Yesu Akamwambia "Lisha Kondoo Zangu" (Yohana 21:17)
Home
Maombi
Ratiba
Shuhuda
Mafundisho
Maswali na Majibu
Barua za Mwezi
Kuchangia Huduma
MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU


Mpendwa msomaji ,Bwana Yesu asifiwe;

          Tunakushukuru kwa kuchukua hatua ya kuamua kujifunza Neno la Mungu pamoja nasi ili uweze kukua Kiroho.Hapo chini kuna orodha ya masomo tuliyofundisha sehemu mbalimbali kwa kadri Mungu alivyotuongoza hivyo bonyeza kichwa  cha somo ulichokipenda ili  nawe ushiriki tulichojifunza 

Mafundisho ya mfululizo kila wiki:   

  1. HONGERA KWA KUOKOKA
  2. JIFUNZE KUSAMEHE NA KUSAHAU
  3. MKRISTO NA UCHUMI
  4. NDOA
  5. JARIDA LA MANA
  6. VIJANA
  7. UWEZA JINA LA YESU
  8. JIHADHARI NA MAFUNUO
  9. FAHAMU UWEZO WA DAMU YA YESU KRISTO
  10. NAMNA YA KUWA MTENDAJI WA NENO
  11. KWA NINI YESU KRISTO ALITUOMBEA UMOJA
  12. IKIMBIENI ZINAA

           Masomo haya pamoja na mengine mengi unaweza pia kuyapata katika kanda za Video na  za Redio Kaseti kwa kuagiza moja kwa moja kutoka ofisini kwetu Arusha au  kwa wakala walioko karibu na eneo ulipo. Ili kupata maelezo zaidi kuhusu kanda za Redio Kaseti bonyeza HAPA. Maelezo kuhusu kanda za video yanapatikana kwa kubonyeza HAPA.

UNATAKA KUOKOKA?
Kama unataka kumpa YESU maisha yako sasa, bonyeza hapa
©2003 Tanzania Social and Economic Trust.  All Rights Reserved.