Yesu Akamwambia "Lisha Kondoo Zangu" (Yohana 21:17)
Home
Maombi
Ratiba
Shuhuda
Mafundisho
Maswali na Majibu
Barua za Mwezi
Kuchangia Huduma
RATIBA YA SEMINA 2010


 
RATIBA YA SEMINA 2010

TAREHE

MAHALI

WAHUSIKA

MAELEZO


11-16 Januari 2010


Moshi
(Uhuru Hotel)


Viongozi wa Makanisa na Waombaji

 

 

13-17 Januari 2010

Moshi Mjini

Watu Wote

 

31 Jan - 7 Febr 2010

Arusha Mjini
(Uwanja wa Reli)

Watu Wote

 

17-21 Februari 2010

Tanga Mjini

Watu Wote

 
 7-14 Machi 2010 Dar es Salaam
(Uwanja wa Biafra, Kinondoni)
Watu Wote  
20-28 Machi 2010 Israel Waliojiandikisha kwa safari ya mafunzo  
13-16 Aprili 2010 Moshi Wafanyakazi wa Shirika la Compassion  
20-28 Aprili 2010 Israeli Watumishi/Wachungaji  
15-18 Juni 2010 Dodoma Mjini Kongamano la Maombi la Kitaifa  
20-27 Juni 2010 Dodoma Mjini Watu Wote  
       

"Kwa maana dunia itajazwa maarifa ya utukufu wa Bwana kama maji yaifunikavyo bahari" (Habakuki 2:14)

NB:
1. Kukiwa na mabadiliko - tutabadilisha ratiba.
2. Usisahau kutuombea ili semina hizi zifanikiwe katika kuujenga ufalme wa Mungu na ziweze kumletea Bwana Yesu Utukufu.
3. Ukitaka kutoa sadaka yako kwa ajili ya kugharamia wasiliana nasi kwa simu namba 027-250 4289 au andika kwa kutumia P.O. Box 2166 Arusha au kwa email: tasoet@nexusdigital .co.tz

Email Address: tasoet@nexusdigital.co.tz

Bonyeza HAPA kwenda kwenye ukurasa wa Ripoti za Semina

UNATAKA KUOKOKA?
Kama unataka kumpa YESU maisha yako sasa, bonyeza hapa
©2003 Tanzania Social and Economic Trust.  All Rights Reserved.