|
|
| ||
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
Wiki ya Tano:
1.
Ombea
vijana wa Tanzania Mungu awalinde awaokoe na mitego ya adui 2. Omba Tanzania kukaa katika mpango na kusudi la Mungu.
3.
Ombea
huduma mbalimbali za jamii Tanzania ziboreshwe. Wiki ya Nne:
1.
Ombea
uchaguzi wa rais na viongozi wa serikali mwakani 2005
2.
Ombea
mikataba mbalimbali Tanzania inayoingia ya kibiashara, elimu, kiserikali
n.k ili Mungu achuje na kuiepusha nchi na mikataba ya hila na yenye
mitego.
3.
Ombea
sekta ya elimu nchini Wiki ya Tatu: 1. Omba hekima ya Mungu kwa viongozi wa ngazi zote hapa nchini kwenye kanisa, serikali, vyama na mashirika mbalimbali wawe na hofu ya Mungu, kiasi, moyo wa kujituma na uaminifu.
2.
Ombea
hali ya:
3.
Mungu
atuepushie tauni mbaya, macho ya watanzania yafunguke na kuona sawasawa
ili kuepukana na magonjwa mabaya. Wiki ya Pili:
1.
Omba
ulinzi juu ya nchi ya Tanzania na mipaka yake yote izingirwe kwa damu
ya Yesu:
2.
Kataa
kwa jina la Yesu kila aina ya umwagaji damu Tanzania
3.
Omba
Tanzania idumu kuwa mikononi mwa wa Tanzania. Uchumi ukue na kunufaisha
watanzania kwa mfano madini, utalii Wiki ya Kwanza: 1. Shukrani – kwa ajili ya nchi nzuri, amani iliyopo, uhuru wa kuabudu.
2.
Toba
3.
Kufuta laana zote za maneno juu ya nchi hii, na kufuta dua zote mbaya
kwa damu ya Yesu. Teka nyara anga la Tanzania na kulikabidhisha kwa Roho
Mtakatifu atawale, kemea na kuharibu kazi zote za nguvu za giza.
|
|