Yesu Akamwambia "Lisha Kondoo Zangu" (Yohana 21:17)
Home
Maombi
Ratiba
Shuhuda
Mafundisho
Maswali na Majibu
Barua za Mwezi
Kuchangia Huduma
MAOMBI NA MAOMBEZI
 

Ukurasa huu wa maombi umegawanyika katika maeneo makubwa matatu:

1.     Maombi kwa ajili ya watu - wenye shida na mahitaji mbalimbali - kama vile magonjwa, kazi, kuoa au kuolewa. kwa hiyo kama wewe unahitaji kuombewa katika jambo lolote lile BONYEZA HAPA ili uweze kututumia mahitaji yako ya maombi. Aidha unaweza pia kutuma mahitaji yako kwa ndugu wengi zaidi wenye huduma ya maombezi kwa kubonyeza HAPA.

2.   Maombi kwa ajili yetu - Kama wewe ni mwombaji na Mungu amekupa mzigo wa kutuombea sisi na huduma yetu  BONYEZA HAPA ili uweze kujaza fomu ambayo itakuwezesha kuwasiliana nasi kwa ajili ya mambo ambayo tungependa uyaombee. Hali kadhalika kama ungependa kushiriki pamoja na ndugu wengine wenye huduma ya maombi kwa ajili ya kuwaombea watu wenye shida na mahitaji mbalimbali bonyeza HAPA.

3. Maombi ya Nchi - Kama wewe una mzigo kwa ajili ya kuombea nchi hii ya
   Tanzania ungana nasi kwa ajili ya maombi ya kuombea nchi kwa KUBONYEZA HAPA

Zijue Karama za Roho Mtakatifu, 
Bonyeza Hapa 

UNATAKA KUOKOKA?
Kama unataka kumpa YESU maisha yako sasa, bonyeza hapa
©2003 Tanzania Social and Economic Trust.  All Rights Reserved.