sunday, January 11, 2004 at 19:37:43 (EAT)
NASHUKURU KWA KUANZISHA WEBSITE,NAPATA BARAKA NYINGI KUPITIA HII WEBSITE.NA MUNGU AZIDI KUWABARIKI NA KUWAPA AFYA,ROHO WAKE MTAKATIFU AWAJAZE,
renatus m <rrenatus@yahoo.com>
musoma, Tanzania - Sunday, January 11, 2004 at 11:27:10 (EAT)
NASHUKURU KWA KUANZISHA WEBSITE,NAPATA BARAKA NYINGI KUPITIA HII WEBSITE.NA MUNGU AZIDI KUWABARIKI NA KUWAPA AFYA,ROHO WAKE MTAKATIFU AWAJAZE,
renatus m <rrenatus@yahoo.com>
musoma, Tanzania - Sunday, January 11, 2004 at 11:26:22 (EAT)
Tunaomba mtumishi wa Mungu uwe na semina mala tatu kwa mwaka Dar-es-salaam.Kwani nina kuwa kiroho sana kutokana na mafundisho unayo nifundisha.Hii ni kweli hasa upande wa kwangu, chakula cha kiroho ninacho pata kwenye semina zako sijawai kukipata sehemu nyingine yoyote.Kupitia semina zako ni mepanywa mege sana katika mwili wangu pamoja na roho yangu.Nitazidi kukuombea.Ubalikiwe
george ategeka <ategeka@yahoo.com>
Dar-es-salaam, mbagala Tanzania - Saturday, January 10, 2004 at 12:42:54 (EAT)
Tunaomba mtumishi wa Mungu uwe na semina mala tatu kwa mwaka Dar-es-salaam.
george ategeka <ategeka@yahoo.com>
Dar-es-salaam, mbagala Tanzania - Saturday, January 10, 2004 at 12:29:46 (EAT)
Ninamshukuru Mungu kwa hii web site, yaani huwa ninabarikiwa sana kwa masomo mbalimbali yahusuyo maisha ya kikristo na neno la Mungu. Mungu awabariki na ninawatia moyo msonge mbele! Kazi mnayoifanya ni kubwa sana na manufaa yake ni makubwa sana pia! God bless you!!
Glory Riwa <henryglory@yahoo.com>
Dar, Dar Tanzania - Friday, January 09, 2004 at 20:30:33 (EAT)
Bwana Yesu asifiwe, yangu simaoni ilanaombanijue ni kwa namna ganinaweza nikasoma somola ndoa kwani kilanikifunguanatakiwa niandikepassword ina maana lazima uwe umeandikisha. asante
ELIZABETH H. NKYA <liznkya2000@yahoo.com>
Dar es Salaam, Tanzania - Friday, January 09, 2004 at 15:04:08 (EAT)
amen
bri <bbigurube@hotmail.com>
ars, ars Tanzania - Thursday, January 08, 2004 at 18:53:59 (EAT)
Mungu awabariki kwa ajili ya Sermina nzuri mliyoifanya decemba 2003. Mungu awape nguvu kwa upya mwaka huu tena ili kuitimiza kazi ya Bwana wetu Yesu Kristo
winluck Hubert Saria <wlhsl@hotmail.com>
Dar es salaam, Ilala Tanzania - Thursday, January 08, 2004 at 16:01:03 (EAT)
NINAMSHUKURU MUNGU KWA KUWA ANAKUTUMIA KATIKA KUIFIKISHA INJILI. BWANA AKUBARIKI ,AKUPE AFYA NJEMA ILI UWEZE KUIFANYA KAZI HIYO KWA MUDA MREFU.
MR NESTOR G.G. SHIRIMA <nestor.s@kicheko.com>
DSM, Tanzania - Thursday, January 08, 2004 at 08:28:52 (EAT)
TUNABARIKIWA NA HUDUMA YAKO
PHILLIP W SIYAME <phillip_siyame@yahoo.com>
MBEYA, Tanzania - Wednesday, January 07, 2004 at 19:53:51 (EAT)
mimi naomba niombewe nipate mchumba
christina joel <christinajel@hoitmail.com>
da, Tanzania - Wednesday, January 07, 2004 at 19:41:12 (EAT)
mbarikiwe
Lutengano Mwalubandu <lutenny@yahoo.com>
Dodoma, Tanzania - Wednesday, January 07, 2004 at 17:58:51 (EAT)
Huduma hizi zinanibariki sana. Mimi ni mama lakini nashindwa kuipata huduma ya semina ya ndoa nifanyeje? Oni langu lingine ni kwamba ungeweka na website ya miziki ya kumsifu Mungu ili sisi tunaotumia muda mwingi kazini tumsifu Mungu na kuburudika kwa hilo kama vile tunavyo jifunza kwa website iliyopo. Ni kazi lakini na imani utaweza.
Florenceanna <annaonesmo@hotmail.com>
DAR ES SALAAM, Ilala Tanzania - Wednesday, January 07, 2004 at 09:54:48 (EAT)
Mafundisho katika website yako, juu ya vijana tunayahitaji sana, ikiwezekana sala za asubuhi na jioni ziwepo pia, zitatusaidia ktk siku. Mungu awazidishie baraka na mzidi kuwasaidia watu kupitia semina na maombi yenu kwani wengi tumenufaika nayo. Pia awape maisha marefu ili wengi wauone ufalme wa Mungu. Mbarikiwe sana Christopher na Diana Mwakasege na kundi lenu lote. AMEN
Glory Mlay <mlayg@yahoo.com>
Arusha, Arusha Tanzania - Wednesday, January 07, 2004 at 08:26:42 (EAT)
KAZI YAKO NINJEMA
PHILLIP W SIYAME <phillip_siyame@yahoo.com>
mbeya, Tanzania - Tuesday, January 06, 2004 at 20:14:21 (EAT)
Namshukuru Mungu kwa mafundisho yenu yamekuwa ya msaada sana kwangu.Ninaamini Mungu aliye mwaminifu na atufundishaye ili tupate faida atawatumia zaidi na zaidi katika mwaka huu ili kulijenga na kuliimarisha kanisa lake.Mungu awabariki sana
Aubrey Maonga <maonga8@hotmail.com>
Muheza, TANGA Tanzania - Tuesday, January 06, 2004 at 19:07:39 (EAT)
Bwana Yesu Apewe sifa. Namshukuru Mungu kwa mafundisho naomba muongeze ya vijana.
Jennifer Mushi <jenifer@kicheko.com>
Dar-es-Salaam, DAR Tanzania - Tuesday, January 06, 2004 at 07:50:06 (EAT)
Ninamshukuru Mungu kwa kuweza kupata nafasi hii tena kuweza kuandika kwenye website hii.Tumekuwa tunatiwa moyo sana na mafundisho yanayopatikana kwenye hii site.Maana tumeyatumia hata kwenye Fellowship yetu na kwa namna moja ama nyingine yameleta Baraka kubwa.Nimekuwa najitahidi Kuprint nakala mbalimbali na kuweza kuwapati wale ambao awawezi kupata habari hizi njema toka kwenye site hii moja kwa moja.Mungu awatie Moyo watumishi wa Mungu mzidi kuifanya kazi hii kwa uhaminifu Mkubwa
Amos Charles Biteya <biteyaboy@hotmail.com>
Nzega, Tabora Tanzania - Sunday, January 04, 2004 at 05:01:03 (EAT)
Mungu akubariki kwa huduma yako.
STEPHANO EMMANUEL
KIGOMA, Tanzania - Saturday, January 03, 2004 at 12:59:06 (EAT)
Huduma ni njema sana imetubariki sana.
DAVID KADOMO <kadomo@yahoo.com>
Morogoro, Tanzania - Saturday, January 03, 2004 at 12:52:21 (EAT)
Huduma ni njema sana imetubariki sana.
DAVID KADOMO <kadomo@yahoo.com>
Morogoro, Tanzania - Saturday, January 03, 2004 at 12:51:37 (EAT)
Nakutia moyo kwa huduma yako
Joyce Makange <joycemakange@yahoo.co.uk>
Tanga, Pwani Tanzania - Saturday, January 03, 2004 at 12:07:22 (EAT)
Uamuzi wa kuwa na website hii ni sahihi na Mungu aweke mkono wake ili Roho Mtakatifu azungumze na watu waweze kupata nafasi ya kuitembelea site hii na kujifunza neno la Mungu.
John Wambura <johnwambura@yahoo.com>
Dar Es Salaam, Dar Es Salaam Tanzania - Friday, January 02, 2004 at 08:06:04 (EAT)